-
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·0 Visualizações
-
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·0 Visualizações
-
CHUKUA HII
Mohamed Salah anashika nafasi ya 3 ya wafungaji wa muda wote ndani ya klabu ya Liverpool mpaka hivi sasa, akiwa ameifungua Liverpool magoli 246 katika michezo 405.CHUKUA HII 👇 👉Mohamed Salah anashika nafasi ya 3 ya wafungaji wa muda wote ndani ya klabu ya Liverpool mpaka hivi sasa, akiwa ameifungua Liverpool magoli 246 katika michezo 405.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·0 Visualizações -
_||𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: Ligi Kuu ya Ugiriki (Greek Superleague) imesitishwa kwa muda usiojulikana baada ya tukio la kushangaza kutokea...
Rais wa klabu ya PAOK Salonika, Ivan Savvidis, alivamia uwanja akiwa na bunduki kiunoni wakati wa mchezo dhidi ya AEK Athens.
Sababu ya hasira zake ni baada ya bao la timu yake kufutwa kwa madai ya offside dakika za mwisho. Savvidis alijaribu kumkabili refa wa mchezo huo!🚨_||💣𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: Ligi Kuu ya Ugiriki 🇬🇷 (Greek Superleague) imesitishwa kwa muda usiojulikana baada ya tukio la kushangaza kutokea... 👨💼Rais wa klabu ya PAOK Salonika, Ivan Savvidis, alivamia uwanja akiwa na bunduki kiunoni wakati wa mchezo dhidi ya AEK Athens. 😮 Sababu ya hasira zake ni baada ya bao la timu yake kufutwa kwa madai ya offside dakika za mwisho. Savvidis alijaribu kumkabili refa wa mchezo huo! 😲0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·0 Visualizações -
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: West Ham imekamilisha usajili wa Lukasz Fabianski (40) kama mchezaji huru
Fabiansk anarejea West Ham ... Huku akicheza michezo 216 appearances .🚨🇵🇱 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: West Ham imekamilisha usajili wa Lukasz Fabianski (40) kama mchezaji huru ⚒️ Fabiansk anarejea West Ham ... Huku akicheza michezo 216 appearances . 🧤✨0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·0 Visualizações -
|Gazzetta_it: Federico Chiesa alikataa ofa za mkopo kutoka klabu za Napoli na Inter na badala yake akaamua kubaki Liverpool kwa sababu anataka kushindana na “wachezaji wa kiwango cha juu” ndani ya Liverpool.
Ana ari kubwa ya kujithibitisha kwa Arne Slot.🚨|Gazzetta_it: Federico Chiesa alikataa ofa za mkopo kutoka klabu za Napoli na Inter na badala yake akaamua kubaki Liverpool kwa sababu anataka kushindana na “wachezaji wa kiwango cha juu” ndani ya Liverpool. 👉Ana ari kubwa ya kujithibitisha kwa Arne Slot.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·0 Visualizações -
Isak aanza mazoezi na wachezaji wenzake wa Liverpool
Mshambuliaji wa Liverpool, Alexander Isak, ameanza rasmi mazoezi na kikosi cha Liverpool.
Mchezaji huyo wa Kiswidi alikamilisha usajili wa rekodi ya Uingereza wa £125 milioni kutoka Newcastle katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili, kisha akaungana na timu ya taifa ya Sweden kwa mechi za kimataifa za Septemba.
Isak alicheza dakika 18 tu katika mechi mbili ambazo Sweden haikushinda dhidi ya Slovenia na Kosovo, lakini sasa ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Liverpool.
Huenda Isak akacheza mechi yake ya kwanza kwa Liverpool dhidi ya Burnley siku ya jumapili hii.👀Isak aanza mazoezi na wachezaji wenzake wa Liverpool 👉Mshambuliaji wa Liverpool, Alexander Isak, ameanza rasmi mazoezi na kikosi cha Liverpool. 👉Mchezaji huyo wa Kiswidi alikamilisha usajili wa rekodi ya Uingereza wa £125 milioni kutoka Newcastle katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili, kisha akaungana na timu ya taifa ya Sweden kwa mechi za kimataifa za Septemba. 👉Isak alicheza dakika 18 tu katika mechi mbili ambazo Sweden haikushinda dhidi ya Slovenia na Kosovo, lakini sasa ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Liverpool. 👉Huenda Isak akacheza mechi yake ya kwanza kwa Liverpool dhidi ya Burnley siku ya jumapili hii.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·0 Visualizações -
Tetesi Zinazovuma
Liverpool wako tayari kuipuuza Crystal Palace na kusubiri hadi mwisho wa msimu kumsajili Marc Guéhi kwa uhamisho huru, kwa mujibu wa Daily Mirror. Uhamisho wa Guéhi kutoka London kwenda Merseyside ulivunjika dakika za mwisho katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili.
Ilikuwa inatarajiwa sana kuwa mabingwa wa Premier League wangerudi tena Januari, jambo ambalo lingeiwezesha Palace kupata ada ya uhamisho kwa nahodha wao, ambaye yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake.
Hata hivyo, Liverpool wanaamini Palace wanajaribu kuchochea nia kutoka kwa klabu pinzani ili kuwashinikiza, lakini hawana mpango wa kutoa ofa mwezi Januari.
Mchezaji mwenyewe ameweka wazi kuwa hana nia ya kuongeza mkataba mpya ndani ya Selhurst Park, na anaweza kujiunga na Liverpool kama mchezaji huru majira ya kiangazi yajayo, kuchukua nafasi ya mabeki wanaotarajiwa kuondoka — Ibrahima Konaté na Joe Gomez.
Kwa mujibu wa Marca, uamuzi wa Konaté kukataa ofa ya tatu na ya mwisho ya mkataba mpya Liverpool unafungua njia kwa Real Madrid kumsajili beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 26 mwaka 2026 kwa uhamisho huru.
Chanzo: ESPN👀Tetesi Zinazovuma 👉Liverpool wako tayari kuipuuza Crystal Palace na kusubiri hadi mwisho wa msimu kumsajili Marc Guéhi kwa uhamisho huru, kwa mujibu wa Daily Mirror. Uhamisho wa Guéhi kutoka London kwenda Merseyside ulivunjika dakika za mwisho katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili. 👉Ilikuwa inatarajiwa sana kuwa mabingwa wa Premier League wangerudi tena Januari, jambo ambalo lingeiwezesha Palace kupata ada ya uhamisho kwa nahodha wao, ambaye yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake. 👉Hata hivyo, Liverpool wanaamini Palace wanajaribu kuchochea nia kutoka kwa klabu pinzani ili kuwashinikiza, lakini hawana mpango wa kutoa ofa mwezi Januari. 👉Mchezaji mwenyewe ameweka wazi kuwa hana nia ya kuongeza mkataba mpya ndani ya Selhurst Park, na anaweza kujiunga na Liverpool kama mchezaji huru majira ya kiangazi yajayo, kuchukua nafasi ya mabeki wanaotarajiwa kuondoka — Ibrahima Konaté na Joe Gomez. 👉Kwa mujibu wa Marca, uamuzi wa Konaté kukataa ofa ya tatu na ya mwisho ya mkataba mpya Liverpool unafungua njia kwa Real Madrid kumsajili beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 26 mwaka 2026 kwa uhamisho huru. Chanzo: ESPN0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1 Visualizações -
TUJIKUMBUSHE KIDOGO
Sebastian Coates
Sebastian Coates alisajiliwa na Liverpool kutoka Nacional mwezi Agosti 2011 baada ya kupigiwa kura kama mchezaji bora chipukizi kwenye Copa America ya mwaka huo.
Akiwa na urefu wa futi 6 na inchi 6, raia huyo wa Uruguay aliwasili akiwa na sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu — pia akiwa hatari katika ulinzi na mashambulizi.
Alicheza mechi 12 katika msimu wake wa kwanza ndani ya Liverpool, tukio la kukumbukwa likiwa bao la kuvutia alilofunga kwa bicycle kick dhidi ya Queens Park Rangers.
Katika msimu wa 2012–13, msimu wa kwanza wa Brendan Rodgers kama kocha, Coates alicheza tena mechi 12.
Hata hivyo, matumaini ya kujikita kikosini chini ya kocha wa kipindi hicho, Rodgers yalizimwa na jeraha lililomharibia msimu uliofuata.
Baadaye alitolewa kwa mkopo kwenda Sunderland msimu wa 2014–15, na hatimaye akajiunga nao kwa mkataba wa kudumu mwezi Julai 2015.👀TUJIKUMBUSHE KIDOGO 👀Sebastian Coates 👉Sebastian Coates alisajiliwa na Liverpool kutoka Nacional mwezi Agosti 2011 baada ya kupigiwa kura kama mchezaji bora chipukizi kwenye Copa America ya mwaka huo. 👉Akiwa na urefu wa futi 6 na inchi 6, raia huyo wa Uruguay aliwasili akiwa na sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu — pia akiwa hatari katika ulinzi na mashambulizi. 👉Alicheza mechi 12 katika msimu wake wa kwanza ndani ya Liverpool, tukio la kukumbukwa likiwa bao la kuvutia alilofunga kwa bicycle kick dhidi ya Queens Park Rangers. 👉Katika msimu wa 2012–13, msimu wa kwanza wa Brendan Rodgers kama kocha, Coates alicheza tena mechi 12. 👉Hata hivyo, matumaini ya kujikita kikosini chini ya kocha wa kipindi hicho, Rodgers yalizimwa na jeraha lililomharibia msimu uliofuata. 👉Baadaye alitolewa kwa mkopo kwenda Sunderland msimu wa 2014–15, na hatimaye akajiunga nao kwa mkataba wa kudumu mwezi Julai 2015.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1 Visualizações -
Divock Origi amekwama AC Milan baada ya kukataa kuvunja mkataba huku masuala ya kodi yakimzuia kuondoka nchini Italia
AC Milan na Origi wameshindwa kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba, na sasa mshambuliaji huyo ataendelea kusalia San Siro licha ya kutokuwa sehemu ya kikosi cha kwanza.
Mshindi wa Ligi ya Mabingwa, Divock Origi, amekataa kuvunjiwa mkataba wake ndani ya Ac Milan licha ya kucheza msimu mzima na timu ya U23 ya Ac Milan.
Uamuzi huu unakuja licha ya Mbelgiji huyo kutocheza mechi yoyote ya ushindani na kikosi cha wakubwa cha Milan tangu mwaka 2023.
Amebakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na atalazimika kukaa nje msimu mwingine ikiwa hatakubaliana na klabu ya Ac Milan kuvunja mkataba huo.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga magoli mawili tu msimu wa 2022–23 kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda Nottingham Forest msimu wa 2023–24, ambako alifunga bao moja pekee katika mechi 22 — na bao hilo lilikuja kwenye FA Cup, si Premier League.
Hajacheza mechi ya kikosi cha kwanza kwa miezi 17.👀Divock Origi amekwama AC Milan baada ya kukataa kuvunja mkataba huku masuala ya kodi yakimzuia kuondoka nchini Italia 👉AC Milan na Origi wameshindwa kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba, na sasa mshambuliaji huyo ataendelea kusalia San Siro licha ya kutokuwa sehemu ya kikosi cha kwanza. 👉Mshindi wa Ligi ya Mabingwa, Divock Origi, amekataa kuvunjiwa mkataba wake ndani ya Ac Milan licha ya kucheza msimu mzima na timu ya U23 ya Ac Milan. 👉Uamuzi huu unakuja licha ya Mbelgiji huyo kutocheza mechi yoyote ya ushindani na kikosi cha wakubwa cha Milan tangu mwaka 2023. 👉Amebakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na atalazimika kukaa nje msimu mwingine ikiwa hatakubaliana na klabu ya Ac Milan kuvunja mkataba huo. 👉Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga magoli mawili tu msimu wa 2022–23 kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda Nottingham Forest msimu wa 2023–24, ambako alifunga bao moja pekee katika mechi 22 — na bao hilo lilikuja kwenye FA Cup, si Premier League. 👉Hajacheza mechi ya kikosi cha kwanza kwa miezi 17.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1 Visualizações -
... 𝗞𝗬𝗟𝗜𝗔𝗡 𝗠𝗕𝗔𝗣𝗣𝗘
Kwenye mchezo dhidi ya Iceland usiku wa jana, Kylian Mbappé Lottin alifunga bao lake la 52 akiwa na Ufaransa -- na kuwa mfungaji bora wa pili wa muda wote akimpita Thierry Henry .
57 04 132 - Olivier Giroud
52 12 092 - Kylian Mbappé
51 02 123 - Thierry Henry
Anakuwa mchezaji wa pili wa Europa katika karne ya 21 kuifungia timu yake ya taifa ya wakubwa mabao 52 kabla ya kufikisha umri wa miaka 27, baada ya Romelu Lukaku akiwa na Belgium .
Kylian Mbappé akiwa na timu ya taifa ya wakubwa ya Ufaransa .
◉ 92 - Games.
◉ 52 - Goals (second top scorer)
◉ 33 - Assists (best assist provider)
◉ 85 - Goals/assists.
◉ 12 - Penalty.
◉ 03 - Hat trick.
Key .......
_______________
- Games
- Goals
- Penalty
Follow us.
#imansportnews #PlayStation #WorldCupQualifiers2026... 𝗞𝗬𝗟𝗜𝗔𝗡 𝗠𝗕𝗔𝗣𝗣𝗘 🔥 Kwenye mchezo dhidi ya Iceland usiku wa jana, Kylian Mbappé Lottin alifunga bao lake la 52 akiwa na Ufaransa -- na kuwa mfungaji bora wa pili wa muda wote akimpita Thierry Henry . ⚽ 57 🥅 04 🎮 132 - Olivier Giroud ⚽ 52 🥅 12 🎮 092 - Kylian Mbappé ⚽ 51 🥅 02 🎮 123 - Thierry Henry Anakuwa mchezaji wa pili wa Europa katika karne ya 21 kuifungia timu yake ya taifa 🇨🇵 ya wakubwa mabao 52 kabla ya kufikisha umri wa miaka 27, baada ya Romelu Lukaku akiwa na Belgium 🇧🇪 . Kylian Mbappé akiwa na timu ya taifa ya wakubwa ya Ufaransa 🇨🇵 . ◉ 92 - Games. ◉ 52 - Goals (second top scorer) ◉ 33 - Assists (best assist provider) ◉ 85 - Goals/assists. ◉ 12 - Penalty. ◉ 03 - Hat trick. Key ....... 🔑 _______________ 🎮 - Games ⚽ - Goals 🥅 - Penalty Follow us. #imansportnews #PlayStation #WorldCupQualifiers20260 Comentários ·0 Compartilhamentos ·3 Visualizações -
Orodha ya Timu za taifa bora 10 kwa sasa Barani Afrika
1️⃣ Morocco [12]
2️⃣ Senegal [19]
3️⃣ Egypt [32]
4️⃣ Algeria [39]
5️⃣ Ivory Coast [44]
6️⃣ Nigeria [45]
7️⃣ Tunisia [47]
8️⃣ Cameroon [52]
9️⃣ South Africa [55]
Mali [56]
Source FIFA💣🚨 Orodha ya Timu za taifa bora 10 kwa sasa Barani Afrika 1️⃣ 🇲🇦 Morocco [12] 2️⃣ 🇸🇳 Senegal [19] 3️⃣ 🇪🇬 Egypt [32] 4️⃣ 🇩🇿 Algeria [39] 5️⃣ 🇮🇪 Ivory Coast [44] 6️⃣ 🇳🇬 Nigeria [45] 7️⃣ 🇹🇳 Tunisia [47] 8️⃣ 🇨🇲 Cameroon [52] 9️⃣ 🇿🇦 South Africa [55] 🔟 🇲🇱 Mali [56] Source FIFA0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1 Visualizações -
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·114 Visualizações
-
OFFICIAL Coady Gakpo ameongeza mkataba wa miaka miwili na nusu kubakia Liverpool hadi 2029.
Source Fabrizio
#SportsElite🇳🇱✍️OFFICIAL Coady Gakpo ameongeza mkataba wa miaka miwili na nusu kubakia Liverpool hadi 2029.🔐 Source Fabrizio #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·229 Visualizações -
Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.
Source Fabrizio Romano
#SportsElite💰🚨 Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.🇪🇸🔵 Source Fabrizio Romano #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·276 Visualizações -
𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐑𝐚𝐬𝐦𝐮𝐬 𝐇𝐨𝐣𝐥𝐮𝐧𝐝 𝐭𝐨 𝐒𝐒𝐂 𝐍𝐚𝐩𝐨𝐥𝐢
BREAKING SSC Napoli imefikia makubaliano kamili na Man United kumsajili Rasmus Højlund kwa mkopo wa €6m na chaguo la kumsajili kwa ada ya €44m.
Source Fabrizio Romano
#SportsElite🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐑𝐚𝐬𝐦𝐮𝐬 𝐇𝐨𝐣𝐥𝐮𝐧𝐝 𝐭𝐨 𝐒𝐒𝐂 𝐍𝐚𝐩𝐨𝐥𝐢 🚨BREAKING SSC Napoli imefikia makubaliano kamili na Man United kumsajili Rasmus Højlund kwa mkopo wa €6m na chaguo la kumsajili kwa ada ya €44m. 🇩🇰 Source Fabrizio Romano #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·324 Visualizações -
𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐍𝐢𝐜𝐨𝐥𝐚𝐬 𝐉𝐚𝐜𝐤𝐬𝐨𝐧 𝐭𝐨 𝐁𝐚𝐲𝐞𝐫𝐧 𝐌𝐮𝐧𝐢𝐜𝐡
BREAKING Bayern imefikia makubaliano kamili na Chelsea kumsajili Nicolas Jackson kwa mkopo wenye thamani ya €15m na chaguo la kumsajili kwa €80m
Source Fabrizio Romano
#SportsElite🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐍𝐢𝐜𝐨𝐥𝐚𝐬 𝐉𝐚𝐜𝐤𝐬𝐨𝐧 𝐭𝐨 𝐁𝐚𝐲𝐞𝐫𝐧 𝐌𝐮𝐧𝐢𝐜𝐡 🚨BREAKING Bayern imefikia makubaliano kamili na Chelsea kumsajili Nicolas Jackson kwa mkopo wenye thamani ya €15m na chaguo la kumsajili kwa €80m🇸🇳 Source Fabrizio Romano #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·370 Visualizações -
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Liverpool sasa wako katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Newcastle United Alexander Isak kwa ada ya £130m.
Source Football Tweets
#SportsElite🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Liverpool sasa wako katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Newcastle United Alexander Isak kwa ada ya £130m. Source Football Tweets #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·341 Visualizações -
Msanii wa Bongo Fleva, @officialzuchu , ataandika historia mpya leo akiwa kama msanii mkuu atakayetoa burudani katika Fainali za African Nation Champion League (CHAN) 2024.
Zuchu atatoa burudani ya kipekee katika Tamasha hilo kubwa ambalo litafanyika leo Jumamosi, tarehe 30 Agosti 2025, katika Uwanja wa Kasarani jijini Nairobi, Kenya, likiwakutanisha Madagascar dhidi ya Morocco.
Wakati macho ya wapenzi wa soka yakiwa kwa fainali hiyo, masikio na mioyo ya mashabiki wa muziki yataelekezwa kwa Zuchu, ambaye atapanda jukwaani kuonyesha uwezo wake na kuwakilisha Tanzania katika anga ya kimataifa.
| @errymars_
#ManaraTV
#ManaraTVUpdatesMsanii wa Bongo Fleva, @officialzuchu , ataandika historia mpya leo akiwa kama msanii mkuu atakayetoa burudani katika Fainali za African Nation Champion League (CHAN) 2024. Zuchu atatoa burudani ya kipekee katika Tamasha hilo kubwa ambalo litafanyika leo Jumamosi, tarehe 30 Agosti 2025, katika Uwanja wa Kasarani jijini Nairobi, Kenya, likiwakutanisha Madagascar dhidi ya Morocco. Wakati macho ya wapenzi wa soka yakiwa kwa fainali hiyo, masikio na mioyo ya mashabiki wa muziki yataelekezwa kwa Zuchu, ambaye atapanda jukwaani kuonyesha uwezo wake na kuwakilisha Tanzania 🇹🇿 katika anga ya kimataifa. ✍️| @errymars_ #ManaraTV #ManaraTVUpdates0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·414 Visualizações -
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚 : Liverpool imepanga kuwasilisha ofa yao Leo kwa Newcastle United yenye thamani zaidi ya £125m kumsajili mshambuliaji Alexander Isak.
Source The Touchline
#SportsElite🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚 : Liverpool imepanga kuwasilisha ofa yao Leo kwa Newcastle United yenye thamani zaidi ya £125m kumsajili mshambuliaji Alexander Isak. 💰 🇸🇪 Source The Touchline #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·260 Visualizações -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Leverkusen imekamilisha usajili wa Eliesse Ben (20).
Bayer Leverkusen ilifikia makubaliano dhidi ya Monaco kumpata winga huyo mwenye thamani ya €30M hadi 2030.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Leverkusen imekamilisha usajili wa Eliesse Ben (20). Bayer Leverkusen ilifikia makubaliano dhidi ya Monaco kumpata winga huyo mwenye thamani ya €30M hadi 2030. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·232 Visualizações -
Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+
Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana au mlishindwa kumvumilia Captain America
Au Seria A ni ligi nyepesi sana ?
#SportsElite🚨🚨Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+ 🙌 Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana 😀 au mlishindwa kumvumilia Captain America 😎 Au Seria A ni ligi nyepesi sana ? #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·265 Visualizações -
𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐅𝐚𝐜𝐮𝐝𝐨 𝐁𝐮𝐨𝐧𝐚𝐧𝐨𝐭𝐭𝐞 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚
BREAKING Chelsea imefika makubaliano kamili na Brighton kumsajili Facundo Buonanotte kwa mkopo..!
Source Fabrizio Romano
#SportsElite🇦🇷🚨𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐅𝐚𝐜𝐮𝐝𝐨 𝐁𝐮𝐨𝐧𝐚𝐧𝐨𝐭𝐭𝐞 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚 🚨 BREAKING Chelsea imefika makubaliano kamili na Brighton kumsajili Facundo Buonanotte kwa mkopo..! Source Fabrizio Romano #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·320 Visualizações -
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona.
Source The Touchline T
#SportsElite🔐🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona. Source The Touchline T #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·193 Visualizações -
Ofa ya klabu ya £25m ya Real Betis ilikubaliwa na Man United Kuhusu kumsajili Antony na tayari Man United ilimpa ruhusa Antony kusafiri kuelekea Spain
Lakini saa chache baadae Real Betis imebadilishaa msimamo wake na kujiondoa kwenye mazungumzo wakidai kuwa mshahara wa Antony ni mkubwa hivyo hawataweza vinginevyo Man United wapungize Bei ya Antony au Antony apunguze Mshahara wake. .
Source Ben Jacobs
#SportsElite🚨 Ofa ya klabu ya £25m ya Real Betis ilikubaliwa na Man United Kuhusu kumsajili Antony na tayari Man United ilimpa ruhusa Antony kusafiri kuelekea Spain Lakini saa chache baadae Real Betis imebadilishaa msimamo wake na kujiondoa kwenye mazungumzo wakidai kuwa mshahara wa Antony ni mkubwa hivyo hawataweza vinginevyo Man United wapungize Bei ya Antony au Antony apunguze Mshahara wake. 🥴🇧🇷. Source Ben Jacobs #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·249 Visualizações
Mais Stories