• Sefania 1:15,17-18
    [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu,
    Siku ya fadhaa na dhiki,
    Siku ya uharibifu na ukiwa,
    Siku ya giza na utusitusi,
    Siku ya mawingu na giza kuu,

    [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi.
    .
    [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.

    Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake .

    Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza.

    Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako.

    Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto.

    Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu.

    Yoeli 2:3
    [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao.

    Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu.

    Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako.

    Ufunuo wa Yohana 22:11
    [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.

    Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake

    Ufunuo wa Yohana 16:15
    [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)

    Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu.

    Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi.

    Ufunuo wa Yohana 22:12,14
    [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.

    [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.

    Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede )

    #build new eden
    #restore men position
    Sefania 1:15,17-18 [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu, Siku ya fadhaa na dhiki, Siku ya uharibifu na ukiwa, Siku ya giza na utusitusi, Siku ya mawingu na giza kuu, [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi. . [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha. Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake . Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza. Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako. Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto. Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu. Yoeli 2:3 [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao. Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu. Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako. Ufunuo wa Yohana 22:11 [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake Ufunuo wa Yohana 16:15 [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.) Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu. Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi. Ufunuo wa Yohana 22:12,14 [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede ) #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·234 Visualizações
  • KWANINI NCHI MASIKINI HUWA NA WANASIASA MATAJIRI SANA?

    Hii ni moja ya mafumbo makubwa ya kisiasa Afrika:
    Nchi ni masikini...
    Raia hawana huduma...
    Lakini wanasiasa wana nyumba za kifahari, magari ya kifahari, na watoto wao wanasoma nje ya nchi.

    Unawezaje kuongoza nchi yenye njaa, lakini wewe unanenepa?

    Sababu ya kwanza: Siasa ni Biashara.
    Watu wengi wanaingia kwenye siasa si kwa sababu ya maono, bali kwa sababu wanajua kuna "return on investment".
    Unatumia milioni 100 kugombea, lakini ukishinda, unaweza rudisha mara 10 zaidi kupitia dili.

    Sababu ya pili: Rushwa Iliyohalalishwa.
    Nchi nyingi masikini zina mifumo dhaifu ya ukaguzi.
    Mwanasiasa anaweza toa tenda kwa kampuni yake mwenyewe kupitia proxies.
    Hakuna accountability.
    "Public office" inageuka kuwa ATM ya binafsi.

    Sababu ya tatu: Ukosefu wa elimu ya uraia.
    Raia wengi hawajui haki zao.
    Wanapewa kilo ya unga au t-shirt wakati wa uchaguzi, wanapitisha mwizi mwingine.
    Siasa zinageuka kuwa mashindano ya maigizo, si sera.

    Sababu ya nne: Tabaka la kimasikini linaogopa mabadiliko.
    Wengi wetu tunaishi kwa matumaini ya kusaidiwa binafsi na si kwa kutengeneza mfumo unaosaidia wote.
    Tunapenda “mheshimiwa” badala ya mfumo bora.
    Hili linafanya mafisadi waendelee kutawala.

    Sababu ya tano: Woga wa taasisi.
    Asasi za kiraia, vyombo vya habari na mahakama huwa dhaifu au vimetiwa mfukoni.
    Hii inawapa wanasiasa uhuru wa kuiba bila hofu ya kushtakiwa.

    Na mwisho kabisa:
    Wanasiasa hawawajibiki kwa wananchi bali kwa wafadhili wao.
    Wale waliowasaidia kugombea (wakubwa wa biashara, makampuni ya kigeni, n.k.) ndio wanaoamua sera.
    Mwananchi? Yuko pembeni kabisa.

    Hii ndiyo sababu utaona mtu anakuwa mbunge kwa miaka 15 lakini eneo lake halina maji wala barabara.
    Lakini yeye ana ghorofa 3, magari 4, na clinic binafsi Nairobi.

    Umasikini wa raia si bahati mbaya ni mpango wa kisiasa.

    Suluhisho?

    Elimu ya uraia

    Uwajibikaji

    Sheria kali za kupiga vita ufisadi

    Vyombo huru vya habari

    Raia wasioogopa kuuliza maswali

    Je, wewe unaona nini kifanyike ili tuwajibishe viongozi wetu?
    Tumezoea maisha magumu kiasi kwamba tumeyakubali kama kawaida.
    Ni muda wa kubadilika.

    #Kireportel #Ufisadi #Siasa #Africa #Kujitambua

    Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    KWANINI NCHI MASIKINI HUWA NA WANASIASA MATAJIRI SANA? Hii ni moja ya mafumbo makubwa ya kisiasa Afrika: Nchi ni masikini... Raia hawana huduma... Lakini wanasiasa wana nyumba za kifahari, magari ya kifahari, na watoto wao wanasoma nje ya nchi. Unawezaje kuongoza nchi yenye njaa, lakini wewe unanenepa? Sababu ya kwanza: Siasa ni Biashara. Watu wengi wanaingia kwenye siasa si kwa sababu ya maono, bali kwa sababu wanajua kuna "return on investment". Unatumia milioni 100 kugombea, lakini ukishinda, unaweza rudisha mara 10 zaidi kupitia dili. Sababu ya pili: Rushwa Iliyohalalishwa. Nchi nyingi masikini zina mifumo dhaifu ya ukaguzi. Mwanasiasa anaweza toa tenda kwa kampuni yake mwenyewe kupitia proxies. Hakuna accountability. "Public office" inageuka kuwa ATM ya binafsi. Sababu ya tatu: Ukosefu wa elimu ya uraia. Raia wengi hawajui haki zao. Wanapewa kilo ya unga au t-shirt wakati wa uchaguzi, wanapitisha mwizi mwingine. Siasa zinageuka kuwa mashindano ya maigizo, si sera. Sababu ya nne: Tabaka la kimasikini linaogopa mabadiliko. Wengi wetu tunaishi kwa matumaini ya kusaidiwa binafsi na si kwa kutengeneza mfumo unaosaidia wote. Tunapenda “mheshimiwa” badala ya mfumo bora. Hili linafanya mafisadi waendelee kutawala. Sababu ya tano: Woga wa taasisi. Asasi za kiraia, vyombo vya habari na mahakama huwa dhaifu au vimetiwa mfukoni. Hii inawapa wanasiasa uhuru wa kuiba bila hofu ya kushtakiwa. Na mwisho kabisa: Wanasiasa hawawajibiki kwa wananchi bali kwa wafadhili wao. Wale waliowasaidia kugombea (wakubwa wa biashara, makampuni ya kigeni, n.k.) ndio wanaoamua sera. Mwananchi? Yuko pembeni kabisa. Hii ndiyo sababu utaona mtu anakuwa mbunge kwa miaka 15 lakini eneo lake halina maji wala barabara. Lakini yeye ana ghorofa 3, magari 4, na clinic binafsi Nairobi. Umasikini wa raia si bahati mbaya ni mpango wa kisiasa. Suluhisho? Elimu ya uraia Uwajibikaji Sheria kali za kupiga vita ufisadi Vyombo huru vya habari Raia wasioogopa kuuliza maswali Je, wewe unaona nini kifanyike ili tuwajibishe viongozi wetu? Tumezoea maisha magumu kiasi kwamba tumeyakubali kama kawaida. Ni muda wa kubadilika. #Kireportel #Ufisadi #Siasa #Africa #Kujitambua Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·566 Visualizações
  • 13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI.

    Torati 13:1-2
    *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo*

    Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani .

    *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.*

    Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*.

    *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.*

    Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi .

    (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona )

    *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.*

    Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani*

    Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi .

    Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo.

    Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana .

    Ukisoma Yeremia 28:
    Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo .

    , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15)

    Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo.

    Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao.

    Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi.

    Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani.

    Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"*

    Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao.

    Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua.

    Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.*

    Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu .

    Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa.

    Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki

    Yeremia 28:9
    *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.*

    Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli .

    *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa*


    Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu.

    Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga.

    Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake.

    Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden)

    Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340

    #build new eden
    #Restoremenposition
    13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI. Torati 13:1-2 *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo* Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani . *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.* Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*. *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.* Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi . (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona ) *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.* Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani* Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi . Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo. Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana . Ukisoma Yeremia 28: Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo . , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15) Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo. Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao. Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi. Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani. Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"* Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao. Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua. Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.* Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu . Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa. Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki Yeremia 28:9 *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.* Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli . *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa* Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu. Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga. Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake. Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden) Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340 #build new eden #Restoremenposition
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·841 Visualizações
  • "Uzito wa Vita vya Kimya"

    Wakati mwingine, sehemu ngumu zaidi ya siku ni wakati uko peke yako na mawazo yako-wakati unapolala, na ulimwengu unatulia. Ni katika utulivu huu ambapo uzito wa hisia ambazo umesukuma kando siku nzima huja haraka. Unafunika uso wako, sio tu kuficha machozi lakini kujikinga na mafuriko makubwa ya hisia ambazo hujui jinsi ya kuzishughulikia kila wakati.

    Hakuna anayezungumza jinsi inavyochosha kubeba uzito wa moyo mzito. Kutabasamu unapovunjika ndani, kushikilia pamoja unapojisikia kutengana, na kuendelea wakati kila kitu ndani yako kinataka tu kusitisha. Vita hivi havionekani kwa ulimwengu lakini vyote ni vya kweli kwako.

    Wewe si dhaifu kwa kuhisi hivi. Hujavunjika kwa sababu una wakati ambapo ni nyingi sana. Kwa kweli, nguvu inayohitajiwa ili kukabiliana na hisia hizi—kujiruhusu kujisikia, kulia, na kuachilia uzito—haiwezi kupimika. Inakukumbusha kuwa wewe ni binadamu, kwamba unasafiri safari hii kwa ujasiri, hata katika siku ambazo huhisi kama huvumilia kwa urahisi.

    Lakini hapa kuna kitu cha kushikilia: hata katika nyakati hizi za giza, unakua. Unatafuta vipande vyako ambavyo hukuwahi kujua vipo. Unagundua uthabiti katika machozi yako na ujasiri katika mazingira magumu yako. Na hauko peke yako, hata wakati inahisi kama ulimwengu hauoni mapambano yako. Mahali fulani huko nje, mtu anakujali, anakuamini, na angefanya chochote kukukumbusha nguvu zako.

    Kwa hiyo usiku wa leo, ikiwa uzito unahisi kuwa mzito sana, ujue kuwa ni sawa kupumzika. Ni sawa kujisikia, kuruhusu machozi kuanguka, na kuchukua muda kwa ajili yako mwenyewe. Lakini kumbuka, hii ni sura tu, sio hadithi nzima. Siku angavu zaidi zinakuja, na utatazama nyuma wakati huu kama uthibitisho wa roho yako isiyoweza kuvunjika.

    Una nguvu kuliko unavyofikiria, na hauko peke yako. Endelea, pumzi moja, chozi moja, na dakika moja baada ya nyingine. Umepata hii.

    #Vita vya Kimya #Una Nguvu #Inakuwa Bora #UponyajiHuchukuaMuda #Hauko Peke Yako
    "Uzito wa Vita vya Kimya" Wakati mwingine, sehemu ngumu zaidi ya siku ni wakati uko peke yako na mawazo yako-wakati unapolala, na ulimwengu unatulia. Ni katika utulivu huu ambapo uzito wa hisia ambazo umesukuma kando siku nzima huja haraka. Unafunika uso wako, sio tu kuficha machozi lakini kujikinga na mafuriko makubwa ya hisia ambazo hujui jinsi ya kuzishughulikia kila wakati. Hakuna anayezungumza jinsi inavyochosha kubeba uzito wa moyo mzito. Kutabasamu unapovunjika ndani, kushikilia pamoja unapojisikia kutengana, na kuendelea wakati kila kitu ndani yako kinataka tu kusitisha. Vita hivi havionekani kwa ulimwengu lakini vyote ni vya kweli kwako. Wewe si dhaifu kwa kuhisi hivi. Hujavunjika kwa sababu una wakati ambapo ni nyingi sana. Kwa kweli, nguvu inayohitajiwa ili kukabiliana na hisia hizi—kujiruhusu kujisikia, kulia, na kuachilia uzito—haiwezi kupimika. Inakukumbusha kuwa wewe ni binadamu, kwamba unasafiri safari hii kwa ujasiri, hata katika siku ambazo huhisi kama huvumilia kwa urahisi. Lakini hapa kuna kitu cha kushikilia: hata katika nyakati hizi za giza, unakua. Unatafuta vipande vyako ambavyo hukuwahi kujua vipo. Unagundua uthabiti katika machozi yako na ujasiri katika mazingira magumu yako. Na hauko peke yako, hata wakati inahisi kama ulimwengu hauoni mapambano yako. Mahali fulani huko nje, mtu anakujali, anakuamini, na angefanya chochote kukukumbusha nguvu zako. Kwa hiyo usiku wa leo, ikiwa uzito unahisi kuwa mzito sana, ujue kuwa ni sawa kupumzika. Ni sawa kujisikia, kuruhusu machozi kuanguka, na kuchukua muda kwa ajili yako mwenyewe. Lakini kumbuka, hii ni sura tu, sio hadithi nzima. Siku angavu zaidi zinakuja, na utatazama nyuma wakati huu kama uthibitisho wa roho yako isiyoweza kuvunjika. Una nguvu kuliko unavyofikiria, na hauko peke yako. Endelea, pumzi moja, chozi moja, na dakika moja baada ya nyingine. Umepata hii. ❤️ #Vita vya Kimya #Una Nguvu #Inakuwa Bora #UponyajiHuchukuaMuda #Hauko Peke Yako
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·749 Visualizações
  • 1/21
    MAOMBI YENYE TIJA MBELE ZA MUNGU.

    tuanze kwa kujua nini maana ya maombi.

    Maombi ni mazungumzo kati ya mtu aliye okoka na Mungu wake .
    Isaya 1:18.
    Haya, *njoni, tusemezane, asema BWANA*. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu.

    Maombi ni hali ya kuhitaji kupeleka mahitaji yetu mbele za bwana.
    Filip 4:6
    6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru.

    Maombi ndiyo kibali kinacho mpa Mungu nafasi ya kuingilia kati mambo ya watoto wake.

    Mathayo 7:7-8
    *“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.*

    Maombi ni vita .

    Efeso 6:10-12
    Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

    Maombi pia ni ibada .
    Zaburi 42:1-3

    Maombi yanayo jibiwa ni maombi yanayo ambatana na neno la Mungu.

    Mungu anapo jibu maombi anajibu neno lake siyo wewe unasema nini.

    Ili maombi yako yajibiwe lazima uwe na uhakika naye unaye muomba .

    Warumi 10:17
    *Imani chanzo chake ni kusikia ,na kusikia huja kwa neno la kristo.

    Kiwango chako cha kuliamini neno ndicho kinacho amua aina ya majibu unayo yataka.

    Natamani unavyo ingia msimu mpya uombe kama mtu wa mbinguni kwa kila ombi kumkumbusha Mungu neno lake.

    Mfano.
    Unataka kufanikiwa mkumbushe mungu kuwa kwa neno lako umesema madamu muda wa kupanda udumupo wakati wa kuvuna hauta koma.

    Au kwa neno lako *umesema sinta kuwa mkia nitakuwa kichwa*
    Ndipo anza kuingiza haja yako .

    Au kwa neno lako *umesema nitabarikiwa mjini nitabarikiwa shambani* ndipo uendelee na haja zako.

    Ili umpendeze Mungu lazima uwe na neno lake .
    Ebrania 11:6

    Mungu hawezi kwenda kinyume na neno lake hiyo ndiyo sababu ya kuomba kwa neno lake.
    Ebrania 6:16-17
    Yeremia 1:12

    Mungu alimwambia yeremia umenena vema kwa maana mimi Bwana naangalia neno langu hili nitimize.
    Natumaini maombi yetu leo yataongozwa na neno la Mungu.
    #build new eden
    1/21 MAOMBI YENYE TIJA MBELE ZA MUNGU. tuanze kwa kujua nini maana ya maombi. Maombi ni mazungumzo kati ya mtu aliye okoka na Mungu wake . Isaya 1:18. Haya, *njoni, tusemezane, asema BWANA*. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu. Maombi ni hali ya kuhitaji kupeleka mahitaji yetu mbele za bwana. Filip 4:6 6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru. Maombi ndiyo kibali kinacho mpa Mungu nafasi ya kuingilia kati mambo ya watoto wake. Mathayo 7:7-8 *“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.* Maombi ni vita . Efeso 6:10-12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Maombi pia ni ibada . Zaburi 42:1-3 Maombi yanayo jibiwa ni maombi yanayo ambatana na neno la Mungu. Mungu anapo jibu maombi anajibu neno lake siyo wewe unasema nini. Ili maombi yako yajibiwe lazima uwe na uhakika naye unaye muomba . Warumi 10:17 *Imani chanzo chake ni kusikia ,na kusikia huja kwa neno la kristo. Kiwango chako cha kuliamini neno ndicho kinacho amua aina ya majibu unayo yataka. Natamani unavyo ingia msimu mpya uombe kama mtu wa mbinguni kwa kila ombi kumkumbusha Mungu neno lake. Mfano. Unataka kufanikiwa mkumbushe mungu kuwa kwa neno lako umesema madamu muda wa kupanda udumupo wakati wa kuvuna hauta koma. Au kwa neno lako *umesema sinta kuwa mkia nitakuwa kichwa* Ndipo anza kuingiza haja yako . Au kwa neno lako *umesema nitabarikiwa mjini nitabarikiwa shambani* ndipo uendelee na haja zako. Ili umpendeze Mungu lazima uwe na neno lake . Ebrania 11:6 Mungu hawezi kwenda kinyume na neno lake hiyo ndiyo sababu ya kuomba kwa neno lake. Ebrania 6:16-17 Yeremia 1:12 Mungu alimwambia yeremia umenena vema kwa maana mimi Bwana naangalia neno langu hili nitimize. Natumaini maombi yetu leo yataongozwa na neno la Mungu. #build new eden
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·737 Visualizações
  • Kutoka Nchini Qatar , Pande mbali hasimu katika mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa AFC/M23 wanaotuhumiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda wamekubaliana kusitisha mapigano mara moja, baada ya mazungumzo ya wiki moja yaliyoandaliwa Nchini Qatar. Makubaliano hayo, yaliyoelezwa kuwa ni hatua ya matumaini, yalitangazwa kupitia taarifa rasmi zilizotolewa na kila upande baada ya Wajumbe kurejea kutoka Qatar mapema wiki hii.

    “Pande zote zimethibitisha dhamira yao ya kusitisha uhasama, kupinga matamshi ya chuki na vitisho, na kuhimiza jamii kutekeleza ahadi hizi,” ilisomeka sehemu ya taarifa. Hata hivyo, tarehe ya duru inayofuata ya mazungumzo haikutajwa.

    Kundi la M23 ambalo limekuwa likijipatia nguvu upya tangu mwaka jana, limeshambulia na kuteka Miji kadhaa Mashariki mwa DR Congo, hali iliyosababisha vifo vya maelfu na kuwafanya mamilioni kuwa Wakimbizi. Hofu ya vita vikubwa vya kikanda imetanda, hasa kutokana na mvutano kati ya DR Congo na Nchi ya Rwanda. Rwanda imeendelea kukanusha kuhusika moja kwa moja na kundi la M23, ikisema Wanajeshi wake wapo kulinda mipaka dhidi ya mashambulizi ya Wanamgambo wa Kihutu waliokimbilia DR Congo baada ya mauaji ya kimbari ya 1994.

    Juhudi hizi za upatanishi zinafuatia mkutano wa mwezi uliopita ulioandaliwa pia na Qatar, uliowakutanisha Rais wa DR Congo, Félix Tshisekedi na Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Wito wa pamoja wa kusitisha mapigano ulitolewa, na sasa mazungumzo kati ya Serikali ya DR Congo na Kundi la M23 yanaonekana kuanza kupewa nafasi, licha ya DR Congo kulitambua Kundi hilo kama la kigaidi hapo awali.

    Kutoka Nchini Qatar 🇶🇦, Pande mbali hasimu katika mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 na waasi wa AFC/M23 wanaotuhumiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 🇷🇼 wamekubaliana kusitisha mapigano mara moja, baada ya mazungumzo ya wiki moja yaliyoandaliwa Nchini Qatar. Makubaliano hayo, yaliyoelezwa kuwa ni hatua ya matumaini, yalitangazwa kupitia taarifa rasmi zilizotolewa na kila upande baada ya Wajumbe kurejea kutoka Qatar mapema wiki hii. “Pande zote zimethibitisha dhamira yao ya kusitisha uhasama, kupinga matamshi ya chuki na vitisho, na kuhimiza jamii kutekeleza ahadi hizi,” ilisomeka sehemu ya taarifa. Hata hivyo, tarehe ya duru inayofuata ya mazungumzo haikutajwa. Kundi la M23 ambalo limekuwa likijipatia nguvu upya tangu mwaka jana, limeshambulia na kuteka Miji kadhaa Mashariki mwa DR Congo, hali iliyosababisha vifo vya maelfu na kuwafanya mamilioni kuwa Wakimbizi. Hofu ya vita vikubwa vya kikanda imetanda, hasa kutokana na mvutano kati ya DR Congo na Nchi ya Rwanda. Rwanda imeendelea kukanusha kuhusika moja kwa moja na kundi la M23, ikisema Wanajeshi wake wapo kulinda mipaka dhidi ya mashambulizi ya Wanamgambo wa Kihutu waliokimbilia DR Congo baada ya mauaji ya kimbari ya 1994. Juhudi hizi za upatanishi zinafuatia mkutano wa mwezi uliopita ulioandaliwa pia na Qatar, uliowakutanisha Rais wa DR Congo, Félix Tshisekedi na Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Wito wa pamoja wa kusitisha mapigano ulitolewa, na sasa mazungumzo kati ya Serikali ya DR Congo na Kundi la M23 yanaonekana kuanza kupewa nafasi, licha ya DR Congo kulitambua Kundi hilo kama la kigaidi hapo awali.
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·498 Visualizações
  • Habari ya jion tena .leo tunaendelea tena na tafsiri ya ndoto kiroho kwa kutumia biblia .

    Ukiota ndoto umekaa na viongozi wakuu wanchi ,unawawakilisha au hata unashare nao majukumu au company ywko ndotoni nini maana yake.?

    Mithali 18:16

    1.Ndoto hii inaashiria karama au kibali kinacho kuja mbele yako au uwezo wako wa ndani rohoni jinsi unavyo tizamwa.

    2.Inawakilisha kuwa kuna msimu mpya unakuja na nafasi mpya njema katika maisha yako.

    3. Inaonyesha pia unaweza ukawa unashare naye destiny huyo kiongozi yaani rohoni mko level moja sasa inategemea huyo uongozi wake msingi wake ni upi?


    Mwanzo 40:9-23 wote waliota ndoto zinazo elekeana lakini hazikufanana

    4.Unaukuu ndani yako wa kiuongozi ni vile tu umejisahau sana .anza kuliishi kusudi lako ili uifikie hatma yako.
    Zaburi 113:7-8

    Maana ya jumla .
    Viongozi katika ndotocwanawakilisha roho yenye mamlaka ya kutawala na yenye nguvu wakutawala na kumiliki juu ya nchi.

    Unapo wakilisha wakuu au kuona nafasi ya ukuu ndani yako wanawakikisha kutiwa mafuta kwa nafsi yako ili upate kuwa mtu fulani katika nchi.

    Ndoto za ukuu mara nyingi zinakuwaga na vita sana zinataka kusimama sana na Mungu kwani ukitaka kuona msome yusuph katika mwanzo 37

    NB .Kuota swala moja na kutimia swala moja ili litimie lazima ujifunze namna ya kuomba Mungu.

    Namna ya kuomba .

    1.kuwa mtu wa imani amini anza kuomba rehema na shukrani.

    2.Omba Mungu aifanikishe isibaki kuwa ndoto tu (ndoto iliyo zuiwa rohoni)

    3.Chuchumilia mbele za Mungu mpaka itimie kwa mifungo mingi na maombi mengi sana.

    4.Kama kuna nafasi chuku hatua ya kuomba Mungu akusogezee watu sahii ambao wanaweza kuwa wakuu.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden.
    Habari ya jion tena .leo tunaendelea tena na tafsiri ya ndoto kiroho kwa kutumia biblia . Ukiota ndoto umekaa na viongozi wakuu wanchi ,unawawakilisha au hata unashare nao majukumu au company ywko ndotoni nini maana yake.? Mithali 18:16 1.Ndoto hii inaashiria karama au kibali kinacho kuja mbele yako au uwezo wako wa ndani rohoni jinsi unavyo tizamwa. 2.Inawakilisha kuwa kuna msimu mpya unakuja na nafasi mpya njema katika maisha yako. 3. Inaonyesha pia unaweza ukawa unashare naye destiny huyo kiongozi yaani rohoni mko level moja sasa inategemea huyo uongozi wake msingi wake ni upi? Mwanzo 40:9-23 wote waliota ndoto zinazo elekeana lakini hazikufanana 4.Unaukuu ndani yako wa kiuongozi ni vile tu umejisahau sana .anza kuliishi kusudi lako ili uifikie hatma yako. Zaburi 113:7-8 Maana ya jumla . Viongozi katika ndotocwanawakilisha roho yenye mamlaka ya kutawala na yenye nguvu wakutawala na kumiliki juu ya nchi. Unapo wakilisha wakuu au kuona nafasi ya ukuu ndani yako wanawakikisha kutiwa mafuta kwa nafsi yako ili upate kuwa mtu fulani katika nchi. Ndoto za ukuu mara nyingi zinakuwaga na vita sana zinataka kusimama sana na Mungu kwani ukitaka kuona msome yusuph katika mwanzo 37 NB .Kuota swala moja na kutimia swala moja ili litimie lazima ujifunze namna ya kuomba Mungu. Namna ya kuomba . 1.kuwa mtu wa imani amini anza kuomba rehema na shukrani. 2.Omba Mungu aifanikishe isibaki kuwa ndoto tu (ndoto iliyo zuiwa rohoni) 3.Chuchumilia mbele za Mungu mpaka itimie kwa mifungo mingi na maombi mengi sana. 4.Kama kuna nafasi chuku hatua ya kuomba Mungu akusogezee watu sahii ambao wanaweza kuwa wakuu. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden.
    Share on WhatsApp
    w.app
    WhatsApp Messenger: More than 2 billion people in over 180 countries use WhatsApp to stay in touch with friends and family, anytime and anywhere. WhatsApp is free and offers simple, secure, reliable messaging and calling, available on phones all over the world.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·780 Visualizações
  • UTAPATA TENA - BARUA KWA MOYO WAKO ULIOCHOKA

    Labda sio leo. Labda si kesho. Lakini siku moja, utaamka, na uzito katika kifua chako utakuwa nyepesi kidogo.
    Maumivu yanayong’ang’ania nafsi yako, maumivu hayo tulivu unayoyabeba hata katikati ya kicheko—Hayatatoweka mara moja. Lakini polepole, kwa upole, itaanza kufifia. Na ukimya unaohisi kuwa unakumeza mzima sasa hivi? Itageuka kuwa mahali ambapo amani huanza kunong'ona tena.
    Hivi sasa, inaweza kuhisi kama unazama katika vita visivyoonekana. Kama vile unajitokeza kwa ajili ya ulimwengu kwa tabasamu lililopakwa rangi huku moyo wako ukitoweka nyuma ya pazia. Lakini hata hapa, katika machafuko haya, uponyaji umeanza.
    Huenda huioni bado— Lakini ni kwa jinsi unavyoinuka kitandani wakati ingekuwa rahisi kujikunja. Ni kwa njia ambayo bado unajaribu, bado unatumaini, bado unapumua- Hata wakati kila kitu kinahisi kuwa kizito.
    Si lazima kuwa na yote kufikiriwa nje. Huna haja ya kuwa na nguvu kila wakati. Kulia haimaanishi kuwa wewe ni dhaifu. Kuhitaji nafasi hakukufanyi kuwa mzigo. Kuvunjika hakukufanyi kuvunjika.
    Wewe ni binadamu. Na uponyaji sio njia moja kwa moja - ni mbaya. Ni nyuma na kando. Ni kicheko katika pumzi moja na machozi katika inayofuata.
    Siku kadhaa, utahisi kama umefika upande mwingine. Na siku kadhaa, itahisi kama umerudi mwanzoni. Lakini hujashindwa. Huo ni mdundo tu wa kupona- Lugha ya ustahimilivu.
    Utapata njia yako ya kurudi kwako - kwa toleo lako ambalo halifafanuliwa na maumivu, lakini linaloundwa nayo. Mwenye hekima zaidi. Laini zaidi. Nguvu zaidi. Sio licha ya yale ambayo umepitia, Lakini kwa sababu yake.
    Siku moja, utaona jua likiangaza kupitia nyufa za roho yako, Na utambue kuwa linahisi joto tena. Utasikia wimbo na kutetemeka, Na utambue uzito wa kifua chako sio mkubwa. Utakutana na tafakari yako kwa wema, Sio ukosoaji.
    Na siku hiyo ikija - Utatabasamu. Kwa sababu utajua: Uliokoka. Umepona. Umefanikiwa.
    Kwa hivyo shikilia. Ichukue dakika moja baada ya nyingine. Sio lazima kuharakisha. Sio lazima kujifanya uko sawa wakati hauko sawa. Lazima tu uendelee.

    Hata kama ni kupumua tu.

    Hata kama ni kuishi tu.

    Kwa sababu utakuwa sawa tena.

    Na siku moja, utakuwa sawa - utakuwa mzima.

    #UponyajiSiyo Mstari ##KutokaMaumivuKwendaAmani #
    UTAPATA TENA - BARUA KWA MOYO WAKO ULIOCHOKA Labda sio leo. Labda si kesho. Lakini siku moja, utaamka, na uzito katika kifua chako utakuwa nyepesi kidogo. Maumivu yanayong’ang’ania nafsi yako, maumivu hayo tulivu unayoyabeba hata katikati ya kicheko—Hayatatoweka mara moja. Lakini polepole, kwa upole, itaanza kufifia. Na ukimya unaohisi kuwa unakumeza mzima sasa hivi? Itageuka kuwa mahali ambapo amani huanza kunong'ona tena. Hivi sasa, inaweza kuhisi kama unazama katika vita visivyoonekana. Kama vile unajitokeza kwa ajili ya ulimwengu kwa tabasamu lililopakwa rangi huku moyo wako ukitoweka nyuma ya pazia. Lakini hata hapa, katika machafuko haya, uponyaji umeanza. Huenda huioni bado— Lakini ni kwa jinsi unavyoinuka kitandani wakati ingekuwa rahisi kujikunja. Ni kwa njia ambayo bado unajaribu, bado unatumaini, bado unapumua- Hata wakati kila kitu kinahisi kuwa kizito. Si lazima kuwa na yote kufikiriwa nje. Huna haja ya kuwa na nguvu kila wakati. Kulia haimaanishi kuwa wewe ni dhaifu. Kuhitaji nafasi hakukufanyi kuwa mzigo. Kuvunjika hakukufanyi kuvunjika. Wewe ni binadamu. Na uponyaji sio njia moja kwa moja - ni mbaya. Ni nyuma na kando. Ni kicheko katika pumzi moja na machozi katika inayofuata. Siku kadhaa, utahisi kama umefika upande mwingine. Na siku kadhaa, itahisi kama umerudi mwanzoni. Lakini hujashindwa. Huo ni mdundo tu wa kupona- Lugha ya ustahimilivu. Utapata njia yako ya kurudi kwako - kwa toleo lako ambalo halifafanuliwa na maumivu, lakini linaloundwa nayo. Mwenye hekima zaidi. Laini zaidi. Nguvu zaidi. Sio licha ya yale ambayo umepitia, Lakini kwa sababu yake. Siku moja, utaona jua likiangaza kupitia nyufa za roho yako, Na utambue kuwa linahisi joto tena. Utasikia wimbo na kutetemeka, Na utambue uzito wa kifua chako sio mkubwa. Utakutana na tafakari yako kwa wema, Sio ukosoaji. Na siku hiyo ikija - Utatabasamu. Kwa sababu utajua: Uliokoka. Umepona. Umefanikiwa. Kwa hivyo shikilia. Ichukue dakika moja baada ya nyingine. Sio lazima kuharakisha. Sio lazima kujifanya uko sawa wakati hauko sawa. Lazima tu uendelee. Hata kama ni kupumua tu. Hata kama ni kuishi tu. Kwa sababu utakuwa sawa tena. Na siku moja, utakuwa sawa - utakuwa mzima. #UponyajiSiyo Mstari ##KutokaMaumivuKwendaAmani #
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·651 Visualizações
  • Mwanaume huyo pichani, anaitwa Ho Van Lang na picha hizo zilipigwa mara baada ya kugunduliwa mwaka 2013, akiwa ameishi katika msitu wa mbali Nchini Vietnam kwa miaka 41 pamoja na Baba yake, Ho Van Thanh. Walikimbia kijiji chao mwaka 1972 kufuatia mashambulizi ya mabomu ya Marekani wakati wa Vita ya Vietnam ambayo yaliwaua baadhi ya Wanafamilia wao.

    Kwa kuogopa usalama wao, Baba na Mwana walitoweka msituni katika mkoa wa Quang Ngai na wakabaki bila mawasiliano na Jamii kwa miongo kadhaa. Lang, ambaye alikuwa Mtoto mchanga walipotoweka, alitumia maisha yake yote akiwa katika hali ya kutengwa, bila kufahamu chochote kuhusu Dunia ya kisasa.

    Hakuwa na dhana ya Jamii, teknolojia, wala hata uwepo wa Wanawake, jambo alilolielewa tu baada ya kurejeshwa kwenye Jamii. Hadithi yake inaonyesha kwa kina uimara wa Mwanadamu na athari za kutengwa kwa muda mrefu katika maendeleo ya mtu binafsi na mtazamo wake wa Dunia.

    Mwanaume huyo pichani, anaitwa Ho Van Lang na picha hizo zilipigwa mara baada ya kugunduliwa mwaka 2013, akiwa ameishi katika msitu wa mbali Nchini Vietnam 🇻🇳 kwa miaka 41 pamoja na Baba yake, Ho Van Thanh. Walikimbia kijiji chao mwaka 1972 kufuatia mashambulizi ya mabomu ya Marekani 🇺🇸 wakati wa Vita ya Vietnam ambayo yaliwaua baadhi ya Wanafamilia wao. Kwa kuogopa usalama wao, Baba na Mwana walitoweka msituni katika mkoa wa Quang Ngai na wakabaki bila mawasiliano na Jamii kwa miongo kadhaa. Lang, ambaye alikuwa Mtoto mchanga walipotoweka, alitumia maisha yake yote akiwa katika hali ya kutengwa, bila kufahamu chochote kuhusu Dunia ya kisasa. Hakuwa na dhana ya Jamii, teknolojia, wala hata uwepo wa Wanawake, jambo alilolielewa tu baada ya kurejeshwa kwenye Jamii. Hadithi yake inaonyesha kwa kina uimara wa Mwanadamu na athari za kutengwa kwa muda mrefu katika maendeleo ya mtu binafsi na mtazamo wake wa Dunia.
    Like
    Haha
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·832 Visualizações
  • Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ?

    1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha .

    2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) .

    Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio .

    Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa .

    NOTE :

    1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli)

    2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi )

    3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo nimependa Energy ya Maabad

    4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake )

    FT: Yanga 1-0 Coastal Union .
    (Kelvin Rabson).

    Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ? 1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha . 2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) . ✍️ Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio . ✍️ Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa . NOTE : 1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli) 2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi 🔥) 3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo 👏 nimependa Energy ya Maabad ✅ 4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake ) FT: Yanga 1-0 Coastal Union . (Kelvin Rabson).
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·880 Visualizações
  • Uongozi wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Nchini Marekani , Major League Soccer (MLS), umempiga marufuku Mlinzi binafsi (Bodyguard) wa Lionel Messi, Yassine Cheuko, kuwa kando na kuingia katikati ya Uwanja wakati wa mechi za Inter Miami kwa lengo lake la kumlinda Mwajiri wake Messi.

    Ikumbukwe kwamba Yassine Cheuko, ni Mwanajeshi wa zamani wa kikosi maalumu cha operesheni za kijeshi cha Jeshi la Majini la Marekani (U.S. Navy) kinachobobea katika vita visivyo vya kawaida, kupambana na ugaidi, mashambulizi ya moja kwa moja, na upelelezi wa kijeshi. Tangu Yessine Cheuko aanze kufanya kazi na Messi amejizolea umaarufu mkubwa Duniani kwani ameonekana mara nyingi akiwadhibiti Wavamizi mbalimbali ambao wengi lengo lao huwa sio baya, zaidi wanataka kupiga picha na Messi.

    Tayari uongozi wa Ligi hiyo umemzuia kuingia Uwanjani, sasa ataruhusiwa tu kuwa kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo na maeneo ya Waandishi wa habari siku za mechi. Uamuzi huu ni sehemu ya mpango wa (MLS) wa kuchukua mamlaka kamili ya usalama wa mechi.

    Baada ya katazo, Yassine Cheuko ameonyesha kutoridhishwa na hatua hiyo, akisema kuwa Wavamizi wa Uwanja ni tatizo kubwa zaidi Nchini Marekani kuliko Ulaya. Kwa mujibu wake, katika miaka saba aliyofanya kazi Ulaya, kulikuwa na matukio sita pekee ya uvamizi Uwanjani, ilhali katika miezi 20 Nchini Marekani, tayari yameshuhudiwa matukio 16.

    Mlinzi huyo ameendelea kusema kuwa Uongozi wa Ligi Kuu ya Marekani haukutakiwa kumzuia kufanye kazi yake bali walitakiwa kumpa ushirikiano ili kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa sababu eti kipindi yupo barani Ulaya, alipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenye Uongozi na alifanya kazi yake kwa uhuru. Pamoja na kuzuiliwa kuingia Uwanjani au kukaa kando ya Uwanja, Cheuko amesema kuwa ataendelea kufanya kazi yake kama kawaida bila kuvunja sheria au utaratibu uliopo kwenye mchezo wa mpira wa miguu.

    Uongozi wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Nchini Marekani 🇺🇸, Major League Soccer (MLS), umempiga marufuku Mlinzi binafsi (Bodyguard) wa Lionel Messi, Yassine Cheuko, kuwa kando na kuingia katikati ya Uwanja wakati wa mechi za Inter Miami kwa lengo lake la kumlinda Mwajiri wake Messi. Ikumbukwe kwamba Yassine Cheuko, ni Mwanajeshi wa zamani wa kikosi maalumu cha operesheni za kijeshi cha Jeshi la Majini la Marekani (U.S. Navy) kinachobobea katika vita visivyo vya kawaida, kupambana na ugaidi, mashambulizi ya moja kwa moja, na upelelezi wa kijeshi. Tangu Yessine Cheuko aanze kufanya kazi na Messi amejizolea umaarufu mkubwa Duniani kwani ameonekana mara nyingi akiwadhibiti Wavamizi mbalimbali ambao wengi lengo lao huwa sio baya, zaidi wanataka kupiga picha na Messi. Tayari uongozi wa Ligi hiyo umemzuia kuingia Uwanjani, sasa ataruhusiwa tu kuwa kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo na maeneo ya Waandishi wa habari siku za mechi. Uamuzi huu ni sehemu ya mpango wa (MLS) wa kuchukua mamlaka kamili ya usalama wa mechi. Baada ya katazo, Yassine Cheuko ameonyesha kutoridhishwa na hatua hiyo, akisema kuwa Wavamizi wa Uwanja ni tatizo kubwa zaidi Nchini Marekani kuliko Ulaya. Kwa mujibu wake, katika miaka saba aliyofanya kazi Ulaya, kulikuwa na matukio sita pekee ya uvamizi Uwanjani, ilhali katika miezi 20 Nchini Marekani, tayari yameshuhudiwa matukio 16. Mlinzi huyo ameendelea kusema kuwa Uongozi wa Ligi Kuu ya Marekani haukutakiwa kumzuia kufanye kazi yake bali walitakiwa kumpa ushirikiano ili kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa sababu eti kipindi yupo barani Ulaya, alipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenye Uongozi na alifanya kazi yake kwa uhuru. Pamoja na kuzuiliwa kuingia Uwanjani au kukaa kando ya Uwanja, Cheuko amesema kuwa ataendelea kufanya kazi yake kama kawaida bila kuvunja sheria au utaratibu uliopo kwenye mchezo wa mpira wa miguu.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·920 Visualizações
  • Aliyetiwa hatiani kuwa Mhalifu wa kivita na Mahakama ya kimataifa ya (ICC) kwa makosa mbalimbali, Thomas Lubanga, ametangaza kuunda kundi jipya la Waasi lenye lengo la kuiangusha Serikali ya Jimbo la Ituri, lililopo Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .

    Nchi ya DR Congo imekuwa ikikabiliwa na tishio la kiusalama katika Mikoa ya mashariki ambapo makundi ya Waasi ikiwemo Muungano wa Waasi wa AFC/M23 unaoshikilia Miji ya Goma, Bukavu, Nyabibwe na Walikale.

    Hata hivyo, uamuzi wa Thomas Lubanga ambaye ni Mzaliwa wa Mkoa wa Ituri Nchini DR Congo na anayeishi Nchini Uganda , kutangaza kuanzisha Kundi lake la Waasi alilolipa jina Convention for the Popular Revolution (CPR) ambalo litaongeza hofu ya machafuko Nchini humo wakati huu ambao Serikali ya Rais Felix Tshisekedi inatafuta maridhiano na M23 kwa njia ya mazungumzo.

    Shirika la Habari la Reuters, limeripoti leo Jumanne Aprili Mosi, 2025, kuwa Lubanga ambaye ni Mzaliwa wa Ituri, alihukumiwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) mwaka 2012 kwa makosa ya kuwasajili Watoto kama Askari na akapewa kifungo cha miaka 14 Gerezani, baadaye aliachiliwa mwaka 2020 na Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi kisha akamteua kuwa sehemu ya kikosi kazi cha kuleta amani Jimboni Ituri.

    Hata hivyo, mwaka 2022 alitekwa nyara kwa miezi miwili na kundi la Waasi, tukio analodai kupangwa na Serikali ya DR Congo kwa lengo kumpoteza ila kwa sasa anaishi Nchini Uganda.

    Aliyetiwa hatiani kuwa Mhalifu wa kivita na Mahakama ya kimataifa ya (ICC) kwa makosa mbalimbali, Thomas Lubanga, ametangaza kuunda kundi jipya la Waasi lenye lengo la kuiangusha Serikali ya Jimbo la Ituri, lililopo Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Nchi ya DR Congo imekuwa ikikabiliwa na tishio la kiusalama katika Mikoa ya mashariki ambapo makundi ya Waasi ikiwemo Muungano wa Waasi wa AFC/M23 unaoshikilia Miji ya Goma, Bukavu, Nyabibwe na Walikale. Hata hivyo, uamuzi wa Thomas Lubanga ambaye ni Mzaliwa wa Mkoa wa Ituri Nchini DR Congo na anayeishi Nchini Uganda 🇺🇬, kutangaza kuanzisha Kundi lake la Waasi alilolipa jina Convention for the Popular Revolution (CPR) ambalo litaongeza hofu ya machafuko Nchini humo wakati huu ambao Serikali ya Rais Felix Tshisekedi inatafuta maridhiano na M23 kwa njia ya mazungumzo. Shirika la Habari la Reuters, limeripoti leo Jumanne Aprili Mosi, 2025, kuwa Lubanga ambaye ni Mzaliwa wa Ituri, alihukumiwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) mwaka 2012 kwa makosa ya kuwasajili Watoto kama Askari na akapewa kifungo cha miaka 14 Gerezani, baadaye aliachiliwa mwaka 2020 na Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi kisha akamteua kuwa sehemu ya kikosi kazi cha kuleta amani Jimboni Ituri. Hata hivyo, mwaka 2022 alitekwa nyara kwa miezi miwili na kundi la Waasi, tukio analodai kupangwa na Serikali ya DR Congo kwa lengo kumpoteza ila kwa sasa anaishi Nchini Uganda.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·972 Visualizações
  • Najua umesalitiwa na wale uliowaamini, umeachwa ulipohitaji kupendwa, na umedhihakiwa wakati ulichotaka ni kuungwa mkono. Najua umechoka. Najua umepigana vita hakuna mtu aliyeona, kulia kimya, na kuvumilia maumivu ambayo maneno hayawezi kuelezea.

    Maisha hayajakuwa sawa kwako. Milango imegongwa usoni mwako. Umewatazama wengine wakiinuka huku wewe ukiwa umekwama katika sehemu moja. Umeomba, kutumaini, na kungoja, lakini hakuna kinachoonekana kubadilika. Inaumiza. Ni chungu. Inachosha.

    Lakini nisikilizeni, na nisikilize kwa makini: USIKATE TAMAA.

    Kila mtu mkubwa unayekuvutia leo alikuwa hapo ulipo sasa. Walihisi kile unachohisi. Walihangaika, walilia, na walitilia shaka wenyewe. Lakini hawakuacha. Hawakuruhusu maumivu yao yawafafanue. Waliendelea kusonga mbele, hata pale nguvu zao zilipopungua. Na ndio maana leo, ulimwengu unawaadhimisha.

    Lazima uelewe ukweli huu: Kadiri hatima yako inavyokuwa kubwa, ndivyo vita yako inavyokuwa kubwa. KILA KIWANGO KIPYA UNACHOFIKIA, KUNA SHETANI MPYA ANAKUSUBIRI. Ulipokuwa maskini, hakuna aliyekuonea wivu. Lakini unapoanza kufanya maendeleo, ghafla, watu wanaanza kukuchukia. Ulipokuwa huna kazi, hakuna aliyezungumza juu yako. Lakini mara tu unapopata kazi nzuri, wanaanza kueneza uvumi. Ulipokuwa ukihangaika, hakuna aliyejali. Lakini wakati unapoanza kufanikiwa, maadui huonekana kutoka popote.

    Ibilisi hapigani na watu ambao hawaendi popote. Sababu ya wewe kukabiliwa na vita vingi ni kwa sababu hatima yako ni kubwa; sababu ya maisha kukujaribu sana ni kwa sababu kesho yako ni kubwa. Huna mateso kwa sababu wewe ni dhaifu. Unateseka kwa sababu wewe ni IMARA, na maisha yanajua kwamba mara tu unapopitia, hautazuilika.

    Kwa hivyo, usikatishwe tamaa na vita unavyokabili sasa. Wao ni ishara kwamba unasonga mbele. Usiruhusu maumivu yakufanye uchungu. Usiruhusu tamaa kuua ndoto zako. Endelea kupigana. Endelea kusukuma. Endelea kuamini. Wakati wako utafika.

    Kuna toleo lako katika siku zijazo ambalo lina nguvu zaidi, busara, na mafanikio zaidi kuliko wewe sasa. Toleo hilo lako linasubiri. Lakini ili kuwa mtu huyo, lazima upitie moto huu. Sio rahisi, lakini nakuahidi, itafaa.

    Lia ikiwa ni lazima, lakini baada ya kulia, futa machozi yako na uendelee kusonga. Lalamika ikibidi, lakini baada ya kulalamika, simama na upigane tena. Jisikie dhaifu ikiwa ni lazima, lakini usiache kujaribu.

    Wakati wako unakuja. Ufanisi wako umekaribia. Maumivu hayatadumu milele. Siku moja, utaangalia nyuma na kugundua kuwa kila kitu ulichopitia kilikufanya kuwa mtu mwenye nguvu, aliyefanikiwa ambaye unakusudiwa kuwa.

    Kwa hivyo, endelea kusonga mbele. Ushindi wako uko njiani.

    Quadic Bangura
    Najua umesalitiwa na wale uliowaamini, umeachwa ulipohitaji kupendwa, na umedhihakiwa wakati ulichotaka ni kuungwa mkono. Najua umechoka. Najua umepigana vita hakuna mtu aliyeona, kulia kimya, na kuvumilia maumivu ambayo maneno hayawezi kuelezea. Maisha hayajakuwa sawa kwako. Milango imegongwa usoni mwako. Umewatazama wengine wakiinuka huku wewe ukiwa umekwama katika sehemu moja. Umeomba, kutumaini, na kungoja, lakini hakuna kinachoonekana kubadilika. Inaumiza. Ni chungu. Inachosha. Lakini nisikilizeni, na nisikilize kwa makini: USIKATE TAMAA. Kila mtu mkubwa unayekuvutia leo alikuwa hapo ulipo sasa. Walihisi kile unachohisi. Walihangaika, walilia, na walitilia shaka wenyewe. Lakini hawakuacha. Hawakuruhusu maumivu yao yawafafanue. Waliendelea kusonga mbele, hata pale nguvu zao zilipopungua. Na ndio maana leo, ulimwengu unawaadhimisha. Lazima uelewe ukweli huu: Kadiri hatima yako inavyokuwa kubwa, ndivyo vita yako inavyokuwa kubwa. KILA KIWANGO KIPYA UNACHOFIKIA, KUNA SHETANI MPYA ANAKUSUBIRI. Ulipokuwa maskini, hakuna aliyekuonea wivu. Lakini unapoanza kufanya maendeleo, ghafla, watu wanaanza kukuchukia. Ulipokuwa huna kazi, hakuna aliyezungumza juu yako. Lakini mara tu unapopata kazi nzuri, wanaanza kueneza uvumi. Ulipokuwa ukihangaika, hakuna aliyejali. Lakini wakati unapoanza kufanikiwa, maadui huonekana kutoka popote. Ibilisi hapigani na watu ambao hawaendi popote. Sababu ya wewe kukabiliwa na vita vingi ni kwa sababu hatima yako ni kubwa; sababu ya maisha kukujaribu sana ni kwa sababu kesho yako ni kubwa. Huna mateso kwa sababu wewe ni dhaifu. Unateseka kwa sababu wewe ni IMARA, na maisha yanajua kwamba mara tu unapopitia, hautazuilika. Kwa hivyo, usikatishwe tamaa na vita unavyokabili sasa. Wao ni ishara kwamba unasonga mbele. Usiruhusu maumivu yakufanye uchungu. Usiruhusu tamaa kuua ndoto zako. Endelea kupigana. Endelea kusukuma. Endelea kuamini. Wakati wako utafika. Kuna toleo lako katika siku zijazo ambalo lina nguvu zaidi, busara, na mafanikio zaidi kuliko wewe sasa. Toleo hilo lako linasubiri. Lakini ili kuwa mtu huyo, lazima upitie moto huu. Sio rahisi, lakini nakuahidi, itafaa. Lia ikiwa ni lazima, lakini baada ya kulia, futa machozi yako na uendelee kusonga. Lalamika ikibidi, lakini baada ya kulalamika, simama na upigane tena. Jisikie dhaifu ikiwa ni lazima, lakini usiache kujaribu. Wakati wako unakuja. Ufanisi wako umekaribia. Maumivu hayatadumu milele. Siku moja, utaangalia nyuma na kugundua kuwa kila kitu ulichopitia kilikufanya kuwa mtu mwenye nguvu, aliyefanikiwa ambaye unakusudiwa kuwa. Kwa hivyo, endelea kusonga mbele. Ushindi wako uko njiani. Quadic Bangura
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1KB Visualizações
  • JE, UNAMLETEA UHAI MPENZI WAKO, AU UNALETA KISU?

    Upendo unakusudiwa kujenga, sio kuvunja. Uhusiano unakusudiwa kuwa patakatifu, sio kichinjio. Nafsi mbili zinapokutana, zinapaswa kuleta uhai kwa kila mmoja, sio majeraha, sio makovu, sio huzuni. Hata hivyo, ukweli wa kusikitisha ni kwamba watu wengi huingia kwenye mahusiano wakitarajia kupendwa lakini hupokea maumivu. Wanatazamia furaha lakini wanakutana na taabu. Badala ya mwenzi anayeleta uzima, wanajikuta wanaishi na mtu ambaye ana kisu, akipunguza ujasiri wao, amani na heshima. Kwa hiyo, unaleta uhai kwa mpenzi wako, au unaleta kisu? Upendo unakusudiwa kumpa uhai yule unayedai kumpenda. Katika Mwanzo Mungu alimpulizia Adamu pumzi ya uhai, naye akawa nafsi hai. Kwa njia hiyo hiyo, uhusiano unapaswa kupumua maisha ndani ya mtu, sio kukimbia maisha kutoka kwao. Unapomhimiza mwenzako kufuata ndoto zake, unaleta uzima. Unapozungumza maneno ya fadhili, heshima, na uthibitisho, unaleta uzima. Unapovumilia mapungufu yao na kutembea nao katika mapambano yao, unaleta uhai. Wakati uwepo wako ni chanzo cha amani na si chanzo cha msongo wa mawazo, unaleta uhai. Upendo haupaswi kamwe kuhisi kama kutembea kwenye uwanja wa vita, ambapo kila neno, kila kitendo na kila siku huhisi kama kupigania kuishi. Mpenzi wako hapaswi kujisikia salama nje kuliko ndani ya uhusiano. Ikiwa unampenda mtu, anapaswa kustawi chini ya upendo wako, sio kukauka.

    Kisu sio lazima kiwe cha mwili kila wakati. Vidonda vingine huenda zaidi kuliko mwili; wanachoma roho. Baadhi yetu, badala ya kuleta uhai, kuleta kisu. Tunaleta kisu cha maneno makali, kukata ndani ya kujithamini kwa mpenzi wetu. Tunaleta kisu cha kulinganisha, na kuwafanya wahisi kama hawatoshi vya kutosha. Tunakuja na kisu cha kupuuza, na njaa ya upendo na tahadhari wanayotamani. Kwa namna fulani, pia kuja na kisu cha usaliti, ambapo uaminifu wetu ni kwa maneno tu lakini si kwa vitendo. Watu wengine wanakufa kihisia na kiroho kwa sababu ya mtu wanayempenda. Furaha yao inafifia taratibu. Kujiamini kwao kunatoweka. Kicheko chao hakitoki tena moyoni. Kwa nini? Kwa sababu aliyekusudiwa kuwalisha sasa ndiye anayewaangamiza. Je, wewe ni mtoaji wa uzima au mleta maumivu? Je, watu hupata amani mbele yako au wasiwasi wako? Je, unainua au kubomoa? Ikiwa mtu unayempenda anafurahi zaidi wakati haupo kuliko wakati haupo, ni ishara kwamba unaweza kuwa unaleta kisu, sio maisha. Upendo unapaswa kuwa kama bustani ambayo watu wawili hukua pamoja. Lakini upendo unawezaje kukua ikiwa mwenzi mmoja anamwaga maji wakati mwingine anamwaga sumu? Ikiwa mmoja anapanda mbegu wakati mwingine anang'oa? Chagua kusema maneno ya uhai badala ya maneno yanayoua kujiamini. Chagua kukumbatia dosari badala ya kuzitumia kama silaha. Chagua kuunga mkono ndoto badala ya kuzikejeli. Chagua kuwa mahali salama, sio eneo la vita.

    Upendo unapaswa kuwa zawadi, sio mzigo. Baraka, si laana. Nguvu ya uponyaji, sio chanzo cha majeraha. Je, katika maisha ya mwenzako wewe ni mganga au mharibifu? Unaleta uhai au kisu?

    Credit
    Albert Nwosu
    JE, UNAMLETEA UHAI MPENZI WAKO, AU UNALETA KISU? Upendo unakusudiwa kujenga, sio kuvunja. Uhusiano unakusudiwa kuwa patakatifu, sio kichinjio. Nafsi mbili zinapokutana, zinapaswa kuleta uhai kwa kila mmoja, sio majeraha, sio makovu, sio huzuni. Hata hivyo, ukweli wa kusikitisha ni kwamba watu wengi huingia kwenye mahusiano wakitarajia kupendwa lakini hupokea maumivu. Wanatazamia furaha lakini wanakutana na taabu. Badala ya mwenzi anayeleta uzima, wanajikuta wanaishi na mtu ambaye ana kisu, akipunguza ujasiri wao, amani na heshima. Kwa hiyo, unaleta uhai kwa mpenzi wako, au unaleta kisu? Upendo unakusudiwa kumpa uhai yule unayedai kumpenda. Katika Mwanzo Mungu alimpulizia Adamu pumzi ya uhai, naye akawa nafsi hai. Kwa njia hiyo hiyo, uhusiano unapaswa kupumua maisha ndani ya mtu, sio kukimbia maisha kutoka kwao. Unapomhimiza mwenzako kufuata ndoto zake, unaleta uzima. Unapozungumza maneno ya fadhili, heshima, na uthibitisho, unaleta uzima. Unapovumilia mapungufu yao na kutembea nao katika mapambano yao, unaleta uhai. Wakati uwepo wako ni chanzo cha amani na si chanzo cha msongo wa mawazo, unaleta uhai. Upendo haupaswi kamwe kuhisi kama kutembea kwenye uwanja wa vita, ambapo kila neno, kila kitendo na kila siku huhisi kama kupigania kuishi. Mpenzi wako hapaswi kujisikia salama nje kuliko ndani ya uhusiano. Ikiwa unampenda mtu, anapaswa kustawi chini ya upendo wako, sio kukauka. Kisu sio lazima kiwe cha mwili kila wakati. Vidonda vingine huenda zaidi kuliko mwili; wanachoma roho. Baadhi yetu, badala ya kuleta uhai, kuleta kisu. Tunaleta kisu cha maneno makali, kukata ndani ya kujithamini kwa mpenzi wetu. Tunaleta kisu cha kulinganisha, na kuwafanya wahisi kama hawatoshi vya kutosha. Tunakuja na kisu cha kupuuza, na njaa ya upendo na tahadhari wanayotamani. Kwa namna fulani, pia kuja na kisu cha usaliti, ambapo uaminifu wetu ni kwa maneno tu lakini si kwa vitendo. Watu wengine wanakufa kihisia na kiroho kwa sababu ya mtu wanayempenda. Furaha yao inafifia taratibu. Kujiamini kwao kunatoweka. Kicheko chao hakitoki tena moyoni. Kwa nini? Kwa sababu aliyekusudiwa kuwalisha sasa ndiye anayewaangamiza. Je, wewe ni mtoaji wa uzima au mleta maumivu? Je, watu hupata amani mbele yako au wasiwasi wako? Je, unainua au kubomoa? Ikiwa mtu unayempenda anafurahi zaidi wakati haupo kuliko wakati haupo, ni ishara kwamba unaweza kuwa unaleta kisu, sio maisha. Upendo unapaswa kuwa kama bustani ambayo watu wawili hukua pamoja. Lakini upendo unawezaje kukua ikiwa mwenzi mmoja anamwaga maji wakati mwingine anamwaga sumu? Ikiwa mmoja anapanda mbegu wakati mwingine anang'oa? Chagua kusema maneno ya uhai badala ya maneno yanayoua kujiamini. Chagua kukumbatia dosari badala ya kuzitumia kama silaha. Chagua kuunga mkono ndoto badala ya kuzikejeli. Chagua kuwa mahali salama, sio eneo la vita. Upendo unapaswa kuwa zawadi, sio mzigo. Baraka, si laana. Nguvu ya uponyaji, sio chanzo cha majeraha. Je, katika maisha ya mwenzako wewe ni mganga au mharibifu? Unaleta uhai au kisu? Credit Albert Nwosu
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1KB Visualizações
  • Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana kujadili hali ya usalama na kibinadamu Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo huku hali ikizidi kuzorota. Mwakilishi Maalum wa Umoja huo (UN) Nchini DR Congo, Bintou Keita, amesema Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda sasa wanadhibiti maeneo makubwa ya Mikoa ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini na kutishia kupanua mashambulizi yao hadi Mkoani Tshopo na Maniema.

    "Hivi karibuni M23 imesimika utawala wake kwa kuteua gavana, makamu gavana na meya huko Bukavu, Kivu Kusini," amesema Keita.

    Ameeleza kuwa mgogoro huo unahusiana na unyonyaji wa madini mashariki mwa DR Congo na kuzua wasiwasi wa kikanda. Pia amegusia hali mbaya ya kibinadamu, akisema kumekuwa na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na mauaji, utekaji nyara na ajira ya kulazimishwa kwa Vijana, wakiwemo Watoto.

    Licha ya makubaliano ya hivi karibuni kati ya Marais wa Rwanda na DR Congo Nchini Qatar , amani bado haijapatikana. Keita ametoa wito wa kuteuliwa kwa mpatanishi wa Umoja wa Afrika ili kuongoza juhudi za kusitisha mapigano.

    Balozi wa DR Congo katika Baraza la Umoja wa kimataifa (UN), Zénon Mukongo Ngay, ameishutumu Rwanda kwa kutotekeleza usitishaji mapigano, huku Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe, akisema Nchi yake itaendelea kuchukua "hatua za ulinzi" mpaka kuwe na mfumo wa kudumu wa usalama.

    Wakati huo huo, imeripotiwa kuwa DR Congo inakabiliwa na janga kubwa zaidi la njaa kuwahi kutokea, ambapo Watu zaidi ya milioni 27.7 wanakabiliwa na uhaba wa chakula kutokana na vita na ukosefu wa utulivu mashariki mwa Nchi hiyo.

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana kujadili hali ya usalama na kibinadamu Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 huku hali ikizidi kuzorota. Mwakilishi Maalum wa Umoja huo (UN) Nchini DR Congo, Bintou Keita, amesema Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 🇷🇼 sasa wanadhibiti maeneo makubwa ya Mikoa ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini na kutishia kupanua mashambulizi yao hadi Mkoani Tshopo na Maniema. "Hivi karibuni M23 imesimika utawala wake kwa kuteua gavana, makamu gavana na meya huko Bukavu, Kivu Kusini," amesema Keita. Ameeleza kuwa mgogoro huo unahusiana na unyonyaji wa madini mashariki mwa DR Congo na kuzua wasiwasi wa kikanda. Pia amegusia hali mbaya ya kibinadamu, akisema kumekuwa na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na mauaji, utekaji nyara na ajira ya kulazimishwa kwa Vijana, wakiwemo Watoto. Licha ya makubaliano ya hivi karibuni kati ya Marais wa Rwanda na DR Congo Nchini Qatar 🇶🇦, amani bado haijapatikana. Keita ametoa wito wa kuteuliwa kwa mpatanishi wa Umoja wa Afrika ili kuongoza juhudi za kusitisha mapigano. Balozi wa DR Congo katika Baraza la Umoja wa kimataifa (UN), Zénon Mukongo Ngay, ameishutumu Rwanda kwa kutotekeleza usitishaji mapigano, huku Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe, akisema Nchi yake itaendelea kuchukua "hatua za ulinzi" mpaka kuwe na mfumo wa kudumu wa usalama. Wakati huo huo, imeripotiwa kuwa DR Congo inakabiliwa na janga kubwa zaidi la njaa kuwahi kutokea, ambapo Watu zaidi ya milioni 27.7 wanakabiliwa na uhaba wa chakula kutokana na vita na ukosefu wa utulivu mashariki mwa Nchi hiyo.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·940 Visualizações
  • Historia ya Wazazi wa Jackie Chan inavutia zaidi hadi Jackie Chan aliamua kuandaa "Documentary" maalum kwa ajili ya kueleza Wazazi wake walivyokutana na walikuwa wanafanya kazi gani.

    Katika kipindi chote Jackie Chan alichoishi na Wazazi wake hakuwahi kufahamu Wazazi wake walikutana vipi pamoja na kazi halisi za awali za Wazazi wake mpaka hapo Baba yake alipokuwa ana umri wa miaka 80 akaamua kumwambia ukweli maana aliamini umri wake umeenda sana hivyo muda wowote anaweza kufariki bila kumueleza ukweli Jackie Chan.

    Baba Mzazi wa Jackie Chan, Charles Chan (1914 - 2008) siku moja akiwa barabarani kwenye gari na Jackie Chan alifunguka kuwa tangu zamani alikuwa Mpelelezi (Shushushu) kwenye Serikali ya China na Mama yake Jackie Chan, Lee-Lee Chan (1916-2002) alikuwa muuza madawa ya kulevya, siku moja katika "operation" ya kukamata Wauza madawa Charles Chan alimkamata Lee-Lee Chan lakini baada ya kumfikisha kwenye vyombo vya dola walijikuta wamependana na wakafunga ndoa.

    Hadithi hii ilimshitua sana Jackie Chan kwani amekua akijua kwamba Baba yake ni Mpishi na amewahi kuwa Mpishi kwenye ubalozi wa Ufaransa - Hong Kong, pamoja na ubalozi wa Marekani Nchini Australia .

    Taarifa nyingine iliyomshitua zaidi ni pale alipoambiwa kuwa kuwa jina la Baba yake sio Chan bali ni Fang Daolong, hivyo kama asingebadili jina, Jackie Chan hivi sasa angefahamika kama Jackie Fang, Baba Jackie Chan alikuwa "Spy" kwenye Serikali ya China iliyokuwa ikiundwa na Chama cha Kuomintang, mwaka 1949 baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe Chama cha Kikomunisti kikiongozwa na Mao Zedong kiliipindua Serikali ya Kuomintang kikachukua Nchi hapo ilibidi Baba Jackie Chan abadili jina kwa sababu ya kuficha utambulisho wake maana kulikuwa na vita kubwa baina ya vyama hivyo na baadhi ya makachero wa Kuomintang walikuwa wakikamatwa na kuuawa.

    Historia ya Wazazi wa Jackie Chan imeelezwa kwa urefu kwenye "Documentary" iliyoandaliwa na Jackie Chan "Traces of the Dragon: Jackie Chan and His Lost Family" (2003)

    "Baba alikua jasusi na Mama alikua Muuza madawa na mcheza kamari. Walikutana na wakaoana baada ya Baba yangu kumkamata Mama"

    "Tangu nilipokua Mdogo nilikua najua Baba yangu anafanya kazi ya upishi kwenye Ubalozi wa Marekani mpaka alipotimiza miaka 80 na akaniambia kazi yake ya kweli. Nilishtuka, nilishtuka"

    " Kwahiyo kuna siku moja nilikua naendesha gari nikiwa na Baba yangu ghafla, Baba akageuka na kusema: 'Jackie, Mimi ni Mzee sana na huenda nisiamke kesho. Kuna kitu lazima nikuambie, ni siri' kisha akasema: kwa kweli wewe sio Jackie Chan, jina lako unaitwa Fong.'

    "Nikahisi kupatwa na mshtuko, kwangu ilikua kitu cha kustaajabisha. Kwa haraka nikamuambia asiendelee kuongea nikampigia rafiki yangu ili tutengeneze documentary ya stori ya Baba yangu. Ilituchukua miaka 3 ya kumfata Baba yangu na kuongea nae kuhusu stori yote."

    " Nilihisi mimi ndiye Mwanae wa pekee lakini nilishtuka baada ya kujua kwamba nina ndugu zangu wanne kwa Wazazi wangu. Kaka zangu wawili, upande wa Baba na Dada zangu wawili upande wa Mama. Alilazimika kunificha yote hayo kwa sababu ya kazi yake, baba alikua jasusi. Nilivutiwa sana baada ya kujua kwamba Baba yangu alikua mpole sana. Miaka yote ile nilidhania ni Mpishi. Nimetengeneza movie kupitia hii stori." - Jackie Chan

    Historia ya Wazazi wa Jackie Chan inavutia zaidi hadi Jackie Chan aliamua kuandaa "Documentary" maalum kwa ajili ya kueleza Wazazi wake walivyokutana na walikuwa wanafanya kazi gani. Katika kipindi chote Jackie Chan alichoishi na Wazazi wake hakuwahi kufahamu Wazazi wake walikutana vipi pamoja na kazi halisi za awali za Wazazi wake mpaka hapo Baba yake alipokuwa ana umri wa miaka 80 akaamua kumwambia ukweli maana aliamini umri wake umeenda sana hivyo muda wowote anaweza kufariki bila kumueleza ukweli Jackie Chan. Baba Mzazi wa Jackie Chan, Charles Chan (1914 - 2008) siku moja akiwa barabarani kwenye gari na Jackie Chan alifunguka kuwa tangu zamani alikuwa Mpelelezi (Shushushu) kwenye Serikali ya China na Mama yake Jackie Chan, Lee-Lee Chan (1916-2002) alikuwa muuza madawa ya kulevya, siku moja katika "operation" ya kukamata Wauza madawa Charles Chan alimkamata Lee-Lee Chan lakini baada ya kumfikisha kwenye vyombo vya dola walijikuta wamependana na wakafunga ndoa. Hadithi hii ilimshitua sana Jackie Chan kwani amekua akijua kwamba Baba yake ni Mpishi na amewahi kuwa Mpishi kwenye ubalozi wa Ufaransa 🇫🇷 - Hong Kong, pamoja na ubalozi wa Marekani 🇺🇸 Nchini Australia 🇦🇺. Taarifa nyingine iliyomshitua zaidi ni pale alipoambiwa kuwa kuwa jina la Baba yake sio Chan bali ni Fang Daolong, hivyo kama asingebadili jina, Jackie Chan hivi sasa angefahamika kama Jackie Fang, Baba Jackie Chan alikuwa "Spy" kwenye Serikali ya China iliyokuwa ikiundwa na Chama cha Kuomintang, mwaka 1949 baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe Chama cha Kikomunisti kikiongozwa na Mao Zedong kiliipindua Serikali ya Kuomintang kikachukua Nchi hapo ilibidi Baba Jackie Chan abadili jina kwa sababu ya kuficha utambulisho wake maana kulikuwa na vita kubwa baina ya vyama hivyo na baadhi ya makachero wa Kuomintang walikuwa wakikamatwa na kuuawa. Historia ya Wazazi wa Jackie Chan imeelezwa kwa urefu kwenye "Documentary" iliyoandaliwa na Jackie Chan "Traces of the Dragon: Jackie Chan and His Lost Family" (2003) "Baba alikua jasusi na Mama alikua Muuza madawa na mcheza kamari. Walikutana na wakaoana baada ya Baba yangu kumkamata Mama" "Tangu nilipokua Mdogo nilikua najua Baba yangu anafanya kazi ya upishi kwenye Ubalozi wa Marekani mpaka alipotimiza miaka 80 na akaniambia kazi yake ya kweli. Nilishtuka, nilishtuka" " Kwahiyo kuna siku moja nilikua naendesha gari nikiwa na Baba yangu ghafla, Baba akageuka na kusema: 'Jackie, Mimi ni Mzee sana na huenda nisiamke kesho. Kuna kitu lazima nikuambie, ni siri' kisha akasema: kwa kweli wewe sio Jackie Chan, jina lako unaitwa Fong.' "Nikahisi kupatwa na mshtuko, kwangu ilikua kitu cha kustaajabisha. Kwa haraka nikamuambia asiendelee kuongea nikampigia rafiki yangu ili tutengeneze documentary ya stori ya Baba yangu. Ilituchukua miaka 3 ya kumfata Baba yangu na kuongea nae kuhusu stori yote." " Nilihisi mimi ndiye Mwanae wa pekee lakini nilishtuka baada ya kujua kwamba nina ndugu zangu wanne kwa Wazazi wangu. Kaka zangu wawili, upande wa Baba na Dada zangu wawili upande wa Mama. Alilazimika kunificha yote hayo kwa sababu ya kazi yake, baba alikua jasusi. Nilivutiwa sana baada ya kujua kwamba Baba yangu alikua mpole sana. Miaka yote ile nilidhania ni Mpishi. Nimetengeneza movie kupitia hii stori." - Jackie Chan
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1KB Visualizações
  • Rais wa Nchi ya Iran , Ayatollah Ali Khamenei, amesema kuwa vitisho vya Nchi ya Marekani dhidi ya Taifa lake havisaidii lolote na havitaleta matokeo yoyote kama Rais Donald Tramp anavyofikiria. Kiongozi huyo amesema hayo baada ya Rais Trump kuonya uwezekano wa hatua za kijeshi kuchukuliwa dhidi ya Iran.

    "Wamarekani wanapaswa kuelewa kwamba vitisho havitafanikiwa wanapokabiliana na Iran. Wao (Marekani) na wengine wanapaswa kufahamu kuwa wakifanya lolote baya dhidi ya taifa la Iran, watajibiwa kwa nguvu kubwa." alisema Rais Khemenei

    Mnamo Machi 7, Rais Trump alisema kuwa alimwandikia barua Rais Khamenei, akimtaka kuanzisha mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, huku akionya kuwa kuna uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi iwapo Iran itakataa. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, alisema Alhamisi wiki hii kuwa barua hiyo ilikuwa zaidi ya tishio, ingawa pia ilionesha uwezekano wa mazungumzo.

    "Tunachunguza kwa kina maudhui ya barua hiyo, na tutajibu rasmi katika siku chache zijazo” alisema Waziri huyo

    Kulingana na ripoti ya tovuti ya habari ya Marekani, Axios, ikimnukuu Afisa wa Serikali ya Trump na vyanzo vingine vikisema, barua hiyo inaweka muda wa miezi miwili wa kufikia makubaliano mapya ya nyuklia. Hata hivyo, haijabainishwa ni lini muda huo utaanza au kuisha. Kwa muda mrefu, Rais Khamenei amepuuza wito wa Rais Trump wa mazungumzo ya moja kwa moja, akisema kuwa Rais huyo wa Marekani anajaribu kudanganya ulimwengu kwa kuonesha kuwa Marekani iko tayari kwa mazungumzo huku Iran ikionekana kutotaka kushiriki.

    Ikumbukwe kwamba Trump ambaye alianza muhula wake wa pili Januari 2025, amerudisha sera yake ya shinikizo la juu dhidi ya Iran. Wakati wa kipindi chake cha kwanza, Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya kihistoria ya nyuklia ya 2015 kati ya Iran na mataifa yenye nguvu ulimwenguni na akairejeshea Tehran vikwazo vikubwa vya kiuchumi.

    Rais wa Nchi ya Iran 🇮🇷, Ayatollah Ali Khamenei, amesema kuwa vitisho vya Nchi ya Marekani 🇺🇸 dhidi ya Taifa lake havisaidii lolote na havitaleta matokeo yoyote kama Rais Donald Tramp anavyofikiria. Kiongozi huyo amesema hayo baada ya Rais Trump kuonya uwezekano wa hatua za kijeshi kuchukuliwa dhidi ya Iran. "Wamarekani wanapaswa kuelewa kwamba vitisho havitafanikiwa wanapokabiliana na Iran. Wao (Marekani) na wengine wanapaswa kufahamu kuwa wakifanya lolote baya dhidi ya taifa la Iran, watajibiwa kwa nguvu kubwa." alisema Rais Khemenei Mnamo Machi 7, Rais Trump alisema kuwa alimwandikia barua Rais Khamenei, akimtaka kuanzisha mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, huku akionya kuwa kuna uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi iwapo Iran itakataa. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, alisema Alhamisi wiki hii kuwa barua hiyo ilikuwa zaidi ya tishio, ingawa pia ilionesha uwezekano wa mazungumzo. "Tunachunguza kwa kina maudhui ya barua hiyo, na tutajibu rasmi katika siku chache zijazo” alisema Waziri huyo Kulingana na ripoti ya tovuti ya habari ya Marekani, Axios, ikimnukuu Afisa wa Serikali ya Trump na vyanzo vingine vikisema, barua hiyo inaweka muda wa miezi miwili wa kufikia makubaliano mapya ya nyuklia. Hata hivyo, haijabainishwa ni lini muda huo utaanza au kuisha. Kwa muda mrefu, Rais Khamenei amepuuza wito wa Rais Trump wa mazungumzo ya moja kwa moja, akisema kuwa Rais huyo wa Marekani anajaribu kudanganya ulimwengu kwa kuonesha kuwa Marekani iko tayari kwa mazungumzo huku Iran ikionekana kutotaka kushiriki. Ikumbukwe kwamba Trump ambaye alianza muhula wake wa pili Januari 2025, amerudisha sera yake ya shinikizo la juu dhidi ya Iran. Wakati wa kipindi chake cha kwanza, Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya kihistoria ya nyuklia ya 2015 kati ya Iran na mataifa yenye nguvu ulimwenguni na akairejeshea Tehran vikwazo vikubwa vya kiuchumi.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1KB Visualizações
  • Rais wa Marekani , Donald Trump ametupilia mbali madai kwamba Nchi ya Urusi imekataa mapendekezo ya Nchi yake ya Marekani ya kusitisha mapigano Nchini Ukraine . Kiongozi huyo wa Marekani alionyesha kwa ufanisi kuwa ni mapema kujadili kuimarisha vikwazo vya Nchi ya Marekani dhidi ya Urusi.

    "Yeye (Rais wa Urusi Vladimir Putin ) hakukataa chochote. Na wana vikwazo," - Donald Trump aliwaambia Waandishi wa habari katika Ikulu ya Marekani (White House), akijibu swali ikiwa Marekani inapaswa kuimarisha vikwazo dhidi ya Urusi kwa sababu madai ya Putin kukataa usitishaji vita Nchini Ukraine.

    "Wana takriban vikwazo zaidi kuliko mtu yeyote," aliongeza

    Putin na Trump walipiga simu mnamo Machi 18, 2025 wakijadili wazo la kusitisha mapigano kwa siku thelathini katika mzozo wa Ukraine, njia za kuzuia kuongezeka zaidi kwa mvutano na masuala kadhaa ya kimataifa, Kremlin ilisema. Kulingana na maelezo yake ya wito huo, Kiongozi huyo wa Urusi aliunga mkono mpango wa Rais wa Marekani wa kusitisha mapigano ya nishati na miundombinu Nchini Ukraine.

    Ikulu ya White House ilisema katika usomaji huo kwamba Viongozi hao wawili pia walikubaliana kuanza mazungumzo ya kiufundi "juu ya utekelezaji wa usitishaji vita wa baharini katika Bahari Nyeusi, usitishaji kamili wa mapigano na amani ya kudumu."

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump ametupilia mbali madai kwamba Nchi ya Urusi 🇷🇺 imekataa mapendekezo ya Nchi yake ya Marekani ya kusitisha mapigano Nchini Ukraine 🇺🇦. Kiongozi huyo wa Marekani alionyesha kwa ufanisi kuwa ni mapema kujadili kuimarisha vikwazo vya Nchi ya Marekani dhidi ya Urusi. "Yeye (Rais wa Urusi Vladimir Putin ) hakukataa chochote. Na wana vikwazo," - Donald Trump aliwaambia Waandishi wa habari katika Ikulu ya Marekani (White House), akijibu swali ikiwa Marekani inapaswa kuimarisha vikwazo dhidi ya Urusi kwa sababu madai ya Putin kukataa usitishaji vita Nchini Ukraine. "Wana takriban vikwazo zaidi kuliko mtu yeyote," aliongeza Putin na Trump walipiga simu mnamo Machi 18, 2025 wakijadili wazo la kusitisha mapigano kwa siku thelathini katika mzozo wa Ukraine, njia za kuzuia kuongezeka zaidi kwa mvutano na masuala kadhaa ya kimataifa, Kremlin ilisema. Kulingana na maelezo yake ya wito huo, Kiongozi huyo wa Urusi aliunga mkono mpango wa Rais wa Marekani wa kusitisha mapigano ya nishati na miundombinu Nchini Ukraine. Ikulu ya White House ilisema katika usomaji huo kwamba Viongozi hao wawili pia walikubaliana kuanza mazungumzo ya kiufundi "juu ya utekelezaji wa usitishaji vita wa baharini katika Bahari Nyeusi, usitishaji kamili wa mapigano na amani ya kudumu."
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·714 Visualizações
  • SIFA ZA WANAUME WENYE THAMANI KUBWA [ HIGH VALUE MEN ].

    Kama mwanaume wako ana sifa zifuatazo basi jua una mwanaume mwenye thamani kubwa sana, na mwanaume mwenye thamani kubwa maana yake ni mwanaume bora.

    1. Hazoeleki kiurahisi.
    Moja ya sifa za wanaume wenye thamani kubwa ni wao kutozoeleka kiurahisi, hadi kumzoea mtu wa aina hii ni lazima uwe na sababu maalumu.

    2. Wana roho nzuri ila wana maamuzi magumu sana.
    Siku zote watu wa aina hii huwa na roho nzuri sana, huwa na huruma lakini wapo vizuri kufanya maamuzi mazito pale inapobidi.

    3. Haishi maisha ya kuigiza.
    Siku zote huishi maisha yake halisi, haigizi maisha.

    4. Anajua vitu vingi.
    Watu wa aina hii huwa na uelewa wa vitu vingi sana, ni ngumu kumuuliza kitu fulani akawa hakijui kabisa.

    5. Anasimamia mipango yake bila kuyumbishwa.
    Akishaamua kufanya kitu huwa hayumbishwi tena, haijalishi anaambiwa na nani, kama anahisi ni muhimu kwake kukitekeleza basi atafanya kwa vyovyote vile.

    6. Haoni shida kuanza upya.
    Ni watu wepesi sana kuamua kuanza upya, kama ni mahusiano yakilegalega ni rahisi tu kuachana nayo na kuanza upya, kwenye chochote kile kama hakiende sawa huamua kuanza upya.

    7. Jasiri sana.
    Hawa huwa hawaogopi kitu, ni majasiri kwenye kila kitu, wanajiamini sana.

    8. Hawapendi mikopo.
    Huwa hawapendi mikopo na hawapendi watu wanaopenda mikopo pia.

    9. Hana cha kuongea na x wake.
    Kama hajazaa nae huwezi kumkuna ana muda na x wake, yakiisha yameisha kweli.

    10. Hawezi kuwa chawa.
    Huwezi kumkuta anatafuta ukaribu na mtu mwenye pesa au maarufu.

    11. Huwa hana cha kujadili na mwanamke msaliti.
    Huyu ni mtu ambaye ukimsaliti basi kwa asilimia kubwa hayo mahusiano yanavunjika.

    12. Hababaishwi na muonekano wa mwanamke au ufundi wake kitandani.
    Haijalishi wewe ni mrembo kiasi gani, haijalishi wewe ni fundi kitandani kwa kiasi gani, yeye ni mtu ambaye hababaishwi na vitu hivyo, kwa kifupi huwezi kumuendesha kwa uzuri wako.

    13. Haoni shida kuondoka.
    Iwe ni kazini wakimzingua ataacha hiyo kazi, iwe kwenye mahusiano ukimzingua ataondoka, kwa kifupi anapenda vitu vilivyonyooka, hataki longo longo.

    14. Hapendi mwanamke mwenye drama, mapicha picha mengi.
    Watu hawa huhitaji wanawake wanaojitambua na wasio na mambo mengi, yani hawataki mapicha picha kwenye mahusiano.

    15. Mwanamke ukikosea atakuwajibisha.
    Hawafumbii macho mambo, ukikosea atakuchana live kabisa bila kupepesa macho.

    16. Wanajiamini sana.
    Sababu ya kujiamini ni kwakuwa wanajua vitu vingi, wanajua kipi sahihi na kipi sio sahihi.

    17. Hawaoni shida kuwa wenyewe.
    Uwezo wao wa kuishi wenyewe bila kuhisi upweke ni mkubwa sana.

    18. Hapendi uonevu.
    Huweza kumsaidia hata mtu asiyemjua pale tu anapohisi mtu huyo anaonewa.

    19. Kwenye mahusiano sio watoaji sana ila atahakikisha anakupa mahitaji yako ya msingi.
    Huwa hawapendi kutoa toa hela bila mpangilio, na hii ni kutokana na mipango yao katika maisha, ila siku zote atajitahidi kukupa mahitaji yako muhimu.

    20. Huwa hawapo romantic.
    Hawa ni wanaume ambao wanalalamikiwa sana kwenye mahusiano, hawapo romantic ila ni wanaume bora sana, hasa kwenye kulea familia.

    21. Wana huruma sana.
    Muda pekee utakaojua wana huruma ni pale utakapokuwa na shida, kama ni mwanamke wake ni pale utakapokuwa unaumwa au unapitia jambo lolote gumu, hawa ni wanaume ambao wana uwezo wa kupika, kufua, kuogesha watoto, kulisha na kufanya kila kitu kuhakikisha wanakusaidia.

    22. Sio waongeaji sana.
    Moja ya sifa yao kuu ni ukimya, muda mwingi wanahitaji kuwa kimya wakifanya mambo yao, ukiwa mwanamke muongeaji sana muda mwingi atautumia kutabasamu unavyoongea na kukujibu kwa kifupi, na mara nyingi hunyamaza bila kujibu kama hiko ulichoongea atakiona hakina maana yoyote.

    23. Hana marafiki wengi.
    Tafiti zinaonyesha watu hawa huwa hawana marafiki wengi, wanachagua sana marafiki.

    24. Hupenda kukataza na kuonya mara nyingi.
    Kwa mwanamke ukiwa na mwanaume wa namna hii, jiandae kukutazwa na kupata maonyo kwa wingi, lakini jambo zuri kuhusu hilo huwa wanakukataza au kukuonya kwa jambo ambalo linaweza kukuletea shida. Mara nyingi ukifatilia vitu anavyokukutaza au kukuonya utagundua vitakuletea shida huko mbele.

    25. Anajua vitu vingi kukuhusu kuliko unavyodhani.
    Uwezo wao wa kukutafiti ni mkubwa mno, anajua mambo mengi kukuhusu ila hawezi kukwambia, na siku akikwambia utashangaa alijua lini? Na alijuaje?
    SIFA ZA WANAUME WENYE THAMANI KUBWA [ HIGH VALUE MEN ]. Kama mwanaume wako ana sifa zifuatazo basi jua una mwanaume mwenye thamani kubwa sana, na mwanaume mwenye thamani kubwa maana yake ni mwanaume bora. 1. Hazoeleki kiurahisi. Moja ya sifa za wanaume wenye thamani kubwa ni wao kutozoeleka kiurahisi, hadi kumzoea mtu wa aina hii ni lazima uwe na sababu maalumu. 2. Wana roho nzuri ila wana maamuzi magumu sana. Siku zote watu wa aina hii huwa na roho nzuri sana, huwa na huruma lakini wapo vizuri kufanya maamuzi mazito pale inapobidi. 3. Haishi maisha ya kuigiza. Siku zote huishi maisha yake halisi, haigizi maisha. 4. Anajua vitu vingi. Watu wa aina hii huwa na uelewa wa vitu vingi sana, ni ngumu kumuuliza kitu fulani akawa hakijui kabisa. 5. Anasimamia mipango yake bila kuyumbishwa. Akishaamua kufanya kitu huwa hayumbishwi tena, haijalishi anaambiwa na nani, kama anahisi ni muhimu kwake kukitekeleza basi atafanya kwa vyovyote vile. 6. Haoni shida kuanza upya. Ni watu wepesi sana kuamua kuanza upya, kama ni mahusiano yakilegalega ni rahisi tu kuachana nayo na kuanza upya, kwenye chochote kile kama hakiende sawa huamua kuanza upya. 7. Jasiri sana. Hawa huwa hawaogopi kitu, ni majasiri kwenye kila kitu, wanajiamini sana. 8. Hawapendi mikopo. Huwa hawapendi mikopo na hawapendi watu wanaopenda mikopo pia. 9. Hana cha kuongea na x wake. Kama hajazaa nae huwezi kumkuna ana muda na x wake, yakiisha yameisha kweli. 10. Hawezi kuwa chawa. Huwezi kumkuta anatafuta ukaribu na mtu mwenye pesa au maarufu. 11. Huwa hana cha kujadili na mwanamke msaliti. Huyu ni mtu ambaye ukimsaliti basi kwa asilimia kubwa hayo mahusiano yanavunjika. 12. Hababaishwi na muonekano wa mwanamke au ufundi wake kitandani. Haijalishi wewe ni mrembo kiasi gani, haijalishi wewe ni fundi kitandani kwa kiasi gani, yeye ni mtu ambaye hababaishwi na vitu hivyo, kwa kifupi huwezi kumuendesha kwa uzuri wako. 13. Haoni shida kuondoka. Iwe ni kazini wakimzingua ataacha hiyo kazi, iwe kwenye mahusiano ukimzingua ataondoka, kwa kifupi anapenda vitu vilivyonyooka, hataki longo longo. 14. Hapendi mwanamke mwenye drama, mapicha picha mengi. Watu hawa huhitaji wanawake wanaojitambua na wasio na mambo mengi, yani hawataki mapicha picha kwenye mahusiano. 15. Mwanamke ukikosea atakuwajibisha. Hawafumbii macho mambo, ukikosea atakuchana live kabisa bila kupepesa macho. 16. Wanajiamini sana. Sababu ya kujiamini ni kwakuwa wanajua vitu vingi, wanajua kipi sahihi na kipi sio sahihi. 17. Hawaoni shida kuwa wenyewe. Uwezo wao wa kuishi wenyewe bila kuhisi upweke ni mkubwa sana. 18. Hapendi uonevu. Huweza kumsaidia hata mtu asiyemjua pale tu anapohisi mtu huyo anaonewa. 19. Kwenye mahusiano sio watoaji sana ila atahakikisha anakupa mahitaji yako ya msingi. Huwa hawapendi kutoa toa hela bila mpangilio, na hii ni kutokana na mipango yao katika maisha, ila siku zote atajitahidi kukupa mahitaji yako muhimu. 20. Huwa hawapo romantic. Hawa ni wanaume ambao wanalalamikiwa sana kwenye mahusiano, hawapo romantic ila ni wanaume bora sana, hasa kwenye kulea familia. 21. Wana huruma sana. Muda pekee utakaojua wana huruma ni pale utakapokuwa na shida, kama ni mwanamke wake ni pale utakapokuwa unaumwa au unapitia jambo lolote gumu, hawa ni wanaume ambao wana uwezo wa kupika, kufua, kuogesha watoto, kulisha na kufanya kila kitu kuhakikisha wanakusaidia. 22. Sio waongeaji sana. Moja ya sifa yao kuu ni ukimya, muda mwingi wanahitaji kuwa kimya wakifanya mambo yao, ukiwa mwanamke muongeaji sana muda mwingi atautumia kutabasamu unavyoongea na kukujibu kwa kifupi, na mara nyingi hunyamaza bila kujibu kama hiko ulichoongea atakiona hakina maana yoyote. 23. Hana marafiki wengi. Tafiti zinaonyesha watu hawa huwa hawana marafiki wengi, wanachagua sana marafiki. 24. Hupenda kukataza na kuonya mara nyingi. Kwa mwanamke ukiwa na mwanaume wa namna hii, jiandae kukutazwa na kupata maonyo kwa wingi, lakini jambo zuri kuhusu hilo huwa wanakukataza au kukuonya kwa jambo ambalo linaweza kukuletea shida. Mara nyingi ukifatilia vitu anavyokukutaza au kukuonya utagundua vitakuletea shida huko mbele. 25. Anajua vitu vingi kukuhusu kuliko unavyodhani. Uwezo wao wa kukutafiti ni mkubwa mno, anajua mambo mengi kukuhusu ila hawezi kukwambia, na siku akikwambia utashangaa alijua lini? Na alijuaje?
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·958 Visualizações
  • "Sijui kama mnaona jinsi Trump na Marekani yake wanavyocheza na Dunia kupitia ugomvi au migogoro ya Dunia ili kuipatia faida Marekani kwa kisingizio cha kutafuta amani huku nyuma ya pazia Marekani ikipata faida kupitia migogoro au vita.

    Tazama Makubaliano ya Madini pale Ukraine
    Ambapo Marekani watafaidika na Rasilimali za madini za Ukraine, yani ili Marekani waisadie Ukraine ni lazima Ukraine kuipatia madini yake Marekani

    Congo nayo inakaribia kusaini mkataba wa kuipatia Marekani madini ili Marekani iipatie ulinzi hapo tunazungumzia rasimali za Congo amabzo zinaenda kutumika kama faida kwa Marekani kisa tu ni ugomvi wa Afrika wenyewe kwa wenyewe na hapo hapo Trump katupiga Bao

    Huko Gaza napo mpango wa kuwahamisha wakazi wa Gaza kwa kisingizio cha kuijenga upya Gaza umeiva, Trump haijengi Gaza bure anafahamu fika kuwa chini ya ardhi ya Gaza kuna utajiri mkubwa wa maliasili ya Gesi na mafuta

    Huyo ndiye Trump mfanyabiashara kutoka White House ambaye anaenda sambamba na ule msemo unaosema "no free lunch in America" yaani hakuna chakula cha mchana cha bure Marekani, ukiona unapewa cha bure ujue badae utalipia tu!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    "Sijui kama mnaona jinsi Trump na Marekani yake wanavyocheza na Dunia kupitia ugomvi au migogoro ya Dunia ili kuipatia faida Marekani kwa kisingizio cha kutafuta amani huku nyuma ya pazia Marekani ikipata faida kupitia migogoro au vita. Tazama Makubaliano ya Madini pale Ukraine Ambapo Marekani watafaidika na Rasilimali za madini za Ukraine, yani ili Marekani waisadie Ukraine ni lazima Ukraine kuipatia madini yake Marekani Congo nayo inakaribia kusaini mkataba wa kuipatia Marekani madini ili Marekani iipatie ulinzi hapo tunazungumzia rasimali za Congo amabzo zinaenda kutumika kama faida kwa Marekani kisa tu ni ugomvi wa Afrika wenyewe kwa wenyewe na hapo hapo Trump katupiga Bao Huko Gaza napo mpango wa kuwahamisha wakazi wa Gaza kwa kisingizio cha kuijenga upya Gaza umeiva, Trump haijengi Gaza bure anafahamu fika kuwa chini ya ardhi ya Gaza kuna utajiri mkubwa wa maliasili ya Gesi na mafuta Huyo ndiye Trump mfanyabiashara kutoka White House ambaye anaenda sambamba na ule msemo unaosema "no free lunch in America" yaani hakuna chakula cha mchana cha bure Marekani, ukiona unapewa cha bure ujue badae utalipia tu!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·701 Visualizações
Páginas impulsionada