-
RATIBA YA LEO IJUMAA YA OCTOBER 24 - 2025
16:00 - Mbeya City JKT Tanzania FC
🏟 17:00 - Azam FC KMKM FC
21:00 - Al Ittihad FC Al Hilal FC
21:45 - Weder Bremen Union Berlin
21:45 - Paris FC Nantes
21:45 - AC Milan Pisa FC
21:45 - Sporting Anderlecht
22:00 - Preston Sheffield United
22:00 - Real Sociedad Sevilla FC
22:00 - Leeds United West Ham United🚨 RATIBA YA LEO IJUMAA YA OCTOBER 24 - 2025 🇹🇿 16:00 - Mbeya City ⚔️ JKT Tanzania FC 🏟 17:00 - Azam FC ⚔️ KMKM FC 🇸🇦21:00 - Al Ittihad FC ⚔️ Al Hilal FC 🇩🇪 21:45 - Weder Bremen ⚔️ Union Berlin 🇫🇷 21:45 - Paris FC ⚔️ Nantes 🇮🇹 21:45 - AC Milan ⚔️ Pisa FC 🇧🇪 21:45 - Sporting ⚔️ Anderlecht 🏴 22:00 - Preston ⚔️ Sheffield United 🇪🇸 22:00 - Real Sociedad ⚔️ Sevilla FC 🏴 22:00 - Leeds United ⚔️ West Ham United0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·10 Visualizações -
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·59 Visualizações
-
OFFICIAL Kocha Wa Real Madrid Xabi Alonso amesema Dean Huijsen, Trent Alexander-Arnold, Dani Carvajal na Dani Ceballos wote wako tayari kwa mchezo wa El Clasco.
Alonso amesema wachezaji pekee wataukosa mchezo wa El Clasco ni Antonio Rudiger na David Alaba wengine wapo.🚨 OFFICIAL Kocha Wa Real Madrid Xabi Alonso amesema Dean Huijsen, Trent Alexander-Arnold, Dani Carvajal na Dani Ceballos wote wako tayari kwa mchezo wa El Clasco. Alonso amesema wachezaji pekee wataukosa mchezo wa El Clasco ni Antonio Rudiger na David Alaba wengine wapo.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·60 Visualizações -
Klabu ya Al Ahli SC wapo tayari kutoa kiasi cha euro milioni 15 ili kuipata saini ya mshambuliaji wa Pyramids, Fiston Mayele Kalala "Cyborg" .
Klabu iyo kutokea nchini Saudia Arabia wapo tayari kumpa Mayele mshahara wa euro milioni 3 kwa mwaka !🚨 Klabu ya Al Ahli SC 🇸🇦 wapo tayari kutoa kiasi cha euro milioni 15 ili kuipata saini ya mshambuliaji wa Pyramids, Fiston Mayele Kalala "Cyborg" 🇨🇩. Klabu iyo kutokea nchini Saudia Arabia wapo tayari kumpa Mayele mshahara wa euro milioni 3 kwa mwaka ! 💵0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·63 Visualizações -
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·62 Visualizações
-
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·64 Visualizações
-
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·88 Visualizações
-
Nyota wa Real Madrid, Endrick ameomba kuondoka Real Madrid January kwa mkopo ili kulinda kiwango chake.
Chini ya Xabi Alonso nyota huyo amekosa nafasi kabisa ya kucheza, mara ya mwisho kuonekana uwanjani ilikuwa May 18 dhidi ya Sevilla.
Source [ El Chiringuito TV ]
Nyota wa Real Madrid, Endrick ameomba kuondoka Real Madrid January kwa mkopo ili kulinda kiwango chake. Chini ya Xabi Alonso nyota huyo amekosa nafasi kabisa ya kucheza, mara ya mwisho kuonekana uwanjani ilikuwa May 18 dhidi ya Sevilla. Source [ El Chiringuito TV ]0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·82 Visualizações -
-
OFFICIAL Beki Trent Alexander-Arnold na Dani Carvajal wote wamefanya mazoezi leo na Kikosi cha kwanza cha Real Madrid kwa ajili ya mchezo wa Kesho dhidi ya Juventus na El Clascoo..🚨OFFICIAL Beki Trent Alexander-Arnold na Dani Carvajal wote wamefanya mazoezi leo na Kikosi cha kwanza cha Real Madrid kwa ajili ya mchezo wa Kesho dhidi ya Juventus na El Clascoo..0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·89 Visualizações
-
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·80 Visualizações
-
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·46 Visualizações
-
BREAKING:
Wachezaji wa Atlético Madrid waliondoka kwenye uwanja wa Emirates bila kuoga kutokana na kukosekana kwa maji ya moto.
Wachezaji walikuwa wametokwa jasho na wakakimbilia hotelini kuoga kwa sababu hakukuwa na maji ya moto baada ya kumaliza mazoezi rasmi.
Msafara wa Atlético umekasirishwa sana na tayari umepeleka malalamiko UEFA kuhusu ukosefu wa huduma muhimu katika uwanja wa Emirates.
Source [ Carusselderpotivo]
BREAKING: Wachezaji wa Atlético Madrid waliondoka kwenye uwanja wa Emirates bila kuoga kutokana na kukosekana kwa maji ya moto. Wachezaji walikuwa wametokwa jasho na wakakimbilia hotelini kuoga kwa sababu hakukuwa na maji ya moto baada ya kumaliza mazoezi rasmi. Msafara wa Atlético umekasirishwa sana na tayari umepeleka malalamiko UEFA kuhusu ukosefu wa huduma muhimu katika uwanja wa Emirates. Source [ Carusselderpotivo]0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·98 Visualizações -
Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo .
Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood.
Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4.
#SportsEliteFc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo . Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood. Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·126 Visualizações -
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·42 Visualizações
-
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·43 Visualizações
-
Miaka mitatu iliyopita, Ancelotti alisafiri mpaka jijini Manchester kumfuata Pep Guardiola ili kumuuliza kuhusu sababu ya mafanikio yake na City.
Guardiola alimuambia kuwa sababu ya mafanikio yake ni kwamba anafanya kazi na wachezaji wenye akili, kisha alimuita De Bruyne kuthibitisha kwa Ancelotti.
Alimuuliza De Bruyne, "Ni nani mtoto wa wazazi wako, lakini siyo kaka au dada zako?"
De Bruyne akajibu, "Mimi."
Ancelotti aliporudi Madrid akamuita Mendy, akamuuliza swali lile lile "Ni nani mtoto wa wazazi wako lakini siyo kaka au dada zako?"
Mendy akasema, "Ngoja kidogo," akaenda kumuuliza Modrić. Modrić akajibu, "Mimi."
Mendy akarudi kwa Ancelotti na kumwambia jibu ni "Modrić."
Ancelotti akasema, "Umekosa jibu ni ni De Bruyne."
#SportsEliteMiaka mitatu iliyopita, Ancelotti alisafiri mpaka jijini Manchester kumfuata Pep Guardiola ili kumuuliza kuhusu sababu ya mafanikio yake na City. Guardiola alimuambia kuwa sababu ya mafanikio yake ni kwamba anafanya kazi na wachezaji wenye akili, kisha alimuita De Bruyne kuthibitisha kwa Ancelotti. Alimuuliza De Bruyne, "Ni nani mtoto wa wazazi wako, lakini siyo kaka au dada zako?" De Bruyne akajibu, "Mimi." Ancelotti aliporudi Madrid akamuita Mendy, akamuuliza swali lile lile "Ni nani mtoto wa wazazi wako lakini siyo kaka au dada zako?" Mendy akasema, "Ngoja kidogo," akaenda kumuuliza Modrić. Modrić akajibu, "Mimi." Mendy akarudi kwa Ancelotti na kumwambia jibu ni "Modrić." Ancelotti akasema, "Umekosa jibu ni ni De Bruyne."🤣 😂 #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·330 Visualizações -
Mlinzi wa kushoto wa Bayern Munich Alphonso Davies akielezea namna anavyojiona amepoteza uhuru wake baada ya kuwa mchezaji professional
“Nipo mbali na familia yangu , siishi na girlfriend wangu marafiki zangu hawafiki watano yote haya yananifanya nijione nimepoteza kila kitu kwenye maisha”
“Maisha ya kuwa mchezaji ni magumu sana ,kuna muda baada ya mazoezi unatakiwa kulala na sio kufanya chochote”
Mpira wa miguu ni mchezo unaohitaji kujitoa sana hasa unapokuwa professional , ili kuishi mpira unavyotaka basi ni lazima uipe mgongo dunia na hiko ndicho anachopitia Davies hadi kujiona amepoteza kila kitu , imagine pesa unayo ya kutosha ila unapangiwa vitamu usile
#SportsEliteMlinzi wa kushoto wa Bayern Munich Alphonso Davies akielezea namna anavyojiona amepoteza uhuru wake baada ya kuwa mchezaji professional “Nipo mbali na familia yangu , siishi na girlfriend wangu marafiki zangu hawafiki watano yote haya yananifanya nijione nimepoteza kila kitu kwenye maisha” “Maisha ya kuwa mchezaji ni magumu sana ,kuna muda baada ya mazoezi unatakiwa kulala na sio kufanya chochote” Mpira wa miguu ni mchezo unaohitaji kujitoa sana hasa unapokuwa professional , ili kuishi mpira unavyotaka basi ni lazima uipe mgongo dunia na hiko ndicho anachopitia Davies hadi kujiona amepoteza kila kitu , imagine pesa unayo ya kutosha ila unapangiwa vitamu usile #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·471 Visualizações -
Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG).
Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza.
Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa?
FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE
Ureno 2-2 Uhispania (P 5-3)
Mendes
Ronaldo
Zubimendi
Oyarzabal
#UCL
Barcelona 1-2 PSG
19' Torres
38' Mayulu( Mendes)
90' Ramos ( Hakimi)
#SportsEliteLamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG). Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza. ✍️ Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa? FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE Ureno 🇵🇹 2-2 🇪🇸 Uhispania (P 5-3) ⚽ Mendes ⚽ Ronaldo ⚽ Zubimendi ⚽ Oyarzabal #UCL Barcelona 🇪🇸 1-2 🇫🇷 PSG ⚽ 19' Torres ⚽ 38' Mayulu(🅰️ Mendes) ⚽ 90' Ramos (🅰️ Hakimi) #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·529 Visualizações -
Alexander Isak akizungumza baada ya mchezo:
“Nadhani hatukuanza mchezo vizuri, lakini tulijaribu kurejea taratibu na kuingia kwenye mchezo. Tuliporejea kipindi cha pili, tulijitahidi kwa nguvu zote kutafuta matokeo. Mwishowe, ni jambo gumu kukubali kufungwa dakika za mwisho namna hiyo.”
#SportsEliteAlexander Isak akizungumza baada ya mchezo: “Nadhani hatukuanza mchezo vizuri, lakini tulijaribu kurejea taratibu na kuingia kwenye mchezo. Tuliporejea kipindi cha pili, tulijitahidi kwa nguvu zote kutafuta matokeo. Mwishowe, ni jambo gumu kukubali kufungwa dakika za mwisho namna hiyo.” #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·390 Visualizações -
Timu ya Argentina's wamezindua jezi ya ugenini itakayotumika katika kombe la dunia 2026
#SportsElite🚨🚨 🇦🇷Timu ya Argentina's wamezindua jezi ya ugenini itakayotumika katika kombe la dunia 2026 #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·295 Visualizações -
Leonardo Bonucci : " Nilipokabiliana na Messi kwenye Fainali ya 2022, nilimpongeza kwa kushinda Copa America na nikamwambia, "Messi, unastahili. Ulijitolea kwa ajili ya Argentina. Sasa huna chochote cha kuthibitisha kwa ulimwengu. Umeshinda kila kitu kwenye soka. Unaweza kustaafu ukiwa na amani ya akili.”
Alitabasamu na kuniambia, "Nilifanya hivi kwa ajili ya nchi yangu, si kwa ajili yangu mwenyewe. Ni hayo tu. Sifikirii kuhusu mafanikio ya mtu binafsi zaidi ya mataji ya nchi yangu, lakini ikiwa sitashinda Kombe la Dunia, sitastaafu." [Anacheka] Kwa hivyo nikamwambia, "Umefanya kila kitu kwenye soka. Hata kama hutashinda Kombe la Dunia, wewe ni mchezaji bora zaidi katika historia."
Lakini baada ya Messi kushinda Kombe la Dunia, niliiambia familia yangu, "Hii ni haki ya mpira wa miguu. Messi anastahili kuwa na Kombe la Dunia zaidi ya moja kwa sababu ya muujiza wa soka aliofanya na jinsi ulimwengu ulivyofurahia kile alichokifanya. Nikikutana naye tena, nitamwambia, "Sasa unaweza kustaafu na utulivu wa akili." Hata neno bora katika historia halitoshi kwa Messi."
#SportsElite🎙️Leonardo Bonucci🇮🇹 : " Nilipokabiliana na Messi kwenye Fainali ya 2022, nilimpongeza kwa kushinda Copa America na nikamwambia, "Messi, unastahili. Ulijitolea kwa ajili ya Argentina. Sasa huna chochote cha kuthibitisha kwa ulimwengu. Umeshinda kila kitu kwenye soka. Unaweza kustaafu ukiwa na amani ya akili.” Alitabasamu na kuniambia, "Nilifanya hivi kwa ajili ya nchi yangu, si kwa ajili yangu mwenyewe. Ni hayo tu. Sifikirii kuhusu mafanikio ya mtu binafsi zaidi ya mataji ya nchi yangu, lakini ikiwa sitashinda Kombe la Dunia, sitastaafu." [Anacheka] Kwa hivyo nikamwambia, "Umefanya kila kitu kwenye soka. Hata kama hutashinda Kombe la Dunia, wewe ni mchezaji bora zaidi katika historia." Lakini baada ya Messi kushinda Kombe la Dunia, niliiambia familia yangu, "Hii ni haki ya mpira wa miguu. Messi anastahili kuwa na Kombe la Dunia zaidi ya moja kwa sababu ya muujiza wa soka aliofanya na jinsi ulimwengu ulivyofurahia kile alichokifanya. Nikikutana naye tena, nitamwambia, "Sasa unaweza kustaafu na utulivu wa akili." Hata neno bora katika historia halitoshi kwa Messi." #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·550 Visualizações -
Viwanjani : Kutokana na kuwepo kwa baadhi ya taarifa za Kocha wa Simba kutokuwa na leseni ya Kuifundisha simba kama Kocha mkuu hili ndilo la Kocha Dimitr Puntev, Meneja Mkuu wa Simba akijibu swali la Waandishi wa habari jana Airport.
“Kama kisheria sina leseni ya kukidhi kufundisha kama Kocha Mkuu basi huenda wakanitumia kama Mtunza Vifaa sijui sana ila nadhani hilo swali aulizwe Rais wa Klabu”
#SportsEliteViwanjani ⚽ 📸: Kutokana na kuwepo kwa baadhi ya taarifa za Kocha wa Simba kutokuwa na leseni ya Kuifundisha simba kama Kocha mkuu hili ndilo la Kocha Dimitr Puntev, Meneja Mkuu wa Simba akijibu swali la Waandishi wa habari jana Airport. “Kama kisheria sina leseni ya kukidhi kufundisha kama Kocha Mkuu basi huenda wakanitumia kama Mtunza Vifaa sijui sana ila nadhani hilo swali aulizwe Rais wa Klabu” #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·414 Visualizações -
RASHFORD!!!! RASHFORD!!!! RASHFORD!!! MARCUS RASHFORD,,,. Ameifungulia bao la kuendelae kuongea (2-1) mchezo ukiwa ni mapumziko ameendelea Kuwa boraaa katika kikosi cha Barcelona💣 RASHFORD!!!! RASHFORD!!!! RASHFORD!!! MARCUS RASHFORD,,,. Ameifungulia bao la kuendelae kuongea (2-1) mchezo ukiwa ni mapumziko ameendelea Kuwa boraaa katika kikosi cha Barcelona0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·162 Visualizações
-
Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili .
Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji .
Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi"
Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema .
Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake
#SportsEliteBaada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili 😎. Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji . Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi" Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema 😅😅. Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·491 Visualizações
Mais Stories