Upgrade to Pro

  • Liverpool wamepanga kuwatajirisha PSG..

    Kupitia Fichajes imeripotiwa kuwa klabu ya Liverpool ipo tayari kutoa dau kubwa la hadi €159M ili kumpata kiungo wa Paris Saint Germain, Joao Neves.

    Liverpool wapo tayari kutajirisha vilabu vya ulaya .

    Liverpool wamepanga kuwatajirisha PSG.. Kupitia Fichajes imeripotiwa kuwa klabu ya Liverpool ipo tayari kutoa dau kubwa la hadi €159M ili kumpata kiungo wa Paris Saint Germain, Joao Neves. Liverpool wapo tayari kutajirisha vilabu vya ulaya 😐.
    ·168 Views
  • Man United imewasilisha ofa yao kwa Crystal Palace FC kumsajili Adam Wharton ambae ni chaguo la Ruben Amorim

    Ruben Amorim anampenda sana Wharton na anaamini ni miongoni mwa wachezaji ambae ataendana na mifumo yake

    Source Indykaila News
    🚨 Man United imewasilisha ofa yao kwa Crystal Palace FC kumsajili Adam Wharton ambae ni chaguo la Ruben Amorim Ruben Amorim anampenda sana Wharton na anaamini ni miongoni mwa wachezaji ambae ataendana na mifumo yake Source Indykaila News
    ·319 Views
  • BREAKING Mshambuliaji wa Man United Benjamin Sesko atakuwa njee ya Uwanja Angalau mwezi mmoja baada ya kupata jeraha la Goti kwenye mchezo dhidi ya Tottenham.

    Source Sky Sports
    🚨BREAKING Mshambuliaji wa Man United Benjamin Sesko atakuwa njee ya Uwanja Angalau mwezi mmoja baada ya kupata jeraha la Goti kwenye mchezo dhidi ya Tottenham. Source Sky Sports
    ·367 Views
  • Liverpool, Tottenham na Manchester United ndio pekee wamefanya mawasiliano na Bournemouth kumsajili winga wao Antoine Semenyo ambae thamani yake ni €65m.

    Source Ben Jacobs
    🚨 Liverpool, Tottenham na Manchester United ndio pekee wamefanya mawasiliano na Bournemouth kumsajili winga wao Antoine Semenyo ambae thamani yake ni €65m. 🇬🇭 💰 Source Ben Jacobs
    ·268 Views
  • Manchester United wameingia kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili Robinho Jr kutoka Santos.
    Manchester United wameingia kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili Robinho Jr kutoka Santos.
    ·176 Views
  • HAYA HAPA MATAIFA YALIYOFUZU KOMBE LA DUNIA FIFA WORLD CUP 2026

    OFFICIAL Timu Zilizofuzu kucheza Kombe La Dunia 2026

    DUA Nyingi Kwa Sasa DR Congo wametoboa na sasa wanaendelea na PlayOff kama wawakilishi wa Afrika kwenye Intercontinental PlayOff.

    Mexico
    United States
    Canada

    Japan
    Iran
    South Korea
    Australia
    Qatar
    Uzbekistan
    Saudi Arabia
    Jordan
    Morocco
    Senegal
    Egypt
    Algeria
    🇨🇮 Ivory Coast
    Tunisia
    South Africa
    Cabo Verde
    Ghana
    ARGENTINA
    Brazil
    Colombia
    Uruguay
    Ecuador
    Paraguay
    New Zealand
    England
    FRANCE
    Croatia
    Portugal
    Norway
    HAYA HAPA MATAIFA YALIYOFUZU KOMBE LA DUNIA FIFA WORLD CUP 2026 OFFICIAL Timu Zilizofuzu kucheza Kombe La Dunia 2026 DUA Nyingi Kwa Sasa DR Congo 🇨🇩 wametoboa na sasa wanaendelea na PlayOff kama wawakilishi wa Afrika kwenye Intercontinental PlayOff. 🇲🇽 Mexico 🇺🇸 United States 🇨🇦 Canada 🇯🇵 Japan 🇮🇷 Iran 🇰🇷 South Korea 🇦🇺 Australia 🇶🇦 Qatar 🇺🇿 Uzbekistan 🇸🇦 Saudi Arabia 🇯🇴 Jordan 🇲🇦 Morocco 🇸🇳 Senegal 🇪🇬 Egypt 🇩🇿 Algeria 🇨🇮 Ivory Coast 🇹🇳 Tunisia 🇿🇦 South Africa 🇨🇻 Cabo Verde 🇬🇭 Ghana 🇦🇷 ARGENTINA 🏆 🇧🇷 Brazil 🇨🇴 Colombia 🇺🇾 Uruguay 🇪🇨 Ecuador 🇵🇾 Paraguay 🇳🇿 New Zealand 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 England 🇫🇷 FRANCE 🥈 🇭🇷 Croatia 🇵🇹 Portugal 🇳🇴 Norway
    ·628 Views
  • Barcelona sasa wanafikilia kusajili beki wa Kushoto na Jina la Beki wa Leverkusen Alex Grimaldo ndio chaguo lao.

    Alex Grimaldo anakipengele cha kuuzwa cha €15-20m.

    Source Barcelona Universal
    🚨 Barcelona sasa wanafikilia kusajili beki wa Kushoto na Jina la Beki wa Leverkusen Alex Grimaldo ndio chaguo lao. Alex Grimaldo anakipengele cha kuuzwa cha €15-20m. 🇪🇸 Source Barcelona Universal
    ·376 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Kylian Mbappe andai kiasi cha €240 kutoka Paris Saint Germain huku Paris Saint Germain wamesema hata wao wanamdai €180m kwa kusema uongo ya kwamba hawezi kuondoka klabuni hapo kwa mkataba wa bila malipo

    Source Le Parisien
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Kylian Mbappe andai kiasi cha €240 kutoka Paris Saint Germain huku Paris Saint Germain wamesema hata wao wanamdai €180m kwa kusema uongo ya kwamba hawezi kuondoka klabuni hapo kwa mkataba wa bila malipo Source Le Parisien
    ·252 Views
  • Manchester United sasa imeweka jina la kiungo wa Real Madrid Aurelien Tchouameni kama mlengwa wao mkuu watakao Jaribu kumsajili kwenye Usajili wa mwezi January

    Source Livescores.
    🇫🇷 🚨 Manchester United sasa imeweka jina la kiungo wa Real Madrid Aurelien Tchouameni kama mlengwa wao mkuu watakao Jaribu kumsajili kwenye Usajili wa mwezi January Source Livescores.
    ·364 Views
  • Athletic Club wameonyesha nia ya kumsajili kipa wa Manchester United U15, Darlington Osuchukwu, ambaye alihusika kwenye mechi ya U17 ya Hispania dhidi ya Jamhuri ya Czech mwishoni mwa wiki iliyopita.
    Athletic Club wameonyesha nia ya kumsajili kipa wa Manchester United U15, Darlington Osuchukwu, ambaye alihusika kwenye mechi ya U17 ya Hispania dhidi ya Jamhuri ya Czech mwishoni mwa wiki iliyopita.
    ·140 Views
  • ⬛️BODI YA LIGI imefanya maboresho kwenye ratiba ya Ligi Kuu na moja kati ya mchezo uliofikiwa na maboresho hayo ni mchezo wa Kariakoo Derby uliopangwa kuchezwa Desemba 13 mwaka huu. Yeees! Kwa sasa mchezo huo utapigwa Jumapili ya tarehe 01.03.2026 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia saa 11 jioni.

    Young Africans Simba SC
    DATE: 01.03.2026
    TIME: 17:00 EAT

    ...Hata hivyo mchezo wa marudiano kati ya vigogo hawa utapigwa tarehe 03.05.2026 kwenye uwanja wa Mkapa kuanzia saa 11 jioni.
    🟩🟨⬛️BODI YA LIGI imefanya maboresho kwenye ratiba ya Ligi Kuu na moja kati ya mchezo uliofikiwa na maboresho hayo ni mchezo wa Kariakoo Derby uliopangwa kuchezwa Desemba 13 mwaka huu. Yeees! Kwa sasa mchezo huo utapigwa Jumapili ya tarehe 01.03.2026 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia saa 11 jioni. Young Africans 🆚 Simba SC DATE: 01.03.2026 TIME: 17:00 EAT ...Hata hivyo mchezo wa marudiano kati ya vigogo hawa utapigwa tarehe 03.05.2026 kwenye uwanja wa Mkapa kuanzia saa 11 jioni.
    ·308 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Barcelona wanarejea 𝐒𝐩𝐨𝐭𝐢𝐟𝐲 𝐂𝐚𝐦𝐩 𝐨𝐨 kitakuwa uwanja mpya. 𝐭𝐡𝐢𝐬 𝐒𝐚𝐭𝐮𝐫𝐝𝐚𝐲 dhidi ya Athletic Club kwenye La Liga!

    SIKU YA KIHISTORIA KWA BARÇA!
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Barcelona wanarejea 𝐒𝐩𝐨𝐭𝐢𝐟𝐲 𝐂𝐚𝐦𝐩 𝐨𝐨 kitakuwa uwanja mpya. 𝐭𝐡𝐢𝐬 𝐒𝐚𝐭𝐮𝐫𝐝𝐚𝐲 dhidi ya Athletic Club kwenye La Liga! 🤩 SIKU YA KIHISTORIA KWA BARÇA! ❤️💙
    ·191 Views
  • 𝐁REAKING NEWS!
    -
    Mshambuliaji Mohamed Youcef Belaïli wa Esperance anatarajiwa kufanyiwa Upasuaji wikiendi hii baada ya vipimo vya mionzi kubaini majeraha yake ya ACL (anterior cruciate ligament) kwenye mchezo baina ya Esperance na Club Africain.

    Pia klabu hiyo inatarajiwa kumkosa Fundi wao Yan Sasse kwa muda wa wiki 2-3 kwa maumivu ya misuli aliyoyapata kwenye mchezo huo pia…!

    MUNGU yu pamoja na watoto wa Mudi huu mwaka !?
    Wananchi tuzidishe Maombi, hali ni ileile....
    𝐁REAKING NEWS! - Mshambuliaji Mohamed Youcef Belaïli wa Esperance anatarajiwa kufanyiwa Upasuaji wikiendi hii baada ya vipimo vya mionzi kubaini majeraha yake ya ACL (anterior cruciate ligament) kwenye mchezo baina ya Esperance na Club Africain. Pia klabu hiyo inatarajiwa kumkosa Fundi wao Yan Sasse kwa muda wa wiki 2-3 kwa maumivu ya misuli aliyoyapata kwenye mchezo huo pia…! MUNGU yu pamoja na watoto wa Mudi huu mwaka !?😀 Wananchi tuzidishe Maombi, hali ni ileile....
    ·866 Views
  • RATIBA YA LEO IJUMAA YA NOVEMBER 14 - 2025

    🏟 13:20 - Japan Ghana

    🏟 14:00 - South Korea Bolivia

    🏟 16:00 - Burkina Faso Niger

    🏟 18:00 - Kenya Equatorial Guinea

    🏟 19:00 - Angola Argentina

    🏟 19:00 - Uzbekistan Egypt

    🏟 19:30 - Saudi Arabia Ivory Coast

    🏟 21:00 - Kuwait Tanzania

    🏟 22:00 - Morocco Mozambique

    🏟 22:45 - Luxembourg Germany

    🏟 22:45 - Croatia Faroe Island

    🏟 22:45 - Poland Netherlands

    Kama bado haujajisajili na Sporpesa unapitwa na mambo mengi Odds zao kubwa Jisajili sasa Utakujaga kunishukuru baadae Bonyeza Link kisha jisajili https://bit.ly/MicroFB08

    #sportpesaushindiuendelee
    #sportpesaTZ
    🚨 RATIBA YA LEO IJUMAA YA NOVEMBER 14 - 2025 🏟 13:20 - Japan 🇯🇵 ⚔️ Ghana 🇬🇭 🏟 14:00 - South Korea 🇰🇷 ⚔️ Bolivia 🇧🇴 🏟 16:00 - Burkina Faso 🇧🇫 ⚔️ Niger 🇳🇪 🏟 18:00 - Kenya 🇰🇪 ⚔️Equatorial Guinea 🇬🇶 🏟 19:00 - Angola 🇦🇴 ⚔️ Argentina 🇦🇷 🏟 19:00 - Uzbekistan 🇺🇿 ⚔️ Egypt 🇪🇬 🏟 19:30 - Saudi Arabia 🇸🇦 ⚔️ Ivory Coast 🇮🇪 🏟 21:00 - Kuwait 🇰🇼 ⚔️ Tanzania 🇹🇿 🏟 22:00 - Morocco 🇲🇦 ⚔️ Mozambique 🇲🇿 🏟 22:45 - Luxembourg 🇱🇺 ⚔️ Germany 🇩🇪 🏟 22:45 - Croatia 🇭🇷 ⚔️ Faroe Island 🇫🇴 🏟 22:45 - Poland 🇵🇱 ⚔️ Netherlands 🇳🇱 ✍️ Kama bado haujajisajili na Sporpesa unapitwa na mambo mengi Odds zao kubwa Jisajili sasa Utakujaga kunishukuru baadae Bonyeza Link kisha jisajili https://bit.ly/MicroFB08 #sportpesaushindiuendelee #sportpesaTZ
    ·725 Views
  • 🆕️ Baada ya uchunguzi wa kina wa jopo la madaktari imeonekana jeraha la Moussa Pin Pin Camara ni kubwa kuliko kawaida na huwenda akawa nje ya uwanja kwa muda mrefu zaidi, inaelezwa viongozi wa Simba wanamshawishi Camara wavunje naye mkataba ili waweze kusajili golikipa mwengine wa kigeni kwa ajili ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika.

    MANAGEMENT YA CAMARA WAMEOMBA KULIPWA FEDHA ZOTE BILA ZENGWE ILI ZOEZI LA KUVUNJWA MKATABA LIFANIKIWE!
    🆕️ Baada ya uchunguzi wa kina wa jopo la madaktari imeonekana jeraha la Moussa Pin Pin Camara ni kubwa kuliko kawaida na huwenda akawa nje ya uwanja kwa muda mrefu zaidi, inaelezwa viongozi wa Simba wanamshawishi Camara wavunje naye mkataba ili waweze kusajili golikipa mwengine wa kigeni kwa ajili ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika. MANAGEMENT YA CAMARA WAMEOMBA KULIPWA FEDHA ZOTE BILA ZENGWE ILI ZOEZI LA KUVUNJWA MKATABA LIFANIKIWE!
    ·698 Views
  • RASMI:
    Klabu ya Napoli imethibitisha kuwa kiungo wa Cameroon Franck Zambo Anguissa amepata jeraha kubwa la misuli.

    Kwa mujibu wa taarifa za kitabibu, Anguissa atakuwa nje kwa miezi kadhaa, hali inayoweza kumfanya aukose AFCON 2025 nchini Morocco.
    Pigo kubwa kwa Cameroon.

    Anguissa ni mhimili mkubwa wa kiungo cha Cameroon, hivyo kutokuwepo kwake kunaathiri uimara wa timu katika presha kubwa ya mechi za AFCON.

    Unadhani Cameroon wataimudu AFCON bila Anguissa?
    Je, nafasi yake inapaswa kuzibwa na nani?

    🔵 RASMI: Klabu ya Napoli imethibitisha kuwa kiungo wa Cameroon 🇨🇲 Franck Zambo Anguissa amepata jeraha kubwa la misuli. Kwa mujibu wa taarifa za kitabibu, Anguissa atakuwa nje kwa miezi kadhaa, hali inayoweza kumfanya aukose AFCON 2025 nchini Morocco. Pigo kubwa kwa Cameroon. 💔 Anguissa ni mhimili mkubwa wa kiungo cha Cameroon, hivyo kutokuwepo kwake kunaathiri uimara wa timu katika presha kubwa ya mechi za AFCON. Unadhani Cameroon wataimudu AFCON bila Anguissa? Je, nafasi yake inapaswa kuzibwa na nani?
    ·517 Views
  • VIVA
    VIVA
    ·95 Views
  • Congo DRC wamezima ndoto za Bryan Mbuemo kukiwasha Kombe la Dunia 2026, baada ya kuwatupilia nje ya playoffs timu ya Taifa ya Cameroon kwa ushindi wa goli 1-0.

    🚨 Congo DRC 🇨🇩 wamezima ndoto za Bryan Mbuemo kukiwasha Kombe la Dunia 2026, baada ya kuwatupilia nje ya playoffs timu ya Taifa ya Cameroon kwa ushindi wa goli 1-0. 😅😅😅😅😅
    ·441 Views
  • FC Barcelona wamepanga kujenga sanamu la Mchezaji wao Bora wa Muda Wote Mwamba Lionel Messi mbele ya Dimba lao jipya la Spotify Camp Neu.

    Rasi wa Barcelona Juan Laporta amethibitisha Hilo na kusema wanatambua mchango mkubwa wa Lionel Messi na hivyo sanamu Hilo litakuwa ni Heshima Kubwa kwao kwa Mwamba huyo
    🚨 FC Barcelona wamepanga kujenga sanamu la Mchezaji wao Bora wa Muda Wote Mwamba Lionel Messi mbele ya Dimba lao jipya la Spotify Camp Neu. Rasi wa Barcelona Juan Laporta amethibitisha Hilo na kusema wanatambua mchango mkubwa wa Lionel Messi na hivyo sanamu Hilo litakuwa ni Heshima Kubwa kwao kwa Mwamba huyo
    ·446 Views
  • JUST IN

    Kocha wa Brazil Carlo Ancelotti amekanusha kuwa alimwambia mshambuliaji wa Real Madrid mwenye umri wa miaka 19, Endrick, ambaye anakaribia kujiunga na Lyon kwa mkopo, kwamba alilazimika kuihama klabu hiyo ya Uhispania ili kupata nafasi ya kukipiga katika kikosi chake kwa ajili ya Kombe la Dunia la 2026.

    Via: AS - In Spanish
    🚨JUST IN🇧🇷 Kocha wa Brazil Carlo Ancelotti amekanusha kuwa alimwambia mshambuliaji wa Real Madrid mwenye umri wa miaka 19, Endrick, ambaye anakaribia kujiunga na Lyon kwa mkopo, kwamba alilazimika kuihama klabu hiyo ya Uhispania ili kupata nafasi ya kukipiga katika kikosi chake kwa ajili ya Kombe la Dunia la 2026. Via: AS - In Spanish
    ·400 Views
  • Mmiliki wa Sunderland, Kyril Louis-Dreyfus ana umri wa miaka 27 tuu, na alikuwa na umri wa miaka 23 kipindi aliponunua klabu hiyo ilipokuwa League one pale England...

    Yeye ni Mswisi mwenye asili ya Ufaransa na ni mmoja wa memba wa familia ya Mfaransa Louis-Dreyfus ambao walikuwa wamiliki wa zamani wa Olympic Marseille.

    Alikuwa mwenyekiti mdogo zaidi wa klabu hiyo pindi alipokuwa majority shareholder wa Sunderland na hadi sasa wakiwa wanafanya vizuri kwenye Premier League.

    Yeye ndiye sababu kuu, nahodha wa Uswisi Granit Xhaka kuamua kujiunga na Sunderland Dirisha liliopita la Usajili kutokea Bayer Leverkusen, na kuwa moja ya Usajili Bora kwenye Premier League msimu huu...
    🚨 Mmiliki wa Sunderland, Kyril Louis-Dreyfus ana umri wa miaka 27 tuu, na alikuwa na umri wa miaka 23 kipindi aliponunua klabu hiyo ilipokuwa League one pale England... Yeye ni Mswisi mwenye asili ya Ufaransa na ni mmoja wa memba wa familia ya Mfaransa Louis-Dreyfus ambao walikuwa wamiliki wa zamani wa Olympic Marseille. Alikuwa mwenyekiti mdogo zaidi wa klabu hiyo pindi alipokuwa majority shareholder wa Sunderland na hadi sasa wakiwa wanafanya vizuri kwenye Premier League. Yeye ndiye sababu kuu, nahodha wa Uswisi Granit Xhaka kuamua kujiunga na Sunderland Dirisha liliopita la Usajili kutokea Bayer Leverkusen, na kuwa moja ya Usajili Bora kwenye Premier League msimu huu...
    ·737 Views
  • Wiki ya 5️⃣ ya ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania ipo hivi

    @tanfootball @nbc_tanzania @fifaplus
    Wiki ya 5️⃣ ya ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania ipo hivi 🔥 @tanfootball @nbc_tanzania @fifaplus
    ·489 Views
  • Taarifa njemaa kuelekea mchezo wa Ufunguzi wa Uwanja wa Spotify Camp Nou wa Barcelona November 22 mwaka 2025.🏟

    Barcelona imethibitisha Winga Raphinha na Golikipa wao Joan Garcia watakuwepo kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Athletic Club November 22 baada ya wote wawili kupona Majeraha yao .

    Barcelona imepanga kuuzindua Uwanja wao wa Spotify Camp Nou November 22 ambapo watacheza dhdi ya Athletic Club. ✅️
    🚨 Taarifa njemaa kuelekea mchezo wa Ufunguzi wa Uwanja wa Spotify Camp Nou wa Barcelona November 22 mwaka 2025.🏟 Barcelona imethibitisha Winga Raphinha na Golikipa wao Joan Garcia watakuwepo kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Athletic Club November 22 baada ya wote wawili kupona Majeraha yao . Barcelona imepanga kuuzindua Uwanja wao wa Spotify Camp Nou November 22 ambapo watacheza dhdi ya Athletic Club. ✅️
    ·463 Views
  • Klabu ya Al-Ahli Tripoli kutoka nchini Libya imetuma rasmi ofa ya Dola za Kimarekani 800,000 (sawa na takriban Shilingi bilioni 1.97 za Tanzania) kwa ajili ya kuvunja mkataba wa kiungo nyota wa Tanzania, Feisal Salum Abdallah (27).

    Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika, Al-Ahli Tripoli imekuwa ikimfuatilia Feisal tangu mwezi Agosti 2025, baada ya kuvutiwa na kiwango chake cha juu katika Ligi Kuu ya NBC na timu ya taifa, Taifa Stars.

    Inadaiwa kuwa klabu hiyo ilituma barua ya kwanza rasmi ya maombi kwa klabu anayochezea Feisal mnamo tarehe 14 Septemba 2025, ikiwa ni hatua ya awali kuelekea mazungumzo ya kuhitimisha dili hilo.

    Endapo mchakato huo utakamilika, Feisal Salum ataungana na wachezaji kadhaa wa Afrika Mashariki waliowahi kucheza katika ligi ya Libya, ligi inayojulikana kwa malipo mazuri na ushindani mkubwa katika ukanda wa Afrika Kaskazini.

    Feisal, ambaye pia ni mchezaji muhimu wa Taifa Stars, ameendelea kuvutia vilabu kadhaa vya nje kutokana na ubora wake wa kiufundi, nidhamu, na uzoefu mkubwa katika soka la kimataifa.

    Kwa sasa, klabu anayochezea Feisal haijatoa tamko rasmi kuhusu ofa hiyo, huku mashabiki wakiendelea kusubiri matokeo ya mazungumzo kati ya pande hizo mbili.
    Klabu ya Al-Ahli Tripoli kutoka nchini Libya imetuma rasmi ofa ya Dola za Kimarekani 800,000 (sawa na takriban Shilingi bilioni 1.97 za Tanzania) kwa ajili ya kuvunja mkataba wa kiungo nyota wa Tanzania, Feisal Salum Abdallah (27). Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika, Al-Ahli Tripoli imekuwa ikimfuatilia Feisal tangu mwezi Agosti 2025, baada ya kuvutiwa na kiwango chake cha juu katika Ligi Kuu ya NBC na timu ya taifa, Taifa Stars. Inadaiwa kuwa klabu hiyo ilituma barua ya kwanza rasmi ya maombi kwa klabu anayochezea Feisal mnamo tarehe 14 Septemba 2025, ikiwa ni hatua ya awali kuelekea mazungumzo ya kuhitimisha dili hilo. Endapo mchakato huo utakamilika, Feisal Salum ataungana na wachezaji kadhaa wa Afrika Mashariki waliowahi kucheza katika ligi ya Libya, ligi inayojulikana kwa malipo mazuri na ushindani mkubwa katika ukanda wa Afrika Kaskazini. Feisal, ambaye pia ni mchezaji muhimu wa Taifa Stars, ameendelea kuvutia vilabu kadhaa vya nje kutokana na ubora wake wa kiufundi, nidhamu, na uzoefu mkubwa katika soka la kimataifa. Kwa sasa, klabu anayochezea Feisal haijatoa tamko rasmi kuhusu ofa hiyo, huku mashabiki wakiendelea kusubiri matokeo ya mazungumzo kati ya pande hizo mbili.
    ·625 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham inaendelea kushikilia mazungumzo na Bayern Munich juu ya uhamisho wa kudumu wa João Palhinha, ambae tayari amekwisha kukubaliana mkataba hadi 2029.
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham inaendelea kushikilia mazungumzo na Bayern Munich juu ya uhamisho wa kudumu wa João Palhinha, ambae tayari amekwisha kukubaliana mkataba hadi 2029. ⚪
    ·231 Views
Meer blogs