• What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others

    .Example of King Josiah (2 Kings 22)
    Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13).

    He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands.

    To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16)

    Joshua gave the Israelites a choice:

    serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You
    Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to:

    Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others.

    Challenge
    Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More
    If you want to study God’s Word more,
    join this WhatsApp group:
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR

    Sylvester Mwakabende from Build New Eden.
    #BuildNewEden
    #RestoreMenPosition
    What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others .Example of King Josiah (2 Kings 22) Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13). He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands. To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16) Joshua gave the Israelites a choice: serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to: Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others. Challenge Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More If you want to study God’s Word more, join this WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR Sylvester Mwakabende from Build New Eden. #BuildNewEden #RestoreMenPosition
    0 Comments ·0 Shares ·178 Views
  • The SAT (Scholastic Assessment Test) is a digital standardized examination administered by the College Board, primarily used for undergraduate admissions in colleges in the United States and Canada. In addition, a growing number of universities in countries such as the United Kingdom, Australia, Singapore, and India also consider SAT scores as part of their admissions process.

    Read Our Blog - https://techblogware.com/how-to-break-1500-on-the-sat-7-strategies-top-scorers-swear-by/
    The SAT (Scholastic Assessment Test) is a digital standardized examination administered by the College Board, primarily used for undergraduate admissions in colleges in the United States and Canada. In addition, a growing number of universities in countries such as the United Kingdom, Australia, Singapore, and India also consider SAT scores as part of their admissions process. Read Our Blog - https://techblogware.com/how-to-break-1500-on-the-sat-7-strategies-top-scorers-swear-by/
    0 Comments ·0 Shares ·229 Views
  • Power of choice part 5.

    Neno msingi. "Angalia na wawekea mbele yako yaani baraka na laana" torati 11:26

    Tunaendelea na madhara ya kujiongoza vibaya katika kutumia nguvu ya kuchagua.

    Na kwakuanza jana tulimuona Sauli na matokeo aliyo yapata kutokana na kushindwa kuchagua kwani maamuzi yote yapo ndani ya Nguvu inayo twa chaguo.
    Leo tutaingia ndani kidogo tumtazame mnadhiri wa Bwana kwa kudhariwa .

    2.SAMSON

    Samsoni alikuwa mwamuzi wa islaeri kwa miaka 20 .

    Alifanya makubwa sana juu ya kulilinda na kulipambania islaeri juu ya wafiristi.

    Samsoni pamoja na uimara wote huo bado alishindwa kuielewa nguvu anayo itoa roho mtakatifu inayo itwa nguvu ya kuchagua.

    Samsoni akaangukia kwenye penzi la mfiristi la kwanza lakini haikuwa nadhani fungu lake .

    Waamuzi 14:16
    [16]Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe?

    Samsoni ni lover boy ambaye alitoa kitendawili lakini watu walimtumia mkewe akategua kitendawili .

    Lakini pia kisa pendwa cha samsoni na kahaba Delila sanson alipo chagua kuingia penzi na kahaba ndipo uharibifu ukamuotea tena .

    Samsoni ameulizwa juu ya siri ya nguvu mara tatu zaidi bado hakushtuka kwa kuwa nguvu ya ndani ya kuchagua maamuzi sahii ilikuwa imetoweka sababu ya dhambi.

    Matokeo ya kujiongoza kuchagua mtu hodari sana katika islaeri anadhihakiwa na watu wasio tahiriwa (wasio wabarikiwa)

    Samsoni alikuwa mnadhiri au mtu aliye zaliwa na kupewa nguvu lakini sababu ya kukosa nguvu ya kuchagua samsoni alipoteza focus yake.Waamuzi 16:17,28
    [17]Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu.

    Ndivyo ilivyo hata leo kuna watumishi wengi sababu tu ya kukosa nguvu ya kuchagua au kwa kufanya maamuzi yasiyo paswa kuyachagua wanapoteza vipawa vyao .

    Wengine wanashindwa kuchagua utakatifu wanaangukia kwenye zinaa na majivuno na wao pia wanapoteza uhusiano na Mungu.

    [28]Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili
    Bila neema ya kristo katika roho huwezi kufanya maamuzi mema .

    Ok naitwa sylvester Mwakabende (build new eden )

    #build new eden
    Power of choice part 5. Neno msingi. "Angalia na wawekea mbele yako yaani baraka na laana" torati 11:26 Tunaendelea na madhara ya kujiongoza vibaya katika kutumia nguvu ya kuchagua. Na kwakuanza jana tulimuona Sauli na matokeo aliyo yapata kutokana na kushindwa kuchagua kwani maamuzi yote yapo ndani ya Nguvu inayo twa chaguo. Leo tutaingia ndani kidogo tumtazame mnadhiri wa Bwana kwa kudhariwa . 2.SAMSON Samsoni alikuwa mwamuzi wa islaeri kwa miaka 20 . Alifanya makubwa sana juu ya kulilinda na kulipambania islaeri juu ya wafiristi. Samsoni pamoja na uimara wote huo bado alishindwa kuielewa nguvu anayo itoa roho mtakatifu inayo itwa nguvu ya kuchagua. Samsoni akaangukia kwenye penzi la mfiristi la kwanza lakini haikuwa nadhani fungu lake . Waamuzi 14:16 [16]Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe? Samsoni ni lover boy ambaye alitoa kitendawili lakini watu walimtumia mkewe akategua kitendawili . Lakini pia kisa pendwa cha samsoni na kahaba Delila sanson alipo chagua kuingia penzi na kahaba ndipo uharibifu ukamuotea tena . Samsoni ameulizwa juu ya siri ya nguvu mara tatu zaidi bado hakushtuka kwa kuwa nguvu ya ndani ya kuchagua maamuzi sahii ilikuwa imetoweka sababu ya dhambi. Matokeo ya kujiongoza kuchagua mtu hodari sana katika islaeri anadhihakiwa na watu wasio tahiriwa (wasio wabarikiwa) Samsoni alikuwa mnadhiri au mtu aliye zaliwa na kupewa nguvu lakini sababu ya kukosa nguvu ya kuchagua samsoni alipoteza focus yake.Waamuzi 16:17,28 [17]Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu. Ndivyo ilivyo hata leo kuna watumishi wengi sababu tu ya kukosa nguvu ya kuchagua au kwa kufanya maamuzi yasiyo paswa kuyachagua wanapoteza vipawa vyao . Wengine wanashindwa kuchagua utakatifu wanaangukia kwenye zinaa na majivuno na wao pia wanapoteza uhusiano na Mungu. [28]Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili Bila neema ya kristo katika roho huwezi kufanya maamuzi mema . Ok naitwa sylvester Mwakabende (build new eden ) #build new eden
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·283 Views
  • Power of choise part 4.

    Neno msingi.Angalia nawawekea mbele yako yaani baraka na laana. Kumbu kumbu la torati 11:26

    Ukikosea kuchagua au kuongozwa na nguvu ya kuchagua umekosea maisha.

    Baada ya kuwaangalia mashujaa kazaa walio pata matokeo kwa kujiongoza kuchagua badi tunapaswa kurudi kuangalia pia walio kosea kuchagua na matokeo waliyo yapata.

    Kumbuka nikisema nguvu ya kuchagua namaanisha jambo kubwa sana rohoni kuliko kuwaza kuchagua mweza .

    Nazungumzia kanuni thabiti ya maisha ambayo kama ukiijua na kuiishi lazima matokeo yakufuate.

    1.Sauil
    Sauli alipo chagua kito kutiii sauti ya Mungu akapelekea kupoteza nafasi ya kifalme kwa sababu ya tamaa ya siku moja ..

    Bahati mbaya sana wengi sana tukikosea kuchagua si rahisi kuomba toba kwa kuwa tunakuwa na mbinu nyingi sana za kujitetea.


    1 Samweli 13:11-14
    [11]Samweli akasema, Umefanya nini? Naye Sauli akasema, Ni kwa sababu naliona ya kuwa watu wanatawanyika mbali nami, na wewe hukuja siku zile zilizonenwa; nao Wafilisti wamekusanyika pamoja huko Mikmashi;

    [12]basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nalijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa.
    .
    [13]Naye Samweli akamwambia Sauli, Umefanya upumbavu; hukuishika amri ya BWANA, Mungu wako, aliyokuamuru; kwa maana BWANA angaliufanya ufalme wako kuwa imara juu ya Israeli milele.

    [14]Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru.


    Hii mara ya kwanza Sauli anajiongoza vibaya katika nguvu iliyo ndani yake inayo itwa nguvu ya kuchagua.

    1 Samweli 15:23
    [23]Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi,
    Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago;
    Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA,
    Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme.

    Anashindwa pia kufuata maelekezo si kwa sababu anapenda bali sababu ya kuto kuwa na nguvu inayo kuwezesha kuchagua.

    Na ili uchague lazima uwe na roho mtakatifu kati ya nguvu anayo kupa ni nguvu ya kuchagua .

    Bahati mbaya sana akina sauli wako wengi duniani wanafanya kile wasicho agizwa kwa tamaa zao arafu wanasema ni kwa ajiri ya injiri .

    Mfano mwepesi huwezi kuwa dada au kaka wa plays arafu kutwa unazini arafu utegemee Mungu atakukubali kwani dhambi ni matokeo ya kukosa nguvu ya kuchagua.

    Natamani sana vijana tujue siri ya uyu roho ambaye ndiye aliyetupa Nguvu hii ya kuchagua na jinsi inavyo weza badilisha Maisha yetu.

    Ukiweza kuiishi nguvu hii inayo itwa kuchagua basi uneyaweza maisha .

    Ahsantenaitwa Sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden )

    #build new eden
    #restore men position
    Power of choise part 4. Neno msingi.Angalia nawawekea mbele yako yaani baraka na laana. Kumbu kumbu la torati 11:26 Ukikosea kuchagua au kuongozwa na nguvu ya kuchagua umekosea maisha. Baada ya kuwaangalia mashujaa kazaa walio pata matokeo kwa kujiongoza kuchagua badi tunapaswa kurudi kuangalia pia walio kosea kuchagua na matokeo waliyo yapata. Kumbuka nikisema nguvu ya kuchagua namaanisha jambo kubwa sana rohoni kuliko kuwaza kuchagua mweza . Nazungumzia kanuni thabiti ya maisha ambayo kama ukiijua na kuiishi lazima matokeo yakufuate. 1.Sauil Sauli alipo chagua kito kutiii sauti ya Mungu akapelekea kupoteza nafasi ya kifalme kwa sababu ya tamaa ya siku moja .. Bahati mbaya sana wengi sana tukikosea kuchagua si rahisi kuomba toba kwa kuwa tunakuwa na mbinu nyingi sana za kujitetea. 1 Samweli 13:11-14 [11]Samweli akasema, Umefanya nini? Naye Sauli akasema, Ni kwa sababu naliona ya kuwa watu wanatawanyika mbali nami, na wewe hukuja siku zile zilizonenwa; nao Wafilisti wamekusanyika pamoja huko Mikmashi; [12]basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nalijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa. . [13]Naye Samweli akamwambia Sauli, Umefanya upumbavu; hukuishika amri ya BWANA, Mungu wako, aliyokuamuru; kwa maana BWANA angaliufanya ufalme wako kuwa imara juu ya Israeli milele. [14]Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru. Hii mara ya kwanza Sauli anajiongoza vibaya katika nguvu iliyo ndani yake inayo itwa nguvu ya kuchagua. 1 Samweli 15:23 [23]Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi, Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago; Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA, Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme. Anashindwa pia kufuata maelekezo si kwa sababu anapenda bali sababu ya kuto kuwa na nguvu inayo kuwezesha kuchagua. Na ili uchague lazima uwe na roho mtakatifu kati ya nguvu anayo kupa ni nguvu ya kuchagua . Bahati mbaya sana akina sauli wako wengi duniani wanafanya kile wasicho agizwa kwa tamaa zao arafu wanasema ni kwa ajiri ya injiri . Mfano mwepesi huwezi kuwa dada au kaka wa plays arafu kutwa unazini arafu utegemee Mungu atakukubali kwani dhambi ni matokeo ya kukosa nguvu ya kuchagua. Natamani sana vijana tujue siri ya uyu roho ambaye ndiye aliyetupa Nguvu hii ya kuchagua na jinsi inavyo weza badilisha Maisha yetu. Ukiweza kuiishi nguvu hii inayo itwa kuchagua basi uneyaweza maisha . Ahsantenaitwa Sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden ) #build new eden #restore men position
    Yay
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·256 Views
  • Power of choise part 3.

    Maisha ni kanuni uwezi kufanikiwa kama uzijui kanuni za mafanikio.

    Na kwa kuwa Mungu wetu ni Mungu wa kanuni na utaratibu basi moja ya kanuni hizo ni NGUVU ya kuchagua.

    Tunaendelea kuongozwa na neno la msingi hili

    Torati 11:26 "Angalia nawawekea mbele yenu baraka na laana."

    Vyote viwili viko mbele yako yaani baraka na laana pia .

    Kila matokeo utakayo yapata duniani yameyokana na nguvu iliyo ndani yako na nguvu hiyo ni nguvu ya kuchagua.

    Hata kuokoka ni matokeo ya kuchagua pia .

    Zaburi 27:4-6
    Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, .

    Kumbe hata kupata nguvu na kukaa uweponi pia ni matokeo ya kuchagua pia

    Eliya alisimamisha mvua kwa miaka mitatu na nusu kwa kuwa tu aliweza kuijua nguvu ya kuchagua na akachagua kutembea na Bwana .

    Katikati ya Mungu wa bahari jabari la Mungu eliya aliamua kumdhiiriaha Mungu na moto ulishuka ukasababisha hata wasio amini wachague kumwamini Mungu wa Elia.

    Matokeo ya kuchagua kwa eliya ndiyo yalileta matokeo ya maamuzi ya watu kusema anaye paswa kuabudiwa ni Mungu wa Elia.

    Ukikosea kuchagua au kuto kujua nguvu ya kuchagua ni kumkosea Mungu wako pia.

    Yoshua pia aliiijua nguvu hii ndiyo alipo wapa machaguo wana wa islaeri kwamba chagueni hivi leo mtakaye mtumikia.

    Yoshua 24:15
    Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.

    Ahsante sana naimani kuna kitu umejifunza katika nguvu ya kuchagua

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #Restoremenposition
    Power of choise part 3. Maisha ni kanuni uwezi kufanikiwa kama uzijui kanuni za mafanikio. Na kwa kuwa Mungu wetu ni Mungu wa kanuni na utaratibu basi moja ya kanuni hizo ni NGUVU ya kuchagua. Tunaendelea kuongozwa na neno la msingi hili Torati 11:26 "Angalia nawawekea mbele yenu baraka na laana." Vyote viwili viko mbele yako yaani baraka na laana pia . Kila matokeo utakayo yapata duniani yameyokana na nguvu iliyo ndani yako na nguvu hiyo ni nguvu ya kuchagua. Hata kuokoka ni matokeo ya kuchagua pia . Zaburi 27:4-6 Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, . Kumbe hata kupata nguvu na kukaa uweponi pia ni matokeo ya kuchagua pia Eliya alisimamisha mvua kwa miaka mitatu na nusu kwa kuwa tu aliweza kuijua nguvu ya kuchagua na akachagua kutembea na Bwana . Katikati ya Mungu wa bahari jabari la Mungu eliya aliamua kumdhiiriaha Mungu na moto ulishuka ukasababisha hata wasio amini wachague kumwamini Mungu wa Elia. Matokeo ya kuchagua kwa eliya ndiyo yalileta matokeo ya maamuzi ya watu kusema anaye paswa kuabudiwa ni Mungu wa Elia. Ukikosea kuchagua au kuto kujua nguvu ya kuchagua ni kumkosea Mungu wako pia. Yoshua pia aliiijua nguvu hii ndiyo alipo wapa machaguo wana wa islaeri kwamba chagueni hivi leo mtakaye mtumikia. Yoshua 24:15 Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. Ahsante sana naimani kuna kitu umejifunza katika nguvu ya kuchagua Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #Restoremenposition
    Yay
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·281 Views
  • Nguvu ya kuchagua sehemu ya pili.

    Nguvu ya kuchagua ndiyo nguvu inayo sitawisha mtu .

    Isacka alibarikiwa sana baada ya kuchagua kutii maagizo aliyo ambiwa na Mungu .

    Wakati njaa inatokea wengine wote walichagua kwenda misri yeye akapewa jumbe tofauti na alipo sikia akachukua nguvu ya kuanza na akasitawishwa sana.
    Mwanzo 26:1-2

    Nguvu ya kuchagua lazima iambatane na Nguvu ya kuanza baada ya kuchagua.
    Mwanzo 6:12
    Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, akapata mwaka ule vipimo mia kwa kimoja, BWANA akambariki.

    Watu wengi tunamsoma Yusuph kama mtu aliye ishinda zinaa na kufanyika kutengeneza taifa la wenzake tunasahau kitu kimoja tu Nguvu ya kuchagua ndiyo kitu kilicho mfanya aishinde zambi ya zinaa na kuwa mkubwa alipo chagua kutafsiri ndoto ndipo alipo chagua kuonekana na kukumbukwa .

    Lugha nyepesi kama angekataa kuchagua vyema angezini na potifa basi ukubwa wake ungeshindwa kutimia .

    Nje ya ndoto alizoota akiwakwao lakini nguvu ya kuchagua ndiyo ilimpa baraka za kifalme.

    Danieli aliitwa apendwaye sana tu sababu ya kutokuwa tayari kuchagua kula vyakula vya kifalme na kuabudu sanamu .

    Na hiyo kutokuwa tayari ni nguvu ya uchaguzi wakati wengine wanachagua kufuata miungu ya mfalme yeye alichagua kufuata vyema.

    Ruthu sababu ya kuchagua kumfuata naomi na Mungu wake alijikuta amebarikiwa na kupitia yeye baraka za Yudah zikatimia kupitia yeye daudi anazaliwa na masihi anazaliwa na hii ndiyo inaitwa nguvu ya kuchagua.

    Loti alitazama macho ya mwili alichagua kwenda sehemu nzuri kumbe ni sodoma na Gomora baadaye .

    Katika kila kuchagua kuna nguvu ya kufanikiwa ndiyo maana msingi wetu unaitwa baraka na laana umepewa mkononi mwako jinsi unavyo chagua ndivyo unavyo elekea mafanikio .

    Maisha ni machaguo kichagua vibaya ni kuamua kutoishi .


    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    ##restore men position.
    Nguvu ya kuchagua sehemu ya pili. Nguvu ya kuchagua ndiyo nguvu inayo sitawisha mtu . Isacka alibarikiwa sana baada ya kuchagua kutii maagizo aliyo ambiwa na Mungu . Wakati njaa inatokea wengine wote walichagua kwenda misri yeye akapewa jumbe tofauti na alipo sikia akachukua nguvu ya kuanza na akasitawishwa sana. Mwanzo 26:1-2 Nguvu ya kuchagua lazima iambatane na Nguvu ya kuanza baada ya kuchagua. Mwanzo 6:12 Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, akapata mwaka ule vipimo mia kwa kimoja, BWANA akambariki. Watu wengi tunamsoma Yusuph kama mtu aliye ishinda zinaa na kufanyika kutengeneza taifa la wenzake tunasahau kitu kimoja tu Nguvu ya kuchagua ndiyo kitu kilicho mfanya aishinde zambi ya zinaa na kuwa mkubwa alipo chagua kutafsiri ndoto ndipo alipo chagua kuonekana na kukumbukwa . Lugha nyepesi kama angekataa kuchagua vyema angezini na potifa basi ukubwa wake ungeshindwa kutimia . Nje ya ndoto alizoota akiwakwao lakini nguvu ya kuchagua ndiyo ilimpa baraka za kifalme. Danieli aliitwa apendwaye sana tu sababu ya kutokuwa tayari kuchagua kula vyakula vya kifalme na kuabudu sanamu . Na hiyo kutokuwa tayari ni nguvu ya uchaguzi wakati wengine wanachagua kufuata miungu ya mfalme yeye alichagua kufuata vyema. Ruthu sababu ya kuchagua kumfuata naomi na Mungu wake alijikuta amebarikiwa na kupitia yeye baraka za Yudah zikatimia kupitia yeye daudi anazaliwa na masihi anazaliwa na hii ndiyo inaitwa nguvu ya kuchagua. Loti alitazama macho ya mwili alichagua kwenda sehemu nzuri kumbe ni sodoma na Gomora baadaye . Katika kila kuchagua kuna nguvu ya kufanikiwa ndiyo maana msingi wetu unaitwa baraka na laana umepewa mkononi mwako jinsi unavyo chagua ndivyo unavyo elekea mafanikio . Maisha ni machaguo kichagua vibaya ni kuamua kutoishi . Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden ##restore men position.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·360 Views
  • 21/21.*NGUVU YA KUCHAGUA*

    Maisha ni kuchagua.
    Kila matokeo au jambo linalo onekana katika miasha limejengwa na msingi wa kuchagua.

    Ukikosea kuchagua ,umekosea kuishi . Watu wengi sana wanazani maisha ni bahati na hivyo uishia kuona kuwa wao hawana bahati kumbe bahati njema ni matokeo ya chaguo jema na bahati mbaya ni matokeo ya chaguo baya.

    Kumbukumbu la Torati 11:26
    [26]Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana;

    Ndicho Mungu alicho kifanya katika maisha ameweka mbele yetu baraka na laana , kustawi au kutokustawi kutaamuliwa na nguvu ya chaguo .

    Kumbe nguvu ya kuchagua ndiyo itakayo kuamulia kiwango cha baraka zako au laana yako.

    Hii ni moja ya kanuni ya kuzitaka baraka baada ya kuchagua kutenda haya.

    Kumbukumbu la Torati 11:27
    [27]baraka ni hapo mtakapoyasikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, niwaagizayo leo;


    Ukichagua kutii maagizo, kuwa na bidii ya bwana ndipo utakuwa umechagua baraka.

    Kumbukumbu la Torati 28:1-2
    [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

    [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.

    3.lazima uchague kumjua sana Mungu.

    Ayubu 22:21
    [21]Mjue sana Mungu, ili uwe na amani;
    Ndivyo mema yatakavyokujia.

    Chagua kumjua Mungu ili mema yakufuate lakini pia usipo chagua hivyo pia lazima utapata matokeo.

    Kumbukumbu la Torati 11:28
    [28]na laana ni hapo msiposikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, mkikengeuka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua.

    Laaana ni matokeo ya kujiongoza vibaya na ndipo matokeo lazima uyapate tu .

    Kumbukumbu la Torati 28:15-17
    [15]Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata.

    [16]Utalaaniwa mjini, utalaaniwa na mashambani.
    .
    [17]Litalaaniwa kapu lako na chombo chako cha kukandia.

    Utakuja kuona kuna watu tunaishi copy za maisha yetu sababu tu ya kutokuchagua vyema au kuichagua dunia..

    Yoshua alitangaza nguvu ya kuchagua lakini yeye alishachagua kuwa yeye na nyumba yake watamtumikia Mungu.

    Namaliza kwa kusema hakuna baraka zinazo weza kukujia ikiwa wewe uko nje ya agano la Mungu ambalo ni WOKOVU.

    Naitwa sylvester mwakabende kutoka (build new eden)
    #build new eden
    #restore men position
    21/21.*NGUVU YA KUCHAGUA* Maisha ni kuchagua. Kila matokeo au jambo linalo onekana katika miasha limejengwa na msingi wa kuchagua. Ukikosea kuchagua ,umekosea kuishi . Watu wengi sana wanazani maisha ni bahati na hivyo uishia kuona kuwa wao hawana bahati kumbe bahati njema ni matokeo ya chaguo jema na bahati mbaya ni matokeo ya chaguo baya. Kumbukumbu la Torati 11:26 [26]Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana; Ndicho Mungu alicho kifanya katika maisha ameweka mbele yetu baraka na laana , kustawi au kutokustawi kutaamuliwa na nguvu ya chaguo . Kumbe nguvu ya kuchagua ndiyo itakayo kuamulia kiwango cha baraka zako au laana yako. Hii ni moja ya kanuni ya kuzitaka baraka baada ya kuchagua kutenda haya. Kumbukumbu la Torati 11:27 [27]baraka ni hapo mtakapoyasikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, niwaagizayo leo; Ukichagua kutii maagizo, kuwa na bidii ya bwana ndipo utakuwa umechagua baraka. Kumbukumbu la Torati 28:1-2 [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako. 3.lazima uchague kumjua sana Mungu. Ayubu 22:21 [21]Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia. Chagua kumjua Mungu ili mema yakufuate lakini pia usipo chagua hivyo pia lazima utapata matokeo. Kumbukumbu la Torati 11:28 [28]na laana ni hapo msiposikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, mkikengeuka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua. Laaana ni matokeo ya kujiongoza vibaya na ndipo matokeo lazima uyapate tu . Kumbukumbu la Torati 28:15-17 [15]Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata. [16]Utalaaniwa mjini, utalaaniwa na mashambani. . [17]Litalaaniwa kapu lako na chombo chako cha kukandia. Utakuja kuona kuna watu tunaishi copy za maisha yetu sababu tu ya kutokuchagua vyema au kuichagua dunia.. Yoshua alitangaza nguvu ya kuchagua lakini yeye alishachagua kuwa yeye na nyumba yake watamtumikia Mungu. Namaliza kwa kusema hakuna baraka zinazo weza kukujia ikiwa wewe uko nje ya agano la Mungu ambalo ni WOKOVU. Naitwa sylvester mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    Angry
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·426 Views
  • Nguvu ya damu ya Yesu.

    Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano.

    Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake.

    Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake.
    Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.*

    Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani.

    Ebrania 9:21
    "Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo"

    Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi.

    Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19

    Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane .

    Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu.

    Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi .

    Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda
    maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11)

    kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha.

    Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo

    Ebrania 10:16-19
    16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana,
    Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,
    Na katika nia zao nitaziandika;
    ndipo anenapo,
    17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
    18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.
    Wito wa kuwa Wavumilivu
    19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,

    Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako.

    Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako.

    #build new eden
    #restore men position
    Nguvu ya damu ya Yesu. Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano. Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake. Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake. Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.* Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani. Ebrania 9:21 "Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo" Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi. Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19 Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane . Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu. Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi . Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11) kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha. Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo Ebrania 10:16-19 16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika nia zao nitaziandika; ndipo anenapo, 17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa. 18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi. Wito wa kuwa Wavumilivu 19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako. Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako. #build new eden #restore men position
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·419 Views
  • Umrah Package: My Journey from Houston to the Holy Cities Booking an umrah package was the best decision I made this year. Living in Houston, I was surrounded by endless options, but choosing the right one felt overwhelming. I knew I wanted something spiritual, smooth, and sacred without stressing over logistics. This blog is a reflection of that journey, and I hope it guides others from Houston seeking a similar path. vist :https://blogg-booster.com/best-umrah-packages-from-usa-for-dallas-pilgrims/
    Why Houston Is a Great Starting Point for Umrah
    Houston is a vibrant city with a large Muslim community. That makes it easy to find packages that cater to every need.
    From visa assistance to direct flights, everything is well-organized here. Many Houston-based agencies offer packages departing from major airports, which reduces travel hassles. I personally appreciated the direct access to seasoned travel consultants who understood my expectations.
    What Makes a Good Umrah Package?
    Not all packages are created equal. I realized this the hard way.
    A good umrah package should cover more than flights and hotels. It should be a comprehensive experience spiritually enriching and logistically seamless. My focus was on finding a plan that included:
    Visa processing
    Roundtrip airfare
    Hotel accommodation near Haram
    Ground transportation
    Daily guidance or group leaders
    It took some comparing, but I found the best one with transparent services.
    Exploring August Umrah Packages: Ideal for Families
    August Umrah Packages are incredibly popular, especially for families.
    This is often a time when school breaks or work flexibility allow families to travel together. I noticed many agencies offer tailored plans during this month. Some even include group pricing and children-friendly facilities. The summer break also means fewer crowds in some weeks, making it peaceful for personal worship.
    One of the best things I enjoyed was seeing families doing tawaf together, united in faith.
    Budgeting Your Umrah Trip from Houston
    Let’s talk money because it's important.
    My umrah package included everything from flights to accommodations, and the total cost was surprisingly affordable. I didn’t opt for luxury, but I didn’t compromise on cleanliness or proximity to the Haram either.
    Booking early helped me get better rates. A few friends who waited until the last minute paid significantly more. I’d recommend comparing three to four packages before making a decision.
    Choosing Between Group and Solo Umrah Packages
    Both options have their perks.
    Group packages from Houston often include guided tours, fixed itineraries, and companionship. For first-timers, this brings a sense of security. On the other hand, I preferred solo travel. Having the flexibility to schedule my day around my energy and spiritual focus felt empowering. It wasn’t lonely; it was liberating.
    If you're a confident traveler, solo might be your calling.
    My Experience Booking with Hajj Umrah 4U US
    I booked my umrah package through Hajj Umrah 4U US, and the entire process was smooth.
    From the initial inquiry to the post-arrival support, their professionalism stood out. They handled the documentation efficiently, guided me on packing essentials, and even checked in after I returned. That extra layer of care made a big difference.
    No unnecessary delays, no hidden costs just genuine service.
    Best Travel Tips for Umrah from Houston
    Always carry a small power bank and extra Ihram
    Learn basic Arabic phrases to navigate easily
    Choose a hotel within walking distance to the Haram
    Carry your own prayer mat
    Hydrate often, especially during August Umrah Packages
    These small steps made my trip easier and more focused.
    What I Gained Beyond the Rituals
    Performing Umrah wasn’t just about the rituals.
    It was about the transformation I felt inside. Walking through Masjid al-Haram at dawn, seeing the Kaaba for the first time it moved me beyond words. The silence between prayers, the kindness of strangers, the spiritual clarity these moments left a lasting mark.
    The convenience of the umrah package allowed me to focus on these experiences rather than logistics.
    Houston Umrah Options Are Expanding
    Every year, more travel agencies in Houston join the market.
    That means better services, competitive pricing, and more package types. Whether you want a basic plan or something VIP, there’s an option for you. Some even offer female-led groups or youth-oriented plans.
    I’m already planning to go again next year, insha’Allah.
    Final Thoughts: Make It Your Journey
    Your spiritual journey is yours to shape.
    While August Umrah Packages offer great value, it’s not just about deals it's about preparation, intention, and presence. Find a package that supports your spiritual goals, not just your schedule.
    If you're in Houston, you're in the right place to begin.
    Frequently Asked Questions
    1. How early should I book my Umrah package from Houston?
    I recommend booking at least 2–3 months in advance, especially if you're aiming for August Umrah Packages.
    2. Can I customize my Umrah package?
    Yes, many agencies allow customization whether it’s flight class, hotel level, or trip duration.
    3. What documents are required for an Umrah visa from the US?
    You’ll need a valid passport, passport-sized photos, a vaccination certificate, and a confirmed return ticket.
    Umrah Package: My Journey from Houston to the Holy Cities Booking an umrah package was the best decision I made this year. Living in Houston, I was surrounded by endless options, but choosing the right one felt overwhelming. I knew I wanted something spiritual, smooth, and sacred without stressing over logistics. This blog is a reflection of that journey, and I hope it guides others from Houston seeking a similar path. vist :https://blogg-booster.com/best-umrah-packages-from-usa-for-dallas-pilgrims/ Why Houston Is a Great Starting Point for Umrah Houston is a vibrant city with a large Muslim community. That makes it easy to find packages that cater to every need. From visa assistance to direct flights, everything is well-organized here. Many Houston-based agencies offer packages departing from major airports, which reduces travel hassles. I personally appreciated the direct access to seasoned travel consultants who understood my expectations. What Makes a Good Umrah Package? Not all packages are created equal. I realized this the hard way. A good umrah package should cover more than flights and hotels. It should be a comprehensive experience spiritually enriching and logistically seamless. My focus was on finding a plan that included: Visa processing Roundtrip airfare Hotel accommodation near Haram Ground transportation Daily guidance or group leaders It took some comparing, but I found the best one with transparent services. Exploring August Umrah Packages: Ideal for Families August Umrah Packages are incredibly popular, especially for families. This is often a time when school breaks or work flexibility allow families to travel together. I noticed many agencies offer tailored plans during this month. Some even include group pricing and children-friendly facilities. The summer break also means fewer crowds in some weeks, making it peaceful for personal worship. One of the best things I enjoyed was seeing families doing tawaf together, united in faith. Budgeting Your Umrah Trip from Houston Let’s talk money because it's important. My umrah package included everything from flights to accommodations, and the total cost was surprisingly affordable. I didn’t opt for luxury, but I didn’t compromise on cleanliness or proximity to the Haram either. Booking early helped me get better rates. A few friends who waited until the last minute paid significantly more. I’d recommend comparing three to four packages before making a decision. Choosing Between Group and Solo Umrah Packages Both options have their perks. Group packages from Houston often include guided tours, fixed itineraries, and companionship. For first-timers, this brings a sense of security. On the other hand, I preferred solo travel. Having the flexibility to schedule my day around my energy and spiritual focus felt empowering. It wasn’t lonely; it was liberating. If you're a confident traveler, solo might be your calling. My Experience Booking with Hajj Umrah 4U US I booked my umrah package through Hajj Umrah 4U US, and the entire process was smooth. From the initial inquiry to the post-arrival support, their professionalism stood out. They handled the documentation efficiently, guided me on packing essentials, and even checked in after I returned. That extra layer of care made a big difference. No unnecessary delays, no hidden costs just genuine service. Best Travel Tips for Umrah from Houston Always carry a small power bank and extra Ihram Learn basic Arabic phrases to navigate easily Choose a hotel within walking distance to the Haram Carry your own prayer mat Hydrate often, especially during August Umrah Packages These small steps made my trip easier and more focused. What I Gained Beyond the Rituals Performing Umrah wasn’t just about the rituals. It was about the transformation I felt inside. Walking through Masjid al-Haram at dawn, seeing the Kaaba for the first time it moved me beyond words. The silence between prayers, the kindness of strangers, the spiritual clarity these moments left a lasting mark. The convenience of the umrah package allowed me to focus on these experiences rather than logistics. Houston Umrah Options Are Expanding Every year, more travel agencies in Houston join the market. That means better services, competitive pricing, and more package types. Whether you want a basic plan or something VIP, there’s an option for you. Some even offer female-led groups or youth-oriented plans. I’m already planning to go again next year, insha’Allah. Final Thoughts: Make It Your Journey Your spiritual journey is yours to shape. While August Umrah Packages offer great value, it’s not just about deals it's about preparation, intention, and presence. Find a package that supports your spiritual goals, not just your schedule. If you're in Houston, you're in the right place to begin. Frequently Asked Questions 1. How early should I book my Umrah package from Houston? I recommend booking at least 2–3 months in advance, especially if you're aiming for August Umrah Packages. 2. Can I customize my Umrah package? Yes, many agencies allow customization whether it’s flight class, hotel level, or trip duration. 3. What documents are required for an Umrah visa from the US? You’ll need a valid passport, passport-sized photos, a vaccination certificate, and a confirmed return ticket.
    0 Comments ·0 Shares ·906 Views
  • MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO.

    MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU.

    1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA)

    Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu.

    *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.*

    Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk .

    *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"*

    Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu*

    Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu.

    Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.*

    Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu .

    Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake ,

    *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi*

    Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu .

    *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.*

    -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini.

    Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .*

    -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya .

    *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .*

    Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho .

    #build new eden
    #restore men position
    MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO. MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU. 1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA) Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu. *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.* Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk . *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"* Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu* Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu. Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.* Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu . Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake , *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi* Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu . *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.* -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini. Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .* -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya . *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .* Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho . #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·879 Views
  • 4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu.

    *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.*

    *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.*

    Zaburi 127:1-2
    *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."*

    Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja.

    1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako

    Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama*

    Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote*

    Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu.

    2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya

    Zaburi 91:4
    *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake*
    Zaburi 121:1-4

    Zaburi 34:7
    *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.*

    Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako .

    *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .*
    Ayubu 22:21

    *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia*

    Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu.

    Kutoka 14;14 SUV
    *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.*

    Zaburi 23:4
    *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda*

    *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu*

    *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.*

    *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.*

    #build new eden
    #restore men position
    4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu. *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.* *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.* Zaburi 127:1-2 *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."* Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja. 1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama* Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote* Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu. 2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya Zaburi 91:4 *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake* Zaburi 121:1-4 Zaburi 34:7 *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.* Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako . *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .* Ayubu 22:21 *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia* Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu. Kutoka 14;14 SUV *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.* Zaburi 23:4 *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda* *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu* *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.* *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.* #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·777 Views
  • Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake

    1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia.
    Muhubiri 10:18
    Mithali 19:15

    2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako .

    3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako.

    2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia.


    Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14

    Naombaje .

    1.Omba toba kwa kumaanisha

    2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili
    .
    3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti)

    4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike.

    Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu.
    #build new eden
    #restore men position
    Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake 1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia. Muhubiri 10:18 Mithali 19:15 2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako . 3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako. 2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia. Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14 Naombaje . 1.Omba toba kwa kumaanisha 2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili . 3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti) 4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike. Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu. #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·629 Views

  • Fix My Speaker is an easy-to-use, free online tool that helps remove dust, dirt, and water from smartphone speakers using high-frequency sound waves. When dust or moisture clogs a speaker, it can cause muffled or distorted sound. Traditional cleaning methods like using needles, compressed air, or wiping with liquids can risk damaging the delicate speaker components. Instead, Fix My Speaker safely vibrates the speaker membrane to push out trapped particles without any physical contact. https://fixmyspeaker.org/
    To use it, you simply visit the Fix My Speaker website, turn your phone's volume to maximum, press the eject button, and let the sound tone play for 30–60 seconds while the phone faces downward on a cloth. This method is effective for restoring speaker quality after exposure to dust, lint, rain, or splashes. While it can't fix hardware damage, it works great for minor blockages and moisture. Regular use keeps speakers clean, improves sound quality, and can help avoid costly repairs.
    Fix My Speaker is an easy-to-use, free online tool that helps remove dust, dirt, and water from smartphone speakers using high-frequency sound waves. When dust or moisture clogs a speaker, it can cause muffled or distorted sound. Traditional cleaning methods like using needles, compressed air, or wiping with liquids can risk damaging the delicate speaker components. Instead, Fix My Speaker safely vibrates the speaker membrane to push out trapped particles without any physical contact. https://fixmyspeaker.org/ To use it, you simply visit the Fix My Speaker website, turn your phone's volume to maximum, press the eject button, and let the sound tone play for 30–60 seconds while the phone faces downward on a cloth. This method is effective for restoring speaker quality after exposure to dust, lint, rain, or splashes. While it can't fix hardware damage, it works great for minor blockages and moisture. Regular use keeps speakers clean, improves sound quality, and can help avoid costly repairs.
    0 Comments ·0 Shares ·702 Views
  • Kutoka Nchini China , Kuanzia Septemba 1, 2025, Nchi hiyo itaanzisha rasmi elimu ya lazima ya kujifunza matumizi ya Akili Bandia “Artificial intelligence" (Al) kwa wanafunzi wote katika Shule za msingi na sekondari, kuanzia Wanafunzi wakiwa na umri wa miaka sita (6). Wanafunzi watapokea angalau saa nane (8) za maelekezo ya (Al) kila mwaka, na maudhui yatapangwa kulingana na makundi ya umri kutoka shule za msingi hadi Sekondari ikihusisha kujifunza kwa "mashine" na roboti.

    Mkakati huu lengo ni kuwafahamisha Wanafunzi kuhusu dhana za (Al) mapema na kuwajengea ujuzi wa kiufundi hatua kwa hatua wanapoendelea kifikra kupitia mfumo wa elimu. Sera hii ni sehemu ya mpango mpana wa China wa kukuza ujuzi wa kidijitali na kupata Wataalamu wa muda mrefu katika Teknolojia zinazoibuka.

    Kwa kupachika elimu ya Al katika mtaala wake wa kitaifa, Nchi ya China inatarajia kuendeleza kizazi cha Teknolojia iliyo na vifaa vya kuongoza katika uchumi wa kimataifa unaokua kwa kasi. Hatua hii inatarajiwa kuleta mageuzi makubwa ya elimu kufikia mwaka 2035.

    Kutoka Nchini China 🇨🇳, Kuanzia Septemba 1, 2025, Nchi hiyo itaanzisha rasmi elimu ya lazima ya kujifunza matumizi ya Akili Bandia “Artificial intelligence" (Al) kwa wanafunzi wote katika Shule za msingi na sekondari, kuanzia Wanafunzi wakiwa na umri wa miaka sita (6). Wanafunzi watapokea angalau saa nane (8) za maelekezo ya (Al) kila mwaka, na maudhui yatapangwa kulingana na makundi ya umri kutoka shule za msingi hadi Sekondari ikihusisha kujifunza kwa "mashine" na roboti. Mkakati huu lengo ni kuwafahamisha Wanafunzi kuhusu dhana za (Al) mapema na kuwajengea ujuzi wa kiufundi hatua kwa hatua wanapoendelea kifikra kupitia mfumo wa elimu. Sera hii ni sehemu ya mpango mpana wa China wa kukuza ujuzi wa kidijitali na kupata Wataalamu wa muda mrefu katika Teknolojia zinazoibuka. Kwa kupachika elimu ya Al katika mtaala wake wa kitaifa, Nchi ya China inatarajia kuendeleza kizazi cha Teknolojia iliyo na vifaa vya kuongoza katika uchumi wa kimataifa unaokua kwa kasi. Hatua hii inatarajiwa kuleta mageuzi makubwa ya elimu kufikia mwaka 2035.
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·678 Views
  • Habari ya jion tena .leo tunaendelea tena na tafsiri ya ndoto kiroho kwa kutumia biblia .

    Ukiota ndoto umekaa na viongozi wakuu wanchi ,unawawakilisha au hata unashare nao majukumu au company ywko ndotoni nini maana yake.?

    Mithali 18:16

    1.Ndoto hii inaashiria karama au kibali kinacho kuja mbele yako au uwezo wako wa ndani rohoni jinsi unavyo tizamwa.

    2.Inawakilisha kuwa kuna msimu mpya unakuja na nafasi mpya njema katika maisha yako.

    3. Inaonyesha pia unaweza ukawa unashare naye destiny huyo kiongozi yaani rohoni mko level moja sasa inategemea huyo uongozi wake msingi wake ni upi?


    Mwanzo 40:9-23 wote waliota ndoto zinazo elekeana lakini hazikufanana

    4.Unaukuu ndani yako wa kiuongozi ni vile tu umejisahau sana .anza kuliishi kusudi lako ili uifikie hatma yako.
    Zaburi 113:7-8

    Maana ya jumla .
    Viongozi katika ndotocwanawakilisha roho yenye mamlaka ya kutawala na yenye nguvu wakutawala na kumiliki juu ya nchi.

    Unapo wakilisha wakuu au kuona nafasi ya ukuu ndani yako wanawakikisha kutiwa mafuta kwa nafsi yako ili upate kuwa mtu fulani katika nchi.

    Ndoto za ukuu mara nyingi zinakuwaga na vita sana zinataka kusimama sana na Mungu kwani ukitaka kuona msome yusuph katika mwanzo 37

    NB .Kuota swala moja na kutimia swala moja ili litimie lazima ujifunze namna ya kuomba Mungu.

    Namna ya kuomba .

    1.kuwa mtu wa imani amini anza kuomba rehema na shukrani.

    2.Omba Mungu aifanikishe isibaki kuwa ndoto tu (ndoto iliyo zuiwa rohoni)

    3.Chuchumilia mbele za Mungu mpaka itimie kwa mifungo mingi na maombi mengi sana.

    4.Kama kuna nafasi chuku hatua ya kuomba Mungu akusogezee watu sahii ambao wanaweza kuwa wakuu.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden.
    Habari ya jion tena .leo tunaendelea tena na tafsiri ya ndoto kiroho kwa kutumia biblia . Ukiota ndoto umekaa na viongozi wakuu wanchi ,unawawakilisha au hata unashare nao majukumu au company ywko ndotoni nini maana yake.? Mithali 18:16 1.Ndoto hii inaashiria karama au kibali kinacho kuja mbele yako au uwezo wako wa ndani rohoni jinsi unavyo tizamwa. 2.Inawakilisha kuwa kuna msimu mpya unakuja na nafasi mpya njema katika maisha yako. 3. Inaonyesha pia unaweza ukawa unashare naye destiny huyo kiongozi yaani rohoni mko level moja sasa inategemea huyo uongozi wake msingi wake ni upi? Mwanzo 40:9-23 wote waliota ndoto zinazo elekeana lakini hazikufanana 4.Unaukuu ndani yako wa kiuongozi ni vile tu umejisahau sana .anza kuliishi kusudi lako ili uifikie hatma yako. Zaburi 113:7-8 Maana ya jumla . Viongozi katika ndotocwanawakilisha roho yenye mamlaka ya kutawala na yenye nguvu wakutawala na kumiliki juu ya nchi. Unapo wakilisha wakuu au kuona nafasi ya ukuu ndani yako wanawakikisha kutiwa mafuta kwa nafsi yako ili upate kuwa mtu fulani katika nchi. Ndoto za ukuu mara nyingi zinakuwaga na vita sana zinataka kusimama sana na Mungu kwani ukitaka kuona msome yusuph katika mwanzo 37 NB .Kuota swala moja na kutimia swala moja ili litimie lazima ujifunze namna ya kuomba Mungu. Namna ya kuomba . 1.kuwa mtu wa imani amini anza kuomba rehema na shukrani. 2.Omba Mungu aifanikishe isibaki kuwa ndoto tu (ndoto iliyo zuiwa rohoni) 3.Chuchumilia mbele za Mungu mpaka itimie kwa mifungo mingi na maombi mengi sana. 4.Kama kuna nafasi chuku hatua ya kuomba Mungu akusogezee watu sahii ambao wanaweza kuwa wakuu. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden.
    Share on WhatsApp
    w.app
    WhatsApp Messenger: More than 2 billion people in over 180 countries use WhatsApp to stay in touch with friends and family, anytime and anywhere. WhatsApp is free and offers simple, secure, reliable messaging and calling, available on phones all over the world.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·785 Views
  • THANK YOU.

    Luke 17:11-19
    We look at the story of the ten lepers who were all healed.

    However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus.

    Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?"

    This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks.

    What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart."

    In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level.

    He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19)

    So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus.

    With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward.

    If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?"

    This is where you understand that giving thanks is a way to praise God.

    "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9)

    To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful."

    After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21)

    To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57)

    After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2)

    Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7)

    You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards.

    My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340.


    #buildneweden

    ##restoremenposition
    THANK YOU. Luke 17:11-19 We look at the story of the ten lepers who were all healed. However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus. Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?" This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks. What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart." In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level. He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19) So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus. With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward. If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?" This is where you understand that giving thanks is a way to praise God. "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9) To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful." After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21) To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57) After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2) Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7) You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards. My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340. #buildneweden ##restoremenposition
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • HAKUNA TOFAUTI KATI YA MAMA YANGU NA MOYO WANGU-VYOTE WAMWEKA HAI.

    Yeye sio tu mwanamke aliyenipa maisha-
    Yeye ni maisha yangu.

    Kama mapigo ya moyo wangu, upendo wake ni wa kudumu.
    Kama pumzi yangu, sala zake hazijulikani - lakini zinanibeba kupitia dhoruba.
    Nguvu zake zimekuwa mdundo ambao uliniweka thabiti wakati ulimwengu ulitetemeka chini yangu.

    Alinishikilia nilipokuwa mchanga sana kuelewa ulimwengu ...
    Na bado ananishikilia sasa, ikiwa tu kwa maneno yake, hekima yake, ukimya wake unaosema "Najua."

    Aliacha usingizi kwa ajili ya ndoto zangu, machozi kwa tabasamu langu, faraja kwa faraja yangu.
    Hakuwahi kuuliza chochote kama malipo, lakini alinipa kila kitu.

    Upendo wake? Aina ambayo haina kelele.
    Ni kimya. Imara. Mtakatifu.

    Kwa hivyo ninaposema hakuna tofauti kati ya mama yangu na moyo wangu,
    Namaanisha kila neno.
    Kwa sababu bila yoyote—ningeacha tu kuwa.

    #WeweNdiweMaishaYangu#
    #MamaYanguMoyoWangu#
    #Upendo Usio na Masharti
    #MileleAsante#
    #MamaNiNyumbaYangu#
    #MaishaKwasababuYake#
    HAKUNA TOFAUTI KATI YA MAMA YANGU NA MOYO WANGU-VYOTE WAMWEKA HAI. Yeye sio tu mwanamke aliyenipa maisha- Yeye ni maisha yangu. Kama mapigo ya moyo wangu, upendo wake ni wa kudumu. Kama pumzi yangu, sala zake hazijulikani - lakini zinanibeba kupitia dhoruba. Nguvu zake zimekuwa mdundo ambao uliniweka thabiti wakati ulimwengu ulitetemeka chini yangu. Alinishikilia nilipokuwa mchanga sana kuelewa ulimwengu ... Na bado ananishikilia sasa, ikiwa tu kwa maneno yake, hekima yake, ukimya wake unaosema "Najua." Aliacha usingizi kwa ajili ya ndoto zangu, machozi kwa tabasamu langu, faraja kwa faraja yangu. Hakuwahi kuuliza chochote kama malipo, lakini alinipa kila kitu. Upendo wake? Aina ambayo haina kelele. Ni kimya. Imara. Mtakatifu. Kwa hivyo ninaposema hakuna tofauti kati ya mama yangu na moyo wangu, Namaanisha kila neno. Kwa sababu bila yoyote—ningeacha tu kuwa. #WeweNdiweMaishaYangu# #MamaYanguMoyoWangu# #Upendo Usio na Masharti #MileleAsante# #MamaNiNyumbaYangu# #MaishaKwasababuYake#
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·836 Views
  • HOW TO DEPLOY WHATSAPP BOT LEVANTER MD USING PANEL

    Video link
    https://youtu.be/I4-u25mx_5I?si=Qv7VJw0gGanQeFY-


    REQUIREMENTS

    Bot file
    https://t.me/duduu_mendez_store/386

    OR

    https://mega.nz/file/atQDCRCR#J_MJbYwF-nwL9t-LCqwZlcqEOl6pdu8v8bI69s_YlS4

    Session ID Link:
    https://qr-hazel-alpha.vercel.app/md


    New Panel SITE:
    https://bot-hosting.net/






    Don't forget to subscribe, Like and Also Share

    #Duduumendez
    #Dml_Tech
    HOW TO DEPLOY WHATSAPP BOT LEVANTER MD USING PANEL Video link https://youtu.be/I4-u25mx_5I?si=Qv7VJw0gGanQeFY- REQUIREMENTS Bot file https://t.me/duduu_mendez_store/386 OR https://mega.nz/file/atQDCRCR#J_MJbYwF-nwL9t-LCqwZlcqEOl6pdu8v8bI69s_YlS4 Session ID Link: https://qr-hazel-alpha.vercel.app/md New Panel SITE: https://bot-hosting.net/ Don't forget to subscribe, Like and Also Share❤️ #Duduumendez #Dml_Tech
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·622 Views
  • Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ?

    1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha .

    2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) .

    Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio .

    Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa .

    NOTE :

    1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli)

    2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi )

    3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo nimependa Energy ya Maabad

    4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake )

    FT: Yanga 1-0 Coastal Union .
    (Kelvin Rabson).

    Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ? 1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha . 2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) . ✍️ Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio . ✍️ Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa . NOTE : 1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli) 2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi 🔥) 3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo 👏 nimependa Energy ya Maabad ✅ 4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake ) FT: Yanga 1-0 Coastal Union . (Kelvin Rabson).
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·881 Views
  • Rais wa Marekani , DonaldTrump, ameibua mjadala mkali baada ya kusema kuwa kuna uwezekano wa yeye kuwania muhula wa tatu, licha ya Katiba ya Marekani kupiga marufuku jambo hilo kupitia Marekebisho ya 22. Katika mahojiano na NBCNews, Rais huyo hakutaka kufuta uwezekano wa kuwania tena Urais baada ya kumaliza mihula miwili, akidai kuwa kuna njia za kufanya hilo kutokea. Alisisitiza kuwa "hakuwa anatania," jambo ambalo limeibua hofu miongoni mwa Wachambuzi wa siasa na Wanaharakati wa demokrasia Nchini humo.

    Kwa mujibu wa Katiba ya Marekani, Rais haruhusiwi kutawala kwa zaidi ya mihula miwili ya miaka minne minne. Marekebisho ya 22 yaliwekwa ili kuzuia Mtu mmoja kuwa na mamlaka ya muda mrefu kama ilivyokuwa kwa Franklin D. Roosevelt, ambaye altawala kwa zaidi ya mihula miwili kabla ya marekebisho hayo kuidhinishwa mwaka 1951.

    Kauli ya Trump imeibua maswali kuhusu mbinu anazoweza kutumia kutafuta muhula wa tatu. Wachambuzi wa sheria wanabainisha kuwa ili hilo litokee, ama katiba ibadilishwe rasmi kwa marekebisho mapya, au ipatikane tafsiri mpya ya kisheria inayomruhusu kugombea tena. Hata hivyo, mchakato wa kubadili katiba ni mgumu na unahitaji ridhaa ya Bunge pamoja na Majimbo mengi ya Marekani.

    Baadhi ya Wafuasi wa Donald Trump wameunga mkono kauli yake, wakidai kuwa anastahili muda zaidi wa kuongoza Nchi. Hata hivyo, Wakosoaji wake wanasema kuwa hatua yoyote ya kupindua Marekebisho ya 22 inaweza kuwa tishio kwa demokrasia ya Marekani na kuweka msingi wa uongozi wa kiimla.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, DonaldTrump, ameibua mjadala mkali baada ya kusema kuwa kuna uwezekano wa yeye kuwania muhula wa tatu, licha ya Katiba ya Marekani kupiga marufuku jambo hilo kupitia Marekebisho ya 22. Katika mahojiano na NBCNews, Rais huyo hakutaka kufuta uwezekano wa kuwania tena Urais baada ya kumaliza mihula miwili, akidai kuwa kuna njia za kufanya hilo kutokea. Alisisitiza kuwa "hakuwa anatania," jambo ambalo limeibua hofu miongoni mwa Wachambuzi wa siasa na Wanaharakati wa demokrasia Nchini humo. Kwa mujibu wa Katiba ya Marekani, Rais haruhusiwi kutawala kwa zaidi ya mihula miwili ya miaka minne minne. Marekebisho ya 22 yaliwekwa ili kuzuia Mtu mmoja kuwa na mamlaka ya muda mrefu kama ilivyokuwa kwa Franklin D. Roosevelt, ambaye altawala kwa zaidi ya mihula miwili kabla ya marekebisho hayo kuidhinishwa mwaka 1951. Kauli ya Trump imeibua maswali kuhusu mbinu anazoweza kutumia kutafuta muhula wa tatu. Wachambuzi wa sheria wanabainisha kuwa ili hilo litokee, ama katiba ibadilishwe rasmi kwa marekebisho mapya, au ipatikane tafsiri mpya ya kisheria inayomruhusu kugombea tena. Hata hivyo, mchakato wa kubadili katiba ni mgumu na unahitaji ridhaa ya Bunge pamoja na Majimbo mengi ya Marekani. Baadhi ya Wafuasi wa Donald Trump wameunga mkono kauli yake, wakidai kuwa anastahili muda zaidi wa kuongoza Nchi. Hata hivyo, Wakosoaji wake wanasema kuwa hatua yoyote ya kupindua Marekebisho ya 22 inaweza kuwa tishio kwa demokrasia ya Marekani na kuweka msingi wa uongozi wa kiimla.
    0 Comments ·0 Shares ·878 Views
More Results