• YANGA PRINCESS

    #CONFIRMED;Uongozi wa Yanga Princess upo hatua za mwisho kabisa kukumilisha usajili wa kiungo RITICIA NABBOSA raia wa Uganda.

    #Rittisia #YangaPrincess #TimuYaWanchi

    #SportsElite
    YANGA PRINCESS 🚨#CONFIRMED;Uongozi wa Yanga Princess upo hatua za mwisho kabisa kukumilisha usajili wa kiungo RITICIA NABBOSA raia wa Uganda. #Rittisia #YangaPrincess #TimuYaWanchi #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·1 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 𝐉𝐚𝐫𝐫𝐞𝐥 𝐇𝐚𝐭𝐨 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚 .

    BREAKING - Chelsea imefika makubaliano kamili na Ajax kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya €40

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 𝐉𝐚𝐫𝐫𝐞𝐥 𝐇𝐚𝐭𝐨 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚 . 🇳🇱 🔵 ✍️ BREAKING - Chelsea imefika makubaliano kamili na Ajax kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya €40🔐 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·5 Views
  • BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu.

    Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m.

    Source Goal Side

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu. Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m. Source Goal Side #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·5 Views
  • Man United Imewafahamisha RB Leipzig kuwa wako tayari kutuma Ofa rasmi kwa Benjamin Sesko ikiwa mchezo atakuwa tayari kujiunga na klabu yao.

    Newcastle United pia wako tayari kuwasilisha ofa yao kwa Sesko ila Uamuzi sasa ni kwa Sesko mwenyewe.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    💰🚨 Man United Imewafahamisha RB Leipzig kuwa wako tayari kutuma Ofa rasmi kwa Benjamin Sesko ikiwa mchezo atakuwa tayari kujiunga na klabu yao. Newcastle United pia wako tayari kuwasilisha ofa yao kwa Sesko ila Uamuzi sasa ni kwa Sesko mwenyewe. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·5 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Chelsea sasa inawataka Wote kwa Pamoja Alejandro Garnacho na Xavi Simons. .

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    💰🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Chelsea sasa inawataka Wote kwa Pamoja Alejandro Garnacho na Xavi Simons. 🇳🇱 🇦🇷. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·6 Views
  • Newcastle United wako tayari kutoa ofa yoyote ya Kifedha ambayo Benjamin Sesko anapokea akiwa RB Leipzig na wako tayari kutoa ada wanayotaka RBL.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    💰🚨 Newcastle United wako tayari kutoa ofa yoyote ya Kifedha ambayo Benjamin Sesko anapokea akiwa RB Leipzig na wako tayari kutoa ada wanayotaka RBL. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·3 Views
  • OFFICIAL Galatasaray imethibitisha kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji wa Napoli Victor Osimhen kwa ada ya €75m na mkataba wa miaka minne 2029

    #SportsElite
    🚨 OFFICIAL Galatasaray imethibitisha kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji wa Napoli Victor Osimhen kwa ada ya €75m na mkataba wa miaka minne 2029 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·6 Views
  • ⚪️ Joao Palhinha kwenye njia ya kujiunga na Tottenham kwa mkopo!

    Kiungo wa Bayern, Joao Palhinha, amekubaliana masharti binafsi na Spurs — makubaliano ya mwisho kati ya vilabu yako kwenye hatua za mwisho

    Palhinha atasalia kuwa mchezaji wa Bayern hadi 2028 lakini sasa anakaribia kutua Premier League!

    #SportsElite
    ⚪️🔁 Joao Palhinha kwenye njia ya kujiunga na Tottenham kwa mkopo! 🇵🇹 Kiungo wa Bayern, Joao Palhinha, amekubaliana masharti binafsi na Spurs — makubaliano ya mwisho kati ya vilabu yako kwenye hatua za mwisho 🤝 📄 Palhinha atasalia kuwa mchezaji wa Bayern hadi 2028 lakini sasa anakaribia kutua Premier League! #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·5 Views
  • RASMI: Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Andy Bobwa Boyeli (24) kutoka Sekhukhune United ya South Africa kwa mkopo kwa msimu mmoja wenye kipengele cha kununuliwa mazima kwa $100,000.

    Msimu wa 2022/23 akiwa na Power Dynamos,Andy Boyeli alitwaa kiatu cha mfungaji bora wa ligi ya Zambia,baada ya kufunga goli 18,pia msimu huo alitwaa tuzo ya MVP.

    #SportsElite
    🚨🚨 RASMI: Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Andy Bobwa Boyeli (24) kutoka Sekhukhune United ya South Africa kwa mkopo kwa msimu mmoja wenye kipengele cha kununuliwa mazima kwa $100,000. Msimu wa 2022/23 akiwa na Power Dynamos,Andy Boyeli alitwaa kiatu cha mfungaji bora wa ligi ya Zambia,baada ya kufunga goli 18,pia msimu huo alitwaa tuzo ya MVP. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·5 Views
  • Klabu ya Simba Sc imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji Hussein Daudi Semfuko (21) raia wa Tanzania kwa mkataba wa miaka mitatu utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2028 akitokea Coastal Union

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Simba Sc imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji Hussein Daudi Semfuko (21) raia wa Tanzania kwa mkataba wa miaka mitatu utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2028 akitokea Coastal Union #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·5 Views
  • BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah

    #SportsElite
    🚨🚨BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah 📝✅ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·9 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Sunderland imefikia makubaliano ya kumsaini Marc Guiu kwa mkopo akitokea Chelsea

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Sunderland imefikia makubaliano ya kumsaini Marc Guiu kwa mkopo akitokea Chelsea ❤️🤍🇪🇸 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·11 Views
  • MORICE ABRAHAM NI MNYAMA KWENYE MBUGA YA BUNJU

    Ni yule Kiungo mdambwi dambwi mBongo aliyekuwa nje huko

    Alianza mazoezi na Simba kabla ligi haijaisha…!

    Anajua boli

    #SportsElite
    🚨MORICE ABRAHAM NI MNYAMA KWENYE MBUGA YA BUNJU Ni yule Kiungo mdambwi dambwi mBongo aliyekuwa nje huko✅ Alianza mazoezi na Simba kabla ligi haijaisha…! Anajua boli ✅ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·7 Views
  • Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi.

    Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi. Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·9 Views
  • #CONFIRMED;Ligi kuu Tanzania Nbc premier league inatarajiwa kuanza September 16,2025

    #NBCPremierLeague #Tff #BodiYaLigi

    #SportsElite
    🚨#CONFIRMED;Ligi kuu Tanzania Nbc premier league inatarajiwa kuanza September 16,2025 #NBCPremierLeague #Tff #BodiYaLigi #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·11 Views
  • Nyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja.

    Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo.

    (Chanzo: Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    🚨🚨Nyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja. Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo. (Chanzo: Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·7 Views
  • Tottenham Hotspur iko kwenye majadiliano na Bayern Munich juu ya uhamisho wa Joao Palhinha ⚪️

    #SportsElite
    Tottenham Hotspur iko kwenye majadiliano na Bayern Munich juu ya uhamisho wa Joao Palhinha ✍️⚪️ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·7 Views
  • BREAKING: Nottingham Forest
    imekamilisha usajili wa Dan Ndoye kutoka Bologna kwa kiasi cha £34m

    #SportsElite
    🚨🚨BREAKING: Nottingham Forest imekamilisha usajili wa Dan Ndoye kutoka Bologna kwa kiasi cha £34m ✅🌳 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·10 Views
  • Mchezaji wa Aston Villa Ollie Watkins na Rodrigo Muniz wa Fulham wameongezwa kwenye rada za Newcastle United endapo Benjamin Sesko atachagua kwenda Manchester United..

    (Source:Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    🚨 Mchezaji wa Aston Villa Ollie Watkins na Rodrigo Muniz wa Fulham wameongezwa kwenye rada za Newcastle United endapo Benjamin Sesko atachagua kwenda Manchester United.. (Source:Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·8 Views
  • Crystal Palace wako tayari kutoa ofa ya £27.6M ili kukamilisha uhamisho wa Yann Bisseck kutoka Inter.

    Na atakuwa mbadala wa Marc Guehi ambae bado anawindwa na Liverpool.

    (Source: Gazzetta dello Sport)

    #SportsElite
    🚨 Crystal Palace wako tayari kutoa ofa ya £27.6M ili kukamilisha uhamisho wa Yann Bisseck kutoka Inter. Na atakuwa mbadala wa Marc Guehi ambae bado anawindwa na Liverpool. (Source: Gazzetta dello Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·11 Views
More Results