• Kulingana na ripoti ya Duetti, Mtandao wa kusikiliza na kuuza muziki wa Apple Music unalipa Wasanii zaidi ya mara mbili (2) ya kiasi kinacholipwa na Spotify kwa kila "streams" 1,000.

    Hii inatokana na ukweli kwamba Apple Music inategemea malipo ya Watumiaji bila kuwa na huduma za bure. Spotify, ambayo ina kiwango kikubwa cha matangazo kwenye huduma yake ya bure na pia inaongoza kwa kuwa na Wasikilizaji wengi, lakini inalipa Wasanii pesa kidogo hata kuliko mtandao wa YouTube, ambao pia hutegemea matangazo.

    Ripoti hiyo pia inaonyesha hali ya wasiwasi ambapo Spotify inaongeza bei kwa Watumiaji wake lakini malipo kwa Wasanii yanaendelea kupungua. Pia Spotify inabagua sana kwa kuangalia eneo, "brand" na Lebo ya Msanii na sio Wasanii wote wanalipwa kiwango sawa.

    Hata hivyo, Spotify imekanusha ripoti hiyo, ikisema wanazingatia kuongeza ushirikiano wa Watumiaji ili malipo ya jumla kwa wasanii yaweze kuongezeka. Kwa mwaka 2024, viwango vya malipo ambavyo Wasanii wamelipwa na mitandao ya kusikiliza na kuuza muziki Duniani (streaming platforms) kwa "streams" 1,000 ni hizi hapa:

    1. Amazon: $8.80 (TZS 22,413)
    2. Apple Music: $6.20 (TZS 15,791)
    3. YouTube: $4.80 (TZS 12,225)
    4. Spotify: $3.00 (TZS 7,641)

    Hivyo wimbo ukisikilizwa mara moja, kwenye Apple Music inalipa Shilingi 15.7; Spotify inalipa Shilingi 7.6, YouTube inalipa Shilingi 12.2 na Amazon inalipa Shilingi 22.4.


    #Chukuahii
    Kulingana na ripoti ya Duetti, Mtandao wa kusikiliza na kuuza muziki wa Apple Music unalipa Wasanii zaidi ya mara mbili (2) ya kiasi kinacholipwa na Spotify kwa kila "streams" 1,000. Hii inatokana na ukweli kwamba Apple Music inategemea malipo ya Watumiaji bila kuwa na huduma za bure. Spotify, ambayo ina kiwango kikubwa cha matangazo kwenye huduma yake ya bure na pia inaongoza kwa kuwa na Wasikilizaji wengi, lakini inalipa Wasanii pesa kidogo hata kuliko mtandao wa YouTube, ambao pia hutegemea matangazo. Ripoti hiyo pia inaonyesha hali ya wasiwasi ambapo Spotify inaongeza bei kwa Watumiaji wake lakini malipo kwa Wasanii yanaendelea kupungua. Pia Spotify inabagua sana kwa kuangalia eneo, "brand" na Lebo ya Msanii na sio Wasanii wote wanalipwa kiwango sawa. Hata hivyo, Spotify imekanusha ripoti hiyo, ikisema wanazingatia kuongeza ushirikiano wa Watumiaji ili malipo ya jumla kwa wasanii yaweze kuongezeka. Kwa mwaka 2024, viwango vya malipo ambavyo Wasanii wamelipwa na mitandao ya kusikiliza na kuuza muziki Duniani (streaming platforms) kwa "streams" 1,000 ni hizi hapa: 1. Amazon: $8.80 (TZS 22,413) 2. Apple Music: $6.20 (TZS 15,791) 3. YouTube: $4.80 (TZS 12,225) 4. Spotify: $3.00 (TZS 7,641) Hivyo wimbo ukisikilizwa mara moja, kwenye Apple Music inalipa Shilingi 15.7; Spotify inalipa Shilingi 7.6, YouTube inalipa Shilingi 12.2 na Amazon inalipa Shilingi 22.4. #Chukuahii
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 1KB Visualizações
  • HIVI UNAJUA: Takwimu zinaonyesha mapato halisi ya mauzo ya biashara ya mtandaoni na huduma ya Amazon.com kutoka 2004 hadi 2020, katika dola bilioni za Kimarekani. Katika mwaka uliopita ulioripotiwa, mapato halisi ya kampuni ya kimataifa ya biashara ya mtandaoni yalikuwa dola za Marekani bilioni 386.06, kutoka dola bilioni 280.52 za ​​Marekani mwaka wa 2019.
    HIVI UNAJUA: Takwimu zinaonyesha mapato halisi ya mauzo ya biashara ya mtandaoni na huduma ya Amazon.com kutoka 2004 hadi 2020, katika dola bilioni za Kimarekani. Katika mwaka uliopita ulioripotiwa, mapato halisi ya kampuni ya kimataifa ya biashara ya mtandaoni yalikuwa dola za Marekani bilioni 386.06, kutoka dola bilioni 280.52 za ​​Marekani mwaka wa 2019.
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 274 Visualizações
  • Je Wajua: Ikiwa na mtaji wa soko wa dola za Marekani trilioni 2.25 kufikia Aprili 2021, Apple ilikuwa kampuni kubwa zaidi duniani iliyo ingiza mapato mengi mwaka wa 2021. Kampuni nyingine zilizopo tano bora duniani kati ya hizo ni Microsoft, Saudi Arabian Oil Company (Saudi Aramco), Amazon, na Alfabeti ya kampuni kuu ya Google. Saudi Aramco iliongoza katika orodha ya makampuni yenye faida kubwa zaidi duniani mwaka 2019, ikiwa na mapato halisi ya dola za Marekani bilioni 88.21.
    Je Wajua: Ikiwa na mtaji wa soko wa dola za Marekani trilioni 2.25 kufikia Aprili 2021, Apple ilikuwa kampuni kubwa zaidi duniani iliyo ingiza mapato mengi mwaka wa 2021. Kampuni nyingine zilizopo tano bora duniani kati ya hizo ni Microsoft, Saudi Arabian Oil Company (Saudi Aramco), Amazon, na Alfabeti ya kampuni kuu ya Google. Saudi Aramco iliongoza katika orodha ya makampuni yenye faida kubwa zaidi duniani mwaka 2019, ikiwa na mapato halisi ya dola za Marekani bilioni 88.21.
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 401 Visualizações
  • Co-founder of amazon (#jeff bezos) #traviscroto#kelvinlauden#billionaremindset#bernaldpeter#paulswai#socialpop#dox#jeiva#intellectual_and_developmental_disability_ID@davidatto@omarhassan@abrahmanissa@social pop@drcharlestz@tr_croto
    Co-founder of amazon (#jeff bezos) #traviscroto#kelvinlauden#billionaremindset#bernaldpeter#paulswai#socialpop#dox#jeiva#intellectual_and_developmental_disability_ID@davidatto@omarhassan@abrahmanissa@social pop@drcharlestz@tr_croto
    Like
    Love
    Haha
    4
    3 Comentários 0 Compartilhamentos 3KB Visualizações
  • YAJUE HAYA KUHUSU MISITU YA AMAZON.
    1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini.

    2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu umegawanyika katika nchi tisa nchi hizo ni Blazil 60% peru 13% colombia 10% na mataifa mengine kama Venezuela, Ecuador, bolvia, guyana, suriname na France guiana.

    3: Msitu huu una eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,500,000 ( Milioni 5) yani kwa ukubwa huu nchi ya TANZANIA iingie mara 6 kwenye msitu huo.

    4: kwa mujibu wa wanasayansi wa mimea msitu wa Amazon una umri wa miaka zaidi ya million 55

    5: Msitu wa Amazon unakadiriwa kuwa na miti billion 400 na aina mbalimbali za miti zaidi ya 160,000 pia kuna miti ya matunda tofauti tofauti elfu tatu katika msitu huo.

    6: Mchanga wa jangwa la sahara hupeperushwa na upepo hupita juu ya bahari Atlantic hadi katika msitu wa amazon ambako hurutubisha katika msitu huo.

    7: katika msitu wa amazon kuna mto umekatisha mto huo unaitwa mto amazon huu ndio mtu mkubwa zaidi duniani na unaingiza maji baharini mara 5 ya mito mingine maajabu ya mto huu kuna muda haueleweki kuna kipindi unapeleka maji kinyume badala ya maji kwenda mashariki yana kuwa yana toka mashariki kwenda magharibi.

    8: Asilimia 20% ya oxygen iliyopo dunia inatengenezwa katika msitu wa amazon acha hili pia zaidi ya asilimia 70% ya madawa ya kisasa yana tengenezwa kwa kutumia miti inayo patikana ndani ya msitu wa amazon. Ndio maana unaitwa mapafu ya dunia.

    9: katika msitu wa amazon kuna makabila zaidi ya 50 yana ishi hapo watu wameishi kwa maelfu ya miaka iliyo pita lakini watu hao wamekuja kuonekana miaka ya hivi karibuni.

    10: Green anaconda
    Hawa ndio nyoka wakubwa zaidi duniani kwa sasa ni aina ya nyoka wanao patikana msitu wa amazon pekee wana rangi ya kijani na madoa meusi.

    11: poison dork frog
    Ni aina ya vyura wanaopatikana msitu wa amazon pekee wana sumu kali katika migongo yao ..
    YAJUE HAYA KUHUSU MISITU YA AMAZON. 1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini. 2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu umegawanyika katika nchi tisa nchi hizo ni Blazil 60% peru 13% colombia 10% na mataifa mengine kama Venezuela, Ecuador, bolvia, guyana, suriname na France guiana. 3: Msitu huu una eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,500,000 ( Milioni 5) yani kwa ukubwa huu nchi ya TANZANIA iingie mara 6 kwenye msitu huo. 4: kwa mujibu wa wanasayansi wa mimea msitu wa Amazon una umri wa miaka zaidi ya million 55 5: Msitu wa Amazon unakadiriwa kuwa na miti billion 400 na aina mbalimbali za miti zaidi ya 160,000 pia kuna miti ya matunda tofauti tofauti elfu tatu katika msitu huo. 6: Mchanga wa jangwa la sahara hupeperushwa na upepo hupita juu ya bahari Atlantic hadi katika msitu wa amazon ambako hurutubisha katika msitu huo. 7: katika msitu wa amazon kuna mto umekatisha mto huo unaitwa mto amazon huu ndio mtu mkubwa zaidi duniani na unaingiza maji baharini mara 5 ya mito mingine maajabu ya mto huu kuna muda haueleweki kuna kipindi unapeleka maji kinyume badala ya maji kwenda mashariki yana kuwa yana toka mashariki kwenda magharibi. 8: Asilimia 20% ya oxygen iliyopo dunia inatengenezwa katika msitu wa amazon👏 acha hili pia zaidi ya asilimia 70% ya madawa ya kisasa yana tengenezwa kwa kutumia miti inayo patikana ndani ya msitu wa amazon. Ndio maana unaitwa mapafu ya dunia. 9: katika msitu wa amazon kuna makabila zaidi ya 50 yana ishi hapo watu wameishi kwa maelfu ya miaka iliyo pita lakini watu hao wamekuja kuonekana miaka ya hivi karibuni. 10: Green anaconda Hawa ndio nyoka wakubwa zaidi duniani kwa sasa ni aina ya nyoka wanao patikana msitu wa amazon pekee wana rangi ya kijani na madoa meusi. 11: poison dork frog Ni aina ya vyura wanaopatikana msitu wa amazon pekee wana sumu kali katika migongo yao ..
    Love
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 1KB Visualizações