
2 χρήστες τους αρέσει
315 Δημοσιεύσεις
320 τις φωτογραφίες μου
0 Videos
0
Προεπισκόπηση
-
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Klabu ya Olympique Lyon imeshinda rufaa yake na sasa Klabu hiyo itashiriki Ligi kuu Ufaransa msimu ujao na pia itacheza Europa League.
Olympique Lyon ilishushwa Daraja mwezi uliopita kutokana na madeni na sasa imekubaliwa rufaa yake.
#SportsElite🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Klabu ya Olympique Lyon imeshinda rufaa yake na sasa Klabu hiyo itashiriki Ligi kuu Ufaransa msimu ujao na pia itacheza Europa League. Olympique Lyon ilishushwa Daraja mwezi uliopita kutokana na madeni na sasa imekubaliwa rufaa yake. #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·7 Views -
0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·5 Views
-
Simon Adringra kwenda Sunderland dili done.
Kwa ada ya €21M na nyongeza €3M kwa Brighton.
(Source: @FabrizioRomano)
#SportsElite🚨 Simon Adringra kwenda Sunderland dili done. ✅ Kwa ada ya €21M na nyongeza €3M kwa Brighton. (Source: @FabrizioRomano) #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·6 Views -
Raisi wa Marekani Donald Trump atakuwepo kwenye fainali ya Club World Cup hapo Jumapili..
(Source: ESPN)
#SportsElite🚨 Raisi wa Marekani Donald Trump atakuwepo kwenye fainali ya Club World Cup hapo Jumapili.. 🇺🇸 (Source: ESPN) #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·6 Views -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Trent Alexander-Arnold huwenda ataukosa mchezo wao Kati ya PSG baada ya kupata majeraha hapo Jana mazoezini @miguelitocope
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Trent Alexander-Arnold huwenda ataukosa mchezo wao Kati ya PSG baada ya kupata majeraha hapo Jana mazoezini @miguelitocope #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·6 Views -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Isak Jansson yuko mbioni kujiunga na OGC Nice kutokeanSK Rapid kwa gharama ya €10M na nyongeza zaidi..
Anatarajia kuwasili Ufaransa ndani ya masaa 24-48 kukamilisha uhamisho wake..
Jansson pia alikuwa anafatiliwa na vilabu kama Celtic na timu za Italia kabla kufanya maamuzi Nice.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Isak Jansson yuko mbioni kujiunga na OGC Nice kutokeanSK Rapid kwa gharama ya €10M na nyongeza zaidi.. Anatarajia kuwasili Ufaransa ndani ya masaa 24-48 kukamilisha uhamisho wake.. Jansson pia alikuwa anafatiliwa na vilabu kama Celtic na timu za Italia kabla kufanya maamuzi Nice. #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·7 Views -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: PSV imewasiliana na AZ Alkmaar ili kumsaini Ruben van Bommel (20)
Kwa ada ya €16M na nyongeza ya 10% ya mauzo yake
, reports @MikeVerweij. ⚪️
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇳🇱 PSV imewasiliana na AZ Alkmaar ili kumsaini Ruben van Bommel (20) Kwa ada ya €16M na nyongeza ya 10% ya mauzo yake , reports @MikeVerweij. 🔴⚪️ #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·7 Views -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Marseille inapanga kumrudisha Pierre-Emerick Aubameyang klabuni hapo..
Majadiliano yanaendelea baina yao
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Marseille inapanga kumrudisha Pierre-Emerick Aubameyang klabuni hapo.. Majadiliano yanaendelea baina yao #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·7 Views -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Klabu za Bayer Leverkusen, Bournemouth, na Nottingham Forest zinavutiwa na huduma ya Winga Johan Bakayoko wa PSV Eindhoven.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Klabu za Bayer Leverkusen, Bournemouth, na Nottingham Forest zinavutiwa na huduma ya Winga Johan Bakayoko wa PSV Eindhoven. #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·5 Views -
𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Tottenham imefikia makubaliano ya £55m juu ya dili la kumsajiri Mohammed Kudus kutoka West Ham
Kudus lilikuwa ni chaguo la Tottenham kwa msimu ujao na amesaini miaka 6 ndani ya Spurs
Vipimo vya afya atafanyiwa Alhamisi hii London
@theathleticfc reports.
#SportsElite🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Tottenham imefikia makubaliano ya £55m juu ya dili la kumsajiri Mohammed Kudus kutoka West Ham 🤍💣 Kudus lilikuwa ni chaguo la Tottenham kwa msimu ujao na amesaini miaka 6 ndani ya Spurs Vipimo vya afya atafanyiwa Alhamisi hii London @theathleticfc reports. #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·8 Views -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mshambuliaji wa Villarreal Thierno Barry (22) amejiunga na Everton! Kwa Ada ya £27m Na vipimo vya afya atafanyiwa leo
@SkySportsNews.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇫🇷 Mshambuliaji wa Villarreal Thierno Barry (22) amejiunga na Everton! Kwa Ada ya £27m Na vipimo vya afya atafanyiwa leo @SkySportsNews. ✈️ #SportsElite -
Manchester United imefanya mazungumzo na kiungo wa Atalanta Ederson
Na thamani yake ni £44M
(Source: Goal)
#SportsElite🚨 Manchester United imefanya mazungumzo na kiungo wa Atalanta Ederson Na thamani yake ni £44M (Source: Goal) #SportsElite -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Real Madrid haita usajili mbadala wa Rodrygo kama ataondoka klabuni hapo baada ya nafasi yake kuwa finyu..
@MarioCortegana @TheAthleticFC
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Real Madrid haita usajili mbadala wa Rodrygo kama ataondoka klabuni hapo baada ya nafasi yake kuwa finyu.. @MarioCortegana @TheAthleticFC #SportsElite -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Crystal Palace inavutiwa na Davide Calabria (28) kama mchezaji huru
reports @DiMarzio.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇮🇹 Crystal Palace inavutiwa na Davide Calabria (28) kama mchezaji huru reports @DiMarzio. 🔴🔵 #SportsElite -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Nottingham Forest inamuwinda Johan Bakayoko (22) wa PSV, reports @TeleFootball!
Nottingham inataka kuziba pengo la Elanga amber anaweza kutimkia Newcastle.🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇧🇪 Nottingham Forest inamuwinda Johan Bakayoko (22) wa PSV, reports @TeleFootball! Nottingham inataka kuziba pengo la Elanga amber anaweza kutimkia Newcastle. ⏳ -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal imekamilisha usajili wa kapteni na kiungo wa Brentford , Christian Nørgaard.
Arsenal watalipa £10m na nyongeza ya £2m kama bonasi.
Vipimo vya afya tayari vimekamilika na rasmi atatangazwa ndani ya hii wiki[Via - @David_Ornstein].
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal imekamilisha usajili wa kapteni na kiungo wa Brentford , Christian Nørgaard🇩🇰. Arsenal watalipa £10m na nyongeza ya £2m kama bonasi. Vipimo vya afya tayari vimekamilika na rasmi atatangazwa ndani ya hii wiki[Via - @David_Ornstein]. #SportsElite -
🚨🇳🇬 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋 | Ola Aina (28) ameongeza mkataba Nottingham Forest hadi 2028. ✍️ #SportsElite
-
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Ivan Rakitić ametangaza kuachana na soka.
• 993 Michezo
• 140 Magoli
• 157 Pasi za usaidizi
• 17 Mataji
#SportsElite🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Ivan Rakitić ametangaza kuachana na soka. 🇭🇷🤍 • 993 Michezo • 140 Magoli • 157 Pasi za usaidizi • 17 Mataji #SportsElite -
𝗢𝗙𝗙𝗜𝗖𝗜𝗔𝗟: Damián Čech (Mtoto wa Petr Cech) kwa mara ya kwanza amesaini kandarasi Fulham akiwa na Umri 16.Kinda huyo wa Jamuhuri ya Czech amesaini mkataba hadi 2027.
#SportsElite𝗢𝗙𝗙𝗜𝗖𝗜𝗔𝗟: Damián Čech (Mtoto wa Petr Cech) kwa mara ya kwanza amesaini kandarasi Fulham akiwa na Umri 16.Kinda huyo wa Jamuhuri ya Czech amesaini mkataba hadi 2027. 🇨🇿 #SportsElite -
⚪️ 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋 | Tottenham imekamilisha usajili wa Kota Takai (20) kutoka Kawasaki Frontale!
Ada: ~£5m
Nafasi: Beki
Chanzo : Sky sports
#SportsElite⚪️ 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋 | Tottenham imekamilisha usajili wa Kota Takai (20) kutoka Kawasaki Frontale! 🇯🇵 ✅ Ada: ~£5m 📌 Nafasi: Beki 🗞️ Chanzo : Sky sports #SportsElite -
Crystal Palace bado ipo kwenye mazungumzo na Sporting kuwapatia kiasi cha £45M baada ya kuonesha nia kwa Ousmane Diomande.
(Source: Guardian)
#SportsElite🚨 Crystal Palace bado ipo kwenye mazungumzo na Sporting kuwapatia kiasi cha £45M baada ya kuonesha nia kwa Ousmane Diomande. (Source: Guardian) #SportsElite -
𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Anthony Elanga ameridhia kusaini Newcastle United akitokea Nottingham Forest kwa ada yab£55 million, na mkataba hadi 2030.
#SportsElite🚨 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Anthony Elanga ameridhia kusaini Newcastle United akitokea Nottingham Forest kwa ada yab£55 million, na mkataba hadi 2030. ⚫⚪ #SportsElite -
𝐉𝐔𝐒𝐓 𝐈𝐍: Luis Díaz sasa amekubali kujiunga Barça bila masharti yoyote wala vipengele amesema Mundo.
“anaamini huwenda Barça ikamsajili mshambuliaji huyo”.
#SportsElite🚨🎖️ 𝐉𝐔𝐒𝐓 𝐈𝐍: Luis Díaz sasa amekubali kujiunga Barça bila masharti yoyote wala vipengele amesema Mundo. “anaamini huwenda Barça ikamsajili mshambuliaji huyo”. #SportsElite -
👋🏻 Iñaki Peña, anajiandaa kuondoka Barcelona majira haya ya joto baada ya ujio wa Joan Garcia pia kuongeza mkataba mkongwe Szczesny...
#SportsElite🚨👋🏻 Iñaki Peña, anajiandaa kuondoka Barcelona majira haya ya joto baada ya ujio wa Joan Garcia pia kuongeza mkataba mkongwe Szczesny... #SportsElite -
🚨💣𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Javi Guerra yuko mbioni kujiunga na Manchester United! 🔴💣 #SportsElite
και άλλες ιστορίες