• Miaka mitatu iliyopita, Ancelotti alisafiri mpaka jijini Manchester kumfuata Pep Guardiola ili kumuuliza kuhusu sababu ya mafanikio yake na City.

    Guardiola alimuambia kuwa sababu ya mafanikio yake ni kwamba anafanya kazi na wachezaji wenye akili, kisha alimuita De Bruyne kuthibitisha kwa Ancelotti.

    Alimuuliza De Bruyne, "Ni nani mtoto wa wazazi wako, lakini siyo kaka au dada zako?"
    De Bruyne akajibu, "Mimi."

    Ancelotti aliporudi Madrid akamuita Mendy, akamuuliza swali lile lile "Ni nani mtoto wa wazazi wako lakini siyo kaka au dada zako?"

    Mendy akasema, "Ngoja kidogo," akaenda kumuuliza Modriฤ‡. Modriฤ‡ akajibu, "Mimi."

    Mendy akarudi kwa Ancelotti na kumwambia jibu ni "Modriฤ‡."

    Ancelotti akasema, "Umekosa jibu ni ni De Bruyne."

    #SportsElite
    Miaka mitatu iliyopita, Ancelotti alisafiri mpaka jijini Manchester kumfuata Pep Guardiola ili kumuuliza kuhusu sababu ya mafanikio yake na City. Guardiola alimuambia kuwa sababu ya mafanikio yake ni kwamba anafanya kazi na wachezaji wenye akili, kisha alimuita De Bruyne kuthibitisha kwa Ancelotti. Alimuuliza De Bruyne, "Ni nani mtoto wa wazazi wako, lakini siyo kaka au dada zako?" De Bruyne akajibu, "Mimi." Ancelotti aliporudi Madrid akamuita Mendy, akamuuliza swali lile lile "Ni nani mtoto wa wazazi wako lakini siyo kaka au dada zako?" Mendy akasema, "Ngoja kidogo," akaenda kumuuliza Modriฤ‡. Modriฤ‡ akajibu, "Mimi." Mendy akarudi kwa Ancelotti na kumwambia jibu ni "Modriฤ‡." Ancelotti akasema, "Umekosa jibu ni ni De Bruyne."๐Ÿคฃ ๐Ÿ˜‚ #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท306 Views
  • Mlinzi wa kushoto wa Bayern Munich Alphonso Davies akielezea namna anavyojiona amepoteza uhuru wake baada ya kuwa mchezaji professional

    “Nipo mbali na familia yangu , siishi na girlfriend wangu marafiki zangu hawafiki watano yote haya yananifanya nijione nimepoteza kila kitu kwenye maisha”

    “Maisha ya kuwa mchezaji ni magumu sana ,kuna muda baada ya mazoezi unatakiwa kulala na sio kufanya chochote”

    Mpira wa miguu ni mchezo unaohitaji kujitoa sana hasa unapokuwa professional , ili kuishi mpira unavyotaka basi ni lazima uipe mgongo dunia na hiko ndicho anachopitia Davies hadi kujiona amepoteza kila kitu , imagine pesa unayo ya kutosha ila unapangiwa vitamu usile

    #SportsElite
    Mlinzi wa kushoto wa Bayern Munich Alphonso Davies akielezea namna anavyojiona amepoteza uhuru wake baada ya kuwa mchezaji professional “Nipo mbali na familia yangu , siishi na girlfriend wangu marafiki zangu hawafiki watano yote haya yananifanya nijione nimepoteza kila kitu kwenye maisha” “Maisha ya kuwa mchezaji ni magumu sana ,kuna muda baada ya mazoezi unatakiwa kulala na sio kufanya chochote” Mpira wa miguu ni mchezo unaohitaji kujitoa sana hasa unapokuwa professional , ili kuishi mpira unavyotaka basi ni lazima uipe mgongo dunia na hiko ndicho anachopitia Davies hadi kujiona amepoteza kila kitu , imagine pesa unayo ya kutosha ila unapangiwa vitamu usile #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท437 Views
  • Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG).

    Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza.

    Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa?

    FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE
    Ureno 2-2 Uhispania (P 5-3)
    Mendes
    Ronaldo

    Zubimendi
    Oyarzabal

    #UCL
    Barcelona 1-2 PSG
    19' Torres
    38' Mayulu( Mendes)
    90' Ramos ( Hakimi)


    #SportsElite
    Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG). Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza. โœ๏ธ Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa? FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE Ureno ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น 2-2 ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Uhispania (P 5-3) โšฝ Mendes โšฝ Ronaldo โšฝ Zubimendi โšฝ Oyarzabal #UCL Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 1-2 ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท PSG โšฝ 19' Torres โšฝ 38' Mayulu(๐Ÿ…ฐ๏ธ Mendes) โšฝ 90' Ramos (๐Ÿ…ฐ๏ธ Hakimi) #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท480 Views
  • Alexander Isak akizungumza baada ya mchezo:

    “Nadhani hatukuanza mchezo vizuri, lakini tulijaribu kurejea taratibu na kuingia kwenye mchezo. Tuliporejea kipindi cha pili, tulijitahidi kwa nguvu zote kutafuta matokeo. Mwishowe, ni jambo gumu kukubali kufungwa dakika za mwisho namna hiyo.”

    #SportsElite
    Alexander Isak akizungumza baada ya mchezo: “Nadhani hatukuanza mchezo vizuri, lakini tulijaribu kurejea taratibu na kuingia kwenye mchezo. Tuliporejea kipindi cha pili, tulijitahidi kwa nguvu zote kutafuta matokeo. Mwishowe, ni jambo gumu kukubali kufungwa dakika za mwisho namna hiyo.” #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท358 Views
  • Timu ya Argentina's wamezindua jezi ya ugenini itakayotumika katika kombe la dunia 2026


    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐Ÿšจ ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ทTimu ya Argentina's wamezindua jezi ya ugenini itakayotumika katika kombe la dunia 2026 #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท276 Views
  • Leonardo Bonucci : " Nilipokabiliana na Messi kwenye Fainali ya 2022, nilimpongeza kwa kushinda Copa America na nikamwambia, "Messi, unastahili. Ulijitolea kwa ajili ya Argentina. Sasa huna chochote cha kuthibitisha kwa ulimwengu. Umeshinda kila kitu kwenye soka. Unaweza kustaafu ukiwa na amani ya akili.”

    Alitabasamu na kuniambia, "Nilifanya hivi kwa ajili ya nchi yangu, si kwa ajili yangu mwenyewe. Ni hayo tu. Sifikirii kuhusu mafanikio ya mtu binafsi zaidi ya mataji ya nchi yangu, lakini ikiwa sitashinda Kombe la Dunia, sitastaafu." [Anacheka] Kwa hivyo nikamwambia, "Umefanya kila kitu kwenye soka. Hata kama hutashinda Kombe la Dunia, wewe ni mchezaji bora zaidi katika historia."

    Lakini baada ya Messi kushinda Kombe la Dunia, niliiambia familia yangu, "Hii ni haki ya mpira wa miguu. Messi anastahili kuwa na Kombe la Dunia zaidi ya moja kwa sababu ya muujiza wa soka aliofanya na jinsi ulimwengu ulivyofurahia kile alichokifanya. Nikikutana naye tena, nitamwambia, "Sasa unaweza kustaafu na utulivu wa akili." Hata neno bora katika historia halitoshi kwa Messi."

    #SportsElite
    ๐ŸŽ™๏ธLeonardo Bonucci๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น : " Nilipokabiliana na Messi kwenye Fainali ya 2022, nilimpongeza kwa kushinda Copa America na nikamwambia, "Messi, unastahili. Ulijitolea kwa ajili ya Argentina. Sasa huna chochote cha kuthibitisha kwa ulimwengu. Umeshinda kila kitu kwenye soka. Unaweza kustaafu ukiwa na amani ya akili.” Alitabasamu na kuniambia, "Nilifanya hivi kwa ajili ya nchi yangu, si kwa ajili yangu mwenyewe. Ni hayo tu. Sifikirii kuhusu mafanikio ya mtu binafsi zaidi ya mataji ya nchi yangu, lakini ikiwa sitashinda Kombe la Dunia, sitastaafu." [Anacheka] Kwa hivyo nikamwambia, "Umefanya kila kitu kwenye soka. Hata kama hutashinda Kombe la Dunia, wewe ni mchezaji bora zaidi katika historia." Lakini baada ya Messi kushinda Kombe la Dunia, niliiambia familia yangu, "Hii ni haki ya mpira wa miguu. Messi anastahili kuwa na Kombe la Dunia zaidi ya moja kwa sababu ya muujiza wa soka aliofanya na jinsi ulimwengu ulivyofurahia kile alichokifanya. Nikikutana naye tena, nitamwambia, "Sasa unaweza kustaafu na utulivu wa akili." Hata neno bora katika historia halitoshi kwa Messi." #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท494 Views
  • Viwanjani : Kutokana na kuwepo kwa baadhi ya taarifa za Kocha wa Simba kutokuwa na leseni ya Kuifundisha simba kama Kocha mkuu hili ndilo la Kocha Dimitr Puntev, Meneja Mkuu wa Simba akijibu swali la Waandishi wa habari jana Airport.

    “Kama kisheria sina leseni ya kukidhi kufundisha kama Kocha Mkuu basi huenda wakanitumia kama Mtunza Vifaa sijui sana ila nadhani hilo swali aulizwe Rais wa Klabu”

    #SportsElite
    Viwanjani โšฝ ๐Ÿ“ธ: Kutokana na kuwepo kwa baadhi ya taarifa za Kocha wa Simba kutokuwa na leseni ya Kuifundisha simba kama Kocha mkuu hili ndilo la Kocha Dimitr Puntev, Meneja Mkuu wa Simba akijibu swali la Waandishi wa habari jana Airport. “Kama kisheria sina leseni ya kukidhi kufundisha kama Kocha Mkuu basi huenda wakanitumia kama Mtunza Vifaa sijui sana ila nadhani hilo swali aulizwe Rais wa Klabu” #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท364 Views
  • Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili .

    Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji .

    Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi"

    Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema .

    Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake

    #SportsElite
    Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili ๐Ÿ˜Ž. Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji . Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi" Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…. Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท443 Views
  • Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona:

    "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."

    "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu.

    #SportsElite
    Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona: ๐Ÿ—ฃ๏ธ "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."๐Ÿคฏโค๏ธ ๐Ÿ—ฃ๏ธ "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu. #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท439 Views
  • Baji App (BajiPK) offers an online platform for sports betting and casino gaming where legally permitted in Pakistan, India, and Bangladesh. Accessible via the VPBet App or website, it provides a range of options including sports markets, live casino games, and promotional offers.

    User-Friendly Experience: Simple registration and an intuitive interface.
    Secure Transactions: Fast and reliable deposit and withdrawal methods.
    Bonuses & Promotions: Welcome offers and ongoing promotions for registered users.
    Download the VPBet App or visit the BajiPK website to explore the platform.

    Web: https://bajipk.com
    Baji App (BajiPK) offers an online platform for sports betting and casino gaming where legally permitted in Pakistan, India, and Bangladesh. Accessible via the VPBet App or website, it provides a range of options including sports markets, live casino games, and promotional offers. User-Friendly Experience: Simple registration and an intuitive interface. Secure Transactions: Fast and reliable deposit and withdrawal methods. Bonuses & Promotions: Welcome offers and ongoing promotions for registered users. Download the VPBet App or visit the BajiPK website to explore the platform. Web: https://bajipk.com
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท502 Views
  • Muda wa kupona jeraha la paja la kulia la Neymar Jr. (rectus femoris) linaweza kuanzia wiki 4 hadi 12. Kwa hivyo, Ney hatakuwepo kwa Timu ya Taifa ya Brazil kwa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Oktoba na pia anaweza kukosa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Novemba pia.

    Neymar Jr Zisingekuwa Injari nyingi Jamaa ni Fundi WA mpila Sana aiseee Tungefurahi Sana ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ

    Source: TNTSsportsBR
    ๐Ÿšจ๐Ÿšจโš ๏ธโ€ผ๏ธ Muda wa kupona jeraha la paja la kulia la Neymar Jr. (rectus femoris) linaweza kuanzia wiki 4 hadi 12. Kwa hivyo, Ney hatakuwepo kwa Timu ya Taifa ya Brazil kwa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Oktoba na pia anaweza kukosa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Novemba pia. ๐Ÿ˜ฌ Neymar Jr Zisingekuwa Injari nyingi Jamaa ni Fundi WA mpila Sana aiseee Tungefurahi Sana ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ Source: โ„น๏ธTNTSsportsBR
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท361 Views
  • Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini.

    WAFUNGAJI :
    Feitoto
    Kitambala

    #SportsElite
    Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini. WAFUNGAJI : โšฝ Feitoto โšฝ Kitambala #SportsElite
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท406 Views
  • Kazi imekwisha sasa muda wa kupumzika Mungu akitujaalia tutaonana kesho msichoke Kunisapoti tuzidi kupasua Anga.

    #SportsElite
    โœ๏ธ Kazi imekwisha sasa muda wa kupumzika Mungu akitujaalia tutaonana kesho msichoke Kunisapoti tuzidi kupasua Anga. ๐Ÿ™ #SportsElite
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท311 Views
  • ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : CAF Champions League

    GABORONE UNITED 0๏ธโƒฃโž–๏ธ1๏ธโƒฃ SIMBA SPORTS CLUB
    โšฝ๏ธ 16" Mpanzu
    ๐Ÿšฉ ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : CAF Champions League GABORONE UNITED ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ 0๏ธโƒฃโž–๏ธ1๏ธโƒฃ SIMBA SPORTS CLUB ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ โšฝ๏ธ 16" Mpanzu
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท226 Views
  • ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : CAF Confederation Cup

    RAYON SPORTS 0๏ธโƒฃโž–๏ธ1๏ธโƒฃ SINGIDA BLACK STARS
    โšฝ๏ธ 22" Tchakei
    ๐Ÿšฉ ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : CAF Confederation Cup RAYON SPORTS ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ 0๏ธโƒฃโž–๏ธ1๏ธโƒฃ SINGIDA BLACK STARS ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ โšฝ๏ธ 22" Tchakei
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท282 Views
  • Alexander Anord huwenda akawa nje ya uwanja zaidi ya wiki 6-8 baada ya kuwa majeruhii.

    #SportsElite
    ๐ŸšจAlexander Anord huwenda akawa nje ya uwanja zaidi ya wiki 6-8 baada ya kuwa majeruhii. #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท413 Views
  • Manchester United Yavunja Rekodi ya Mapato ya £666.5m, Licha ya Kukosa Ligi ya Mabingwa Ulaya

    Manchester United imetangaza mapato ya rekodi ya £666.5 milioni kwa mwaka wa fedha 2025, licha ya kutoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UCL). Hata hivyo, klabu hiyo imerekodi hasara ya uendeshaji ya £18.4 milioni, ikilinganishwa na hasara kubwa zaidi ya £69.3 milioni mwaka 2024.

    Kiasi cha £36.6 milioni kilitumiwa kama gharama maalum, ikiwemo kuondoka kwa aliyekuwa meneja Erik ten Hag pamoja na benchi lake la ufundi.

    United pia imeweka historia kwa kupata mapato ya juu zaidi ya siku za mechi, yaliyoongezeka kwa 17%, kutokana na mauzo makubwa ya tiketi na uanachama. Aidha, klabu ilipata mapato ya juu zaidi ya kibiashara, yaliyoongezeka kwa 10%, kutokana na ushirikiano mpya wa jezi kuu na kampuni ya teknolojia Snapdragon.

    Kwa mwaka wa fedha 2026, klabu hiyo imeweka makadirio ya mapato kati ya £640 milioni na £660 milioni, huku EBITDA iliyorekebishwa ikitarajiwa kuwa kati ya £180 milioni na £200 milioni.

    Afisa Mtendaji Mkuu, Omar Berrada, alisema kuwa klabu inaendelea na mikakati ya muda mrefu ndani na nje ya uwanja:

    > "Tunafurahishwa na wachezaji wapya tulioongeza kwenye vikosi vyetu vya wanaume na wanawake. Nje ya uwanja, tunapitia mabadiliko ya kiuongozi na kimuundo, na sasa tuna taasisi iliyo tayari kufanikisha malengo yetu. Kupunguza gharama kutatupa nafasi kubwa ya kuboresha matokeo ya kifedha, jambo litakalosaidia kipaumbele chetu kikuu — mafaanikio uwanjani."

    Manchester United sasa ina matumaini kwamba mafanikio ya kifedha yatasaidia kurejesha ubingwa na heshima uwanjani.

    #SportsElite
    โšฝ Manchester United Yavunja Rekodi ya Mapato ya £666.5m, Licha ya Kukosa Ligi ya Mabingwa Ulaya Manchester United imetangaza mapato ya rekodi ya £666.5 milioni kwa mwaka wa fedha 2025, licha ya kutoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UCL). Hata hivyo, klabu hiyo imerekodi hasara ya uendeshaji ya £18.4 milioni, ikilinganishwa na hasara kubwa zaidi ya £69.3 milioni mwaka 2024. Kiasi cha £36.6 milioni kilitumiwa kama gharama maalum, ikiwemo kuondoka kwa aliyekuwa meneja Erik ten Hag pamoja na benchi lake la ufundi. United pia imeweka historia kwa kupata mapato ya juu zaidi ya siku za mechi, yaliyoongezeka kwa 17%, kutokana na mauzo makubwa ya tiketi na uanachama. Aidha, klabu ilipata mapato ya juu zaidi ya kibiashara, yaliyoongezeka kwa 10%, kutokana na ushirikiano mpya wa jezi kuu na kampuni ya teknolojia Snapdragon. Kwa mwaka wa fedha 2026, klabu hiyo imeweka makadirio ya mapato kati ya £640 milioni na £660 milioni, huku EBITDA iliyorekebishwa ikitarajiwa kuwa kati ya £180 milioni na £200 milioni. Afisa Mtendaji Mkuu, Omar Berrada, alisema kuwa klabu inaendelea na mikakati ya muda mrefu ndani na nje ya uwanja: > "Tunafurahishwa na wachezaji wapya tulioongeza kwenye vikosi vyetu vya wanaume na wanawake. Nje ya uwanja, tunapitia mabadiliko ya kiuongozi na kimuundo, na sasa tuna taasisi iliyo tayari kufanikisha malengo yetu. Kupunguza gharama kutatupa nafasi kubwa ya kuboresha matokeo ya kifedha, jambo litakalosaidia kipaumbele chetu kikuu — mafaanikio uwanjani." ๐Ÿ“Œ Manchester United sasa ina matumaini kwamba mafanikio ya kifedha yatasaidia kurejesha ubingwa na heshima uwanjani. #SportsElite
    Like
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท666 Views
  • OFFICIAL Coady Gakpo ameongeza mkataba wa miaka miwili na nusu kubakia Liverpool hadi 2029.

    Source Fabrizio

    #SportsElite
    ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑโœ๏ธOFFICIAL Coady Gakpo ameongeza mkataba wa miaka miwili na nusu kubakia Liverpool hadi 2029.๐Ÿ” Source Fabrizio #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท675 Views
  • Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    ๐Ÿ’ฐ๐Ÿšจ Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ๐Ÿ”ต Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท627 Views
  • ๐‡๐„๐‘๐„ ๐–๐„ ๐†๐Ž : ๐‘๐š๐ฌ๐ฆ๐ฎ๐ฌ ๐‡๐จ๐ฃ๐ฅ๐ฎ๐ง๐ ๐ญ๐จ ๐’๐’๐‚ ๐๐š๐ฉ๐จ๐ฅ๐ข

    BREAKING SSC Napoli imefikia makubaliano kamili na Man United kumsajili Rasmus Højlund kwa mkopo wa €6m na chaguo la kumsajili kwa ada ya €44m.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ ๐‡๐„๐‘๐„ ๐–๐„ ๐†๐Ž : ๐‘๐š๐ฌ๐ฆ๐ฎ๐ฌ ๐‡๐จ๐ฃ๐ฅ๐ฎ๐ง๐ ๐ญ๐จ ๐’๐’๐‚ ๐๐š๐ฉ๐จ๐ฅ๐ข ๐ŸšจBREAKING SSC Napoli imefikia makubaliano kamili na Man United kumsajili Rasmus Højlund kwa mkopo wa €6m na chaguo la kumsajili kwa ada ya €44m. ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท746 Views
Pagine in Evidenza