Sports Elite
2 persone piace questo elemento
938 Articoli
961 Foto
0 Video
0 Anteprima
Aggiornamenti recenti
  • Victor Boniface: ๐ŸŽ™ "Kuidharau mili yenu na kupoteza pesa zenu kwa wanawake wengi hakutawapeleka popote maishani"

    "Sijui ni lini mtakuwa na hekima. Tafuteni mwanamke mmoja, au wawili, mkae nao vizuri! Ama Watatu na kama unapitia wakati mgumu sana, basi wanne wanakubalika."

    Iman Sport News
    Victor Boniface: ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ๐ŸŽ™ "Kuidharau mili yenu na kupoteza pesa zenu kwa wanawake wengi hakutawapeleka popote maishani" "Sijui ni lini mtakuwa na hekima. Tafuteni mwanamke mmoja, au wawili, mkae nao vizuri! Ama Watatu na kama unapitia wakati mgumu sana, basi wanne wanakubalika." Iman Sport News
    Like
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท168 Views
  • Rúben Amorim kuhusu Casemiro: "Anajisikia vibaya zaidi kuliko mimi. Tulishinda, kwa hivyo nitasahau kidogo, lakini atateseka kwa sababu ni mtaalamu mzuri. Anaelewa alichokifanya. Ana uzoefu wa kutosha kujua kwamba hakupaswa kucheza hivyo."
    Rúben Amorim kuhusu Casemiro: "Anajisikia vibaya zaidi kuliko mimi. Tulishinda, kwa hivyo nitasahau kidogo, lakini atateseka kwa sababu ni mtaalamu mzuri. Anaelewa alichokifanya. Ana uzoefu wa kutosha kujua kwamba hakupaswa kucheza hivyo."
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท149 Views
  • Like
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท46 Views
  • ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹ | Sydney FC wamekatisha mkataba wa Douglas Costa kupitia makubaliano ya pande zote mbili.

    Taarifa: "Winga huyo hawezi kusafiri hadi Australia. Mambo ya kisheria na ya kibinafsi yanayoendelea katika nchi yake yamemzuia Mbrazil huyo kuondoka."

    FOLLOW US
    ๐Ÿšจ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹ | Sydney FC wamekatisha mkataba wa Douglas Costa kupitia makubaliano ya pande zote mbili. โœ๏ธโŒ Taarifa: "Winga huyo hawezi kusafiri hadi Australia. Mambo ya kisheria na ya kibinafsi yanayoendelea katika nchi yake yamemzuia Mbrazil huyo kuondoka." FOLLOW US
    Like
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท157 Views
  • Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki ilimpa Filipe Luis mara 10 ya mshahara wake wa sasa, lakini akaukataa

    Alisema anataka kutimiza ahadi yake na Flamengo kwa sasa. ๐Ÿซก Tayari ana mipango ya kazi yake—ana ndoto ya kufundisha Ulaya, lakini si hivi sasa.

    FOLLOW US
    ๐Ÿšจ ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki ilimpa Filipe Luis mara 10 ya mshahara wake wa sasa, lakini akaukataa โŒ Alisema anataka kutimiza ahadi yake na Flamengo kwa sasa. ๐Ÿซก Tayari ana mipango ya kazi yake—ana ndoto ya kufundisha Ulaya, lakini si hivi sasa. ๐Ÿ’› FOLLOW US
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท163 Views
  • | Rodri juu ya ushindani wa "maalum" wa Arsenal / Man City: "Sikudhani ilikuwa hapo awali, lakini katika miaka michache iliyopita tulikuwa washindani wa taji, kwa hivyo ndio [ni maalum]. "

    Bila shaka, kwa sababu tulikuwa na wachezaji waliocheza hapa, [na] wamekwenda Arsenal. Mikel [Arteta] alikuwa hapa [kama sehemu ya wahudumu wa Guardiola] na akaenda huko na ikawa kubwa zaidi.

    "Tuko kwenye mdundo hivi sasa ambapo wako katika nafasi nzuri na wako kwenye kiwango bora zaidi kwa hivyo ikiwa tunataka kuendelea kupigana nao, lazima tuongeze kiwango, ni dhahiri.

    "Tunajua kuwa ni mwanzo wa msimu ambapo tutacheza kadri tuwezavyo ili kurudisha kiwango hicho."

    Source ::[@ManCity]

    FOLLOW US
    ๐Ÿ—ฃ๏ธ| Rodri juu ya ushindani wa "maalum" wa Arsenal / Man City: "Sikudhani ilikuwa hapo awali, lakini katika miaka michache iliyopita tulikuwa washindani wa taji, kwa hivyo ndio [ni maalum]. " Bila shaka, kwa sababu tulikuwa na wachezaji waliocheza hapa, [na] wamekwenda Arsenal. Mikel [Arteta] alikuwa hapa [kama sehemu ya wahudumu wa Guardiola] na akaenda huko na ikawa kubwa zaidi. "Tuko kwenye mdundo hivi sasa ambapo wako katika nafasi nzuri na wako kwenye kiwango bora zaidi kwa hivyo ikiwa tunataka kuendelea kupigana nao, lazima tuongeze kiwango, ni dhahiri. "Tunajua kuwa ni mwanzo wa msimu ambapo tutacheza kadri tuwezavyo ili kurudisha kiwango hicho." Source ::[@ManCity] FOLLOW US
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท151 Views
  • SACKED

    Fadlu Davids ameondoka Simba SC

    Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa.

    Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania.

    FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo.
    Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola

    Thank you Fadlu

    Ozil Kiiza Morris
    Kita A Kita
    SACKED Fadlu Davids ameondoka Simba SC Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa. โœ๏ธ Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania. FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo. Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola Thank you Fadlu Ozil Kiiza Morris Kita A Kita
    Yay
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท379 Views
  • Jini ni mchezaji mzuri,miguu yake ina shabaha haswaa,kwenye ubora wake anaweza kuamuwa mechi yoyote Ila kusema ukweli Msimu huu bado sijamuona Jini.

    Yuko Down sana,fitness Yake bado Siyo nzuri,ile confidence ya ku-risk mbele ya goli iko chini sana hata work rate Yake imepungua.

    Mbaya zaidi Fadlu humwambii chochote kwa Jini Kwani anaamini huyu ndo Süper star wa Simba hivyo hata acheze vibaya atabaki uwanjani….kwa kifupi Jini wa Fadlu ni untouchable

    Hans Rafael
    Jini ni mchezaji mzuri,miguu yake ina shabaha haswaa,kwenye ubora wake anaweza kuamuwa mechi yoyote Ila kusema ukweli Msimu huu bado sijamuona Jini. Yuko Down sana,fitness Yake bado Siyo nzuri,ile confidence ya ku-risk mbele ya goli iko chini sana hata work rate Yake imepungua. Mbaya zaidi Fadlu humwambii chochote kwa Jini Kwani anaamini huyu ndo Süper star wa Simba hivyo hata acheze vibaya atabaki uwanjani….kwa kifupi Jini wa Fadlu ni untouchable ๐Ÿ–๏ธ Hans Rafael
    Angry
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท159 Views
  • Zlatan Ibrahimovic: "Katika Inter Milan, kulikuwa na sheria hii: ukipoteza michezo miwili mfululizo, mishahara yako ya kila wiki itacheleweshwa hadi tutakapofanya sawa. Lakini sheria hiyo ilivunjwa na Mario Balotelli.

    Tulipoteza kombe na mechi ya Seria A ndani ya siku tatu. Sote tulijua mishahara yetu ya kila wiki ingecheleweshwa. Wakati wa mazoezi, Balotelli hakupatikana popote. Mourinho alimpigia simu bila mafanikio.

    Dakika 30 baadaye, rais alikuja na Balotelli akiwa amekasirika na kutuambia, ‘Je, Mario anaweza kusoma Kiitaliano?’.. tukasema ‘Ndiyo’ .. lakini alikuja ofisini kwangu kutafuta pesa zake. Nikamwambia ni kushindwa mara mbili mfululizo na ni kucheleweshwa kwa mshahara. Aliniambia, Yeye hajali ikiwa ni 100 mfululizo; anataka malipo yake tu. Kuanzia leo nitawalipa na kuwaachilia wote mkitenda kama yeye”

    Tulilipwa kwa mara ya kwanza baada ya hasara mbili mfululizo. Tulianza kumpasia mpira zaidi ili kufunga kwa sababu alikuwa bora kuliko rais.”

    FOLLOW US
    ๐ŸŽ™๏ธZlatan Ibrahimovic: "Katika Inter Milan, kulikuwa na sheria hii: ukipoteza michezo miwili mfululizo, mishahara yako ya kila wiki itacheleweshwa hadi tutakapofanya sawa. Lakini sheria hiyo ilivunjwa na Mario Balotelli. Tulipoteza kombe na mechi ya Seria A ndani ya siku tatu. Sote tulijua mishahara yetu ya kila wiki ingecheleweshwa. Wakati wa mazoezi, Balotelli hakupatikana popote. Mourinho alimpigia simu bila mafanikio. Dakika 30 baadaye, rais alikuja na Balotelli akiwa amekasirika na kutuambia, ‘Je, Mario anaweza kusoma Kiitaliano?’.. tukasema ‘Ndiyo’ .. lakini alikuja ofisini kwangu kutafuta pesa zake. Nikamwambia ni kushindwa mara mbili mfululizo na ni kucheleweshwa kwa mshahara. Aliniambia, Yeye hajali ikiwa ni 100 mfululizo; anataka malipo yake tu. Kuanzia leo nitawalipa na kuwaachilia wote mkitenda kama yeye” Tulilipwa kwa mara ya kwanza baada ya hasara mbili mfululizo. Tulianza kumpasia mpira zaidi ili kufunga kwa sababu alikuwa bora kuliko rais.” FOLLOW US
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท199 Views
  • Ameandika Mtangazaji wa kabumbu Nazareth Upete

    Sikutaka kuandika update yoyote ya Fadlu kwa Jana kwa sababu Simba walikuwa na mechi ngumu, muhimu na serious zaidi ambayo isingekuwa vyema kuandika chochote chenye mapelekeo yoyote hasi kwa mtu yoyote anayehusiana na Simba SC.

    THE SAGA…!
    Tarehe 07/09 siku 3 kabla ya Simba Day kuna mtu ninayemwamini sana kutoka Morocco alinipatia taarifa ya Fadlu kuridhiana na klabu ya Raja Casablanca kwenda kuhudumu hapo…!

    Pamoja na kutoachana vyema sana na Raja akiwa Kocha msaidizi haikuwarudisha nyuma huku inaelezwa Wydad pia waliulizia upatikanaji wake lakini mkataba wa Raja ulikuwa na sababu nyingi za kuridhiwa kuliko kukataliwa.

    Tarehe 11 baada ya Simba Day, Wydad walikuwa serious kuulizia taarifa za Fadlu kwa baadhi ya watu hususani mwenendo wake kwenye maeneo yote ya msingi…! Wakataka kuingilia kati deal.

    Bado Ofa ya Raja ikasimama kiume…! Fadlu yupo tayari kuibeba Ofa ya Raja na project yao ya #BringBackCasablancaโšฝ๏ธ

    Wakati hali ikiwa hivyo inaelezwa mmoja wa wasaidizi wake anataka kusalia Msimbazi akiamini project yao italipa punde!

    Inaelezwa Fadlu anahisi kuna vitu havipo sawa na zigo la lawama analitupa kwa uongozi wa timu huku yeye akitafuta mlango wa kutokea!

    Kwa sasa kuna urafiki wa mashaka baina ya pande mbili na Simba wamefanya kila kitu kumbakisha ila msimamo wa Fadlu umebebwa mazima na Ofa za waManga pale Morocco

    95% mechi ya Jana ilikuwa ya mwisho kwa Fadlu kama Kocha wa Simba na sasa kilichobaki ni yeye tu awalipe Simba SC kuvunja mkataba ingali analazimisha wamruhusu aende Free!

    MTAZAMO WANGU!?
    Simba hawatakuwa na Pengo kuondoka kwa Fadlu…! Amefanya kazi nzuri ila makocha ni wengi sana barani Afrika! Kikubwa ni kutuliza Kichwa wakati wa uchaguzi wa Kocha na kuachana na % za maslahi.

    Fadlu ni Kocha mzuri ila kwa mtazamo wangu pengo linazibika…! Bahati nzuri hajacheza mechi yoyote ya Ligi…! Yoyote atakayekuja ni rahisi tu kuendeleza kitu bora kwa sababu wachezaji Quality yao sio ya kubeza!

    Salaaam!
    Ameandika Mtangazaji wa kabumbu Nazareth Upete โœ๏ธ Sikutaka kuandika update yoyote ya Fadlu kwa Jana kwa sababu Simba walikuwa na mechi ngumu, muhimu na serious zaidi ambayo isingekuwa vyema kuandika chochote chenye mapelekeo yoyote hasi kwa mtu yoyote anayehusiana na Simba SC. THE SAGA…! Tarehe 07/09 siku 3 kabla ya Simba Day kuna mtu ninayemwamini sana kutoka Morocco alinipatia taarifa ya Fadlu kuridhiana na klabu ya Raja Casablanca kwenda kuhudumu hapo…! Pamoja na kutoachana vyema sana na Raja akiwa Kocha msaidizi haikuwarudisha nyuma huku inaelezwa Wydad pia waliulizia upatikanaji wake lakini mkataba wa Raja ulikuwa na sababu nyingi za kuridhiwa kuliko kukataliwa. Tarehe 11 baada ya Simba Day, Wydad walikuwa serious kuulizia taarifa za Fadlu kwa baadhi ya watu hususani mwenendo wake kwenye maeneo yote ya msingi…! Wakataka kuingilia kati deal. Bado Ofa ya Raja ikasimama kiume…! Fadlu yupo tayari kuibeba Ofa ya Raja na project yao ya #BringBackCasablancaโšฝ๏ธ Wakati hali ikiwa hivyo inaelezwa mmoja wa wasaidizi wake anataka kusalia Msimbazi akiamini project yao italipa punde! Inaelezwa Fadlu anahisi kuna vitu havipo sawa na zigo la lawama analitupa kwa uongozi wa timu huku yeye akitafuta mlango wa kutokea! Kwa sasa kuna urafiki wa mashaka baina ya pande mbili na Simba wamefanya kila kitu kumbakisha ila msimamo wa Fadlu umebebwa mazima na Ofa za waManga pale Morocco โœ๏ธ 95% mechi ya Jana ilikuwa ya mwisho kwa Fadlu kama Kocha wa Simba na sasa kilichobaki ni yeye tu awalipe Simba SC kuvunja mkataba ingali analazimisha wamruhusu aende Free! MTAZAMO WANGU!? Simba hawatakuwa na Pengo kuondoka kwa Fadlu…! Amefanya kazi nzuri ila makocha ni wengi sana barani Afrika! Kikubwa ni kutuliza Kichwa wakati wa uchaguzi wa Kocha na kuachana na % za maslahi. Fadlu ni Kocha mzuri ila kwa mtazamo wangu pengo linazibika…! Bahati nzuri hajacheza mechi yoyote ya Ligi…! Yoyote atakayekuja ni rahisi tu kuendeleza kitu bora kwa sababu wachezaji Quality yao sio ya kubeza! Salaaam!
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท319 Views
  • Lionel Messi katika maisha yake yote ya soka. ๐Ÿซก

    ๐ŸŸ Michezo - 1123
    โšฝ๏ธ Mabao - 882
    Asisst - 391
    ๐Ÿ ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท ๐Ÿšจ Lionel Messi katika maisha yake yote ya soka. ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿซก ๐ŸŸ Michezo - 1123 โšฝ๏ธ Mabao - 882 ๐ŸŽฏ Asisst - 391
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท135 Views
  • RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025

    13:30 - SS Lazio AS Roma

    15:00 - Rayo Vallecano Celta Vigo

    15:30 - PSV Eindhoven Ajax

    16:00 - Torino FC Atalanta BC

    16:00 - Sunderland Aston Villa

    16:00 - Bournemouth Newcastle United

    16:00 - Mashujaa FC Mtibwa Sugar

    16:30 - Frankfurt Union Berlin

    17:15 - Real Mallorca Atletico Madrid

    17:30 - Partick Thistle Celtic FC

    17:45 - Az Alkmaar Feyenoord

    18:15 - AS Monaco Metz

    18:30 - Bayer Leverkusen M'gladbach

    18:30 - Arsenal FC Manchester City

    19:00 - Namungo FC Tanzania Prisons

    19:00 - Fiorentina Como FC

    20:00 - Kasimpasa Fenerbahce FK

    20:30 - Dortmund Wolfsburg

    21:45 - Inter Milan Sassuolo

    21:45 - Marseille Paris Saint Germain

    22:00 - Barcelona Getafe FC
    ๐Ÿšจ RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 13:30 - SS Lazio โš”๏ธ AS Roma ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 15:00 - Rayo Vallecano โš”๏ธ Celta Vigo ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ 15:30 - PSV Eindhoven โš”๏ธ Ajax ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 16:00 - Torino FC โš”๏ธ Atalanta BC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 16:00 - Sunderland โš”๏ธ Aston Villa ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 16:00 - Bournemouth โš”๏ธ Newcastle United ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 16:00 - Mashujaa FC โš”๏ธ Mtibwa Sugar ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 16:30 - Frankfurt โš”๏ธ Union Berlin ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 17:15 - Real Mallorca โš”๏ธ Atletico Madrid ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ณ๓ ฃ๓ ด๓ ฟ 17:30 - Partick Thistle โš”๏ธ Celtic FC ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ 17:45 - Az Alkmaar โš”๏ธ Feyenoord ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท 18:15 - AS Monaco โš”๏ธ Metz ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 18:30 - Bayer Leverkusen โš”๏ธ M'gladbach ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 18:30 - Arsenal FC โš”๏ธ Manchester City ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 19:00 - Namungo FC โš”๏ธ Tanzania Prisons ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 19:00 - Fiorentina โš”๏ธ Como FC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ท 20:00 - Kasimpasa โš”๏ธ Fenerbahce FK ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 20:30 - Dortmund โš”๏ธ Wolfsburg ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 21:45 - Inter Milan โš”๏ธ Sassuolo ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท 21:45 - Marseille โš”๏ธ Paris Saint Germain ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 22:00 - Barcelona โš”๏ธ Getafe FC
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท216 Views
  • 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท31 Views
  • Muda wa kupona jeraha la paja la kulia la Neymar Jr. (rectus femoris) linaweza kuanzia wiki 4 hadi 12. Kwa hivyo, Ney hatakuwepo kwa Timu ya Taifa ya Brazil kwa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Oktoba na pia anaweza kukosa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Novemba pia.

    Neymar Jr Zisingekuwa Injari nyingi Jamaa ni Fundi WA mpila Sana aiseee Tungefurahi Sana ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ

    Source: TNTSsportsBR
    ๐Ÿšจ๐Ÿšจโš ๏ธโ€ผ๏ธ Muda wa kupona jeraha la paja la kulia la Neymar Jr. (rectus femoris) linaweza kuanzia wiki 4 hadi 12. Kwa hivyo, Ney hatakuwepo kwa Timu ya Taifa ya Brazil kwa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Oktoba na pia anaweza kukosa mapumziko ya Kimataifa ya FIFA ya Novemba pia. ๐Ÿ˜ฌ Neymar Jr Zisingekuwa Injari nyingi Jamaa ni Fundi WA mpila Sana aiseee Tungefurahi Sana ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ Source: โ„น๏ธTNTSsportsBR
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท133 Views
  • FC Barcelona inapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane kwenye dilisha dogo .

    Kane huwenda akawa mbadala wa Robert Lewandowski replacement.

    (Source: El Nacional)
    ๐Ÿšจ FC Barcelona inapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane kwenye dilisha dogo . Kane huwenda akawa mbadala wa Robert Lewandowski replacement. (Source: El Nacional)
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท163 Views
  • N
    N
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท31 Views
  • Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie

    Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG.

    Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao.
    Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana.

    Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis

    Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5.
    Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4.
    Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.
    Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG. Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao. Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana. Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5. Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4. Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท234 Views
  • ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : Seria A

    HELLAS VERONA 1๏ธโƒฃโž–๏ธ1๏ธโƒฃ JUVENTUS FC
    โšฝ๏ธ 44" Orban (p) โšฝ๏ธ 19" Conceicao
    ๐Ÿšฉ ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : Seria A ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น HELLAS VERONA 1๏ธโƒฃโž–๏ธ1๏ธโƒฃ JUVENTUS FC โšฝ๏ธ 44" Orban (p) โšฝ๏ธ 19" Conceicao
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท131 Views
  • Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini.

    WAFUNGAJI :
    Feitoto
    Kitambala

    #SportsElite
    Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini. WAFUNGAJI : โšฝ Feitoto โšฝ Kitambala #SportsElite
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท157 Views
  • ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : Ligue 1

    RC LENS 3๏ธโƒฃโž–๏ธ0๏ธโƒฃ LOSC LILLE
    โšฝ๏ธ 28" Said
    โšฝ๏ธ 43" Thauvin
    โšฝ๏ธ 52" Fofana
    ๐Ÿšฉ ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : Ligue 1 ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท RC LENS 3๏ธโƒฃโž–๏ธ0๏ธโƒฃ LOSC LILLE โšฝ๏ธ 28" Said โšฝ๏ธ 43" Thauvin โšฝ๏ธ 52" Fofana
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท45 Views
  • Kazi imekwisha sasa muda wa kupumzika Mungu akitujaalia tutaonana kesho msichoke Kunisapoti tuzidi kupasua Anga.

    #SportsElite
    โœ๏ธ Kazi imekwisha sasa muda wa kupumzika Mungu akitujaalia tutaonana kesho msichoke Kunisapoti tuzidi kupasua Anga. ๐Ÿ™ #SportsElite
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท98 Views
  • ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : Premier League

    FULHAM FC 3๏ธโƒฃโž–๏ธ1๏ธโƒฃ BRENTFORD FC
    โšฝ๏ธ 38" Iwobi โšฝ๏ธ 20" Damsgaard
    โšฝ๏ธ 40" Wilson
    โšฝ๏ธ 50" Pinnock (og)
    ๐Ÿšฉ ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : Premier League ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ FULHAM FC 3๏ธโƒฃโž–๏ธ1๏ธโƒฃ BRENTFORD FC โšฝ๏ธ 38" Iwobi โšฝ๏ธ 20" Damsgaard โšฝ๏ธ 40" Wilson โšฝ๏ธ 50" Pinnock (og)
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท38 Views
  • ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : Liga Portugal

    AVS FUTBOL SAD 0๏ธโƒฃโž–๏ธ3๏ธโƒฃ SL BENFICA
    โšฝ๏ธ 45+3" Sudakov
    โšฝ๏ธ 59" Pavldis (p)
    โšฝ๏ธ 64" Ivanovic
    ๐Ÿšฉ ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : Liga Portugal ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น AVS FUTBOL SAD 0๏ธโƒฃโž–๏ธ3๏ธโƒฃ SL BENFICA โšฝ๏ธ 45+3" Sudakov โšฝ๏ธ 59" Pavldis (p) โšฝ๏ธ 64" Ivanovic
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท128 Views
  • ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : La Liga

    VALENCIA CF 2๏ธโƒฃโž–๏ธ0๏ธโƒฃ ATHLETIC CLUB
    โšฝ๏ธ 73" Santamaria 61" Vivian
    โšฝ๏ธ 90+3" Duro
    ๐Ÿšฉ ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : La Liga ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ VALENCIA CF 2๏ธโƒฃโž–๏ธ0๏ธโƒฃ ATHLETIC CLUB โšฝ๏ธ 73" Santamaria ๐ŸŸฅ 61" Vivian โšฝ๏ธ 90+3" Duro
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท56 Views
  • Oyaaa timu limerejeaaaaaa
    Oyaaa timu limerejeaaaaaa
    Love
    1
    ยท 0 Commenti ยท0 condivisioni ยท47 Views
Altre storie