• ABDUL SOPU 9: TAYARI MKATABA KUVUNJWA
    HUU MWAKA HUU MWAKA!! KASAINI MIAKA MITATU ( 3 ).
    #sokachampions
    #bongotrending
    #AzamSports1HD
    #clamvevo
    #milardayoupdates
    #sokaonlineupdates
    ABDUL SOPU 9: TAYARI MKATABA KUVUNJWA馃ぃ HUU MWAKA HUU MWAKA!! KASAINI MIAKA MITATU ( 3 ).馃挌馃挍 #sokachampions #bongotrending #AzamSports1HD #clamvevo #milardayoupdates #sokaonlineupdates
    Like
    Love
    2
    3 Comments 0 Shares 833 Views
  • FIRE KUN FIRE : Ni J.mosi hii yanga kumenyana na Super nkurukumbi KAGERA SUGAR, yanga nimwenyeji katika mchezo huu na hiki ndicho kikosi tunacho tazamia siku iyo vipi wewe unakionaje kikosi hiki
    #sokachampions
    #bongotrending
    FIRE KUN FIRE 馃敟: Ni J.mosi hii yanga kumenyana na Super nkurukumbi KAGERA SUGAR, yanga nimwenyeji katika mchezo huu na hiki ndicho kikosi tunacho tazamia siku iyo vipi wewe unakionaje kikosi hiki馃憞 #sokachampions #bongotrending
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 604 Views
  • #trending#bingomanremic
    #trending#bingomanremic
    0 Comments 0 Shares 288 Views
  • Sema ukweli tu #trending #viral
    Sema ukweli tu 馃槀馃槀 #trending #viral
    Like
    1
    1 Comments 0 Shares 430 Views
  • #trending @socialipop 1xbet Promo Code:7474 Abdallah Mbelwa
    #trending @socialipop [1xbet] [Hassani]
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 399 Views 9
  • . Ni mara tu baada ya klub Yanga kuonesha nia ya kuhitaji huduma ya mlinzi wa kati wa coastal Union, Lameck Elias Lawi(19), klub ya simba imeibua upya sakata lililomkabili mchezaji huyo ambaye hakuweza kujiunga na miamba hao wa msimbazi mwanzonibmwa msimu huu mara baada ya klub yake ya sasa coastal union kutia ngumu.

    Simba wameirudisha upya kesi hiyo na rasimi leo alhamisi 12/dec/2024 kamati ya sheria na hadhi za wachezaji imeanza kusikiliza tena kesi hiyo. #socialpop #sports #trending David Atto
    . Ni mara tu baada ya klub Yanga kuonesha nia ya kuhitaji huduma ya mlinzi wa kati wa coastal Union, Lameck Elias Lawi(19), klub ya simba imeibua upya sakata lililomkabili mchezaji huyo ambaye hakuweza kujiunga na miamba hao wa msimbazi mwanzonibmwa msimu huu mara baada ya klub yake ya sasa coastal union kutia ngumu. Simba wameirudisha upya kesi hiyo na rasimi leo alhamisi 12/dec/2024 kamati ya sheria na hadhi za wachezaji imeanza kusikiliza tena kesi hiyo. #socialpop #sports #trending [Mefa]
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 617 Views
  • Timu ya soka ya Wavulana ya Tanzania na timu ya wasichana ya Uganda zimeibuka washindi wa mashindano hayo ya kufuzu kwa ukanda wa CECAFA yaliyofikia kilele leo nchini Uganda.

    Timu ya wavulana ya Tanzania, ikiongozwa na mchezaji wa zamani wa kimataifa Boniface Pawasa, iliifunga Rwanda 2-0 kwenye mechi ya mwisho kuamua mshindi, na kumaliza mbele ya Uganda kwa tofauti ya mabao, ingawa zote zilipata alama sita.

    Kwa upande wa wasichana, Uganda iliibuka mabingwa kwa tofauti ya mabao bora zaidi kuliko Tanzania, ambao pia walimaliza na alama 7. Uganda iliidhalilisha Rwanda kwa ushindi wa mabao 8-0, ambapo Brendah Nassaka alifunga mabao manne, Halima Mupyanga mabao mawili, huku Cynthia Kirenga na Lilian Nabukeera wakiongeza majina yao kwenye orodha ya wafungaji.

    Tanzania, katika mechi ya pili, iliishinda Burundi 1-0, kwa bao la pekee lililofungwa na Helena Mtundagi. Nahodha wa Uganda, Lilian Nabukeera, aliwashukuru wachezaji wenzake kwa kazi ngumu na kusema, “Tuna furaha kubwa kuwa mabingwa.”

    Washindi Tanzania na Uganda walipokea medali na vikombe wakati wa sherehe ya tuzo, pamoja na mfano wa hundi ya dola za Marekani 100,000.

    Timu ya wavulana ya Uganda na timu ya wasichana ya Tanzania walipata medali na mfano wa hundi ya dola 75,000 kila moja, huku Somalia na Burundi waliomaliza nafasi ya tatu wakipata medali na mfano wa hundi ya dola 50,000 kila mmoja.

    Mashindano haya ni hatua kubwa kwa maendeleo ya soka la shule barani Afrika.

    #sports
    #trending
    #socialpop
    David Atto
    Timu ya soka ya Wavulana ya Tanzania na timu ya wasichana ya Uganda zimeibuka washindi wa mashindano hayo ya kufuzu kwa ukanda wa CECAFA yaliyofikia kilele leo nchini Uganda. Timu ya wavulana ya Tanzania, ikiongozwa na mchezaji wa zamani wa kimataifa Boniface Pawasa, iliifunga Rwanda 2-0 kwenye mechi ya mwisho kuamua mshindi, na kumaliza mbele ya Uganda kwa tofauti ya mabao, ingawa zote zilipata alama sita. Kwa upande wa wasichana, Uganda iliibuka mabingwa kwa tofauti ya mabao bora zaidi kuliko Tanzania, ambao pia walimaliza na alama 7. Uganda iliidhalilisha Rwanda kwa ushindi wa mabao 8-0, ambapo Brendah Nassaka alifunga mabao manne, Halima Mupyanga mabao mawili, huku Cynthia Kirenga na Lilian Nabukeera wakiongeza majina yao kwenye orodha ya wafungaji. Tanzania, katika mechi ya pili, iliishinda Burundi 1-0, kwa bao la pekee lililofungwa na Helena Mtundagi. Nahodha wa Uganda, Lilian Nabukeera, aliwashukuru wachezaji wenzake kwa kazi ngumu na kusema, “Tuna furaha kubwa kuwa mabingwa.” Washindi Tanzania na Uganda walipokea medali na vikombe wakati wa sherehe ya tuzo, pamoja na mfano wa hundi ya dola za Marekani 100,000. Timu ya wavulana ya Uganda na timu ya wasichana ya Tanzania walipata medali na mfano wa hundi ya dola 75,000 kila moja, huku Somalia na Burundi waliomaliza nafasi ya tatu wakipata medali na mfano wa hundi ya dola 50,000 kila mmoja. Mashindano haya ni hatua kubwa kwa maendeleo ya soka la shule barani Afrika. #sports #trending #socialpop [Mefa]
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 705 Views
  • " Dogo janja Alikuwa anatafuta kiki Muda mrefu sana na Kaamua kuharibu Show ili amateur Trending. " Amesema #Diamond

    Diamond Ameongea kwa uchungu sana kuhusiana na Alichofanyiwa ... Video yake Tayari ipo kwenye Comment .!

    #socialpop
    #trending
    David Atto
    " Dogo janja Alikuwa anatafuta kiki Muda mrefu sana na Kaamua kuharibu Show ili amateur Trending. " Amesema #Diamond Diamond Ameongea kwa uchungu sana kuhusiana na Alichofanyiwa ... Video yake Tayari ipo kwenye Comment .! #socialpop #trending [Mefa]
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 589 Views
  • Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK amefunguka kuhusu Diamond Platnumz kushindwa kutumbuiza huko Nchini Kenya usiku wa kuamkia leo. Hii baada ya Msanii wa kenya Willy Paul kudai kuwa Wasanii wa Tanzania wanapendelewa zaidi Nchini humo huku akimtaja Diamond Platnumz kutaka kutumbuiza kabla yake.

    “Nadhani ifike mahali wasanii muwekeze bidii
    kwenye kazi, kufeki story sababu ya fame ya kulazimisha bifu ili kutrend haisaidii, Msanii aitwae Willy aseme ukweli alikuwa anabishana na mtoto wa kike ( Zuchu ) aliblock njia Zuchu asipande kwenye steji akisema alikuwepo tokea mwanzo hivyo anataka pande yeye, ilhali wakati zamu yake allitwa apande kwenye stage aligoma na kusema hawezi kupanda yeye ni Headliner anataka Afunge show Mwisho, baada ya kuona wenzake wanapata shangwe akawa anforce kupanda kwenye Muda wa Zuchu na wala sio Diamond. Regarding why Diamond hajapanda is between us and organizer has nothing to do na msanii yoyote. Bless Up” - Sallam SK

    Toa maoni yako
    Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK amefunguka kuhusu Diamond Platnumz kushindwa kutumbuiza huko Nchini Kenya usiku wa kuamkia leo. Hii baada ya Msanii wa kenya Willy Paul kudai kuwa Wasanii wa Tanzania wanapendelewa zaidi Nchini humo huku akimtaja Diamond Platnumz kutaka kutumbuiza kabla yake. “Nadhani ifike mahali wasanii muwekeze bidii kwenye kazi, kufeki story sababu ya fame ya kulazimisha bifu ili kutrend haisaidii, Msanii aitwae Willy aseme ukweli alikuwa anabishana na mtoto wa kike ( Zuchu ) aliblock njia Zuchu asipande kwenye steji akisema alikuwepo tokea mwanzo hivyo anataka pande yeye, ilhali wakati zamu yake allitwa apande kwenye stage aligoma na kusema hawezi kupanda yeye ni Headliner anataka Afunge show Mwisho, baada ya kuona wenzake wanapata shangwe akawa anforce kupanda kwenye Muda wa Zuchu na wala sio Diamond. Regarding why Diamond hajapanda is between us and organizer has nothing to do na msanii yoyote. Bless Up” - Sallam SK Toa maoni yako
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 613 Views
  • Very Funny #viral #trend #shorts #reels #fyp
    Very Funny #viral #trend #shorts #reels #fyp
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • #ViralVideo #TrendingNow #Foryoupage #FYP #ExplorePage #ViralChallenge #MotivationMonday #DailyDose #DarEsSalaam #Inspiration #FunFacts

    TANZANIA
    #ViralVideo #TrendingNow #Foryoupage #FYP #ExplorePage #ViralChallenge #MotivationMonday #DailyDose #DarEsSalaam #Inspiration #FunFacts TANZANIA 馃嚬馃嚳馃嚬馃嚳馃嚬馃嚳馃嚬馃嚳
    0 Comments 0 Shares 2K Views 18
  • Michael Jackson & christian Ronaldo
    #trending #trendigpicture
    Michael Jackson & christian Ronaldo #trending #trendigpicture
    Love
    1
    4 Comments 0 Shares 573 Views
  • Ana #trend sana Tanzania kwa sasa

    #wewe_ni_familia_yangu
    Ana #trend sana Tanzania kwa sasa 馃槀馃槀馃槀馃槀 #wewe_ni_familia_yangu鉁娾湂
    Like
    Haha
    2
    0 Comments 1 Shares 526 Views
  • Beautiful nature#socialpop#fyp#mypage#trending
    Beautiful nature#socialpop#fyp#mypage#trending
    Like
    Love
    6
    2 Comments 0 Shares 962 Views
  • Beautiful evening if you like show reaction#fyp#trending#viral
    Beautiful evening 馃グ馃槏if you like show reaction#fyp#trending#viral
    Like
    Love
    3
    1 Comments 0 Shares 972 Views
  • Kipindi mjuzi...nachanganya shisha-coffeine...
    Ndo kipindi mrusi...anapigana vita-ukraine...
    Kipindi kigumu...hali taight haiko fine...
    Ni chagundu...ma dealer tuna drug cocaine...
    Tunapigwa chain.. isitumike...hasara...
    nopain... iruhusiwe.. . maana Haina madhara...
    Kipindi msaka-tonge...bila kula Nalala...
    Ndo kipindi boy-konde...anakula Kajala...
    Muun natoroka pindi...la mathe...
    Ndichi tuwashe...Zigi ipakwe.. mate iwake..
    bila makeke...
    Kipindi unalia lia... et baby...usiniache...
    Ndo kipindi mchepuko dia..aje geto nimchape...
    Kipindi cha babu...Hadithi vitabu...miksa kiko pushabu...
    Kipindi cha magu..
    Kumbukumbu ghazabu leo tunaishi kwa tabu...
    Bado hatuna majibu...
    blue anaimba mapozi..
    Ndo kipindi ambacho jaydee analia machozi...
    Trend hakuna kulala...
    Ndo kipindi Zila anotoka na rakunchupa salasala...
    Kipindi mjuzi...nachanganya shisha-coffeine... Ndo kipindi mrusi...anapigana vita-ukraine... Kipindi kigumu...hali taight haiko fine... Ni chagundu...ma dealer tuna drug cocaine... Tunapigwa chain.. isitumike...hasara... nopain... iruhusiwe.. . maana Haina madhara... Kipindi msaka-tonge...bila kula Nalala... Ndo kipindi boy-konde...anakula Kajala... Muun natoroka pindi...la mathe... Ndichi tuwashe...Zigi ipakwe.. mate iwake.. bila makeke... Kipindi unalia lia... et baby...usiniache... Ndo kipindi mchepuko dia..aje geto nimchape... Kipindi cha babu...Hadithi vitabu...miksa kiko pushabu... Kipindi cha magu.. Kumbukumbu ghazabu leo tunaishi kwa tabu... Bado hatuna majibu... blue anaimba mapozi.. Ndo kipindi ambacho jaydee analia machozi... Trend hakuna kulala... Ndo kipindi Zila anotoka na rakunchupa salasala...
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 613 Views
  • EVERY STEP LEAVES FOOTPRINT , NO MATTER HOW SMALL.

    Kung Fu Panda 4 (2024 movie )
    Don't miss to see po as the Dragon worrier and who will be his succesor 馃し馃徑
    For movie edditings and clip like this, follow up this page and link bio
    #movies #trendings #animations #clips #socialpop #kungfupanda #kungfupanda4 #entertainments
    EVERY STEP LEAVES FOOTPRINT 馃懀, NO MATTER HOW SMALL. Kung Fu Panda 4 (2024 movie ) 馃嵖馃敟馃イ Don't miss to see po as the Dragon worrier and who will be his succesor 馃し馃徑馃榾馃敟馃敟 For movie edditings and clip like this, follow up this page and link bio 馃檪馃檪 #movies #trendings #animations #clips #socialpop #kungfupanda #kungfupanda4 #entertainments 馃嵖鈽狅笍
    Like
    Love
    4
    1 Comments 0 Shares 2K Views
  • #trending
    #socialpop
    #videos
    #trending #socialpop #videos
    Haha
    Love
    3
    2 Comments 0 Shares 1K Views 124
  • #socialpop
    #videos
    #trending
    John Julius
    #socialpop #videos #trending [Yner_m]
    Love
    Like
    5
    2 Comments 0 Shares 1K Views 54
  • #trending
    #socialpop
    #videos
    #trending #socialpop #videos
    Like
    Love
    7
    1 Comments 0 Shares 1K Views 398
More Results