• Best Explainer Video Agency in Mumbai | Framemakerzzz

    Frame Makerzzz is best explainer video agency in mumbai at affordable prices. We offering exceptional explainer video for healthcare, businesses, technology and fashion etc.
    Best Explainer Video Agency in Mumbai | Framemakerzzz Frame Makerzzz is best explainer video agency in mumbai at affordable prices. We offering exceptional explainer video for healthcare, businesses, technology and fashion etc.
    0 Commentaires ·0 Parts ·28 Vue
  • What Is My Colour Palette? | Free Style Guide by Estylist

    Do you have any doubts about your colour scheme? Use Estylist's free online tool to find the shades that go well with your skin tone and style. With expert fashion advice, find the perfect colour scheme to improve your wardrobe and boost your confidence.

    visit now:-https://www.estylist.com.au/color-palette

    What Is My Colour Palette? | Free Style Guide by Estylist Do you have any doubts about your colour scheme? Use Estylist's free online tool to find the shades that go well with your skin tone and style. With expert fashion advice, find the perfect colour scheme to improve your wardrobe and boost your confidence. visit now:-https://www.estylist.com.au/color-palette
    www.estylist.com.au
    Discover your Colour Palette 🎨 with our Free Online Colour Analysis 🌟. Get personalized color insights from eStylist and enhance your style effortlessly.
    0 Commentaires ·0 Parts ·127 Vue
  • Georgette Sarees for Women – Float Through Every Moment
    Discover the perfect blend of elegance and ease with our premium georgette sarees, designed for stunning drapes and timeless style.

    Soft, flowy fabric & graceful drape
    Ideal for weddings, festive events & evening wear
    Crafted with delicate details and modern touches

    Shop now: www.redrubyfashion.com
    Follow us on Instagram: @red.rubyfashion for the latest styles

    #RedRubyFashion #GeorgetteSareesForWomen #ElegantDrapes #IndianEthnicWear #WeddingSaree #FestiveFashion #SareeForWomen #FlowySaree #EverydayElegance
    🌸 Georgette Sarees for Women – Float Through Every Moment 🌸 Discover the perfect blend of elegance and ease with our premium georgette sarees, designed for stunning drapes and timeless style. ✨ Soft, flowy fabric & graceful drape 💫 Ideal for weddings, festive events & evening wear 🧵 Crafted with delicate details and modern touches 🛍️ Shop now: www.redrubyfashion.com 📲 Follow us on Instagram: @red.rubyfashion for the latest styles #RedRubyFashion #GeorgetteSareesForWomen #ElegantDrapes #IndianEthnicWear #WeddingSaree #FestiveFashion #SareeForWomen #FlowySaree #EverydayElegance
    Shop stylish and elegant sarees for women at RedRuby Fashion. Enjoy Saree Online Shopping with a wide collection for every occasion and exciting deals
    0 Commentaires ·0 Parts ·507 Vue
  • TBT ya Haji Manara

    "September 2007 nikiwa kijana Mdogo na nikiwa kiongozi wa Chama changu na hapo ni fresh from School kule Beijing China.
    Kipindi hicho nna madini ya hatari kuhusu taaluma ya Propaganda na Uenezi,enzi ambazo nilikuwa naweza kukuaminisha Jiwe ni Keki

    Enzi ambazo nilikuwa naweza kuwavusha hata kuku barabarani kwa maneno tu,
    Ni zile zile zama nilizowaaminisha Barcelona haichomoki kwa Mkapa, tena Barcelona kweli ya Xavi ,Iniesta na kina Messi.
    Taaluma iliyonipa ujasiri wa kusema na kuamini tutafuzu kwa AFCON ya 2019 kule Misri,wakati huo tukiwa chini kwenye msimamo wa kundi letu, na Nchi nzima ikiwa imejikatia tamaa ya kwenda Cairo.

    Bila kusahau one day kule Paris France niliposahau Passport hotelini na siku hiyo tulisimamishwa na Manjagu njiani nikiwa na wenzangu ambao walikuwa Kamil Gado,
    Nikazuga kama naitoa kwenye mfuko wa koti, Askari wakaniamini kabla ya kuwaonyesha ,wakaturuhusu kilaini kabisa,inaitwa Blue Propaganda

    Yes: Pembeni yangu katika hiyo picha ni Marehemu Captain Barongo aliyekuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Dar es salaam,
    Na hii ilikuwa sherehe ya harusi ya DC wa Temeke hivi sasa Mh Sixtus Mapunda ambae wakati huo alikuwa Katibu wa Umoja wa Vijana ( UV CCM ) Mkoa huu.
    Hadi leo tumebaki marafiki wakubwa na hakosi mwaliko wowote kwangu

    Nb: Usicheke ukubwa wa koti,miaka ile ilikuwa ndio fashion na wenyewe tuliyaita Majumba "

    TBT ya Haji Manara "September 2007 nikiwa kijana Mdogo na nikiwa kiongozi wa Chama changu na hapo ni fresh from School kule Beijing China. Kipindi hicho nna madini ya hatari kuhusu taaluma ya Propaganda na Uenezi,enzi ambazo nilikuwa naweza kukuaminisha Jiwe ni Keki 😀😀😀 Enzi ambazo nilikuwa naweza kuwavusha hata kuku barabarani kwa maneno tu😀😀😀, Ni zile zile zama nilizowaaminisha Barcelona haichomoki kwa Mkapa, tena Barcelona kweli ya Xavi ,Iniesta na kina Messi. Taaluma iliyonipa ujasiri wa kusema na kuamini tutafuzu kwa AFCON ya 2019 kule Misri,wakati huo tukiwa chini kwenye msimamo wa kundi letu, na Nchi nzima ikiwa imejikatia tamaa ya kwenda Cairo. Bila kusahau one day kule Paris France niliposahau Passport hotelini na siku hiyo tulisimamishwa na Manjagu njiani nikiwa na wenzangu ambao walikuwa Kamil Gado, Nikazuga kama naitoa kwenye mfuko wa koti, Askari wakaniamini kabla ya kuwaonyesha ,wakaturuhusu kilaini kabisa,inaitwa Blue Propaganda 😀😀😀 Yes: Pembeni yangu katika hiyo picha ni Marehemu Captain Barongo aliyekuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Dar es salaam, Na hii ilikuwa sherehe ya harusi ya DC wa Temeke hivi sasa Mh Sixtus Mapunda ambae wakati huo alikuwa Katibu wa Umoja wa Vijana ( UV CCM ) Mkoa huu. Hadi leo tumebaki marafiki wakubwa na hakosi mwaliko wowote kwangu 🙏🙏 Nb: Usicheke ukubwa wa koti,miaka ile ilikuwa ndio fashion na wenyewe tuliyaita Majumba 😀😀😀"
    0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu.

    Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo.

    Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup).

    Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo. Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup). Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·4KB Vue
  • #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE).

    Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali.

    Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani.

    Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii.

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE). Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali. Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani. Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii. #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·3KB Vue
  • Hizi fashion zingine za kanye west ni shida tupu
    Hizi fashion zingine za kanye west ni shida tupu
    1 Commentaires ·0 Parts ·579 Vue
  • >Kurap Sio Fashion,,*
    >Jua Kurap Ni Passion,,*
    >Pia..Naitaji Kuwa Boss Officen,,*
    >Najua Itakua Ngumu Nisipo Ithamini Pen,,*

    #Kila_kitu_uenda_kwa_Muda_
    #Set_yr_brain
    >Kurap Sio Fashion,,* >Jua Kurap Ni Passion,,* >Pia..Naitaji Kuwa Boss Officen,,* >Najua Itakua Ngumu Nisipo Ithamini Pen,,* #Kila_kitu_uenda_kwa_Muda_ #Set_yr_brain
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • kwa mistari wanakimbia india sany deo,,,,
    kichwani sijaitungia mi mkali jana naleo,,,,
    ili shimo mshatumbukia wagambo mnashushwa vyeo,,,,
    na mic kwangu ndogia weogopa nkishika peni,,,,
    mistari fashion sina moko nnadazeni mindo jack bila cheni,,,
    kwa mistari wanakimbia india sany deo,,,, kichwani sijaitungia mi mkali jana naleo,,,, ili shimo mshatumbukia wagambo mnashushwa vyeo,,,, na mic kwangu ndogia weogopa nkishika peni,,,, mistari fashion sina moko nnadazeni mindo jack bila cheni,,,
    0 Commentaires ·0 Parts ·554 Vue
  • kwa mistari wanakimbia india sany deo,,,,
    kichwani sijaitungia mi mkali jana naleo,,,,
    ili shimo mshatumbukia wagambo mnashushwa vyeo,,,,
    na mic kwangu ndogia weogopa nkishika peni,,,,
    mistari fashion sina moko nnadazeni mindo jack bila cheni,,,
    kwa mistari wanakimbia india sany deo,,,, kichwani sijaitungia mi mkali jana naleo,,,, ili shimo mshatumbukia wagambo mnashushwa vyeo,,,, na mic kwangu ndogia weogopa nkishika peni,,,, mistari fashion sina moko nnadazeni mindo jack bila cheni,,,
    0 Commentaires ·0 Parts ·552 Vue
  • >Kurap Sio Fashion...
    >Jua Kurap Ni Passion...
    >Pia..Naitaji Kuwa Boss Officen...
    >Najua Itakua Ngumu Nisipo Ithamini Pen...
    #Kila_kitu_uenda_kwa_Muda_
    #Set_yr_brain




    >Kurap Sio Fashion... >Jua Kurap Ni Passion... >Pia..Naitaji Kuwa Boss Officen... >Najua Itakua Ngumu Nisipo Ithamini Pen... #Kila_kitu_uenda_kwa_Muda_ #Set_yr_brain
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • MOVIE TO REVIEW
    ___________________
    Aisha anarudi nyumbani Ghana, baada ya miaka mingi kuishi Marekani. Huko alikua anafanya kazi as Fashion Designer. Home mambo yamebadilika mno tofauti na mwanzo alivyoacha.

    Water & Garri ni concept iliyozaliwa kutokea kwenye EP ya kwake mwenyewe Tiwa Savage ambayo ina same name, hata story ya hii filamu ni part fulani ya maisha yake maana aliondoka Nigeria akiwa na miaka 11 na kurejea baadae sana.

    #FILAMU2024
    #topdrama
    MOVIE TO REVIEW ___________________ Aisha anarudi nyumbani Ghana, baada ya miaka mingi kuishi Marekani. Huko alikua anafanya kazi as Fashion Designer. Home mambo yamebadilika mno tofauti na mwanzo alivyoacha. Water & Garri ni concept iliyozaliwa kutokea kwenye EP ya kwake mwenyewe Tiwa Savage ambayo ina same name, hata story ya hii filamu ni part fulani ya maisha yake maana aliondoka Nigeria akiwa na miaka 11 na kurejea baadae sana. #FILAMU2024 #topdrama
    Like
    Wow
    3
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • #everyone follow me on TikTok account by one fashion quotes you
    #everyone follow me on TikTok account by one fashion quotes 🙏👀 you
    Love
    Like
    5
    · 4 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue ·70
  • Fashion style
    Fashion style 👔👟
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·732 Vue