Sports Elite
2 ï»żLes gens qui ont liĂ© ça
897 Articles
921 Photos
0 Vidéos
0 Aperçu
Mises à jour récentes
  • Habari Mbaya kutoka Ligi Kuu ya England

    David Coote, mwamuzi wa zamani wa Ligi Kuu ya England, ameashitakiwa kwa kutengeneza video ya utovu wa nidhamu wa mtoto (Category A) tarehe 2 Januari 2020. Category A ni kiwango cha juu zaidi cha uhalifu huu.

    Coote, mwenye umri wa 43, atafikishwa mahakamani Alhamisi, 11 Septemba 2025, katika Mahakama ya Manispaa ya Nottingham.

    Hii inakuja baada ya historia yake ya changamoto:

    Juni 2024: Alipigwa suspension ya wiki 8 baada ya kutumia maneno ya kudhalilisha kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp.

    Novemba 2024: Alisimamishwa kwa kudumu na PGMOL kumfukuza kazi Desemba 2024.

    UEFA: Amepigwa marufuku kuongoza mechi za Ulaya hadi 30 Juni 2026 kutokana na tukio jingine linalohusisha dawa za kulevya kwenye Euro 2024.

    Coote ameeleza majonzi makubwa kwa matendo yake na changamoto alizokabiliana nazo kama mwamuzi na pia kutokana na uraia wake wa jinsia moja.

    Marefa kama hawa ndyo tunawatakaga Sana wanajifanya vichwa vigumu Alfu kina vichwa vigumu zaidi Yake, Alfu hawa marefarii WA Ueingereza Sijui wanashida gani hawaeleweki hata kidogo

    Usinisahau kunifollow basi familia yangu -----follow Csmahona update
    🚹 Habari Mbaya kutoka Ligi Kuu ya England David Coote, mwamuzi wa zamani wa Ligi Kuu ya England, ameashitakiwa kwa kutengeneza video ya utovu wa nidhamu wa mtoto (Category A) tarehe 2 Januari 2020. Category A ni kiwango cha juu zaidi cha uhalifu huu. Coote, mwenye umri wa 43, atafikishwa mahakamani Alhamisi, 11 Septemba 2025, katika Mahakama ya Manispaa ya Nottingham. Hii inakuja baada ya historia yake ya changamoto: Juni 2024: Alipigwa suspension ya wiki 8 baada ya kutumia maneno ya kudhalilisha kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp. Novemba 2024: Alisimamishwa kwa kudumu na PGMOL kumfukuza kazi Desemba 2024. UEFA: Amepigwa marufuku kuongoza mechi za Ulaya hadi 30 Juni 2026 kutokana na tukio jingine linalohusisha dawa za kulevya kwenye Euro 2024. Coote ameeleza majonzi makubwa kwa matendo yake na changamoto alizokabiliana nazo kama mwamuzi na pia kutokana na uraia wake wa jinsia moja. Marefa kama hawa ndyo tunawatakaga Sana wanajifanya vichwa vigumu Alfu kina vichwa vigumu zaidi Yake, Alfu hawa marefarii WA Ueingereza Sijui wanashida gani hawaeleweki hata kidogo đŸ€• Usinisahau kunifollow basi familia yangu 👉-----follow Csmahona update
    0 Commentaires ·0 Parts ·13 Vue
  • SANCHEZ NYAKATI ZILISHAMTUPA MKONO

    Alexis Sánchez amerudi kwenye LaLiga, ni mchezaji wa Sevilla!

    Kwa sasa ana miaka 36

    SANCHEZ NYAKATI ZILISHAMTUPA MKONO Alexis Sánchez amerudi kwenye LaLiga, ni mchezaji wa Sevilla! Kwa sasa ana miaka 36
    0 Commentaires ·0 Parts ·2 Vue
  • Tutegemee kumuona Bajcetic akipewa nafasi ya kucheza ndani ya Liverpool msimu huu baada ya Liverpool kugoma kumtoa kwa mkopo/kumuuza moja kwa moja.
    👀Tutegemee kumuona Bajcetic akipewa nafasi ya kucheza ndani ya Liverpool msimu huu baada ya Liverpool kugoma kumtoa kwa mkopo/kumuuza moja kwa moja.👊🔮
    0 Commentaires ·0 Parts ·3 Vue
  • CHUKUA HII

    Mohamed Salah anashika nafasi ya 3 ya wafungaji wa muda wote ndani ya klabu ya Liverpool mpaka hivi sasa, akiwa ameifungua Liverpool magoli 246 katika michezo 405.
    CHUKUA HII 👇 👉Mohamed Salah anashika nafasi ya 3 ya wafungaji wa muda wote ndani ya klabu ya Liverpool mpaka hivi sasa, akiwa ameifungua Liverpool magoli 246 katika michezo 405.
    0 Commentaires ·0 Parts ·2 Vue
  • _||𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: Ligi Kuu ya Ugiriki (Greek Superleague) imesitishwa kwa muda usiojulikana baada ya tukio la kushangaza kutokea...

    Rais wa klabu ya PAOK Salonika, Ivan Savvidis, alivamia uwanja akiwa na bunduki kiunoni wakati wa mchezo dhidi ya AEK Athens.

    Sababu ya hasira zake ni baada ya bao la timu yake kufutwa kwa madai ya offside dakika za mwisho. Savvidis alijaribu kumkabili refa wa mchezo huo!
    🚹_||💣𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: Ligi Kuu ya Ugiriki đŸ‡ŹđŸ‡· (Greek Superleague) imesitishwa kwa muda usiojulikana baada ya tukio la kushangaza kutokea... 👹‍đŸ’ŒRais wa klabu ya PAOK Salonika, Ivan Savvidis, alivamia uwanja akiwa na bunduki kiunoni wakati wa mchezo dhidi ya AEK Athens. 😼 Sababu ya hasira zake ni baada ya bao la timu yake kufutwa kwa madai ya offside dakika za mwisho. Savvidis alijaribu kumkabili refa wa mchezo huo! đŸ˜Č
    0 Commentaires ·0 Parts ·8 Vue
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: West Ham imekamilisha usajili wa Lukasz Fabianski (40) kama mchezaji huru

    Fabiansk anarejea West Ham ... Huku akicheza michezo 216 appearances .
    đŸššđŸ‡”đŸ‡± 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: West Ham imekamilisha usajili wa Lukasz Fabianski (40) kama mchezaji huru ⚒ Fabiansk anarejea West Ham ... Huku akicheza michezo 216 appearances . đŸ§€âœš
    0 Commentaires ·0 Parts ·4 Vue
  • |Gazzetta_it: Federico Chiesa alikataa ofa za mkopo kutoka klabu za Napoli na Inter na badala yake akaamua kubaki Liverpool kwa sababu anataka kushindana na “wachezaji wa kiwango cha juu” ndani ya Liverpool.

    Ana ari kubwa ya kujithibitisha kwa Arne Slot.
    🚹|Gazzetta_it: Federico Chiesa alikataa ofa za mkopo kutoka klabu za Napoli na Inter na badala yake akaamua kubaki Liverpool kwa sababu anataka kushindana na “wachezaji wa kiwango cha juu” ndani ya Liverpool. 👉Ana ari kubwa ya kujithibitisha kwa Arne Slot.
    0 Commentaires ·0 Parts ·4 Vue
  • Isak aanza mazoezi na wachezaji wenzake wa Liverpool

    Mshambuliaji wa Liverpool, Alexander Isak, ameanza rasmi mazoezi na kikosi cha Liverpool.

    Mchezaji huyo wa Kiswidi alikamilisha usajili wa rekodi ya Uingereza wa £125 milioni kutoka Newcastle katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili, kisha akaungana na timu ya taifa ya Sweden kwa mechi za kimataifa za Septemba.

    Isak alicheza dakika 18 tu katika mechi mbili ambazo Sweden haikushinda dhidi ya Slovenia na Kosovo, lakini sasa ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Liverpool.

    Huenda Isak akacheza mechi yake ya kwanza kwa Liverpool dhidi ya Burnley siku ya jumapili hii.
    👀Isak aanza mazoezi na wachezaji wenzake wa Liverpool 👉Mshambuliaji wa Liverpool, Alexander Isak, ameanza rasmi mazoezi na kikosi cha Liverpool. 👉Mchezaji huyo wa Kiswidi alikamilisha usajili wa rekodi ya Uingereza wa £125 milioni kutoka Newcastle katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili, kisha akaungana na timu ya taifa ya Sweden kwa mechi za kimataifa za Septemba. 👉Isak alicheza dakika 18 tu katika mechi mbili ambazo Sweden haikushinda dhidi ya Slovenia na Kosovo, lakini sasa ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Liverpool. 👉Huenda Isak akacheza mechi yake ya kwanza kwa Liverpool dhidi ya Burnley siku ya jumapili hii.
    0 Commentaires ·0 Parts ·3 Vue
  • Tetesi Zinazovuma

    Liverpool wako tayari kuipuuza Crystal Palace na kusubiri hadi mwisho wa msimu kumsajili Marc Guéhi kwa uhamisho huru, kwa mujibu wa Daily Mirror. Uhamisho wa Guéhi kutoka London kwenda Merseyside ulivunjika dakika za mwisho katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili.

    Ilikuwa inatarajiwa sana kuwa mabingwa wa Premier League wangerudi tena Januari, jambo ambalo lingeiwezesha Palace kupata ada ya uhamisho kwa nahodha wao, ambaye yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake.

    Hata hivyo, Liverpool wanaamini Palace wanajaribu kuchochea nia kutoka kwa klabu pinzani ili kuwashinikiza, lakini hawana mpango wa kutoa ofa mwezi Januari.

    Mchezaji mwenyewe ameweka wazi kuwa hana nia ya kuongeza mkataba mpya ndani ya Selhurst Park, na anaweza kujiunga na Liverpool kama mchezaji huru majira ya kiangazi yajayo, kuchukua nafasi ya mabeki wanaotarajiwa kuondoka — Ibrahima Konaté na Joe Gomez.

    Kwa mujibu wa Marca, uamuzi wa Konaté kukataa ofa ya tatu na ya mwisho ya mkataba mpya Liverpool unafungua njia kwa Real Madrid kumsajili beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 26 mwaka 2026 kwa uhamisho huru.

    Chanzo: ESPN
    👀Tetesi Zinazovuma 👉Liverpool wako tayari kuipuuza Crystal Palace na kusubiri hadi mwisho wa msimu kumsajili Marc Guéhi kwa uhamisho huru, kwa mujibu wa Daily Mirror. Uhamisho wa Guéhi kutoka London kwenda Merseyside ulivunjika dakika za mwisho katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili. 👉Ilikuwa inatarajiwa sana kuwa mabingwa wa Premier League wangerudi tena Januari, jambo ambalo lingeiwezesha Palace kupata ada ya uhamisho kwa nahodha wao, ambaye yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake. 👉Hata hivyo, Liverpool wanaamini Palace wanajaribu kuchochea nia kutoka kwa klabu pinzani ili kuwashinikiza, lakini hawana mpango wa kutoa ofa mwezi Januari. 👉Mchezaji mwenyewe ameweka wazi kuwa hana nia ya kuongeza mkataba mpya ndani ya Selhurst Park, na anaweza kujiunga na Liverpool kama mchezaji huru majira ya kiangazi yajayo, kuchukua nafasi ya mabeki wanaotarajiwa kuondoka — Ibrahima Konaté na Joe Gomez. 👉Kwa mujibu wa Marca, uamuzi wa Konaté kukataa ofa ya tatu na ya mwisho ya mkataba mpya Liverpool unafungua njia kwa Real Madrid kumsajili beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 26 mwaka 2026 kwa uhamisho huru. Chanzo: ESPN
    0 Commentaires ·0 Parts ·6 Vue
  • TUJIKUMBUSHE KIDOGO

    Sebastian Coates

    Sebastian Coates alisajiliwa na Liverpool kutoka Nacional mwezi Agosti 2011 baada ya kupigiwa kura kama mchezaji bora chipukizi kwenye Copa America ya mwaka huo.

    Akiwa na urefu wa futi 6 na inchi 6, raia huyo wa Uruguay aliwasili akiwa na sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu — pia akiwa hatari katika ulinzi na mashambulizi.

    Alicheza mechi 12 katika msimu wake wa kwanza ndani ya Liverpool, tukio la kukumbukwa likiwa bao la kuvutia alilofunga kwa bicycle kick dhidi ya Queens Park Rangers.

    Katika msimu wa 2012–13, msimu wa kwanza wa Brendan Rodgers kama kocha, Coates alicheza tena mechi 12.

    Hata hivyo, matumaini ya kujikita kikosini chini ya kocha wa kipindi hicho, Rodgers yalizimwa na jeraha lililomharibia msimu uliofuata.

    Baadaye alitolewa kwa mkopo kwenda Sunderland msimu wa 2014–15, na hatimaye akajiunga nao kwa mkataba wa kudumu mwezi Julai 2015.
    👀TUJIKUMBUSHE KIDOGO 👀Sebastian Coates 👉Sebastian Coates alisajiliwa na Liverpool kutoka Nacional mwezi Agosti 2011 baada ya kupigiwa kura kama mchezaji bora chipukizi kwenye Copa America ya mwaka huo. 👉Akiwa na urefu wa futi 6 na inchi 6, raia huyo wa Uruguay aliwasili akiwa na sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu — pia akiwa hatari katika ulinzi na mashambulizi. 👉Alicheza mechi 12 katika msimu wake wa kwanza ndani ya Liverpool, tukio la kukumbukwa likiwa bao la kuvutia alilofunga kwa bicycle kick dhidi ya Queens Park Rangers. 👉Katika msimu wa 2012–13, msimu wa kwanza wa Brendan Rodgers kama kocha, Coates alicheza tena mechi 12. 👉Hata hivyo, matumaini ya kujikita kikosini chini ya kocha wa kipindi hicho, Rodgers yalizimwa na jeraha lililomharibia msimu uliofuata. 👉Baadaye alitolewa kwa mkopo kwenda Sunderland msimu wa 2014–15, na hatimaye akajiunga nao kwa mkataba wa kudumu mwezi Julai 2015.
    0 Commentaires ·0 Parts ·10 Vue
  • Divock Origi amekwama AC Milan baada ya kukataa kuvunja mkataba huku masuala ya kodi yakimzuia kuondoka nchini Italia

    AC Milan na Origi wameshindwa kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba, na sasa mshambuliaji huyo ataendelea kusalia San Siro licha ya kutokuwa sehemu ya kikosi cha kwanza.

    Mshindi wa Ligi ya Mabingwa, Divock Origi, amekataa kuvunjiwa mkataba wake ndani ya Ac Milan licha ya kucheza msimu mzima na timu ya U23 ya Ac Milan.

    Uamuzi huu unakuja licha ya Mbelgiji huyo kutocheza mechi yoyote ya ushindani na kikosi cha wakubwa cha Milan tangu mwaka 2023.

    Amebakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na atalazimika kukaa nje msimu mwingine ikiwa hatakubaliana na klabu ya Ac Milan kuvunja mkataba huo.

    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga magoli mawili tu msimu wa 2022–23 kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda Nottingham Forest msimu wa 2023–24, ambako alifunga bao moja pekee katika mechi 22 — na bao hilo lilikuja kwenye FA Cup, si Premier League.

    Hajacheza mechi ya kikosi cha kwanza kwa miezi 17.
    👀Divock Origi amekwama AC Milan baada ya kukataa kuvunja mkataba huku masuala ya kodi yakimzuia kuondoka nchini Italia 👉AC Milan na Origi wameshindwa kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba, na sasa mshambuliaji huyo ataendelea kusalia San Siro licha ya kutokuwa sehemu ya kikosi cha kwanza. 👉Mshindi wa Ligi ya Mabingwa, Divock Origi, amekataa kuvunjiwa mkataba wake ndani ya Ac Milan licha ya kucheza msimu mzima na timu ya U23 ya Ac Milan. 👉Uamuzi huu unakuja licha ya Mbelgiji huyo kutocheza mechi yoyote ya ushindani na kikosi cha wakubwa cha Milan tangu mwaka 2023. 👉Amebakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na atalazimika kukaa nje msimu mwingine ikiwa hatakubaliana na klabu ya Ac Milan kuvunja mkataba huo. 👉Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga magoli mawili tu msimu wa 2022–23 kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda Nottingham Forest msimu wa 2023–24, ambako alifunga bao moja pekee katika mechi 22 — na bao hilo lilikuja kwenye FA Cup, si Premier League. 👉Hajacheza mechi ya kikosi cha kwanza kwa miezi 17.
    0 Commentaires ·0 Parts ·4 Vue
  • ... 𝗞𝗬𝗟𝗜𝗔𝗡 𝗠𝗕𝗔𝗣𝗣𝗘

    Kwenye mchezo dhidi ya Iceland usiku wa jana, Kylian Mbappé Lottin alifunga bao lake la 52 akiwa na Ufaransa -- na kuwa mfungaji bora wa pili wa muda wote akimpita Thierry Henry .

    57 04 132 - Olivier Giroud
    52 12 092 - Kylian Mbappé
    51 02 123 - Thierry Henry

    Anakuwa mchezaji wa pili wa Europa katika karne ya 21 kuifungia timu yake ya taifa ya wakubwa mabao 52 kabla ya kufikisha umri wa miaka 27, baada ya Romelu Lukaku akiwa na Belgium .

    Kylian Mbappé akiwa na timu ya taifa ya wakubwa ya Ufaransa .

    ◉ 92 - Games.
    ◉ 52 - Goals (second top scorer)
    ◉ 33 - Assists (best assist provider)
    ◉ 85 - Goals/assists.
    ◉ 12 - Penalty.
    ◉ 03 - Hat trick.

    Key .......
    _______________
    - Games
    - Goals
    - Penalty

    Follow us.

    #imansportnews #PlayStation #WorldCupQualifiers2026
    ... 𝗞𝗬𝗟𝗜𝗔𝗡 𝗠𝗕𝗔𝗣𝗣𝗘 đŸ”„ Kwenye mchezo dhidi ya Iceland usiku wa jana, Kylian Mbappé Lottin alifunga bao lake la 52 akiwa na Ufaransa -- na kuwa mfungaji bora wa pili wa muda wote akimpita Thierry Henry . âšœ 57 đŸ„… 04 🎼 132 - Olivier Giroud âšœ 52 đŸ„… 12 🎼 092 - Kylian Mbappé âšœ 51 đŸ„… 02 🎼 123 - Thierry Henry Anakuwa mchezaji wa pili wa Europa katika karne ya 21 kuifungia timu yake ya taifa đŸ‡šđŸ‡” ya wakubwa mabao 52 kabla ya kufikisha umri wa miaka 27, baada ya Romelu Lukaku akiwa na Belgium 🇧đŸ‡Ș . Kylian Mbappé akiwa na timu ya taifa ya wakubwa ya Ufaransa đŸ‡šđŸ‡” . ◉ 92 - Games. ◉ 52 - Goals (second top scorer) ◉ 33 - Assists (best assist provider) ◉ 85 - Goals/assists. ◉ 12 - Penalty. ◉ 03 - Hat trick. Key ....... 🔑 _______________ 🎼 - Games âšœ - Goals đŸ„… - Penalty Follow us. #imansportnews #PlayStation #WorldCupQualifiers2026
    0 Commentaires ·0 Parts ·16 Vue
  • Orodha ya Timu za taifa bora 10 kwa sasa Barani Afrika

    1ïžâƒŁ Morocco [12]
    2ïžâƒŁ Senegal [19]
    3ïžâƒŁ Egypt [32]
    4ïžâƒŁ Algeria [39]
    5ïžâƒŁ Ivory Coast [44]
    6ïžâƒŁ Nigeria [45]
    7ïžâƒŁ Tunisia [47]
    8ïžâƒŁ Cameroon [52]
    9ïžâƒŁ South Africa [55]
    Mali [56]

    Source FIFA
    💣🚹 Orodha ya Timu za taifa bora 10 kwa sasa Barani Afrika 1ïžâƒŁ đŸ‡Č🇩 Morocco [12] 2ïžâƒŁ 🇾🇳 Senegal [19] 3ïžâƒŁ đŸ‡Ș🇬 Egypt [32] 4ïžâƒŁ đŸ‡©đŸ‡ż Algeria [39] 5ïžâƒŁ 🇼đŸ‡Ș Ivory Coast [44] 6ïžâƒŁ 🇳🇬 Nigeria [45] 7ïžâƒŁ đŸ‡č🇳 Tunisia [47] 8ïžâƒŁ 🇹đŸ‡Č Cameroon [52] 9ïžâƒŁ 🇿🇩 South Africa [55] 🔟 đŸ‡ČđŸ‡± Mali [56] Source FIFA
    0 Commentaires ·0 Parts ·8 Vue
  • 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 : Premier League

    MANCHESTER UNITED 3ïžâƒŁâž–ïž2ïžâƒŁ BURNLEY FC
    ⚜ 27" Cullen (og) ⚜ 55" Foster
    ⚜ 57" Mbeumo ⚜ 68" Antony
    ⚜ 90+7" Bruno (p)
    đŸš© 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 : Premier League đŸŽó §ó ąó „ó źó §ó ż MANCHESTER UNITED 3ïžâƒŁâž–ïž2ïžâƒŁ BURNLEY FC ⚜ 27" Cullen (og) ⚜ 55" Foster ⚜ 57" Mbeumo ⚜ 68" Antony ⚜ 90+7" Bruno (p)
    0 Commentaires ·0 Parts ·115 Vue
  • OFFICIAL Coady Gakpo ameongeza mkataba wa miaka miwili na nusu kubakia Liverpool hadi 2029.

    Source Fabrizio

    #SportsElite
    đŸ‡łđŸ‡±âœïžOFFICIAL Coady Gakpo ameongeza mkataba wa miaka miwili na nusu kubakia Liverpool hadi 2029.🔐 Source Fabrizio #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·235 Vue
  • Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    💰🚹 Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.đŸ‡ȘđŸ‡žđŸ”” Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·280 Vue
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐑𝐚𝐬𝐩𝐼𝐬 đ‡đšđŁđ„đźđ§đ 𝐭𝐹 𝐒𝐒𝐂 đđšđ©đšđ„đą

    BREAKING SSC Napoli imefikia makubaliano kamili na Man United kumsajili Rasmus Højlund kwa mkopo wa €6m na chaguo la kumsajili kwa ada ya €44m.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚹 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐑𝐚𝐬𝐩𝐼𝐬 đ‡đšđŁđ„đźđ§đ 𝐭𝐹 𝐒𝐒𝐂 đđšđ©đšđ„đą 🚹BREAKING SSC Napoli imefikia makubaliano kamili na Man United kumsajili Rasmus Højlund kwa mkopo wa €6m na chaguo la kumsajili kwa ada ya €44m. đŸ‡©đŸ‡° Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·331 Vue
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : đđąđœđšđ„đšđŹ đ‰đšđœđ€đŹđšđ§ 𝐭𝐹 𝐁𝐚đČđžđ«đ§ 𝐌𝐼𝐧𝐱𝐜𝐡

    BREAKING Bayern imefikia makubaliano kamili na Chelsea kumsajili Nicolas Jackson kwa mkopo wenye thamani ya €15m na chaguo la kumsajili kwa €80m

    Source Fabrizio Romano


    #SportsElite
    🚹 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : đđąđœđšđ„đšđŹ đ‰đšđœđ€đŹđšđ§ 𝐭𝐹 𝐁𝐚đČđžđ«đ§ 𝐌𝐼𝐧𝐱𝐜𝐡 🚹BREAKING Bayern imefikia makubaliano kamili na Chelsea kumsajili Nicolas Jackson kwa mkopo wenye thamani ya €15m na chaguo la kumsajili kwa €80m🇾🇳 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·377 Vue
  • đ—•đ—„đ—˜đ—”đ—žđ—œđ—Ąđ—š: Liverpool sasa wako katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Newcastle United Alexander Isak kwa ada ya £130m.

    Source Football Tweets

    #SportsElite
    🚹 đ—•đ—„đ—˜đ—”đ—žđ—œđ—Ąđ—š: Liverpool sasa wako katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Newcastle United Alexander Isak kwa ada ya £130m. Source Football Tweets #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·346 Vue
  • Msanii wa Bongo Fleva, @officialzuchu , ataandika historia mpya leo akiwa kama msanii mkuu atakayetoa burudani katika Fainali za African Nation Champion League (CHAN) 2024.

    Zuchu atatoa burudani ya kipekee katika Tamasha hilo kubwa ambalo litafanyika leo Jumamosi, tarehe 30 Agosti 2025, katika Uwanja wa Kasarani jijini Nairobi, Kenya, likiwakutanisha Madagascar dhidi ya Morocco.

    Wakati macho ya wapenzi wa soka yakiwa kwa fainali hiyo, masikio na mioyo ya mashabiki wa muziki yataelekezwa kwa Zuchu, ambaye atapanda jukwaani kuonyesha uwezo wake na kuwakilisha Tanzania katika anga ya kimataifa.

    | @errymars_

    #ManaraTV
    #ManaraTVUpdates
    Msanii wa Bongo Fleva, @officialzuchu , ataandika historia mpya leo akiwa kama msanii mkuu atakayetoa burudani katika Fainali za African Nation Champion League (CHAN) 2024. Zuchu atatoa burudani ya kipekee katika Tamasha hilo kubwa ambalo litafanyika leo Jumamosi, tarehe 30 Agosti 2025, katika Uwanja wa Kasarani jijini Nairobi, Kenya, likiwakutanisha Madagascar dhidi ya Morocco. Wakati macho ya wapenzi wa soka yakiwa kwa fainali hiyo, masikio na mioyo ya mashabiki wa muziki yataelekezwa kwa Zuchu, ambaye atapanda jukwaani kuonyesha uwezo wake na kuwakilisha Tanzania đŸ‡č🇿 katika anga ya kimataifa. ✍| @errymars_ #ManaraTV #ManaraTVUpdates
    0 Commentaires ·0 Parts ·423 Vue
  • đ—•đ—„đ—˜đ—”đ—žđ—œđ—Ąđ—š : Liverpool imepanga kuwasilisha ofa yao Leo kwa Newcastle United yenye thamani zaidi ya £125m kumsajili mshambuliaji Alexander Isak.

    Source The Touchline

    #SportsElite
    🚹 đ—•đ—„đ—˜đ—”đ—žđ—œđ—Ąđ—š : Liverpool imepanga kuwasilisha ofa yao Leo kwa Newcastle United yenye thamani zaidi ya £125m kumsajili mshambuliaji Alexander Isak. 💰 🇾đŸ‡Ș Source The Touchline #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·265 Vue
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Leverkusen imekamilisha usajili wa Eliesse Ben (20).

    Bayer Leverkusen ilifikia makubaliano dhidi ya Monaco kumpata winga huyo mwenye thamani ya €30M hadi 2030.


    #SportsElite
    🚹💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Leverkusen imekamilisha usajili wa Eliesse Ben (20). Bayer Leverkusen ilifikia makubaliano dhidi ya Monaco kumpata winga huyo mwenye thamani ya €30M hadi 2030. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·236 Vue
  • Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+

    Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana au mlishindwa kumvumilia Captain America

    Au Seria A ni ligi nyepesi sana ?

    #SportsElite
    🚹🚹Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+ 🙌 Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana 😀 au mlishindwa kumvumilia Captain America 😎 Au Seria A ni ligi nyepesi sana ? #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·271 Vue
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐅𝐚𝐜𝐼𝐝𝐹 𝐁𝐼𝐹𝐧𝐚𝐧𝐹𝐭𝐭𝐞 𝐭𝐹 đ‚đĄđžđ„đŹđžđš

    BREAKING Chelsea imefika makubaliano kamili na Brighton kumsajili Facundo Buonanotte kwa mkopo..!

    Source Fabrizio Romano


    #SportsElite
    đŸ‡ŠđŸ‡·đŸššđ‡đ„đ‘đ„ 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐅𝐚𝐜𝐼𝐝𝐹 𝐁𝐼𝐹𝐧𝐚𝐧𝐹𝐭𝐭𝐞 𝐭𝐹 đ‚đĄđžđ„đŹđžđš 🚹 BREAKING Chelsea imefika makubaliano kamili na Brighton kumsajili Facundo Buonanotte kwa mkopo..! Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·328 Vue
  • đ—•đ—„đ—˜đ—”đ—žđ—œđ—Ąđ—š: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona.

    Source The Touchline T

    #SportsElite
    đŸ”đŸššđ—•đ—„đ—˜đ—”đ—žđ—œđ—Ąđ—š: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona. Source The Touchline T #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·199 Vue
Plus de lecture