-
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mshambuliaji wa Villarreal Thierno Barry (22) amejiunga na Everton! Kwa Ada ya £27m Na vipimo vya afya atafanyiwa leo
@SkySportsNews.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇫🇷 Mshambuliaji wa Villarreal Thierno Barry (22) amejiunga na Everton! Kwa Ada ya £27m Na vipimo vya afya atafanyiwa leo @SkySportsNews. ✈️ #SportsElite -
Manchester United imefanya mazungumzo na kiungo wa Atalanta Ederson
Na thamani yake ni £44M
(Source: Goal)
#SportsElite🚨 Manchester United imefanya mazungumzo na kiungo wa Atalanta Ederson Na thamani yake ni £44M (Source: Goal) #SportsElite -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Real Madrid haita usajili mbadala wa Rodrygo kama ataondoka klabuni hapo baada ya nafasi yake kuwa finyu..
@MarioCortegana @TheAthleticFC
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Real Madrid haita usajili mbadala wa Rodrygo kama ataondoka klabuni hapo baada ya nafasi yake kuwa finyu.. @MarioCortegana @TheAthleticFC #SportsElite -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Crystal Palace inavutiwa na Davide Calabria (28) kama mchezaji huru
reports @DiMarzio.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇮🇹 Crystal Palace inavutiwa na Davide Calabria (28) kama mchezaji huru reports @DiMarzio. 🔴🔵 #SportsElite -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Nottingham Forest inamuwinda Johan Bakayoko (22) wa PSV, reports @TeleFootball!
Nottingham inataka kuziba pengo la Elanga amber anaweza kutimkia Newcastle.🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇧🇪 Nottingham Forest inamuwinda Johan Bakayoko (22) wa PSV, reports @TeleFootball! Nottingham inataka kuziba pengo la Elanga amber anaweza kutimkia Newcastle. ⏳ -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal imekamilisha usajili wa kapteni na kiungo wa Brentford , Christian Nørgaard.
Arsenal watalipa £10m na nyongeza ya £2m kama bonasi.
Vipimo vya afya tayari vimekamilika na rasmi atatangazwa ndani ya hii wiki[Via - @David_Ornstein].
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal imekamilisha usajili wa kapteni na kiungo wa Brentford , Christian Nørgaard🇩🇰. Arsenal watalipa £10m na nyongeza ya £2m kama bonasi. Vipimo vya afya tayari vimekamilika na rasmi atatangazwa ndani ya hii wiki[Via - @David_Ornstein]. #SportsElite -
🚨🇳🇬 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋 | Ola Aina (28) ameongeza mkataba Nottingham Forest hadi 2028. ✍️ #SportsElite
-
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Ivan Rakitić ametangaza kuachana na soka.
• 993 Michezo
• 140 Magoli
• 157 Pasi za usaidizi
• 17 Mataji
#SportsElite🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Ivan Rakitić ametangaza kuachana na soka. 🇭🇷🤍 • 993 Michezo • 140 Magoli • 157 Pasi za usaidizi • 17 Mataji #SportsElite -
𝗢𝗙𝗙𝗜𝗖𝗜𝗔𝗟: Damián Čech (Mtoto wa Petr Cech) kwa mara ya kwanza amesaini kandarasi Fulham akiwa na Umri 16.Kinda huyo wa Jamuhuri ya Czech amesaini mkataba hadi 2027.
#SportsElite𝗢𝗙𝗙𝗜𝗖𝗜𝗔𝗟: Damián Čech (Mtoto wa Petr Cech) kwa mara ya kwanza amesaini kandarasi Fulham akiwa na Umri 16.Kinda huyo wa Jamuhuri ya Czech amesaini mkataba hadi 2027. 🇨🇿 #SportsElite -
⚪️ 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋 | Tottenham imekamilisha usajili wa Kota Takai (20) kutoka Kawasaki Frontale!
Ada: ~£5m
Nafasi: Beki
Chanzo : Sky sports
#SportsElite⚪️ 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋 | Tottenham imekamilisha usajili wa Kota Takai (20) kutoka Kawasaki Frontale! 🇯🇵 ✅ Ada: ~£5m 📌 Nafasi: Beki 🗞️ Chanzo : Sky sports #SportsElite -
Crystal Palace bado ipo kwenye mazungumzo na Sporting kuwapatia kiasi cha £45M baada ya kuonesha nia kwa Ousmane Diomande.
(Source: Guardian)
#SportsElite🚨 Crystal Palace bado ipo kwenye mazungumzo na Sporting kuwapatia kiasi cha £45M baada ya kuonesha nia kwa Ousmane Diomande. (Source: Guardian) #SportsElite -
𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Anthony Elanga ameridhia kusaini Newcastle United akitokea Nottingham Forest kwa ada yab£55 million, na mkataba hadi 2030.
#SportsElite🚨 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Anthony Elanga ameridhia kusaini Newcastle United akitokea Nottingham Forest kwa ada yab£55 million, na mkataba hadi 2030. ⚫⚪ #SportsElite -
𝐉𝐔𝐒𝐓 𝐈𝐍: Luis Díaz sasa amekubali kujiunga Barça bila masharti yoyote wala vipengele amesema Mundo.
“anaamini huwenda Barça ikamsajili mshambuliaji huyo”.
#SportsElite🚨🎖️ 𝐉𝐔𝐒𝐓 𝐈𝐍: Luis Díaz sasa amekubali kujiunga Barça bila masharti yoyote wala vipengele amesema Mundo. “anaamini huwenda Barça ikamsajili mshambuliaji huyo”. #SportsElite -
👋🏻 Iñaki Peña, anajiandaa kuondoka Barcelona majira haya ya joto baada ya ujio wa Joan Garcia pia kuongeza mkataba mkongwe Szczesny...
#SportsElite🚨👋🏻 Iñaki Peña, anajiandaa kuondoka Barcelona majira haya ya joto baada ya ujio wa Joan Garcia pia kuongeza mkataba mkongwe Szczesny... #SportsElite -
🚨💣𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Javi Guerra yuko mbioni kujiunga na Manchester United! 🔴💣 #SportsElite
-
🚨 Roma inavutiwa na kiungo wa Brighton Matt O'Riley. (Source: La Gazzetta Dello Sport) #SportsElite
-
𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Al Hilal imekamilisha usajili wa Theo Hernández kama beki wa kushoto kutoka AC Milan
Makubaliano yamekamilika kwa pande zote na AC Milan watapata €25M kwa mauzo ya Theo..
#SportsElite🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Al Hilal imekamilisha usajili wa Theo Hernández kama beki wa kushoto kutoka AC Milan 🔵🇸🇦 Makubaliano yamekamilika kwa pande zote na AC Milan watapata €25M kwa mauzo ya Theo.. 🇫🇷 #SportsElite -
Manchester United imeanza harakati za kumuwinda Victor Osimhen,lakini imemuomba apunguze gharama ya mshahara wake jambo ambalo mshambuliaji huyo ameligomea..
(Source: Yağız Sabuncuoğlu)
#SportsElite🚨 Manchester United imeanza harakati za kumuwinda Victor Osimhen,lakini imemuomba apunguze gharama ya mshahara wake jambo ambalo mshambuliaji huyo ameligomea.. (Source: Yağız Sabuncuoğlu) #SportsElite -
💙❤️✍🏻 Szczesny amekubali kuongeza mkataba Barcelona mwezi huu hadi June 2027 ✅ #SportsElite
-
Benfica imeulizia uwezekano wa kulipa kiasi cha €30M kwa Chelsea ili kumpata Joao Felix,
lakini malipo ya mshahara wa mchezaji ni makubwa kuliko mahitaji ya timu am ambapo Joao Felix anakusanya €4M/ kwa mwaka...
(Source: abolapt)
#SportsElite🚨 Benfica imeulizia uwezekano wa kulipa kiasi cha €30M kwa Chelsea ili kumpata Joao Felix, lakini malipo ya mshahara wa mchezaji ni makubwa kuliko mahitaji ya timu am ambapo Joao Felix anakusanya €4M/ kwa mwaka... (Source: abolapt) #SportsElite -
Napoli imefikia makubaliano na PSV Eindhoven ya €28M kumuhitaji Noa Lang.
(Source: @FabrizioRomano)
#SportsElite🚨 Napoli imefikia makubaliano na PSV Eindhoven ya €28M kumuhitaji Noa Lang. (Source: @FabrizioRomano) #SportsElite -
Winga machachari raia wa Sweden Roony Bardghji amekamilisha vipimo vya afya na kuwa mchezaji mpya wa FC Barcelona akitokea FC Copenhagen ya Denmark
#SportsElite💈💈 Winga machachari raia wa Sweden 🇸🇪 Roony Bardghji amekamilisha vipimo vya afya na kuwa mchezaji mpya wa FC Barcelona akitokea FC Copenhagen ya Denmark 🇩🇰 🙌 #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·28 Views -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Atalanta imetoa thamani ya Ademola Lookman €50 million.
Atlético Madrid ndio inavutiwa na Mnigeria huyo...
#SportsElite🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Atalanta imetoa thamani ya Ademola Lookman €50 million. Atlético Madrid ndio inavutiwa na Mnigeria huyo... #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·26 Views -
0 Comments ·0 Shares ·28 Views
-
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Dili la Benjamin Sesko Kati ya Arsenal na RB Leipzig liko kwenye hatihati ya kufa kutokana na Leipzig kuhitaji kiasi cha €100 million, na Arsenal hawako tayari kutoa kitita hicho....
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Dili la Benjamin Sesko Kati ya Arsenal na RB Leipzig liko kwenye hatihati ya kufa kutokana na Leipzig kuhitaji kiasi cha €100 million, na Arsenal hawako tayari kutoa kitita hicho.... #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·40 Views
More Stories