• | BREAKING

    Crystal Palace imepanga kukata rufaa ili kupinga uamuzi wa UEFA kuwashusha kutoka kushiriki EUROPA hadi kushiriki Conference League.

    Nafasi ya ushiriki wa EUROPA ambayo ilikuwa ni ya Crystal Palace atashiriki Nottingham Forest na Palace watashiriki Conference kama mambo yatabakia hivi.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING Crystal Palace imepanga kukata rufaa ili kupinga uamuzi wa UEFA kuwashusha kutoka kushiriki EUROPA hadi kushiriki Conference League. Nafasi ya ushiriki wa EUROPA ambayo ilikuwa ni ya Crystal Palace atashiriki Nottingham Forest na Palace watashiriki Conference kama mambo yatabakia hivi. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·7 Views
  • RASMI

    UEFA imetangaza kuwa Crystal Palace hawatashiriki EUROPA LEAGUE licha ya kufanikiwa kufuzu kushiriki mashindano hayo.

    Sababu kuu ni uwepo wa Olympique Lyonnais kwenye mashindano hayo, timu zote mbili zipo chini ya mmiliki mmoja.

    Crystal Palace atakuwa na nafasi ya kushiriki Conference League badala ya EUROPA kutokana na sheria.

    #SportsElite
    RASMI ✍️ UEFA imetangaza kuwa Crystal Palace hawatashiriki EUROPA LEAGUE licha ya kufanikiwa kufuzu kushiriki mashindano hayo. Sababu kuu ni uwepo wa Olympique Lyonnais kwenye mashindano hayo, timu zote mbili zipo chini ya mmiliki mmoja. Crystal Palace atakuwa na nafasi ya kushiriki Conference League badala ya EUROPA kutokana na sheria. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·6 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona imekamilisha usajili wa Roony Bardghji mdogo wake Rayan Bardghji ambae pia amesajiliwa dirisha hili hapo hapo Barcelona..

    Kinda huyo mwenye umri 15 ni winga wa kushoto na ataanzia kujifua La Masia.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona imekamilisha usajili wa Roony Bardghji mdogo wake Rayan Bardghji ambae pia amesajiliwa dirisha hili hapo hapo Barcelona.. Kinda huyo mwenye umri 15 ni winga wa kushoto na ataanzia kujifua La Masia. 🇸🇪 #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·12 Views
  • Boca Juniors wamemsajili tena kiungo Leandro Paredes kutoka AS Roma kwa ada ambayo haijafichuliwa!

    Paredes anarudi nyumbani alikoanzia, akiwa tayari kuipa nguvu safu ya kiungo ya Boca!

    #SportsElite
    🆕 Boca Juniors wamemsajili tena kiungo Leandro Paredes kutoka AS Roma kwa ada ambayo haijafichuliwa! 🔵🟡 Paredes anarudi nyumbani alikoanzia, akiwa tayari kuipa nguvu safu ya kiungo ya Boca! ✨🏟️ #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·5 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Ibrahima Konaté kwenda Real Madrid, uhamisho huu unamuelekeo mzuri zaidi

    Na Liverpool imekubali kumuuza mchezaji baada ya Konaté kukataa kuongeza mkataba..

    Konaté anataka kwenda Real Madrid.

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Ibrahima Konaté kwenda Real Madrid, uhamisho huu unamuelekeo mzuri zaidi🤯🤯 Na Liverpool imekubali kumuuza mchezaji baada ya Konaté kukataa kuongeza mkataba.. Konaté anataka kwenda Real Madrid. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·6 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Thiago Almada yuko mbioni kujiunga na Benfica akitokea Botafogo, na mkataba hadi 2030.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Thiago Almada yuko mbioni kujiunga na Benfica akitokea Botafogo, na mkataba hadi 2030. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·3 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Bournemouth imekamilisha usajili wa golikipa wa zamani wa Chelsea Djordje Petrović

    Petrović atafanyiwa vipimo vya kiafya wiki ijayo kwa ada ya £25m.

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Bournemouth imekamilisha usajili wa golikipa wa zamani wa Chelsea Djordje Petrović 🍒 Petrović atafanyiwa vipimo vya kiafya wiki ijayo kwa ada ya £25m. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·8 Views
  • .Exclusive kumhusu Mohammed Doumbia 🇨🇮

    ▪︎Elewa kuwa, Mohammed Doumbia amekaa nje ya kiwanja kwa zaidi ya siku 366 (wastani wa mwaka mmoja). Sababu kubwa ni mvutano mkubwa kati yake na management yake.

    ▪︎Elewa kuwa, Young Africans Sports Club hawakuwaza kabisa kumsajili Doumbia, na pengine akina Hersi Said walikuwa hawamjui kabisa. Nani aliwaunganisha.?

    ▪︎ Stephanie_aziz_ki ndiye aliyetumika kama daraja kwenye dili hili. Aliwaambia viongozi wa juu wa klabu kuwa, "kuna mchezaji mzuri; ni kiungo wa kati, anaweza kucheza kama kiungo mkabaji lakini amekaa nje ya pitch kwa muda mrefu kidogo. Kama itawezekana mnaweza kumtazama."

    ▪︎Uongozi wa klabu ukiongozwa na Mhandisi Hersi Said uliwasiliana na mchezaji na muda mchache, taratibu za kumsafirisha kuja Dar es Salaam zilianza.

    ▪︎Mohammed Doumbia alipokelewa vizuri na Uongozi. Bahati nzuri alifika siku ambayo klabu ilikuwa na session ya mazoezi jioni; Uongozi uliungana na Miloud Hamdi kumtazam Mohammed Doumbia kwenye pitch akifanya mazoezi na wenzake.

    ▪︎Kila mtu alitikisa kichwa. Kila mtu alikubali uwezo wake.! Huu ndio usajili wa kwanza kufanyika na Yanga msimu huu.

    #NB: Mohammed Doumbia, Pacome Zouzoua walienda nchini Czech Republic kwa pamoja; cha kukusisitiza ni kwamba Pacome Zouzoua alirudi Afrika, Doumbia aliendelea kukiwasha huko.
    .Exclusive kumhusu Mohammed Doumbia 🇨🇮 ▪︎Elewa kuwa, Mohammed Doumbia amekaa nje ya kiwanja kwa zaidi ya siku 366 (wastani wa mwaka mmoja). Sababu kubwa ni mvutano mkubwa kati yake na management yake. ▪︎Elewa kuwa, Young Africans Sports Club 🇹🇿 hawakuwaza kabisa kumsajili Doumbia, na pengine akina Hersi Said walikuwa hawamjui kabisa. Nani aliwaunganisha.? 👇👇 ▪︎ Stephanie_aziz_ki ndiye aliyetumika kama daraja kwenye dili hili. Aliwaambia viongozi wa juu wa klabu kuwa, "kuna mchezaji mzuri; ni kiungo wa kati, anaweza kucheza kama kiungo mkabaji lakini amekaa nje ya pitch kwa muda mrefu kidogo. Kama itawezekana mnaweza kumtazama." ▪︎Uongozi wa klabu ukiongozwa na Mhandisi Hersi Said uliwasiliana na mchezaji na muda mchache, taratibu za kumsafirisha kuja Dar es Salaam zilianza. ▪︎Mohammed Doumbia alipokelewa vizuri na Uongozi. Bahati nzuri alifika siku ambayo klabu ilikuwa na session ya mazoezi jioni; Uongozi uliungana na Miloud Hamdi kumtazam Mohammed Doumbia kwenye pitch akifanya mazoezi na wenzake. ▪︎Kila mtu alitikisa kichwa. Kila mtu alikubali uwezo wake.! Huu ndio usajili wa kwanza kufanyika na Yanga msimu huu. #NB: Mohammed Doumbia, Pacome Zouzoua walienda nchini Czech Republic 🇨🇿 kwa pamoja; cha kukusisitiza ni kwamba Pacome Zouzoua alirudi Afrika, Doumbia aliendelea kukiwasha huko. 🤔
    Like
    Love
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·40 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Ruben Van Bommel amerejea PSV Eindhoven baada ya AZ Alkmaar kumuuza tena €16M 2030.

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Ruben Van Bommel amerejea PSV Eindhoven baada ya AZ Alkmaar kumuuza tena €16M 2030. 🥶 #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·9 Views
  • 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Crystal Palace imekamilisha usajili wa beki wa kushoto Borna Sosa kutoka Ajax kwa ada £2M.

    Kwa Miaka 3

    (Source: @CPFC)

    #SportsElite
    📝 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Crystal Palace imekamilisha usajili wa beki wa kushoto Borna Sosa kutoka Ajax kwa ada £2M. Kwa Miaka 3 (Source: @CPFC) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·10 Views
  • ⚪️ RASMI: Lucas Vázquez Aondoka Real Madrid!

    Baada ya miaka mingi ya kujitoa kwa moyo wote, Lucas Vázquez hatakuwa mchezaji wa Real Madrid tena. Mkataba wake umeisha na sasa yupo huru (free agent) kujiunga na timu yoyote.

    Akiwa amehudumu kwa zaidi ya mechi 400, Lucas ametwaa mataji 23 yakiwemo: Champions League – 5
    La Liga – 4
    Supercopa, UEFA Super Cup na Club World Cup...

    Inaripotiwa kuwa Fenerbahçe ya Uturuki, klabu za MLS na Saudi Arabia tayari zimeanza mawasiliano naye.

    #SportsElite
    🇪🇸⚪️ RASMI: Lucas Vázquez Aondoka Real Madrid! Baada ya miaka mingi ya kujitoa kwa moyo wote, Lucas Vázquez hatakuwa mchezaji wa Real Madrid tena. Mkataba wake umeisha na sasa yupo huru (free agent) kujiunga na timu yoyote. 🗓️ Akiwa amehudumu kwa zaidi ya mechi 400, Lucas ametwaa mataji 23 yakiwemo: 🏆 Champions League – 5 🇪🇸 La Liga – 4 🎖️ Supercopa, UEFA Super Cup na Club World Cup... 🔜 Inaripotiwa kuwa Fenerbahçe ya Uturuki, klabu za MLS na Saudi Arabia tayari zimeanza mawasiliano naye. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·19 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Fenerbahçe iko karibu kukamilisha usajiri wa Marco Asensio kutoka Paris St Germain

    Asensio tayari amekubali ofa hiyo na mpango wa Mourinho msimu ujao
    Kinachosubiriwa ni PSG kubariki uhamisho huo

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Fenerbahçe iko karibu kukamilisha usajiri wa Marco Asensio kutoka Paris St Germain 💛💙🇹🇷 Asensio tayari amekubali ofa hiyo na mpango wa Mourinho msimu ujao Kinachosubiriwa ni PSG kubariki uhamisho huo🇪🇸🏁 #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·15 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Jordan Henderson yuko mbioni kujiunga Brentford kwa mkataba wa miaka 2, kama mchezaji huru..

    (Source: @David_Ornstein)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Jordan Henderson yuko mbioni kujiunga Brentford kwa mkataba wa miaka 2, kama mchezaji huru.. (Source: @David_Ornstein) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·6 Views
  • Yoane Wissa anashinikiza kutaka kuondoka Brentford dirisha hili. Nottingham Forest iko kwenye mazungumzo na Tottenham iko kwenye hatua nzuri zaidi sambamba na hilo pia Newcastle wao pia wanamtolea macho mchezaji huyo.

    Brentford wanahitaji £50m, lakini vilabu hivyo vinaimani kiasi hicho kitapunguzwa.

    (Source: @alex_crook)

    #SportsElite
    🚨 Yoane Wissa anashinikiza kutaka kuondoka Brentford dirisha hili. Nottingham Forest iko kwenye mazungumzo na Tottenham iko kwenye hatua nzuri zaidi sambamba na hilo pia Newcastle wao pia wanamtolea macho mchezaji huyo. 👀 Brentford wanahitaji £50m, lakini vilabu hivyo vinaimani kiasi hicho kitapunguzwa. 🤑 (Source: @alex_crook) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·9 Views
  • Klabu ya Everton imemkaribisha rasmi mshambuliaji chipukizi Thierno Barry ambaye awali alikuwa Villarreal. Barry, anayewakilisha timu ya taifa ya vijana ya Ufaransa chini ya miaka 21, sasa atakuwa sehemu ya kikosi cha Everton kwa mkataba wa miaka minne. DDiili hilo linaripotiwa harimu takribani pauni milionii 27.5.

    #SportsElite
    Klabu ya Everton imemkaribisha rasmi mshambuliaji chipukizi Thierno Barry ambaye awali alikuwa Villarreal. Barry, anayewakilisha timu ya taifa ya vijana ya Ufaransa chini ya miaka 21, sasa atakuwa sehemu ya kikosi cha Everton kwa mkataba wa miaka minne. DDiili hilo linaripotiwa harimu takribani pauni milionii 27.5. 🔵 #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·22 Views
  • Liverpool iko tayari kufungua mazungumzo na Eintracht Frankfurt kumuhitaji Hugo Ekitike, na Liverpool ipo tayari kuwapatia Darwin Núñez ili kurahisisha uhamisho..

    (Source: GiveMeSport )

    #SportsElite
    🚨 Liverpool iko tayari kufungua mazungumzo na Eintracht Frankfurt kumuhitaji Hugo Ekitike, na Liverpool ipo tayari kuwapatia Darwin Núñez ili kurahisisha uhamisho.. (Source: GiveMeSport ) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·9 Views
  • Kocha wa Fenerbahçe José Mourinho yuko mawindoni kumsaka Leandro Trossard, na Arsenal imefungua milango kwa Trossard (30)..

    (Source: Fotospor)

    #SportsElite
    🚨 Kocha wa Fenerbahçe José Mourinho yuko mawindoni kumsaka Leandro Trossard, na Arsenal imefungua milango kwa Trossard (30).. (Source: Fotospor) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·9 Views
  • 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Morgan Gibbs-White rasmi amekamilisha uhamisho kwenda Tottenham Hotspur kutoka Nottingham Forest kwa ada ya €67M, hadi 2031.
    #Ads

    #SportsElite
    🚨 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Morgan Gibbs-White rasmi amekamilisha uhamisho kwenda Tottenham Hotspur kutoka Nottingham Forest kwa ada ya €67M, hadi 2031. #Ads #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·5 Views
  • | BREAKING

    Newcastle united wameingia kwenye mbio za kumuwania mshambuliaji wa Manchester city, Jack Grealish mwenye umri wa miaka 29.

    Manchester city wanahitaji kumuuza Grealish kwa dau la £40 million baada ya wao kumsajili Kwa £100 million mwaka 2021.

    Tofauti na Newcastle pia kuna West Ham na Totenham ambao wapo kwenye mbio za kumuwania Grealish.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING Newcastle united wameingia kwenye mbio za kumuwania mshambuliaji wa Manchester city, Jack Grealish mwenye umri wa miaka 29. Manchester city wanahitaji kumuuza Grealish kwa dau la £40 million baada ya wao kumsajili Kwa £100 million mwaka 2021. Tofauti na Newcastle pia kuna West Ham na Totenham ambao wapo kwenye mbio za kumuwania Grealish. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·21 Views
  • Real Betis bado inashinikiza kumuhitaji Antony kutoka Manchester United, Betis imemuomba Antony apunguze kiasi cha mshahara wake ili iweze kukamilisha usajili wa kudumu..

    (Source: Diario Sport)

    #SportsElite
    🚨 Real Betis bado inashinikiza kumuhitaji Antony kutoka Manchester United, Betis imemuomba Antony apunguze kiasi cha mshahara wake ili iweze kukamilisha usajili wa kudumu.. (Source: Diario Sport) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·9 Views
Arama Sonuçları