• MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO.

    MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU.

    1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA)

    Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu.

    *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.*

    Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk .

    *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"*

    Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu*

    Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu.

    Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.*

    Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu .

    Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake ,

    *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi*

    Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu .

    *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.*

    -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini.

    Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .*

    -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya .

    *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .*

    Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho .

    #build new eden
    #restore men position
    MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO. MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU. 1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA) Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu. *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.* Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk . *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"* Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu* Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu. Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.* Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu . Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake , *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi* Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu . *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.* -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini. Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .* -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya . *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .* Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho . #build new eden #restore men position
    0 Комментарии ·0 Поделились ·256 Просмотры
  • 4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu.

    *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.*

    *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.*

    Zaburi 127:1-2
    *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."*

    Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja.

    1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako

    Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama*

    Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote*

    Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu.

    2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya

    Zaburi 91:4
    *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake*
    Zaburi 121:1-4

    Zaburi 34:7
    *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.*

    Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako .

    *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .*
    Ayubu 22:21

    *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia*

    Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu.

    Kutoka 14;14 SUV
    *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.*

    Zaburi 23:4
    *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda*

    *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu*

    *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.*

    *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.*

    #build new eden
    #restore men position
    4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu. *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.* *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.* Zaburi 127:1-2 *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."* Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja. 1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama* Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote* Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu. 2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya Zaburi 91:4 *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake* Zaburi 121:1-4 Zaburi 34:7 *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.* Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako . *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .* Ayubu 22:21 *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia* Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu. Kutoka 14;14 SUV *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.* Zaburi 23:4 *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda* *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu* *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.* *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.* #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·303 Просмотры
  • Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake

    1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia.
    Muhubiri 10:18
    Mithali 19:15

    2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako .

    3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako.

    2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia.


    Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14

    Naombaje .

    1.Omba toba kwa kumaanisha

    2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili
    .
    3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti)

    4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike.

    Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu.
    #build new eden
    #restore men position
    Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake 1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia. Muhubiri 10:18 Mithali 19:15 2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako . 3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako. 2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia. Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14 Naombaje . 1.Omba toba kwa kumaanisha 2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili . 3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti) 4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike. Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu. #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·443 Просмотры

  • Fix My Speaker is an easy-to-use, free online tool that helps remove dust, dirt, and water from smartphone speakers using high-frequency sound waves. When dust or moisture clogs a speaker, it can cause muffled or distorted sound. Traditional cleaning methods like using needles, compressed air, or wiping with liquids can risk damaging the delicate speaker components. Instead, Fix My Speaker safely vibrates the speaker membrane to push out trapped particles without any physical contact. https://fixmyspeaker.org/
    To use it, you simply visit the Fix My Speaker website, turn your phone's volume to maximum, press the eject button, and let the sound tone play for 30–60 seconds while the phone faces downward on a cloth. This method is effective for restoring speaker quality after exposure to dust, lint, rain, or splashes. While it can't fix hardware damage, it works great for minor blockages and moisture. Regular use keeps speakers clean, improves sound quality, and can help avoid costly repairs.
    Fix My Speaker is an easy-to-use, free online tool that helps remove dust, dirt, and water from smartphone speakers using high-frequency sound waves. When dust or moisture clogs a speaker, it can cause muffled or distorted sound. Traditional cleaning methods like using needles, compressed air, or wiping with liquids can risk damaging the delicate speaker components. Instead, Fix My Speaker safely vibrates the speaker membrane to push out trapped particles without any physical contact. https://fixmyspeaker.org/ To use it, you simply visit the Fix My Speaker website, turn your phone's volume to maximum, press the eject button, and let the sound tone play for 30–60 seconds while the phone faces downward on a cloth. This method is effective for restoring speaker quality after exposure to dust, lint, rain, or splashes. While it can't fix hardware damage, it works great for minor blockages and moisture. Regular use keeps speakers clean, improves sound quality, and can help avoid costly repairs.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·284 Просмотры
  • Kutoka Nchini China , Kuanzia Septemba 1, 2025, Nchi hiyo itaanzisha rasmi elimu ya lazima ya kujifunza matumizi ya Akili Bandia “Artificial intelligence" (Al) kwa wanafunzi wote katika Shule za msingi na sekondari, kuanzia Wanafunzi wakiwa na umri wa miaka sita (6). Wanafunzi watapokea angalau saa nane (8) za maelekezo ya (Al) kila mwaka, na maudhui yatapangwa kulingana na makundi ya umri kutoka shule za msingi hadi Sekondari ikihusisha kujifunza kwa "mashine" na roboti.

    Mkakati huu lengo ni kuwafahamisha Wanafunzi kuhusu dhana za (Al) mapema na kuwajengea ujuzi wa kiufundi hatua kwa hatua wanapoendelea kifikra kupitia mfumo wa elimu. Sera hii ni sehemu ya mpango mpana wa China wa kukuza ujuzi wa kidijitali na kupata Wataalamu wa muda mrefu katika Teknolojia zinazoibuka.

    Kwa kupachika elimu ya Al katika mtaala wake wa kitaifa, Nchi ya China inatarajia kuendeleza kizazi cha Teknolojia iliyo na vifaa vya kuongoza katika uchumi wa kimataifa unaokua kwa kasi. Hatua hii inatarajiwa kuleta mageuzi makubwa ya elimu kufikia mwaka 2035.

    Kutoka Nchini China 🇨🇳, Kuanzia Septemba 1, 2025, Nchi hiyo itaanzisha rasmi elimu ya lazima ya kujifunza matumizi ya Akili Bandia “Artificial intelligence" (Al) kwa wanafunzi wote katika Shule za msingi na sekondari, kuanzia Wanafunzi wakiwa na umri wa miaka sita (6). Wanafunzi watapokea angalau saa nane (8) za maelekezo ya (Al) kila mwaka, na maudhui yatapangwa kulingana na makundi ya umri kutoka shule za msingi hadi Sekondari ikihusisha kujifunza kwa "mashine" na roboti. Mkakati huu lengo ni kuwafahamisha Wanafunzi kuhusu dhana za (Al) mapema na kuwajengea ujuzi wa kiufundi hatua kwa hatua wanapoendelea kifikra kupitia mfumo wa elimu. Sera hii ni sehemu ya mpango mpana wa China wa kukuza ujuzi wa kidijitali na kupata Wataalamu wa muda mrefu katika Teknolojia zinazoibuka. Kwa kupachika elimu ya Al katika mtaala wake wa kitaifa, Nchi ya China inatarajia kuendeleza kizazi cha Teknolojia iliyo na vifaa vya kuongoza katika uchumi wa kimataifa unaokua kwa kasi. Hatua hii inatarajiwa kuleta mageuzi makubwa ya elimu kufikia mwaka 2035.
    Like
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·342 Просмотры
  • Habari ya jion tena .leo tunaendelea tena na tafsiri ya ndoto kiroho kwa kutumia biblia .

    Ukiota ndoto umekaa na viongozi wakuu wanchi ,unawawakilisha au hata unashare nao majukumu au company ywko ndotoni nini maana yake.?

    Mithali 18:16

    1.Ndoto hii inaashiria karama au kibali kinacho kuja mbele yako au uwezo wako wa ndani rohoni jinsi unavyo tizamwa.

    2.Inawakilisha kuwa kuna msimu mpya unakuja na nafasi mpya njema katika maisha yako.

    3. Inaonyesha pia unaweza ukawa unashare naye destiny huyo kiongozi yaani rohoni mko level moja sasa inategemea huyo uongozi wake msingi wake ni upi?


    Mwanzo 40:9-23 wote waliota ndoto zinazo elekeana lakini hazikufanana

    4.Unaukuu ndani yako wa kiuongozi ni vile tu umejisahau sana .anza kuliishi kusudi lako ili uifikie hatma yako.
    Zaburi 113:7-8

    Maana ya jumla .
    Viongozi katika ndotocwanawakilisha roho yenye mamlaka ya kutawala na yenye nguvu wakutawala na kumiliki juu ya nchi.

    Unapo wakilisha wakuu au kuona nafasi ya ukuu ndani yako wanawakikisha kutiwa mafuta kwa nafsi yako ili upate kuwa mtu fulani katika nchi.

    Ndoto za ukuu mara nyingi zinakuwaga na vita sana zinataka kusimama sana na Mungu kwani ukitaka kuona msome yusuph katika mwanzo 37

    NB .Kuota swala moja na kutimia swala moja ili litimie lazima ujifunze namna ya kuomba Mungu.

    Namna ya kuomba .

    1.kuwa mtu wa imani amini anza kuomba rehema na shukrani.

    2.Omba Mungu aifanikishe isibaki kuwa ndoto tu (ndoto iliyo zuiwa rohoni)

    3.Chuchumilia mbele za Mungu mpaka itimie kwa mifungo mingi na maombi mengi sana.

    4.Kama kuna nafasi chuku hatua ya kuomba Mungu akusogezee watu sahii ambao wanaweza kuwa wakuu.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden.
    Habari ya jion tena .leo tunaendelea tena na tafsiri ya ndoto kiroho kwa kutumia biblia . Ukiota ndoto umekaa na viongozi wakuu wanchi ,unawawakilisha au hata unashare nao majukumu au company ywko ndotoni nini maana yake.? Mithali 18:16 1.Ndoto hii inaashiria karama au kibali kinacho kuja mbele yako au uwezo wako wa ndani rohoni jinsi unavyo tizamwa. 2.Inawakilisha kuwa kuna msimu mpya unakuja na nafasi mpya njema katika maisha yako. 3. Inaonyesha pia unaweza ukawa unashare naye destiny huyo kiongozi yaani rohoni mko level moja sasa inategemea huyo uongozi wake msingi wake ni upi? Mwanzo 40:9-23 wote waliota ndoto zinazo elekeana lakini hazikufanana 4.Unaukuu ndani yako wa kiuongozi ni vile tu umejisahau sana .anza kuliishi kusudi lako ili uifikie hatma yako. Zaburi 113:7-8 Maana ya jumla . Viongozi katika ndotocwanawakilisha roho yenye mamlaka ya kutawala na yenye nguvu wakutawala na kumiliki juu ya nchi. Unapo wakilisha wakuu au kuona nafasi ya ukuu ndani yako wanawakikisha kutiwa mafuta kwa nafsi yako ili upate kuwa mtu fulani katika nchi. Ndoto za ukuu mara nyingi zinakuwaga na vita sana zinataka kusimama sana na Mungu kwani ukitaka kuona msome yusuph katika mwanzo 37 NB .Kuota swala moja na kutimia swala moja ili litimie lazima ujifunze namna ya kuomba Mungu. Namna ya kuomba . 1.kuwa mtu wa imani amini anza kuomba rehema na shukrani. 2.Omba Mungu aifanikishe isibaki kuwa ndoto tu (ndoto iliyo zuiwa rohoni) 3.Chuchumilia mbele za Mungu mpaka itimie kwa mifungo mingi na maombi mengi sana. 4.Kama kuna nafasi chuku hatua ya kuomba Mungu akusogezee watu sahii ambao wanaweza kuwa wakuu. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden.
    Share on WhatsApp
    w.app
    WhatsApp Messenger: More than 2 billion people in over 180 countries use WhatsApp to stay in touch with friends and family, anytime and anywhere. WhatsApp is free and offers simple, secure, reliable messaging and calling, available on phones all over the world.
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·494 Просмотры
  • THANK YOU.

    Luke 17:11-19
    We look at the story of the ten lepers who were all healed.

    However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus.

    Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?"

    This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks.

    What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart."

    In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level.

    He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19)

    So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus.

    With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward.

    If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?"

    This is where you understand that giving thanks is a way to praise God.

    "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9)

    To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful."

    After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21)

    To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57)

    After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2)

    Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7)

    You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards.

    My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340.


    #buildneweden

    ##restoremenposition
    THANK YOU. Luke 17:11-19 We look at the story of the ten lepers who were all healed. However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus. Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?" This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks. What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart." In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level. He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19) So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus. With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward. If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?" This is where you understand that giving thanks is a way to praise God. "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9) To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful." After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21) To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57) After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2) Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7) You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards. My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340. #buildneweden ##restoremenposition
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·643 Просмотры
  • HAKUNA TOFAUTI KATI YA MAMA YANGU NA MOYO WANGU-VYOTE WAMWEKA HAI.

    Yeye sio tu mwanamke aliyenipa maisha-
    Yeye ni maisha yangu.

    Kama mapigo ya moyo wangu, upendo wake ni wa kudumu.
    Kama pumzi yangu, sala zake hazijulikani - lakini zinanibeba kupitia dhoruba.
    Nguvu zake zimekuwa mdundo ambao uliniweka thabiti wakati ulimwengu ulitetemeka chini yangu.

    Alinishikilia nilipokuwa mchanga sana kuelewa ulimwengu ...
    Na bado ananishikilia sasa, ikiwa tu kwa maneno yake, hekima yake, ukimya wake unaosema "Najua."

    Aliacha usingizi kwa ajili ya ndoto zangu, machozi kwa tabasamu langu, faraja kwa faraja yangu.
    Hakuwahi kuuliza chochote kama malipo, lakini alinipa kila kitu.

    Upendo wake? Aina ambayo haina kelele.
    Ni kimya. Imara. Mtakatifu.

    Kwa hivyo ninaposema hakuna tofauti kati ya mama yangu na moyo wangu,
    Namaanisha kila neno.
    Kwa sababu bila yoyote—ningeacha tu kuwa.

    #WeweNdiweMaishaYangu#
    #MamaYanguMoyoWangu#
    #Upendo Usio na Masharti
    #MileleAsante#
    #MamaNiNyumbaYangu#
    #MaishaKwasababuYake#
    HAKUNA TOFAUTI KATI YA MAMA YANGU NA MOYO WANGU-VYOTE WAMWEKA HAI. Yeye sio tu mwanamke aliyenipa maisha- Yeye ni maisha yangu. Kama mapigo ya moyo wangu, upendo wake ni wa kudumu. Kama pumzi yangu, sala zake hazijulikani - lakini zinanibeba kupitia dhoruba. Nguvu zake zimekuwa mdundo ambao uliniweka thabiti wakati ulimwengu ulitetemeka chini yangu. Alinishikilia nilipokuwa mchanga sana kuelewa ulimwengu ... Na bado ananishikilia sasa, ikiwa tu kwa maneno yake, hekima yake, ukimya wake unaosema "Najua." Aliacha usingizi kwa ajili ya ndoto zangu, machozi kwa tabasamu langu, faraja kwa faraja yangu. Hakuwahi kuuliza chochote kama malipo, lakini alinipa kila kitu. Upendo wake? Aina ambayo haina kelele. Ni kimya. Imara. Mtakatifu. Kwa hivyo ninaposema hakuna tofauti kati ya mama yangu na moyo wangu, Namaanisha kila neno. Kwa sababu bila yoyote—ningeacha tu kuwa. #WeweNdiweMaishaYangu# #MamaYanguMoyoWangu# #Upendo Usio na Masharti #MileleAsante# #MamaNiNyumbaYangu# #MaishaKwasababuYake#
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·492 Просмотры
  • HOW TO DEPLOY WHATSAPP BOT LEVANTER MD USING PANEL

    Video link
    https://youtu.be/I4-u25mx_5I?si=Qv7VJw0gGanQeFY-


    REQUIREMENTS

    Bot file
    https://t.me/duduu_mendez_store/386

    OR

    https://mega.nz/file/atQDCRCR#J_MJbYwF-nwL9t-LCqwZlcqEOl6pdu8v8bI69s_YlS4

    Session ID Link:
    https://qr-hazel-alpha.vercel.app/md


    New Panel SITE:
    https://bot-hosting.net/






    Don't forget to subscribe, Like and Also Share

    #Duduumendez
    #Dml_Tech
    HOW TO DEPLOY WHATSAPP BOT LEVANTER MD USING PANEL Video link https://youtu.be/I4-u25mx_5I?si=Qv7VJw0gGanQeFY- REQUIREMENTS Bot file https://t.me/duduu_mendez_store/386 OR https://mega.nz/file/atQDCRCR#J_MJbYwF-nwL9t-LCqwZlcqEOl6pdu8v8bI69s_YlS4 Session ID Link: https://qr-hazel-alpha.vercel.app/md New Panel SITE: https://bot-hosting.net/ Don't forget to subscribe, Like and Also Share❤️ #Duduumendez #Dml_Tech
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·261 Просмотры
  • Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ?

    1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha .

    2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) .

    Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio .

    Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa .

    NOTE :

    1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli)

    2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi )

    3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo nimependa Energy ya Maabad

    4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake )

    FT: Yanga 1-0 Coastal Union .
    (Kelvin Rabson).

    Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ? 1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha . 2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) . ✍️ Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio . ✍️ Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa . NOTE : 1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli) 2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi 🔥) 3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo 👏 nimependa Energy ya Maabad ✅ 4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake ) FT: Yanga 1-0 Coastal Union . (Kelvin Rabson).
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·730 Просмотры
  • Rais wa Marekani , DonaldTrump, ameibua mjadala mkali baada ya kusema kuwa kuna uwezekano wa yeye kuwania muhula wa tatu, licha ya Katiba ya Marekani kupiga marufuku jambo hilo kupitia Marekebisho ya 22. Katika mahojiano na NBCNews, Rais huyo hakutaka kufuta uwezekano wa kuwania tena Urais baada ya kumaliza mihula miwili, akidai kuwa kuna njia za kufanya hilo kutokea. Alisisitiza kuwa "hakuwa anatania," jambo ambalo limeibua hofu miongoni mwa Wachambuzi wa siasa na Wanaharakati wa demokrasia Nchini humo.

    Kwa mujibu wa Katiba ya Marekani, Rais haruhusiwi kutawala kwa zaidi ya mihula miwili ya miaka minne minne. Marekebisho ya 22 yaliwekwa ili kuzuia Mtu mmoja kuwa na mamlaka ya muda mrefu kama ilivyokuwa kwa Franklin D. Roosevelt, ambaye altawala kwa zaidi ya mihula miwili kabla ya marekebisho hayo kuidhinishwa mwaka 1951.

    Kauli ya Trump imeibua maswali kuhusu mbinu anazoweza kutumia kutafuta muhula wa tatu. Wachambuzi wa sheria wanabainisha kuwa ili hilo litokee, ama katiba ibadilishwe rasmi kwa marekebisho mapya, au ipatikane tafsiri mpya ya kisheria inayomruhusu kugombea tena. Hata hivyo, mchakato wa kubadili katiba ni mgumu na unahitaji ridhaa ya Bunge pamoja na Majimbo mengi ya Marekani.

    Baadhi ya Wafuasi wa Donald Trump wameunga mkono kauli yake, wakidai kuwa anastahili muda zaidi wa kuongoza Nchi. Hata hivyo, Wakosoaji wake wanasema kuwa hatua yoyote ya kupindua Marekebisho ya 22 inaweza kuwa tishio kwa demokrasia ya Marekani na kuweka msingi wa uongozi wa kiimla.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, DonaldTrump, ameibua mjadala mkali baada ya kusema kuwa kuna uwezekano wa yeye kuwania muhula wa tatu, licha ya Katiba ya Marekani kupiga marufuku jambo hilo kupitia Marekebisho ya 22. Katika mahojiano na NBCNews, Rais huyo hakutaka kufuta uwezekano wa kuwania tena Urais baada ya kumaliza mihula miwili, akidai kuwa kuna njia za kufanya hilo kutokea. Alisisitiza kuwa "hakuwa anatania," jambo ambalo limeibua hofu miongoni mwa Wachambuzi wa siasa na Wanaharakati wa demokrasia Nchini humo. Kwa mujibu wa Katiba ya Marekani, Rais haruhusiwi kutawala kwa zaidi ya mihula miwili ya miaka minne minne. Marekebisho ya 22 yaliwekwa ili kuzuia Mtu mmoja kuwa na mamlaka ya muda mrefu kama ilivyokuwa kwa Franklin D. Roosevelt, ambaye altawala kwa zaidi ya mihula miwili kabla ya marekebisho hayo kuidhinishwa mwaka 1951. Kauli ya Trump imeibua maswali kuhusu mbinu anazoweza kutumia kutafuta muhula wa tatu. Wachambuzi wa sheria wanabainisha kuwa ili hilo litokee, ama katiba ibadilishwe rasmi kwa marekebisho mapya, au ipatikane tafsiri mpya ya kisheria inayomruhusu kugombea tena. Hata hivyo, mchakato wa kubadili katiba ni mgumu na unahitaji ridhaa ya Bunge pamoja na Majimbo mengi ya Marekani. Baadhi ya Wafuasi wa Donald Trump wameunga mkono kauli yake, wakidai kuwa anastahili muda zaidi wa kuongoza Nchi. Hata hivyo, Wakosoaji wake wanasema kuwa hatua yoyote ya kupindua Marekebisho ya 22 inaweza kuwa tishio kwa demokrasia ya Marekani na kuweka msingi wa uongozi wa kiimla.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·681 Просмотры
  • Elimu Nchini Japani huanza bila mitihani hadi darasa la nne, karibu na umri wa miaka 10. Katika miaka mitatu ya kwanza, mkazo ni kukuza tabia njema na ukuzaji wa Maendeleo.

    Walimu hutanguliza ujuzi wa kijamii kwa kuwafundisha kazi na ukuaji wa kibinafsi, wakiamini haya ni muhimu kabla ya kuanzisha majaribio ya kitaaluma Darasani.

    Kwa kuangazia ujenzi wa tabia mapema, shule zinalenga kulea Watoto waliokamilika ambao wanathamini heshima na kazi ya pamoja, na kutoa msingi thabiti wa kujifunza siku zijazo.

    Elimu Nchini Japani 🇯🇵 huanza bila mitihani hadi darasa la nne, karibu na umri wa miaka 10. Katika miaka mitatu ya kwanza, mkazo ni kukuza tabia njema na ukuzaji wa Maendeleo. Walimu hutanguliza ujuzi wa kijamii kwa kuwafundisha kazi na ukuaji wa kibinafsi, wakiamini haya ni muhimu kabla ya kuanzisha majaribio ya kitaaluma Darasani. Kwa kuangazia ujenzi wa tabia mapema, shule zinalenga kulea Watoto waliokamilika ambao wanathamini heshima na kazi ya pamoja, na kutoa msingi thabiti wa kujifunza siku zijazo.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·298 Просмотры
  • Elimu Nchini Japani huanza bila mitihani hadi darasa la nne, karibu na umri wa miaka 10. Katika miaka mitatu ya kwanza, mkazo ni kukuza tabia njema na ukuzaji wa Maendeleo.

    Walimu hutanguliza ujuzi wa kijamii kwa kuwafundisha kazi na ukuaji wa kibinafsi, wakiamini haya ni muhimu kabla ya kuanzisha majaribio ya kitaaluma Darasani.

    Kwa kuangazia ujenzi wa tabia mapema, shule zinalenga kulea Watoto waliokamilika ambao wanathamini heshima na kazi ya pamoja, na kutoa msingi thabiti wa kujifunza siku zijazo.
    Elimu Nchini Japani 🇯🇵 huanza bila mitihani hadi darasa la nne, karibu na umri wa miaka 10. Katika miaka mitatu ya kwanza, mkazo ni kukuza tabia njema na ukuzaji wa Maendeleo. Walimu hutanguliza ujuzi wa kijamii kwa kuwafundisha kazi na ukuaji wa kibinafsi, wakiamini haya ni muhimu kabla ya kuanzisha majaribio ya kitaaluma Darasani. Kwa kuangazia ujenzi wa tabia mapema, shule zinalenga kulea Watoto waliokamilika ambao wanathamini heshima na kazi ya pamoja, na kutoa msingi thabiti wa kujifunza siku zijazo.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·287 Просмотры
  • EPUKA MAISHA FEKI YA KIJAMII...

    Tunaishi katika zama ambazo watu hawafanyi kazi tena ili kufanikiwa; wanafanya kazi ili waonekane wamefanikiwa. Ambapo watu hawatafuti tena uzuri wa kweli, lakini udanganyifu wa uzuri. Na ambapo mahusiano hayahusu tena upendo, bali kuhusu kuonyesha toleo lililohaririwa kwa uangalifu la upendo. Shida ni kwamba wanaume wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kughushi mafanikio yao. Wanawake wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kudanganya uzuri wao. Na wawili hawa wanapoingia kwenye uhusiano, wote wawili hutumia mitandao ya kijamii kughushi furaha yao. Hii ina maana gani? Inamaanisha kwamba tunaishi katika ulimwengu wa udanganyifu. Ulimwengu ambao wengi hawajaribu kujenga utajiri wa kweli, wanajaribu tu kuonekana matajiri. Ulimwengu ambapo wanawake wengi hawafanyi kazi juu ya tabia zao, wanafanya kazi tu kwenye vichungi. Ulimwengu ambao uhusiano hauhusu upendo na uaminifu, lakini ni nani anayechapisha picha bora za 'malengo ya wanandoa'. Mafanikio si utendaji wa hadhira. Haipimwi kwa magari, saa, au likizo zilizochapishwa mtandaoni. Mafanikio ni safari, sio post. Walakini, wanaume wa kisasa wanadanganya. Wanaazima magari ili kupiga picha, hukodisha vyumba vya bei ghali ili kuwavutia watu wasiowajua, na kuvaa chapa ambazo hawawezi kumudu. Katika mchakato huo, wanajipoteza. Wanazingatia zaidi kuonekana tajiri kuliko kuwa tajiri.

    Ulimwengu hautoi thawabu kwa kuonekana; inatuza vitu. Unaweza kudanganya watu mtandaoni, lakini huwezi kudanganya ukweli. Ukijifanya kuwa umefanikiwa bila msingi wa bidii, nidhamu na hekima, muda utakuweka wazi. Anasa iliyokodishwa haiwezi kudumisha mawazo duni. Wanawake wa kisasa, pia, wameanguka katika mtego huu. Uzuri sio asili tena; sasa ni bandia. Wengi hutegemea vichungi, upasuaji, na uhariri mzito. Badala ya kuimarisha roho zao, wanaboresha picha zao. Badala ya kujenga akili zao, wanajenga udanganyifu. Lakini nini kinatokea wakati ukweli unakutana na udanganyifu? Ni nini hufanyika wakati kichujio kinapozimwa? Mwanamke ambaye ni mrembo tu mtandaoni lakini hana tabia katika maisha halisi atawavutia wanaume wanaopenda udanganyifu tu, si uhalisia. Wanaume halisi hawatafuti vichungi; wanatafuta wema, wema, akili, kwa mwanamke ambaye uzuri wake si usoni tu bali moyoni. Kwangu mimi, mitandao ya kijamii ni chombo, si kioo cha maisha. Haipaswi kufafanua wewe ni nani. Mafanikio ya mwanamume hayatokani na jinsi mtindo wake wa maisha unavyoonekana ghali mtandaoni, lakini katika uhalisia jinsi alivyo na nidhamu, uchapakazi na kuwajibika. Uzuri wa mwanamke sio jinsi uso wake unavyoonekana kwenye Instagram, lakini kwa jinsi roho, akili na tabia yake ilivyo nzuri katika maisha halisi. Furaha ya uhusiano haiko katika idadi ya likes na maoni inayopata, lakini kwa amani, upendo na umoja watu hao wawili hushiriki bila milango.

    Kuwa halisi. Fanyia kazi mafanikio yako ya kweli, sio picha yako ya mtandaoni. Kuza uzuri wako halisi, si tu uso wako uliochujwa. Jenga uhusiano wa kweli, sio hadithi ya hadithi ya Instagram. Kwa sababu mwisho wa siku ukweli utafichua udanganyifu kila wakati.

    Credit
    Rev.Albert Nwosu
    EPUKA MAISHA FEKI YA KIJAMII... Tunaishi katika zama ambazo watu hawafanyi kazi tena ili kufanikiwa; wanafanya kazi ili waonekane wamefanikiwa. Ambapo watu hawatafuti tena uzuri wa kweli, lakini udanganyifu wa uzuri. Na ambapo mahusiano hayahusu tena upendo, bali kuhusu kuonyesha toleo lililohaririwa kwa uangalifu la upendo. Shida ni kwamba wanaume wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kughushi mafanikio yao. Wanawake wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kudanganya uzuri wao. Na wawili hawa wanapoingia kwenye uhusiano, wote wawili hutumia mitandao ya kijamii kughushi furaha yao. Hii ina maana gani? Inamaanisha kwamba tunaishi katika ulimwengu wa udanganyifu. Ulimwengu ambao wengi hawajaribu kujenga utajiri wa kweli, wanajaribu tu kuonekana matajiri. Ulimwengu ambapo wanawake wengi hawafanyi kazi juu ya tabia zao, wanafanya kazi tu kwenye vichungi. Ulimwengu ambao uhusiano hauhusu upendo na uaminifu, lakini ni nani anayechapisha picha bora za 'malengo ya wanandoa'. Mafanikio si utendaji wa hadhira. Haipimwi kwa magari, saa, au likizo zilizochapishwa mtandaoni. Mafanikio ni safari, sio post. Walakini, wanaume wa kisasa wanadanganya. Wanaazima magari ili kupiga picha, hukodisha vyumba vya bei ghali ili kuwavutia watu wasiowajua, na kuvaa chapa ambazo hawawezi kumudu. Katika mchakato huo, wanajipoteza. Wanazingatia zaidi kuonekana tajiri kuliko kuwa tajiri. Ulimwengu hautoi thawabu kwa kuonekana; inatuza vitu. Unaweza kudanganya watu mtandaoni, lakini huwezi kudanganya ukweli. Ukijifanya kuwa umefanikiwa bila msingi wa bidii, nidhamu na hekima, muda utakuweka wazi. Anasa iliyokodishwa haiwezi kudumisha mawazo duni. Wanawake wa kisasa, pia, wameanguka katika mtego huu. Uzuri sio asili tena; sasa ni bandia. Wengi hutegemea vichungi, upasuaji, na uhariri mzito. Badala ya kuimarisha roho zao, wanaboresha picha zao. Badala ya kujenga akili zao, wanajenga udanganyifu. Lakini nini kinatokea wakati ukweli unakutana na udanganyifu? Ni nini hufanyika wakati kichujio kinapozimwa? Mwanamke ambaye ni mrembo tu mtandaoni lakini hana tabia katika maisha halisi atawavutia wanaume wanaopenda udanganyifu tu, si uhalisia. Wanaume halisi hawatafuti vichungi; wanatafuta wema, wema, akili, kwa mwanamke ambaye uzuri wake si usoni tu bali moyoni. Kwangu mimi, mitandao ya kijamii ni chombo, si kioo cha maisha. Haipaswi kufafanua wewe ni nani. Mafanikio ya mwanamume hayatokani na jinsi mtindo wake wa maisha unavyoonekana ghali mtandaoni, lakini katika uhalisia jinsi alivyo na nidhamu, uchapakazi na kuwajibika. Uzuri wa mwanamke sio jinsi uso wake unavyoonekana kwenye Instagram, lakini kwa jinsi roho, akili na tabia yake ilivyo nzuri katika maisha halisi. Furaha ya uhusiano haiko katika idadi ya likes na maoni inayopata, lakini kwa amani, upendo na umoja watu hao wawili hushiriki bila milango. Kuwa halisi. Fanyia kazi mafanikio yako ya kweli, sio picha yako ya mtandaoni. Kuza uzuri wako halisi, si tu uso wako uliochujwa. Jenga uhusiano wa kweli, sio hadithi ya hadithi ya Instagram. Kwa sababu mwisho wa siku ukweli utafichua udanganyifu kila wakati. Credit Rev.Albert Nwosu
    0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
  • Historia ya Wazazi wa Jackie Chan inavutia zaidi hadi Jackie Chan aliamua kuandaa "Documentary" maalum kwa ajili ya kueleza Wazazi wake walivyokutana na walikuwa wanafanya kazi gani.

    Katika kipindi chote Jackie Chan alichoishi na Wazazi wake hakuwahi kufahamu Wazazi wake walikutana vipi pamoja na kazi halisi za awali za Wazazi wake mpaka hapo Baba yake alipokuwa ana umri wa miaka 80 akaamua kumwambia ukweli maana aliamini umri wake umeenda sana hivyo muda wowote anaweza kufariki bila kumueleza ukweli Jackie Chan.

    Baba Mzazi wa Jackie Chan, Charles Chan (1914 - 2008) siku moja akiwa barabarani kwenye gari na Jackie Chan alifunguka kuwa tangu zamani alikuwa Mpelelezi (Shushushu) kwenye Serikali ya China na Mama yake Jackie Chan, Lee-Lee Chan (1916-2002) alikuwa muuza madawa ya kulevya, siku moja katika "operation" ya kukamata Wauza madawa Charles Chan alimkamata Lee-Lee Chan lakini baada ya kumfikisha kwenye vyombo vya dola walijikuta wamependana na wakafunga ndoa.

    Hadithi hii ilimshitua sana Jackie Chan kwani amekua akijua kwamba Baba yake ni Mpishi na amewahi kuwa Mpishi kwenye ubalozi wa Ufaransa - Hong Kong, pamoja na ubalozi wa Marekani Nchini Australia .

    Taarifa nyingine iliyomshitua zaidi ni pale alipoambiwa kuwa kuwa jina la Baba yake sio Chan bali ni Fang Daolong, hivyo kama asingebadili jina, Jackie Chan hivi sasa angefahamika kama Jackie Fang, Baba Jackie Chan alikuwa "Spy" kwenye Serikali ya China iliyokuwa ikiundwa na Chama cha Kuomintang, mwaka 1949 baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe Chama cha Kikomunisti kikiongozwa na Mao Zedong kiliipindua Serikali ya Kuomintang kikachukua Nchi hapo ilibidi Baba Jackie Chan abadili jina kwa sababu ya kuficha utambulisho wake maana kulikuwa na vita kubwa baina ya vyama hivyo na baadhi ya makachero wa Kuomintang walikuwa wakikamatwa na kuuawa.

    Historia ya Wazazi wa Jackie Chan imeelezwa kwa urefu kwenye "Documentary" iliyoandaliwa na Jackie Chan "Traces of the Dragon: Jackie Chan and His Lost Family" (2003)

    "Baba alikua jasusi na Mama alikua Muuza madawa na mcheza kamari. Walikutana na wakaoana baada ya Baba yangu kumkamata Mama"

    "Tangu nilipokua Mdogo nilikua najua Baba yangu anafanya kazi ya upishi kwenye Ubalozi wa Marekani mpaka alipotimiza miaka 80 na akaniambia kazi yake ya kweli. Nilishtuka, nilishtuka"

    " Kwahiyo kuna siku moja nilikua naendesha gari nikiwa na Baba yangu ghafla, Baba akageuka na kusema: 'Jackie, Mimi ni Mzee sana na huenda nisiamke kesho. Kuna kitu lazima nikuambie, ni siri' kisha akasema: kwa kweli wewe sio Jackie Chan, jina lako unaitwa Fong.'

    "Nikahisi kupatwa na mshtuko, kwangu ilikua kitu cha kustaajabisha. Kwa haraka nikamuambia asiendelee kuongea nikampigia rafiki yangu ili tutengeneze documentary ya stori ya Baba yangu. Ilituchukua miaka 3 ya kumfata Baba yangu na kuongea nae kuhusu stori yote."

    " Nilihisi mimi ndiye Mwanae wa pekee lakini nilishtuka baada ya kujua kwamba nina ndugu zangu wanne kwa Wazazi wangu. Kaka zangu wawili, upande wa Baba na Dada zangu wawili upande wa Mama. Alilazimika kunificha yote hayo kwa sababu ya kazi yake, baba alikua jasusi. Nilivutiwa sana baada ya kujua kwamba Baba yangu alikua mpole sana. Miaka yote ile nilidhania ni Mpishi. Nimetengeneza movie kupitia hii stori." - Jackie Chan

    Historia ya Wazazi wa Jackie Chan inavutia zaidi hadi Jackie Chan aliamua kuandaa "Documentary" maalum kwa ajili ya kueleza Wazazi wake walivyokutana na walikuwa wanafanya kazi gani. Katika kipindi chote Jackie Chan alichoishi na Wazazi wake hakuwahi kufahamu Wazazi wake walikutana vipi pamoja na kazi halisi za awali za Wazazi wake mpaka hapo Baba yake alipokuwa ana umri wa miaka 80 akaamua kumwambia ukweli maana aliamini umri wake umeenda sana hivyo muda wowote anaweza kufariki bila kumueleza ukweli Jackie Chan. Baba Mzazi wa Jackie Chan, Charles Chan (1914 - 2008) siku moja akiwa barabarani kwenye gari na Jackie Chan alifunguka kuwa tangu zamani alikuwa Mpelelezi (Shushushu) kwenye Serikali ya China na Mama yake Jackie Chan, Lee-Lee Chan (1916-2002) alikuwa muuza madawa ya kulevya, siku moja katika "operation" ya kukamata Wauza madawa Charles Chan alimkamata Lee-Lee Chan lakini baada ya kumfikisha kwenye vyombo vya dola walijikuta wamependana na wakafunga ndoa. Hadithi hii ilimshitua sana Jackie Chan kwani amekua akijua kwamba Baba yake ni Mpishi na amewahi kuwa Mpishi kwenye ubalozi wa Ufaransa 🇫🇷 - Hong Kong, pamoja na ubalozi wa Marekani 🇺🇸 Nchini Australia 🇦🇺. Taarifa nyingine iliyomshitua zaidi ni pale alipoambiwa kuwa kuwa jina la Baba yake sio Chan bali ni Fang Daolong, hivyo kama asingebadili jina, Jackie Chan hivi sasa angefahamika kama Jackie Fang, Baba Jackie Chan alikuwa "Spy" kwenye Serikali ya China iliyokuwa ikiundwa na Chama cha Kuomintang, mwaka 1949 baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe Chama cha Kikomunisti kikiongozwa na Mao Zedong kiliipindua Serikali ya Kuomintang kikachukua Nchi hapo ilibidi Baba Jackie Chan abadili jina kwa sababu ya kuficha utambulisho wake maana kulikuwa na vita kubwa baina ya vyama hivyo na baadhi ya makachero wa Kuomintang walikuwa wakikamatwa na kuuawa. Historia ya Wazazi wa Jackie Chan imeelezwa kwa urefu kwenye "Documentary" iliyoandaliwa na Jackie Chan "Traces of the Dragon: Jackie Chan and His Lost Family" (2003) "Baba alikua jasusi na Mama alikua Muuza madawa na mcheza kamari. Walikutana na wakaoana baada ya Baba yangu kumkamata Mama" "Tangu nilipokua Mdogo nilikua najua Baba yangu anafanya kazi ya upishi kwenye Ubalozi wa Marekani mpaka alipotimiza miaka 80 na akaniambia kazi yake ya kweli. Nilishtuka, nilishtuka" " Kwahiyo kuna siku moja nilikua naendesha gari nikiwa na Baba yangu ghafla, Baba akageuka na kusema: 'Jackie, Mimi ni Mzee sana na huenda nisiamke kesho. Kuna kitu lazima nikuambie, ni siri' kisha akasema: kwa kweli wewe sio Jackie Chan, jina lako unaitwa Fong.' "Nikahisi kupatwa na mshtuko, kwangu ilikua kitu cha kustaajabisha. Kwa haraka nikamuambia asiendelee kuongea nikampigia rafiki yangu ili tutengeneze documentary ya stori ya Baba yangu. Ilituchukua miaka 3 ya kumfata Baba yangu na kuongea nae kuhusu stori yote." " Nilihisi mimi ndiye Mwanae wa pekee lakini nilishtuka baada ya kujua kwamba nina ndugu zangu wanne kwa Wazazi wangu. Kaka zangu wawili, upande wa Baba na Dada zangu wawili upande wa Mama. Alilazimika kunificha yote hayo kwa sababu ya kazi yake, baba alikua jasusi. Nilivutiwa sana baada ya kujua kwamba Baba yangu alikua mpole sana. Miaka yote ile nilidhania ni Mpishi. Nimetengeneza movie kupitia hii stori." - Jackie Chan
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·863 Просмотры
  • SIFA ZA WANAUME WENYE THAMANI KUBWA [ HIGH VALUE MEN ].

    Kama mwanaume wako ana sifa zifuatazo basi jua una mwanaume mwenye thamani kubwa sana, na mwanaume mwenye thamani kubwa maana yake ni mwanaume bora.

    1. Hazoeleki kiurahisi.
    Moja ya sifa za wanaume wenye thamani kubwa ni wao kutozoeleka kiurahisi, hadi kumzoea mtu wa aina hii ni lazima uwe na sababu maalumu.

    2. Wana roho nzuri ila wana maamuzi magumu sana.
    Siku zote watu wa aina hii huwa na roho nzuri sana, huwa na huruma lakini wapo vizuri kufanya maamuzi mazito pale inapobidi.

    3. Haishi maisha ya kuigiza.
    Siku zote huishi maisha yake halisi, haigizi maisha.

    4. Anajua vitu vingi.
    Watu wa aina hii huwa na uelewa wa vitu vingi sana, ni ngumu kumuuliza kitu fulani akawa hakijui kabisa.

    5. Anasimamia mipango yake bila kuyumbishwa.
    Akishaamua kufanya kitu huwa hayumbishwi tena, haijalishi anaambiwa na nani, kama anahisi ni muhimu kwake kukitekeleza basi atafanya kwa vyovyote vile.

    6. Haoni shida kuanza upya.
    Ni watu wepesi sana kuamua kuanza upya, kama ni mahusiano yakilegalega ni rahisi tu kuachana nayo na kuanza upya, kwenye chochote kile kama hakiende sawa huamua kuanza upya.

    7. Jasiri sana.
    Hawa huwa hawaogopi kitu, ni majasiri kwenye kila kitu, wanajiamini sana.

    8. Hawapendi mikopo.
    Huwa hawapendi mikopo na hawapendi watu wanaopenda mikopo pia.

    9. Hana cha kuongea na x wake.
    Kama hajazaa nae huwezi kumkuna ana muda na x wake, yakiisha yameisha kweli.

    10. Hawezi kuwa chawa.
    Huwezi kumkuta anatafuta ukaribu na mtu mwenye pesa au maarufu.

    11. Huwa hana cha kujadili na mwanamke msaliti.
    Huyu ni mtu ambaye ukimsaliti basi kwa asilimia kubwa hayo mahusiano yanavunjika.

    12. Hababaishwi na muonekano wa mwanamke au ufundi wake kitandani.
    Haijalishi wewe ni mrembo kiasi gani, haijalishi wewe ni fundi kitandani kwa kiasi gani, yeye ni mtu ambaye hababaishwi na vitu hivyo, kwa kifupi huwezi kumuendesha kwa uzuri wako.

    13. Haoni shida kuondoka.
    Iwe ni kazini wakimzingua ataacha hiyo kazi, iwe kwenye mahusiano ukimzingua ataondoka, kwa kifupi anapenda vitu vilivyonyooka, hataki longo longo.

    14. Hapendi mwanamke mwenye drama, mapicha picha mengi.
    Watu hawa huhitaji wanawake wanaojitambua na wasio na mambo mengi, yani hawataki mapicha picha kwenye mahusiano.

    15. Mwanamke ukikosea atakuwajibisha.
    Hawafumbii macho mambo, ukikosea atakuchana live kabisa bila kupepesa macho.

    16. Wanajiamini sana.
    Sababu ya kujiamini ni kwakuwa wanajua vitu vingi, wanajua kipi sahihi na kipi sio sahihi.

    17. Hawaoni shida kuwa wenyewe.
    Uwezo wao wa kuishi wenyewe bila kuhisi upweke ni mkubwa sana.

    18. Hapendi uonevu.
    Huweza kumsaidia hata mtu asiyemjua pale tu anapohisi mtu huyo anaonewa.

    19. Kwenye mahusiano sio watoaji sana ila atahakikisha anakupa mahitaji yako ya msingi.
    Huwa hawapendi kutoa toa hela bila mpangilio, na hii ni kutokana na mipango yao katika maisha, ila siku zote atajitahidi kukupa mahitaji yako muhimu.

    20. Huwa hawapo romantic.
    Hawa ni wanaume ambao wanalalamikiwa sana kwenye mahusiano, hawapo romantic ila ni wanaume bora sana, hasa kwenye kulea familia.

    21. Wana huruma sana.
    Muda pekee utakaojua wana huruma ni pale utakapokuwa na shida, kama ni mwanamke wake ni pale utakapokuwa unaumwa au unapitia jambo lolote gumu, hawa ni wanaume ambao wana uwezo wa kupika, kufua, kuogesha watoto, kulisha na kufanya kila kitu kuhakikisha wanakusaidia.

    22. Sio waongeaji sana.
    Moja ya sifa yao kuu ni ukimya, muda mwingi wanahitaji kuwa kimya wakifanya mambo yao, ukiwa mwanamke muongeaji sana muda mwingi atautumia kutabasamu unavyoongea na kukujibu kwa kifupi, na mara nyingi hunyamaza bila kujibu kama hiko ulichoongea atakiona hakina maana yoyote.

    23. Hana marafiki wengi.
    Tafiti zinaonyesha watu hawa huwa hawana marafiki wengi, wanachagua sana marafiki.

    24. Hupenda kukataza na kuonya mara nyingi.
    Kwa mwanamke ukiwa na mwanaume wa namna hii, jiandae kukutazwa na kupata maonyo kwa wingi, lakini jambo zuri kuhusu hilo huwa wanakukataza au kukuonya kwa jambo ambalo linaweza kukuletea shida. Mara nyingi ukifatilia vitu anavyokukutaza au kukuonya utagundua vitakuletea shida huko mbele.

    25. Anajua vitu vingi kukuhusu kuliko unavyodhani.
    Uwezo wao wa kukutafiti ni mkubwa mno, anajua mambo mengi kukuhusu ila hawezi kukwambia, na siku akikwambia utashangaa alijua lini? Na alijuaje?
    SIFA ZA WANAUME WENYE THAMANI KUBWA [ HIGH VALUE MEN ]. Kama mwanaume wako ana sifa zifuatazo basi jua una mwanaume mwenye thamani kubwa sana, na mwanaume mwenye thamani kubwa maana yake ni mwanaume bora. 1. Hazoeleki kiurahisi. Moja ya sifa za wanaume wenye thamani kubwa ni wao kutozoeleka kiurahisi, hadi kumzoea mtu wa aina hii ni lazima uwe na sababu maalumu. 2. Wana roho nzuri ila wana maamuzi magumu sana. Siku zote watu wa aina hii huwa na roho nzuri sana, huwa na huruma lakini wapo vizuri kufanya maamuzi mazito pale inapobidi. 3. Haishi maisha ya kuigiza. Siku zote huishi maisha yake halisi, haigizi maisha. 4. Anajua vitu vingi. Watu wa aina hii huwa na uelewa wa vitu vingi sana, ni ngumu kumuuliza kitu fulani akawa hakijui kabisa. 5. Anasimamia mipango yake bila kuyumbishwa. Akishaamua kufanya kitu huwa hayumbishwi tena, haijalishi anaambiwa na nani, kama anahisi ni muhimu kwake kukitekeleza basi atafanya kwa vyovyote vile. 6. Haoni shida kuanza upya. Ni watu wepesi sana kuamua kuanza upya, kama ni mahusiano yakilegalega ni rahisi tu kuachana nayo na kuanza upya, kwenye chochote kile kama hakiende sawa huamua kuanza upya. 7. Jasiri sana. Hawa huwa hawaogopi kitu, ni majasiri kwenye kila kitu, wanajiamini sana. 8. Hawapendi mikopo. Huwa hawapendi mikopo na hawapendi watu wanaopenda mikopo pia. 9. Hana cha kuongea na x wake. Kama hajazaa nae huwezi kumkuna ana muda na x wake, yakiisha yameisha kweli. 10. Hawezi kuwa chawa. Huwezi kumkuta anatafuta ukaribu na mtu mwenye pesa au maarufu. 11. Huwa hana cha kujadili na mwanamke msaliti. Huyu ni mtu ambaye ukimsaliti basi kwa asilimia kubwa hayo mahusiano yanavunjika. 12. Hababaishwi na muonekano wa mwanamke au ufundi wake kitandani. Haijalishi wewe ni mrembo kiasi gani, haijalishi wewe ni fundi kitandani kwa kiasi gani, yeye ni mtu ambaye hababaishwi na vitu hivyo, kwa kifupi huwezi kumuendesha kwa uzuri wako. 13. Haoni shida kuondoka. Iwe ni kazini wakimzingua ataacha hiyo kazi, iwe kwenye mahusiano ukimzingua ataondoka, kwa kifupi anapenda vitu vilivyonyooka, hataki longo longo. 14. Hapendi mwanamke mwenye drama, mapicha picha mengi. Watu hawa huhitaji wanawake wanaojitambua na wasio na mambo mengi, yani hawataki mapicha picha kwenye mahusiano. 15. Mwanamke ukikosea atakuwajibisha. Hawafumbii macho mambo, ukikosea atakuchana live kabisa bila kupepesa macho. 16. Wanajiamini sana. Sababu ya kujiamini ni kwakuwa wanajua vitu vingi, wanajua kipi sahihi na kipi sio sahihi. 17. Hawaoni shida kuwa wenyewe. Uwezo wao wa kuishi wenyewe bila kuhisi upweke ni mkubwa sana. 18. Hapendi uonevu. Huweza kumsaidia hata mtu asiyemjua pale tu anapohisi mtu huyo anaonewa. 19. Kwenye mahusiano sio watoaji sana ila atahakikisha anakupa mahitaji yako ya msingi. Huwa hawapendi kutoa toa hela bila mpangilio, na hii ni kutokana na mipango yao katika maisha, ila siku zote atajitahidi kukupa mahitaji yako muhimu. 20. Huwa hawapo romantic. Hawa ni wanaume ambao wanalalamikiwa sana kwenye mahusiano, hawapo romantic ila ni wanaume bora sana, hasa kwenye kulea familia. 21. Wana huruma sana. Muda pekee utakaojua wana huruma ni pale utakapokuwa na shida, kama ni mwanamke wake ni pale utakapokuwa unaumwa au unapitia jambo lolote gumu, hawa ni wanaume ambao wana uwezo wa kupika, kufua, kuogesha watoto, kulisha na kufanya kila kitu kuhakikisha wanakusaidia. 22. Sio waongeaji sana. Moja ya sifa yao kuu ni ukimya, muda mwingi wanahitaji kuwa kimya wakifanya mambo yao, ukiwa mwanamke muongeaji sana muda mwingi atautumia kutabasamu unavyoongea na kukujibu kwa kifupi, na mara nyingi hunyamaza bila kujibu kama hiko ulichoongea atakiona hakina maana yoyote. 23. Hana marafiki wengi. Tafiti zinaonyesha watu hawa huwa hawana marafiki wengi, wanachagua sana marafiki. 24. Hupenda kukataza na kuonya mara nyingi. Kwa mwanamke ukiwa na mwanaume wa namna hii, jiandae kukutazwa na kupata maonyo kwa wingi, lakini jambo zuri kuhusu hilo huwa wanakukataza au kukuonya kwa jambo ambalo linaweza kukuletea shida. Mara nyingi ukifatilia vitu anavyokukutaza au kukuonya utagundua vitakuletea shida huko mbele. 25. Anajua vitu vingi kukuhusu kuliko unavyodhani. Uwezo wao wa kukutafiti ni mkubwa mno, anajua mambo mengi kukuhusu ila hawezi kukwambia, na siku akikwambia utashangaa alijua lini? Na alijuaje?
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·786 Просмотры
  • "Sijui kama mnaona jinsi Trump na Marekani yake wanavyocheza na Dunia kupitia ugomvi au migogoro ya Dunia ili kuipatia faida Marekani kwa kisingizio cha kutafuta amani huku nyuma ya pazia Marekani ikipata faida kupitia migogoro au vita.

    Tazama Makubaliano ya Madini pale Ukraine
    Ambapo Marekani watafaidika na Rasilimali za madini za Ukraine, yani ili Marekani waisadie Ukraine ni lazima Ukraine kuipatia madini yake Marekani

    Congo nayo inakaribia kusaini mkataba wa kuipatia Marekani madini ili Marekani iipatie ulinzi hapo tunazungumzia rasimali za Congo amabzo zinaenda kutumika kama faida kwa Marekani kisa tu ni ugomvi wa Afrika wenyewe kwa wenyewe na hapo hapo Trump katupiga Bao

    Huko Gaza napo mpango wa kuwahamisha wakazi wa Gaza kwa kisingizio cha kuijenga upya Gaza umeiva, Trump haijengi Gaza bure anafahamu fika kuwa chini ya ardhi ya Gaza kuna utajiri mkubwa wa maliasili ya Gesi na mafuta

    Huyo ndiye Trump mfanyabiashara kutoka White House ambaye anaenda sambamba na ule msemo unaosema "no free lunch in America" yaani hakuna chakula cha mchana cha bure Marekani, ukiona unapewa cha bure ujue badae utalipia tu!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    "Sijui kama mnaona jinsi Trump na Marekani yake wanavyocheza na Dunia kupitia ugomvi au migogoro ya Dunia ili kuipatia faida Marekani kwa kisingizio cha kutafuta amani huku nyuma ya pazia Marekani ikipata faida kupitia migogoro au vita. Tazama Makubaliano ya Madini pale Ukraine Ambapo Marekani watafaidika na Rasilimali za madini za Ukraine, yani ili Marekani waisadie Ukraine ni lazima Ukraine kuipatia madini yake Marekani Congo nayo inakaribia kusaini mkataba wa kuipatia Marekani madini ili Marekani iipatie ulinzi hapo tunazungumzia rasimali za Congo amabzo zinaenda kutumika kama faida kwa Marekani kisa tu ni ugomvi wa Afrika wenyewe kwa wenyewe na hapo hapo Trump katupiga Bao Huko Gaza napo mpango wa kuwahamisha wakazi wa Gaza kwa kisingizio cha kuijenga upya Gaza umeiva, Trump haijengi Gaza bure anafahamu fika kuwa chini ya ardhi ya Gaza kuna utajiri mkubwa wa maliasili ya Gesi na mafuta Huyo ndiye Trump mfanyabiashara kutoka White House ambaye anaenda sambamba na ule msemo unaosema "no free lunch in America" yaani hakuna chakula cha mchana cha bure Marekani, ukiona unapewa cha bure ujue badae utalipia tu!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·513 Просмотры
  • Kutoka kwa Mchambuzi wetu Jemedari Said.

    HAKUNA ALAMA 3 ZA MEZANI, YANGA YAAMBIWA INAWEZA KUSHUSHWA DARAJA (47:18)

    Bodi ya Ligi Kuu imeijibu klabu ya Yanga barua yake ambayo ilikuwa pamoja na mambo mengine inataka ipewe alama 3 na mabao 3 kwenye mchezo ulioahirishwa wa tarehe 8 Machi,2025. Katika barua ya tarehe 16 Machi,2025 yenye Kumb.Na TPLB/CEO/2024/625, Bodi inasema mechi ILIAHIRISHWA kwa kufuata kanuni na wala sio kwa sababu Simba SC WALIGOMEA kama ambavyo Yanga walisema.

    Katika barua hiyo ya Bodi yenye kurasa 3 na vipengele 12, Bodi imewaambia Yanga mchezo uliahirishwa rasmi saa 8 mchana baada ya hapo hakukuwa na taratibu zozote kuhusu mchezo huo ambazo ziliendelea, na kwamba maafisa wote wa mchezo ambao walikuwa wakifanya shughuli za mechi Benjamin Mkapa waliondoka isipokuwa wale wa usalama pekee.

    Hakukuwa na taratibu zozote za mchezo zilizoendelea kama zinavyoelezwa kwenye kanuni 17 ambazo zilifanywa ili kuipatia timu iliyopo kiwanjani alama 3 na mabao 3 kikanuni, ikiwemo kukagua timu hiyo, inasomeka sehemu ya barua hiyo ya majibu kwa Yanga SC.

    Klabu yako inapaswa kuelewa kwamba kanuni za ligi Kuu namba 17:45 haisemi popote kwamba klabu mgeni (visiting team) inapaswa kuwasiliana na wadau wengine ili kutimiza takwa la kikanuni la wao kwenda kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaochezwa mechi. Imesomeka barua hii ya Bodi.

    Bodi aidha imesema waliita kikao cha dharura cha Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi baada ya kupokea ripoti tofauti tofauti Zenue mfululizo wa matukio uliojenga msingi wa mgogoro uliotokea tarehe 7 Machi,2025 pale Benjamin Mkapa wakati Simba wakitaka kufanya mazoezi.

    Kutokana na umuhimu na unyeti wa taarifa zilizopokelewa, zingine zilitishia usalama, vitisho, tuhuma za rushwa, ambazo zinachukuliwa kwa umuhimu na upekee kwenye soka, Kamati iliona umuhimu wa kuhairisha mechi, ili kuepuka changamoto za kiusalama kabla hazijatokea, kabla au baada ya mechi, ili kujipa muda na pengine kuhusisha vyombo vya kitaifa vya uchunguzi, imesema barua hii ya Bodi kwenda Yanga.

    Kamati iliona matokeo hasi ya kuahirishwa mechi ni madogo kuliko matokeo hasi ambayo yangetokea kwa mechi hiyo kuchezwa.Aidha kwa kupeleka timu kiwanjani Yanga wamekiuka kanuni 47:18.

    Kutoka kwa Mchambuzi wetu Jemedari Said. HAKUNA ALAMA 3 ZA MEZANI, YANGA YAAMBIWA INAWEZA KUSHUSHWA DARAJA (47:18) Bodi ya Ligi Kuu imeijibu klabu ya Yanga barua yake ambayo ilikuwa pamoja na mambo mengine inataka ipewe alama 3 na mabao 3 kwenye mchezo ulioahirishwa wa tarehe 8 Machi,2025. Katika barua ya tarehe 16 Machi,2025 yenye Kumb.Na TPLB/CEO/2024/625, Bodi inasema mechi ILIAHIRISHWA kwa kufuata kanuni na wala sio kwa sababu Simba SC WALIGOMEA kama ambavyo Yanga walisema. Katika barua hiyo ya Bodi yenye kurasa 3 na vipengele 12, Bodi imewaambia Yanga mchezo uliahirishwa rasmi saa 8 mchana baada ya hapo hakukuwa na taratibu zozote kuhusu mchezo huo ambazo ziliendelea, na kwamba maafisa wote wa mchezo ambao walikuwa wakifanya shughuli za mechi Benjamin Mkapa waliondoka isipokuwa wale wa usalama pekee. Hakukuwa na taratibu zozote za mchezo zilizoendelea kama zinavyoelezwa kwenye kanuni 17 ambazo zilifanywa ili kuipatia timu iliyopo kiwanjani alama 3 na mabao 3 kikanuni, ikiwemo kukagua timu hiyo, inasomeka sehemu ya barua hiyo ya majibu kwa Yanga SC. Klabu yako inapaswa kuelewa kwamba kanuni za ligi Kuu namba 17:45 haisemi popote kwamba klabu mgeni (visiting team) inapaswa kuwasiliana na wadau wengine ili kutimiza takwa la kikanuni la wao kwenda kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaochezwa mechi. Imesomeka barua hii ya Bodi. Bodi aidha imesema waliita kikao cha dharura cha Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi baada ya kupokea ripoti tofauti tofauti Zenue mfululizo wa matukio uliojenga msingi wa mgogoro uliotokea tarehe 7 Machi,2025 pale Benjamin Mkapa wakati Simba wakitaka kufanya mazoezi. Kutokana na umuhimu na unyeti wa taarifa zilizopokelewa, zingine zilitishia usalama, vitisho, tuhuma za rushwa, ambazo zinachukuliwa kwa umuhimu na upekee kwenye soka, Kamati iliona umuhimu wa kuhairisha mechi, ili kuepuka changamoto za kiusalama kabla hazijatokea, kabla au baada ya mechi, ili kujipa muda na pengine kuhusisha vyombo vya kitaifa vya uchunguzi, imesema barua hii ya Bodi kwenda Yanga. Kamati iliona matokeo hasi ya kuahirishwa mechi ni madogo kuliko matokeo hasi ambayo yangetokea kwa mechi hiyo kuchezwa.Aidha kwa kupeleka timu kiwanjani Yanga wamekiuka kanuni 47:18.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·681 Просмотры
  • BODI YA LIGI SIO CHOMBO HURU KWA MUJIBU WA RAIS WA TFF WALLECE KARIA.

    Dhumuni la Baba wa Taifa kupigania uhuru wa Tanganyika ilikuwa kuhitaji Tanganyika kuwa huru ili iweze kujiamulia mambo yake na kujipangia kipi ifanye kwa wakati wowote.

    Uhuru ni Jambo la msingi sana kwa binadamu yoyote kwani humsaidia katika kufanya maamuzi yake binafsi.

    Kwa mujibu wa kauli za Rais wa TFF Baba Yangu Mzee Wallece Karia ni dhahiri shahiri kuwa bodi ya ligi sio chombo huru.

    Wallece Karia akiwa katika mahojiano Wasafi Fm katika kipindi cha “Jana na Leo” Alisema kuwa

    “Kuna siku tulipokea Barua kutoka CAF Wakihitaji waamuzi wetu Wawili kwenda kuchezesha michuano ya kimataifa”

    “Wakati barua ile imekuja ofisini kuhitaji wale waamuzi kulikuwa na changamoto, Kwani mojawapo ya wale waamuzi ambae ni Ahmed Arajiga alikuwa amefungiwa na kamati ya masaa 72”

    “Ilikuwa ngumu sana kwangu, maana CAF wamemtaka mwamuzi alafu huku kwetu kamati imemfungia, lakini nikafanya maamuzi”

    “Nilifanya maamuzi nikawaambia hawa waamuzi waruhusiwe waende, Walienda wote wawili lakini bahati mbaya mmoja ndio alifuzu ambae ni Ahmed Arajiga”

    “Yalikuwa maamuzi magumu ila sikuwa na namna n Ahmed Arajiga alienda kuwakilisha Tanzania vema sana, Hata mechi aliyochezesha alichezesha vizuri sana”

    Kwa maelezo ya Wallece Karia aliingilia maamuzi ya Kamati ya Masaa 72 ambayo ipo chini ya bodi ya ligi. Kumruhusu Mwamuzi aliyefungiwa katika ligi kwenda kuchezesha mechi za kimataifa.
    (khalil ufadiga)

    BODI YA LIGI SIO CHOMBO HURU KWA MUJIBU WA RAIS WA TFF WALLECE KARIA. Dhumuni la Baba wa Taifa kupigania uhuru wa Tanganyika ilikuwa kuhitaji Tanganyika kuwa huru ili iweze kujiamulia mambo yake na kujipangia kipi ifanye kwa wakati wowote. Uhuru ni Jambo la msingi sana kwa binadamu yoyote kwani humsaidia katika kufanya maamuzi yake binafsi. Kwa mujibu wa kauli za Rais wa TFF Baba Yangu Mzee Wallece Karia ni dhahiri shahiri kuwa bodi ya ligi sio chombo huru. Wallece Karia akiwa katika mahojiano Wasafi Fm katika kipindi cha “Jana na Leo” Alisema kuwa “Kuna siku tulipokea Barua kutoka CAF Wakihitaji waamuzi wetu Wawili kwenda kuchezesha michuano ya kimataifa” “Wakati barua ile imekuja ofisini kuhitaji wale waamuzi kulikuwa na changamoto, Kwani mojawapo ya wale waamuzi ambae ni Ahmed Arajiga alikuwa amefungiwa na kamati ya masaa 72” “Ilikuwa ngumu sana kwangu, maana CAF wamemtaka mwamuzi alafu huku kwetu kamati imemfungia, lakini nikafanya maamuzi” “Nilifanya maamuzi nikawaambia hawa waamuzi waruhusiwe waende, Walienda wote wawili lakini bahati mbaya mmoja ndio alifuzu ambae ni Ahmed Arajiga” “Yalikuwa maamuzi magumu ila sikuwa na namna n Ahmed Arajiga alienda kuwakilisha Tanzania vema sana, Hata mechi aliyochezesha alichezesha vizuri sana” Kwa maelezo ya Wallece Karia aliingilia maamuzi ya Kamati ya Masaa 72 ambayo ipo chini ya bodi ya ligi. Kumruhusu Mwamuzi aliyefungiwa katika ligi kwenda kuchezesha mechi za kimataifa. (khalil ufadiga)
    0 Комментарии ·0 Поделились ·754 Просмотры
  • Ni mwendo wa kuchambua kila kitu, hakuna cha kupoteza.

    "UZINDUZI WA AIRTEL SDTADIUM,KAPETI LA SINGIDA BLACK STARS..Kudos @singidablackstarssc 👏🏻👏🏻👏🏻

    Wakubwa wa Kariakoo mtapanga kwa watoto Mpaka Lini? Kila Mwaka kuna Michoro mipya ya Uwanja hasa Uchaguzi ukikaribia

    Ukiwa na Kiwanja chako hata Ukituwekea Mabaunsa 10000 Kidogo unaweza Kueleweka.

    Au Ukiwa na Kiwanja Chako Mwenyewe hakuna mtu atakuuliza eti mbona umekuja Kufanya Mazoezi bila Kutoa taarifa?

    Ukiwa na Kiwanja chako unaweza Kuja hata na Ng’ombe Mazoezini ,mbuzi Kitu gani?

    Note; Cha Muhimu zaidi Dimba hili linapatikana Pale MTIPA" - Wilson Orumo, Mchambuzi

    Ni mwendo wa kuchambua kila kitu, hakuna cha kupoteza. "UZINDUZI WA AIRTEL SDTADIUM,KAPETI LA SINGIDA BLACK STARS..Kudos @singidablackstarssc 👏🏻👏🏻👏🏻 Wakubwa wa Kariakoo mtapanga kwa watoto Mpaka Lini? Kila Mwaka kuna Michoro mipya ya Uwanja hasa Uchaguzi ukikaribia 😅😅😅😅🙌 Ukiwa na Kiwanja chako hata Ukituwekea Mabaunsa 10000 Kidogo unaweza Kueleweka. Au Ukiwa na Kiwanja Chako Mwenyewe hakuna mtu atakuuliza eti mbona umekuja Kufanya Mazoezi bila Kutoa taarifa? Ukiwa na Kiwanja chako unaweza Kuja hata na Ng’ombe Mazoezini ,mbuzi Kitu gani? 😅 Note; Cha Muhimu zaidi Dimba hili linapatikana Pale MTIPA✅" - Wilson Orumo, Mchambuzi ✍️
    0 Комментарии ·0 Поделились ·255 Просмотры
Расширенные страницы