-
Victor Boniface: ๐ "Kuidharau mili yenu na kupoteza pesa zenu kwa wanawake wengi hakutawapeleka popote maishani"
"Sijui ni lini mtakuwa na hekima. Tafuteni mwanamke mmoja, au wawili, mkae nao vizuri! Ama Watatu na kama unapitia wakati mgumu sana, basi wanne wanakubalika."
Iman Sport NewsVictor Boniface: ๐ณ๐ฌ๐ "Kuidharau mili yenu na kupoteza pesa zenu kwa wanawake wengi hakutawapeleka popote maishani" "Sijui ni lini mtakuwa na hekima. Tafuteni mwanamke mmoja, au wawili, mkae nao vizuri! Ama Watatu na kama unapitia wakati mgumu sana, basi wanne wanakubalika." Iman Sport News -
Rúben Amorim kuhusu Casemiro: "Anajisikia vibaya zaidi kuliko mimi. Tulishinda, kwa hivyo nitasahau kidogo, lakini atateseka kwa sababu ni mtaalamu mzuri. Anaelewa alichokifanya. Ana uzoefu wa kutosha kujua kwamba hakupaswa kucheza hivyo."Rúben Amorim kuhusu Casemiro: "Anajisikia vibaya zaidi kuliko mimi. Tulishinda, kwa hivyo nitasahau kidogo, lakini atateseka kwa sababu ni mtaalamu mzuri. Anaelewa alichokifanya. Ana uzoefu wa kutosha kujua kwamba hakupaswa kucheza hivyo."0 Commenti ยท0 condivisioni ยท149 Views
-
-
๐๐ ๐ ๐๐๐๐๐ | Sydney FC wamekatisha mkataba wa Douglas Costa kupitia makubaliano ya pande zote mbili.
Taarifa: "Winga huyo hawezi kusafiri hadi Australia. Mambo ya kisheria na ya kibinafsi yanayoendelea katika nchi yake yamemzuia Mbrazil huyo kuondoka."
FOLLOW US๐จ๐ง๐ท ๐๐ ๐ ๐๐๐๐๐ | Sydney FC wamekatisha mkataba wa Douglas Costa kupitia makubaliano ya pande zote mbili. โ๏ธโ Taarifa: "Winga huyo hawezi kusafiri hadi Australia. Mambo ya kisheria na ya kibinafsi yanayoendelea katika nchi yake yamemzuia Mbrazil huyo kuondoka." FOLLOW US -
Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki ilimpa Filipe Luis mara 10 ya mshahara wake wa sasa, lakini akaukataa
Alisema anataka kutimiza ahadi yake na Flamengo kwa sasa. ๐ซก Tayari ana mipango ya kazi yake—ana ndoto ya kufundisha Ulaya, lakini si hivi sasa.
FOLLOW US๐จ ๐ง๐ท Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki ilimpa Filipe Luis mara 10 ya mshahara wake wa sasa, lakini akaukataa โ Alisema anataka kutimiza ahadi yake na Flamengo kwa sasa. ๐ซก Tayari ana mipango ya kazi yake—ana ndoto ya kufundisha Ulaya, lakini si hivi sasa. ๐ FOLLOW US -
| Rodri juu ya ushindani wa "maalum" wa Arsenal / Man City: "Sikudhani ilikuwa hapo awali, lakini katika miaka michache iliyopita tulikuwa washindani wa taji, kwa hivyo ndio [ni maalum]. "
Bila shaka, kwa sababu tulikuwa na wachezaji waliocheza hapa, [na] wamekwenda Arsenal. Mikel [Arteta] alikuwa hapa [kama sehemu ya wahudumu wa Guardiola] na akaenda huko na ikawa kubwa zaidi.
"Tuko kwenye mdundo hivi sasa ambapo wako katika nafasi nzuri na wako kwenye kiwango bora zaidi kwa hivyo ikiwa tunataka kuendelea kupigana nao, lazima tuongeze kiwango, ni dhahiri.
"Tunajua kuwa ni mwanzo wa msimu ambapo tutacheza kadri tuwezavyo ili kurudisha kiwango hicho."
Source ::[@ManCity]
FOLLOW US๐ฃ๏ธ| Rodri juu ya ushindani wa "maalum" wa Arsenal / Man City: "Sikudhani ilikuwa hapo awali, lakini katika miaka michache iliyopita tulikuwa washindani wa taji, kwa hivyo ndio [ni maalum]. " Bila shaka, kwa sababu tulikuwa na wachezaji waliocheza hapa, [na] wamekwenda Arsenal. Mikel [Arteta] alikuwa hapa [kama sehemu ya wahudumu wa Guardiola] na akaenda huko na ikawa kubwa zaidi. "Tuko kwenye mdundo hivi sasa ambapo wako katika nafasi nzuri na wako kwenye kiwango bora zaidi kwa hivyo ikiwa tunataka kuendelea kupigana nao, lazima tuongeze kiwango, ni dhahiri. "Tunajua kuwa ni mwanzo wa msimu ambapo tutacheza kadri tuwezavyo ili kurudisha kiwango hicho." Source ::[@ManCity] FOLLOW US -
SACKED
Fadlu Davids ameondoka Simba SC
Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa.
Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania.
FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo.
Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola
Thank you Fadlu
Ozil Kiiza Morris
Kita A KitaSACKED Fadlu Davids ameondoka Simba SC Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa. โ๏ธ Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania. FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo. Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola Thank you Fadlu Ozil Kiiza Morris Kita A Kita -
Jini ni mchezaji mzuri,miguu yake ina shabaha haswaa,kwenye ubora wake anaweza kuamuwa mechi yoyote Ila kusema ukweli Msimu huu bado sijamuona Jini.
Yuko Down sana,fitness Yake bado Siyo nzuri,ile confidence ya ku-risk mbele ya goli iko chini sana hata work rate Yake imepungua.
Mbaya zaidi Fadlu humwambii chochote kwa Jini Kwani anaamini huyu ndo Süper star wa Simba hivyo hata acheze vibaya atabaki uwanjani….kwa kifupi Jini wa Fadlu ni untouchable
Hans RafaelJini ni mchezaji mzuri,miguu yake ina shabaha haswaa,kwenye ubora wake anaweza kuamuwa mechi yoyote Ila kusema ukweli Msimu huu bado sijamuona Jini. Yuko Down sana,fitness Yake bado Siyo nzuri,ile confidence ya ku-risk mbele ya goli iko chini sana hata work rate Yake imepungua. Mbaya zaidi Fadlu humwambii chochote kwa Jini Kwani anaamini huyu ndo Süper star wa Simba hivyo hata acheze vibaya atabaki uwanjani….kwa kifupi Jini wa Fadlu ni untouchable ๐๏ธ Hans Rafael -
Zlatan Ibrahimovic: "Katika Inter Milan, kulikuwa na sheria hii: ukipoteza michezo miwili mfululizo, mishahara yako ya kila wiki itacheleweshwa hadi tutakapofanya sawa. Lakini sheria hiyo ilivunjwa na Mario Balotelli.
Tulipoteza kombe na mechi ya Seria A ndani ya siku tatu. Sote tulijua mishahara yetu ya kila wiki ingecheleweshwa. Wakati wa mazoezi, Balotelli hakupatikana popote. Mourinho alimpigia simu bila mafanikio.
Dakika 30 baadaye, rais alikuja na Balotelli akiwa amekasirika na kutuambia, ‘Je, Mario anaweza kusoma Kiitaliano?’.. tukasema ‘Ndiyo’ .. lakini alikuja ofisini kwangu kutafuta pesa zake. Nikamwambia ni kushindwa mara mbili mfululizo na ni kucheleweshwa kwa mshahara. Aliniambia, Yeye hajali ikiwa ni 100 mfululizo; anataka malipo yake tu. Kuanzia leo nitawalipa na kuwaachilia wote mkitenda kama yeye”
Tulilipwa kwa mara ya kwanza baada ya hasara mbili mfululizo. Tulianza kumpasia mpira zaidi ili kufunga kwa sababu alikuwa bora kuliko rais.”
FOLLOW US๐๏ธZlatan Ibrahimovic: "Katika Inter Milan, kulikuwa na sheria hii: ukipoteza michezo miwili mfululizo, mishahara yako ya kila wiki itacheleweshwa hadi tutakapofanya sawa. Lakini sheria hiyo ilivunjwa na Mario Balotelli. Tulipoteza kombe na mechi ya Seria A ndani ya siku tatu. Sote tulijua mishahara yetu ya kila wiki ingecheleweshwa. Wakati wa mazoezi, Balotelli hakupatikana popote. Mourinho alimpigia simu bila mafanikio. Dakika 30 baadaye, rais alikuja na Balotelli akiwa amekasirika na kutuambia, ‘Je, Mario anaweza kusoma Kiitaliano?’.. tukasema ‘Ndiyo’ .. lakini alikuja ofisini kwangu kutafuta pesa zake. Nikamwambia ni kushindwa mara mbili mfululizo na ni kucheleweshwa kwa mshahara. Aliniambia, Yeye hajali ikiwa ni 100 mfululizo; anataka malipo yake tu. Kuanzia leo nitawalipa na kuwaachilia wote mkitenda kama yeye” Tulilipwa kwa mara ya kwanza baada ya hasara mbili mfululizo. Tulianza kumpasia mpira zaidi ili kufunga kwa sababu alikuwa bora kuliko rais.” FOLLOW US -
Ameandika Mtangazaji wa kabumbu Nazareth Upete
Sikutaka kuandika update yoyote ya Fadlu kwa Jana kwa sababu Simba walikuwa na mechi ngumu, muhimu na serious zaidi ambayo isingekuwa vyema kuandika chochote chenye mapelekeo yoyote hasi kwa mtu yoyote anayehusiana na Simba SC.
THE SAGA…!
Tarehe 07/09 siku 3 kabla ya Simba Day kuna mtu ninayemwamini sana kutoka Morocco alinipatia taarifa ya Fadlu kuridhiana na klabu ya Raja Casablanca kwenda kuhudumu hapo…!
Pamoja na kutoachana vyema sana na Raja akiwa Kocha msaidizi haikuwarudisha nyuma huku inaelezwa Wydad pia waliulizia upatikanaji wake lakini mkataba wa Raja ulikuwa na sababu nyingi za kuridhiwa kuliko kukataliwa.
Tarehe 11 baada ya Simba Day, Wydad walikuwa serious kuulizia taarifa za Fadlu kwa baadhi ya watu hususani mwenendo wake kwenye maeneo yote ya msingi…! Wakataka kuingilia kati deal.
Bado Ofa ya Raja ikasimama kiume…! Fadlu yupo tayari kuibeba Ofa ya Raja na project yao ya #BringBackCasablancaโฝ๏ธ
Wakati hali ikiwa hivyo inaelezwa mmoja wa wasaidizi wake anataka kusalia Msimbazi akiamini project yao italipa punde!
Inaelezwa Fadlu anahisi kuna vitu havipo sawa na zigo la lawama analitupa kwa uongozi wa timu huku yeye akitafuta mlango wa kutokea!
Kwa sasa kuna urafiki wa mashaka baina ya pande mbili na Simba wamefanya kila kitu kumbakisha ila msimamo wa Fadlu umebebwa mazima na Ofa za waManga pale Morocco
95% mechi ya Jana ilikuwa ya mwisho kwa Fadlu kama Kocha wa Simba na sasa kilichobaki ni yeye tu awalipe Simba SC kuvunja mkataba ingali analazimisha wamruhusu aende Free!
MTAZAMO WANGU!?
Simba hawatakuwa na Pengo kuondoka kwa Fadlu…! Amefanya kazi nzuri ila makocha ni wengi sana barani Afrika! Kikubwa ni kutuliza Kichwa wakati wa uchaguzi wa Kocha na kuachana na % za maslahi.
Fadlu ni Kocha mzuri ila kwa mtazamo wangu pengo linazibika…! Bahati nzuri hajacheza mechi yoyote ya Ligi…! Yoyote atakayekuja ni rahisi tu kuendeleza kitu bora kwa sababu wachezaji Quality yao sio ya kubeza!
Salaaam!Ameandika Mtangazaji wa kabumbu Nazareth Upete โ๏ธ Sikutaka kuandika update yoyote ya Fadlu kwa Jana kwa sababu Simba walikuwa na mechi ngumu, muhimu na serious zaidi ambayo isingekuwa vyema kuandika chochote chenye mapelekeo yoyote hasi kwa mtu yoyote anayehusiana na Simba SC. THE SAGA…! Tarehe 07/09 siku 3 kabla ya Simba Day kuna mtu ninayemwamini sana kutoka Morocco alinipatia taarifa ya Fadlu kuridhiana na klabu ya Raja Casablanca kwenda kuhudumu hapo…! Pamoja na kutoachana vyema sana na Raja akiwa Kocha msaidizi haikuwarudisha nyuma huku inaelezwa Wydad pia waliulizia upatikanaji wake lakini mkataba wa Raja ulikuwa na sababu nyingi za kuridhiwa kuliko kukataliwa. Tarehe 11 baada ya Simba Day, Wydad walikuwa serious kuulizia taarifa za Fadlu kwa baadhi ya watu hususani mwenendo wake kwenye maeneo yote ya msingi…! Wakataka kuingilia kati deal. Bado Ofa ya Raja ikasimama kiume…! Fadlu yupo tayari kuibeba Ofa ya Raja na project yao ya #BringBackCasablancaโฝ๏ธ Wakati hali ikiwa hivyo inaelezwa mmoja wa wasaidizi wake anataka kusalia Msimbazi akiamini project yao italipa punde! Inaelezwa Fadlu anahisi kuna vitu havipo sawa na zigo la lawama analitupa kwa uongozi wa timu huku yeye akitafuta mlango wa kutokea! Kwa sasa kuna urafiki wa mashaka baina ya pande mbili na Simba wamefanya kila kitu kumbakisha ila msimamo wa Fadlu umebebwa mazima na Ofa za waManga pale Morocco โ๏ธ 95% mechi ya Jana ilikuwa ya mwisho kwa Fadlu kama Kocha wa Simba na sasa kilichobaki ni yeye tu awalipe Simba SC kuvunja mkataba ingali analazimisha wamruhusu aende Free! MTAZAMO WANGU!? Simba hawatakuwa na Pengo kuondoka kwa Fadlu…! Amefanya kazi nzuri ila makocha ni wengi sana barani Afrika! Kikubwa ni kutuliza Kichwa wakati wa uchaguzi wa Kocha na kuachana na % za maslahi. Fadlu ni Kocha mzuri ila kwa mtazamo wangu pengo linazibika…! Bahati nzuri hajacheza mechi yoyote ya Ligi…! Yoyote atakayekuja ni rahisi tu kuendeleza kitu bora kwa sababu wachezaji Quality yao sio ya kubeza! Salaaam! -
-
RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025
13:30 - SS Lazio AS Roma
15:00 - Rayo Vallecano Celta Vigo
15:30 - PSV Eindhoven Ajax
16:00 - Torino FC Atalanta BC
16:00 - Sunderland Aston Villa
16:00 - Bournemouth Newcastle United
16:00 - Mashujaa FC Mtibwa Sugar
16:30 - Frankfurt Union Berlin
17:15 - Real Mallorca Atletico Madrid
17:30 - Partick Thistle Celtic FC
17:45 - Az Alkmaar Feyenoord
18:15 - AS Monaco Metz
18:30 - Bayer Leverkusen M'gladbach
18:30 - Arsenal FC Manchester City
19:00 - Namungo FC Tanzania Prisons
19:00 - Fiorentina Como FC
20:00 - Kasimpasa Fenerbahce FK
20:30 - Dortmund Wolfsburg
21:45 - Inter Milan Sassuolo
21:45 - Marseille Paris Saint Germain
22:00 - Barcelona Getafe FC๐จ RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025 ๐ฎ๐น 13:30 - SS Lazio โ๏ธ AS Roma ๐ช๐ธ 15:00 - Rayo Vallecano โ๏ธ Celta Vigo ๐ณ๐ฑ 15:30 - PSV Eindhoven โ๏ธ Ajax ๐ฎ๐น 16:00 - Torino FC โ๏ธ Atalanta BC ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 16:00 - Sunderland โ๏ธ Aston Villa ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 16:00 - Bournemouth โ๏ธ Newcastle United ๐น๐ฟ 16:00 - Mashujaa FC โ๏ธ Mtibwa Sugar ๐ฉ๐ช 16:30 - Frankfurt โ๏ธ Union Berlin ๐ช๐ธ 17:15 - Real Mallorca โ๏ธ Atletico Madrid ๐ด๓ ง๓ ข๓ ณ๓ ฃ๓ ด๓ ฟ 17:30 - Partick Thistle โ๏ธ Celtic FC ๐ณ๐ฑ 17:45 - Az Alkmaar โ๏ธ Feyenoord ๐ซ๐ท 18:15 - AS Monaco โ๏ธ Metz ๐ฉ๐ช 18:30 - Bayer Leverkusen โ๏ธ M'gladbach ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 18:30 - Arsenal FC โ๏ธ Manchester City ๐น๐ฟ 19:00 - Namungo FC โ๏ธ Tanzania Prisons ๐ฎ๐น 19:00 - Fiorentina โ๏ธ Como FC ๐น๐ท 20:00 - Kasimpasa โ๏ธ Fenerbahce FK ๐ฉ๐ช 20:30 - Dortmund โ๏ธ Wolfsburg ๐ฎ๐น 21:45 - Inter Milan โ๏ธ Sassuolo ๐ซ๐ท 21:45 - Marseille โ๏ธ Paris Saint Germain ๐ช๐ธ 22:00 - Barcelona โ๏ธ Getafe FC -
-
Muda wa kupona jeraha la paja la kulia la Neymar Jr. (rectus femoris) linaweza kuanzia wiki 4 hadi 12. Kwa hivyo, Ney hatakuwepo kwa Timu ya Taifa ya Brazil kwa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Oktoba na pia anaweza kukosa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Novemba pia.
Neymar Jr Zisingekuwa Injari nyingi Jamaa ni Fundi WA mpila Sana aiseee Tungefurahi Sana ๐๐ฝ
Source: TNTSsportsBR๐จ๐จโ ๏ธโผ๏ธ Muda wa kupona jeraha la paja la kulia la Neymar Jr. (rectus femoris) linaweza kuanzia wiki 4 hadi 12. Kwa hivyo, Ney hatakuwepo kwa Timu ya Taifa ya Brazil kwa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Oktoba na pia anaweza kukosa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Novemba pia. ๐ฌ Neymar Jr Zisingekuwa Injari nyingi Jamaa ni Fundi WA mpila Sana aiseee Tungefurahi Sana ๐๐ฝ Source: โน๏ธTNTSsportsBR -
FC Barcelona inapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane kwenye dilisha dogo .
Kane huwenda akawa mbadala wa Robert Lewandowski replacement.
(Source: El Nacional)๐จ FC Barcelona inapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane kwenye dilisha dogo . Kane huwenda akawa mbadala wa Robert Lewandowski replacement. (Source: El Nacional)0 Commenti ยท0 condivisioni ยท163 Views -
-
Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie
Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG.
Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao.
Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana.
Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis
Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5.
Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4.
Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG. Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao. Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana. Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5. Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4. Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5. -
-
Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini.
WAFUNGAJI :
Feitoto
Kitambala
#SportsEliteKlabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini. WAFUNGAJI : โฝ Feitoto โฝ Kitambala #SportsElite -
-
Kazi imekwisha sasa muda wa kupumzika Mungu akitujaalia tutaonana kesho msichoke Kunisapoti tuzidi kupasua Anga.
#SportsEliteโ๏ธ Kazi imekwisha sasa muda wa kupumzika Mungu akitujaalia tutaonana kesho msichoke Kunisapoti tuzidi kupasua Anga. ๐ #SportsElite -
๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ : Premier League
FULHAM FC 3๏ธโฃโ๏ธ1๏ธโฃ BRENTFORD FC
โฝ๏ธ 38" Iwobi โฝ๏ธ 20" Damsgaard
โฝ๏ธ 40" Wilson
โฝ๏ธ 50" Pinnock (og)๐ฉ ๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ : Premier League ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ FULHAM FC 3๏ธโฃโ๏ธ1๏ธโฃ BRENTFORD FC โฝ๏ธ 38" Iwobi โฝ๏ธ 20" Damsgaard โฝ๏ธ 40" Wilson โฝ๏ธ 50" Pinnock (og)0 Commenti ยท0 condivisioni ยท38 Views -
๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ : Liga Portugal
AVS FUTBOL SAD 0๏ธโฃโ๏ธ3๏ธโฃ SL BENFICA
โฝ๏ธ 45+3" Sudakov
โฝ๏ธ 59" Pavldis (p)
โฝ๏ธ 64" Ivanovic๐ฉ ๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ : Liga Portugal ๐ต๐น AVS FUTBOL SAD 0๏ธโฃโ๏ธ3๏ธโฃ SL BENFICA โฝ๏ธ 45+3" Sudakov โฝ๏ธ 59" Pavldis (p) โฝ๏ธ 64" Ivanovic0 Commenti ยท0 condivisioni ยท128 Views -
๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ : La Liga
VALENCIA CF 2๏ธโฃโ๏ธ0๏ธโฃ ATHLETIC CLUB
โฝ๏ธ 73" Santamaria 61" Vivian
โฝ๏ธ 90+3" Duro๐ฉ ๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ : La Liga ๐ช๐ธ VALENCIA CF 2๏ธโฃโ๏ธ0๏ธโฃ ATHLETIC CLUB โฝ๏ธ 73" Santamaria ๐ฅ 61" Vivian โฝ๏ธ 90+3" Duro0 Commenti ยท0 condivisioni ยท56 Views -
Altre storie