• Unlock in-depth Turkey Export Data with Import Globals! Analyze cargo tendencies, exporters, and market demands in real time. Stay beforehand in international change with dependable, up to date insights. Boost your commercial enterprise techniques now with Import Globals – your trusted supply for established Turkey Export Data. Start exploring today!

    Visit this page for more info: https://www.importglobals.com/turkey-Export-data

    #turkeyexportdata #importglobals
    Unlock in-depth Turkey Export Data with Import Globals! Analyze cargo tendencies, exporters, and market demands in real time. Stay beforehand in international change with dependable, up to date insights. Boost your commercial enterprise techniques now with Import Globals – your trusted supply for established Turkey Export Data. Start exploring today! Visit this page for more info: https://www.importglobals.com/turkey-Export-data #turkeyexportdata #importglobals
    www.importglobals.com
    Get the complete Turkey Export Data - Supplier, Buyer Information and Shipment details. Valuable Turkey Trade Data to grow your business at Import Globals.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·5 Views
  • NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa.

    #Habakuki 2:2-3
    [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji.

    [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.

    Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto .

    Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana.

    #Muhubiri 5:13
    *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno*

    Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa.
    #Ebrania 1:11-14

    #Ayubu 33:14-16
    [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,
    Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
    .
    [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku,
    Usingizi mzito uwajiliapo watu,
    Katika usingizi kitandani;
    ;
    [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu,
    Na kuyatia muhuri mafundisho yao,

    Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja.,

    Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu.

    #Yeremia 29:13
    [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

    Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia .

    #1 Kor 2:15 SUV
    Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.

    Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba .

    Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni .

    Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako .

    Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa.

    Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni.

    Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku .

    Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia.

    Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia .

    Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo .

    Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho.

    Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi.

    Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #ndoto ni taarifa acha kupuuzia
    #restore men position
    #build new eden
    NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa. #Habakuki 2:2-3 [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia. Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto . Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana. #Muhubiri 5:13 *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno* Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa. #Ebrania 1:11-14 #Ayubu 33:14-16 [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali. . [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani; ; [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao, Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja., Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu. #Yeremia 29:13 [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote. Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia . #1 Kor 2:15 SUV Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba . Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni . Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako . Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa. Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni. Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku . Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia. Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia . Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo . Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho. Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia . Nikutakie asubui njema na siku njema . Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi. Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group . Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #ndoto ni taarifa acha kupuuzia #restore men position #build new eden
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·63 Views
  • Mwanaume Mmoja aliefahamika kwa jina la YayuMusa (27) amekiri kumuua mama mkwe wake, AtayiAbdul (50), kwa kumpiga mapanga hadi kufa huko Olla, Kogi State, Nigeria.
    .
    Tukio lilitokea Julai 25, alipomvizia marehemu akiwa njiani kuelekea shambani. Musa alidai alifanya hivyo kwa sababu mama mkwe wake alitaka kumzuia asiendelee na ndoa na binti yake, licha ya juhudi zake kubwa kuiweka ndoa hiyo hai.
    .
    Baada ya tukio hilo, alikimbia lakini alikamatwa na kikundi cha ulinzi wa jadi. Polisi wanaendelea na uchunguzi.
    .
    Katika video ya mahojiano, #Musa alieleza sababu ya kufanya mauaji hayo..

    “Nilimuua kwa sababu alitaka kunizuia nisimuoe binti yake, Umi Idris. Alinipa binti yake kama mke, na nimetumia fedha zangu zote kuhakikisha ndoa yetu inafanya kazi.”

    “Alikuwa anaendelea kusema mimi si mwanaume kamili na kwamba atamtoa mke wangu kwa mwanaume mwingine kwa sababu hawezi kushika mimba,” alisema.
    .
    Musa alisisitiza kuwa alifanya hivyo kutokana na msongo wa mawazo na mapenzi kwa mkewe, akisema..

    “Sikutaka kumuona akiolewa na mwanaume mwingine wakati mimi bado hai."
    Mwanaume Mmoja aliefahamika kwa jina la YayuMusa (27) amekiri kumuua mama mkwe wake, AtayiAbdul (50), kwa kumpiga mapanga hadi kufa huko Olla, Kogi State, Nigeria. . Tukio lilitokea Julai 25, alipomvizia marehemu akiwa njiani kuelekea shambani. Musa alidai alifanya hivyo kwa sababu mama mkwe wake alitaka kumzuia asiendelee na ndoa na binti yake, licha ya juhudi zake kubwa kuiweka ndoa hiyo hai. . Baada ya tukio hilo, alikimbia lakini alikamatwa na kikundi cha ulinzi wa jadi. Polisi wanaendelea na uchunguzi. . Katika video ya mahojiano, #Musa alieleza sababu ya kufanya mauaji hayo.. “Nilimuua kwa sababu alitaka kunizuia nisimuoe binti yake, Umi Idris. Alinipa binti yake kama mke, na nimetumia fedha zangu zote kuhakikisha ndoa yetu inafanya kazi.” “Alikuwa anaendelea kusema mimi si mwanaume kamili na kwamba atamtoa mke wangu kwa mwanaume mwingine kwa sababu hawezi kushika mimba,” alisema. . Musa alisisitiza kuwa alifanya hivyo kutokana na msongo wa mawazo na mapenzi kwa mkewe, akisema.. “Sikutaka kumuona akiolewa na mwanaume mwingine wakati mimi bado hai."
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·79 Views
  • Onlinemarknadsföringstjänster Sverige
    Upptäck effektiva onlinemarknadsföringstjänster i Sverige. Vårt företag erbjuder skräddarsydd digital marknadsföring för att öka din synlighet och försäljning. https://www.sharepresentation.com/sophiekihm1050/onlinemarknadsfringstjnster-sverige
    Onlinemarknadsföringstjänster Sverige Upptäck effektiva onlinemarknadsföringstjänster i Sverige. Vårt företag erbjuder skräddarsydd digital marknadsföring för att öka din synlighet och försäljning. https://www.sharepresentation.com/sophiekihm1050/onlinemarknadsfringstjnster-sverige
    www.sharepresentation.com
    Upload, Search, Share, and Embed presentations and infographics with SharePresentation
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·142 Views
  • Digital Marknadsföring Företag Sverige
    Upptäck effektiva onlinemarknadsföringstjänster i Sverige. Vårt företag erbjuder skräddarsydd digital marknadsföring för att öka din synlighet och försäljning. https://create.piktochart.com/output/f4d106b836ef-digital-marknadsforing-foretag-sverige
    Digital Marknadsföring Företag Sverige Upptäck effektiva onlinemarknadsföringstjänster i Sverige. Vårt företag erbjuder skräddarsydd digital marknadsföring för att öka din synlighet och försäljning. https://create.piktochart.com/output/f4d106b836ef-digital-marknadsforing-foretag-sverige
    Digital Marknadsföring Företag Sverige
    create.piktochart.com
    Digital Marknadsföring Företag Sverige | Piktochart Visual Editor
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·134 Views
  • BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu.

    Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m.

    Source Goal Side

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu. Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m. Source Goal Side #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·159 Views
  • Manchester United na Newcastle ziko kwenye vita kuiwania saini ya mshambuliaji Nick Woltemade..

    (Source: Sun Sport)

    #SportsElite
    🚨 Manchester United na Newcastle ziko kwenye vita kuiwania saini ya mshambuliaji Nick Woltemade.. (Source: Sun Sport) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·75 Views
  • Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025.

    Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo.

    Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao.

    "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo.

    #SportsElite
    🚨🚨Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025. Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo. Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao. "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·294 Views
  • Enhance your change method with USA Export Data from Import Globals. Access specified export facts, consumer trends, and cargo insights to develop your market presence optimistically. Stay beforehand with accurate USA Export Data for informed decisions and international growth. Contact us today for actionable exchange intelligence solutions.

    Contact No: +91-9999887320
    Website: https://www.importglobals.com/
    Email ID: [email protected]
    Page: https://www.importglobals.com/usa-Export-data

    #usaexportdata #importglobals

    Enhance your change method with USA Export Data from Import Globals. Access specified export facts, consumer trends, and cargo insights to develop your market presence optimistically. Stay beforehand with accurate USA Export Data for informed decisions and international growth. Contact us today for actionable exchange intelligence solutions. Contact No: +91-9999887320 Website: https://www.importglobals.com/ Email ID: [email protected] Page: https://www.importglobals.com/usa-Export-data #usaexportdata #importglobals
    www.importglobals.com
    Import Globals is a leading Global Import Export Trade Data Provider for 100+ Countries. Get the Latest Import Export Data, and Custom Import Export Data Online.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·219 Views
  • ...Baada ya utambulisho wa Offen Chikola hapo jana, Wananchi wanasema saa 8:30 mchana wa leo watakuwa na utambulisho mwingine

    #SportsElite
    ...Baada ya utambulisho wa Offen Chikola hapo jana, Wananchi wanasema saa 8:30 mchana wa leo watakuwa na utambulisho mwingine #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·149 Views
  • Arteta Afunguka Kuhusu Uhamisho wa Merino na Zubimendi!

    Mikel Arteta amefunguka kuhusu mipango kabambe ya uhamisho iliyoiwezesha Arsenal kuwanasa Martin Zubimendi na Mikel Merino kwa misimu miwili mfululizo kutoka Real Sociedad!

    Akizungumza na gunnerblog, Arteta alifafanua jinsi ilivyokuwa muhimu kwa wachezaji wenyewe kutamani kujiunga na Arsenal, akisema, "Ilikuwa mpango uliopangwa vizuri sana. Na wachezaji wote wawili walikuwa na shauku kubwa ya kuja, jambo ambalo ni muhimu sana."

    Meneja huyo wa Arsenal alisisitiza ushirikiano mzuri na klabu ya Real Sociedad, akieleza, "Tulikuwa na klabu ya Real Sociedad iliyoelewa hali na wamekuwa bora. Tulifanya tulichotaka, na wachezaji walifanya tulichotaka, na nadhani Real Sociedad, mwishowe, walifurahishwa na matokeo."

    Maneno haya yanathibitisha jinsi Arsenal inavyojenga kikosi chake kwa umakini na mikakati ya uhamisho inayozingatia mahitaji ya klabu na matakwa ya wachezaji. Ni wazi kwamba Arteta na timu yake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha wanapata wachezaji wanaofaa kuimarisha kikosi na kuendelea kupigania mafanikio!

    #SportsElite
    Arteta Afunguka Kuhusu Uhamisho wa Merino na Zubimendi! 🔴⚪ Mikel Arteta amefunguka kuhusu mipango kabambe ya uhamisho iliyoiwezesha Arsenal kuwanasa Martin Zubimendi na Mikel Merino kwa misimu miwili mfululizo kutoka Real Sociedad! Akizungumza na gunnerblog, Arteta alifafanua jinsi ilivyokuwa muhimu kwa wachezaji wenyewe kutamani kujiunga na Arsenal, akisema, "Ilikuwa mpango uliopangwa vizuri sana. Na wachezaji wote wawili walikuwa na shauku kubwa ya kuja, jambo ambalo ni muhimu sana." Meneja huyo wa Arsenal alisisitiza ushirikiano mzuri na klabu ya Real Sociedad, akieleza, "Tulikuwa na klabu ya Real Sociedad iliyoelewa hali na wamekuwa bora. Tulifanya tulichotaka, na wachezaji walifanya tulichotaka, na nadhani Real Sociedad, mwishowe, walifurahishwa na matokeo." Maneno haya yanathibitisha jinsi Arsenal inavyojenga kikosi chake kwa umakini na mikakati ya uhamisho inayozingatia mahitaji ya klabu na matakwa ya wachezaji. Ni wazi kwamba Arteta na timu yake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha wanapata wachezaji wanaofaa kuimarisha kikosi na kuendelea kupigania mafanikio! #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·192 Views
  • Mazungumzo kati ya Chelsea na Leipzig yataanza kesho rasmi baada ya Mchezaji huyo kusema kuwa anataka kujiunga na Chelsea!

    #SportsElite
    ✍️🇳🇱Mazungumzo kati ya Chelsea na Leipzig yataanza kesho rasmi baada ya Mchezaji huyo kusema kuwa anataka kujiunga na Chelsea! #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·132 Views
  • Nickolas Jackson amekataa offer ya AC Milan Na Napoli za kujiunga na timu hizoo yeye asema anahitaji kusalia Katika Ligi ya uingereza:

    #SportsElite
    Nickolas Jackson amekataa offer ya AC Milan Na Napoli za kujiunga na timu hizoo yeye asema anahitaji kusalia Katika Ligi ya uingereza: #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·111 Views
  • Napoli imemsajili beki Sam Beukema kutoka Bologna kwa kiasi cha takriban €31 milioni. Amekubali kandarasi ya miaka mitano.

    #SportsElite
    Napoli imemsajili beki Sam Beukema kutoka Bologna kwa kiasi cha takriban €31 milioni. Amekubali kandarasi ya miaka mitano. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·127 Views
  • Jordi Cruyff: “Xavi alitaka Lamine Yamal aanze kucheza mapema zaidi. Tulilazimika kuzungumza na Mateu kuhusu hilo. Tukamwambia: ‘Xavi, huyu mtoto ana miaka 15 tu na hana mkataba wowote wa kumlinda. Akicheza mechi kumi na kuonyesha kile sisi tayari tunaona ndani yake... tutakuwa tumemweka sokoni bila ulinzi wowote.’”

    #SportsElite
    Jordi Cruyff: “Xavi alitaka Lamine Yamal aanze kucheza mapema zaidi. Tulilazimika kuzungumza na Mateu kuhusu hilo. Tukamwambia: ‘Xavi, huyu mtoto ana miaka 15 tu na hana mkataba wowote wa kumlinda. Akicheza mechi kumi na kuonyesha kile sisi tayari tunaona ndani yake... tutakuwa tumemweka sokoni bila ulinzi wowote.’” #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·130 Views
  • Manager wa Club ya PSG Luis Enrique amesema kuwa yuko mbioni katika sakata la kumsajiri aliyekuwa kiungo wa Real Madrid Eduardo Camavinga licha ya kuwa majeruhii hayo yamesemwa na Luis Enrique manager wa PSG
    Manager wa Club ya PSG Luis Enrique amesema kuwa yuko mbioni katika sakata la kumsajiri aliyekuwa kiungo wa Real Madrid Eduardo Camavinga licha ya kuwa majeruhii hayo yamesemwa na Luis Enrique manager wa PSG
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·125 Views
  • Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen

    Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen .

    Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno na Ufaransa zilizochezwa Juni 4 na 8.

    Ripoti hiyo imeongeza:

    > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani ."

    Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa .

    Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo.

    Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay wakati wa Copa América 2024.

    Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni.

    #SportsElite
    🚨 Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen 💰 Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen 🤕. Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno 🇵🇹 na Ufaransa 🇫🇷 zilizochezwa Juni 4 na 8. Ripoti hiyo imeongeza: > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani 🇩🇪." Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa 🏥. Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo. Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania 🇪🇸 mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay 🇺🇾 wakati wa Copa América 2024. Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·381 Views
  • Bayern Munich imetuma ofa ya €50M na nyongeza €5M in kwa VfB Stuttgart ili kuipata huduma ya Nick Woltemade.

    (Source: @Plettigoal)

    #SportsElite
    🚨 Bayern Munich imetuma ofa ya €50M na nyongeza €5M in kwa VfB Stuttgart ili kuipata huduma ya Nick Woltemade. (Source: @Plettigoal) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·166 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool imekataa pendekezo rasmi la €67.5m kutoka kwa FC Bayern kwa ajili ya Luis Diaz

    Luis Diaz, yuko tayari kuondoka Liverpool msimu huu wa joto huku Bayern na Barcelona wakimtaka lakini klabu inaendelea kukataa.

    Hakuna makubaliano kuhusu ada ya uhamisho na Liverpool wanaona thamani ya Luis Diaz kuwa juu zaidi ya €67.5m inayotolewa leo.

    Liverpool walisema hapana, kama ilivyoripotiwa.

    (Fabrizio Romano)
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool imekataa pendekezo rasmi la €67.5m kutoka kwa FC Bayern kwa ajili ya Luis Diaz 🚫🇨🇴 Luis Diaz, yuko tayari kuondoka Liverpool msimu huu wa joto huku Bayern na Barcelona wakimtaka lakini klabu inaendelea kukataa. Hakuna makubaliano kuhusu ada ya uhamisho na Liverpool wanaona thamani ya Luis Diaz kuwa juu zaidi ya €67.5m inayotolewa leo. Liverpool walisema hapana, kama ilivyoripotiwa. (Fabrizio Romano)
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·231 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Patrick Agyemang amejiunga na Derby County kwa mkataba wa miaka 4

    Charlotte FC watapokea kitita cha £5.8M pamoja na bonasi zote kutokana na mauzo hayo..

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Patrick Agyemang amejiunga na Derby County kwa mkataba wa miaka 4 Charlotte FC watapokea kitita cha £5.8M pamoja na bonasi zote kutokana na mauzo hayo.. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·105 Views
Arama Sonuçları