0 Commenti
·0 condivisioni
·1 Views
-
Java Burn Review: Is It the Best Coffee Supplement for Fat Burning?
https://yourhealthrights.com/java-burn-review/
#CoffeeSupplement #FatBurning #WeightLoss #MetabolismBoost #BurnFat #CoffeeLovers #FitnessJourney #Slimming
Java Burn Review: Is It the Best Coffee Supplement for Fat Burning? https://yourhealthrights.com/java-burn-review/ #CoffeeSupplement #FatBurning #WeightLoss #MetabolismBoost #BurnFat #CoffeeLovers #FitnessJourney #Slimming0 Commenti ·0 condivisioni ·109 Views -
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Clayton Chipando almaarufu Baba Levo akisalimiana na viongozi wa dini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Katosho kunapofanyika kampeni za kuomba kura za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wabunge na madiwani wa mkoa huo kupitia CCM.Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Clayton Chipando almaarufu Baba Levo akisalimiana na viongozi wa dini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Katosho kunapofanyika kampeni za kuomba kura za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wabunge na madiwani wa mkoa huo kupitia CCM.
-
Ultimate Guide to Safe Weight Loss Supplements in the USA
https://yourhealthrights.com/safe-weight-loss-supplements-in-the-usa/
#WeightLoss #SafeSupplements #WeightLossUSA #HealthyWeightLoss #SupplementSafety #LoseWeightSafely #NutritionTips #DietSupplements #WellnessUSA #HealthSupplements #FatLossTips #ScienceBacked
Ultimate Guide to Safe Weight Loss Supplements in the USA https://yourhealthrights.com/safe-weight-loss-supplements-in-the-usa/ #WeightLoss #SafeSupplements #WeightLossUSA #HealthyWeightLoss #SupplementSafety #LoseWeightSafely #NutritionTips #DietSupplements #WellnessUSA #HealthSupplements #FatLossTips #ScienceBacked0 Commenti ·0 condivisioni ·478 Views -
Pink Salt Weight Loss Recipe – Safe & Effective Results (2025)
http://yourhealthrights.com/pink-salt-weight-loss-recipe-2025/
#HimalayanPinkSalt #SaltForWeightLoss #WeightLossRecipe #HealthyRecipes #SafeWeightLoss #EffectiveResults #2025Wellness #WellnessTrends2025 #CleanEating #DetoxTips
Pink Salt Weight Loss Recipe – Safe & Effective Results (2025) http://yourhealthrights.com/pink-salt-weight-loss-recipe-2025/ #HimalayanPinkSalt #SaltForWeightLoss #WeightLossRecipe #HealthyRecipes #SafeWeightLoss #EffectiveResults #2025Wellness #WellnessTrends2025 #CleanEating #DetoxTips0 Commenti ·0 condivisioni ·316 Views -
Habari Mbaya kutoka Ligi Kuu ya England
David Coote, mwamuzi wa zamani wa Ligi Kuu ya England, ameashitakiwa kwa kutengeneza video ya utovu wa nidhamu wa mtoto (Category A) tarehe 2 Januari 2020. Category A ni kiwango cha juu zaidi cha uhalifu huu.
Coote, mwenye umri wa 43, atafikishwa mahakamani Alhamisi, 11 Septemba 2025, katika Mahakama ya Manispaa ya Nottingham.
Hii inakuja baada ya historia yake ya changamoto:
Juni 2024: Alipigwa suspension ya wiki 8 baada ya kutumia maneno ya kudhalilisha kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp.
Novemba 2024: Alisimamishwa kwa kudumu na PGMOL kumfukuza kazi Desemba 2024.
UEFA: Amepigwa marufuku kuongoza mechi za Ulaya hadi 30 Juni 2026 kutokana na tukio jingine linalohusisha dawa za kulevya kwenye Euro 2024.
Coote ameeleza majonzi makubwa kwa matendo yake na changamoto alizokabiliana nazo kama mwamuzi na pia kutokana na uraia wake wa jinsia moja.
Marefa kama hawa ndyo tunawatakaga Sana wanajifanya vichwa vigumu Alfu kina vichwa vigumu zaidi Yake, Alfu hawa marefarii WA Ueingereza Sijui wanashida gani hawaeleweki hata kidogo
Usinisahau kunifollow basi familia yangu -----follow Csmahona update🚨 Habari Mbaya kutoka Ligi Kuu ya England David Coote, mwamuzi wa zamani wa Ligi Kuu ya England, ameashitakiwa kwa kutengeneza video ya utovu wa nidhamu wa mtoto (Category A) tarehe 2 Januari 2020. Category A ni kiwango cha juu zaidi cha uhalifu huu. Coote, mwenye umri wa 43, atafikishwa mahakamani Alhamisi, 11 Septemba 2025, katika Mahakama ya Manispaa ya Nottingham. Hii inakuja baada ya historia yake ya changamoto: Juni 2024: Alipigwa suspension ya wiki 8 baada ya kutumia maneno ya kudhalilisha kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp. Novemba 2024: Alisimamishwa kwa kudumu na PGMOL kumfukuza kazi Desemba 2024. UEFA: Amepigwa marufuku kuongoza mechi za Ulaya hadi 30 Juni 2026 kutokana na tukio jingine linalohusisha dawa za kulevya kwenye Euro 2024. Coote ameeleza majonzi makubwa kwa matendo yake na changamoto alizokabiliana nazo kama mwamuzi na pia kutokana na uraia wake wa jinsia moja. Marefa kama hawa ndyo tunawatakaga Sana wanajifanya vichwa vigumu Alfu kina vichwa vigumu zaidi Yake, Alfu hawa marefarii WA Ueingereza Sijui wanashida gani hawaeleweki hata kidogo 🤕 Usinisahau kunifollow basi familia yangu 👉-----follow Csmahona update -
-
_||𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: Ligi Kuu ya Ugiriki (Greek Superleague) imesitishwa kwa muda usiojulikana baada ya tukio la kushangaza kutokea...
Rais wa klabu ya PAOK Salonika, Ivan Savvidis, alivamia uwanja akiwa na bunduki kiunoni wakati wa mchezo dhidi ya AEK Athens.
Sababu ya hasira zake ni baada ya bao la timu yake kufutwa kwa madai ya offside dakika za mwisho. Savvidis alijaribu kumkabili refa wa mchezo huo!🚨_||💣𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: Ligi Kuu ya Ugiriki 🇬🇷 (Greek Superleague) imesitishwa kwa muda usiojulikana baada ya tukio la kushangaza kutokea... 👨💼Rais wa klabu ya PAOK Salonika, Ivan Savvidis, alivamia uwanja akiwa na bunduki kiunoni wakati wa mchezo dhidi ya AEK Athens. 😮 Sababu ya hasira zake ni baada ya bao la timu yake kufutwa kwa madai ya offside dakika za mwisho. Savvidis alijaribu kumkabili refa wa mchezo huo! 😲0 Commenti ·0 condivisioni ·183 Views -
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: West Ham imekamilisha usajili wa Lukasz Fabianski (40) kama mchezaji huru
Fabiansk anarejea West Ham ... Huku akicheza michezo 216 appearances .🚨🇵🇱 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: West Ham imekamilisha usajili wa Lukasz Fabianski (40) kama mchezaji huru ⚒️ Fabiansk anarejea West Ham ... Huku akicheza michezo 216 appearances . 🧤✨0 Commenti ·0 condivisioni ·122 Views -
Isak aanza mazoezi na wachezaji wenzake wa Liverpool
Mshambuliaji wa Liverpool, Alexander Isak, ameanza rasmi mazoezi na kikosi cha Liverpool.
Mchezaji huyo wa Kiswidi alikamilisha usajili wa rekodi ya Uingereza wa £125 milioni kutoka Newcastle katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili, kisha akaungana na timu ya taifa ya Sweden kwa mechi za kimataifa za Septemba.
Isak alicheza dakika 18 tu katika mechi mbili ambazo Sweden haikushinda dhidi ya Slovenia na Kosovo, lakini sasa ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Liverpool.
Huenda Isak akacheza mechi yake ya kwanza kwa Liverpool dhidi ya Burnley siku ya jumapili hii.👀Isak aanza mazoezi na wachezaji wenzake wa Liverpool 👉Mshambuliaji wa Liverpool, Alexander Isak, ameanza rasmi mazoezi na kikosi cha Liverpool. 👉Mchezaji huyo wa Kiswidi alikamilisha usajili wa rekodi ya Uingereza wa £125 milioni kutoka Newcastle katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili, kisha akaungana na timu ya taifa ya Sweden kwa mechi za kimataifa za Septemba. 👉Isak alicheza dakika 18 tu katika mechi mbili ambazo Sweden haikushinda dhidi ya Slovenia na Kosovo, lakini sasa ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Liverpool. 👉Huenda Isak akacheza mechi yake ya kwanza kwa Liverpool dhidi ya Burnley siku ya jumapili hii.0 Commenti ·0 condivisioni ·160 Views -
Tetesi Zinazovuma
Liverpool wako tayari kuipuuza Crystal Palace na kusubiri hadi mwisho wa msimu kumsajili Marc Guéhi kwa uhamisho huru, kwa mujibu wa Daily Mirror. Uhamisho wa Guéhi kutoka London kwenda Merseyside ulivunjika dakika za mwisho katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili.
Ilikuwa inatarajiwa sana kuwa mabingwa wa Premier League wangerudi tena Januari, jambo ambalo lingeiwezesha Palace kupata ada ya uhamisho kwa nahodha wao, ambaye yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake.
Hata hivyo, Liverpool wanaamini Palace wanajaribu kuchochea nia kutoka kwa klabu pinzani ili kuwashinikiza, lakini hawana mpango wa kutoa ofa mwezi Januari.
Mchezaji mwenyewe ameweka wazi kuwa hana nia ya kuongeza mkataba mpya ndani ya Selhurst Park, na anaweza kujiunga na Liverpool kama mchezaji huru majira ya kiangazi yajayo, kuchukua nafasi ya mabeki wanaotarajiwa kuondoka — Ibrahima Konaté na Joe Gomez.
Kwa mujibu wa Marca, uamuzi wa Konaté kukataa ofa ya tatu na ya mwisho ya mkataba mpya Liverpool unafungua njia kwa Real Madrid kumsajili beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 26 mwaka 2026 kwa uhamisho huru.
Chanzo: ESPN👀Tetesi Zinazovuma 👉Liverpool wako tayari kuipuuza Crystal Palace na kusubiri hadi mwisho wa msimu kumsajili Marc Guéhi kwa uhamisho huru, kwa mujibu wa Daily Mirror. Uhamisho wa Guéhi kutoka London kwenda Merseyside ulivunjika dakika za mwisho katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili. 👉Ilikuwa inatarajiwa sana kuwa mabingwa wa Premier League wangerudi tena Januari, jambo ambalo lingeiwezesha Palace kupata ada ya uhamisho kwa nahodha wao, ambaye yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake. 👉Hata hivyo, Liverpool wanaamini Palace wanajaribu kuchochea nia kutoka kwa klabu pinzani ili kuwashinikiza, lakini hawana mpango wa kutoa ofa mwezi Januari. 👉Mchezaji mwenyewe ameweka wazi kuwa hana nia ya kuongeza mkataba mpya ndani ya Selhurst Park, na anaweza kujiunga na Liverpool kama mchezaji huru majira ya kiangazi yajayo, kuchukua nafasi ya mabeki wanaotarajiwa kuondoka — Ibrahima Konaté na Joe Gomez. 👉Kwa mujibu wa Marca, uamuzi wa Konaté kukataa ofa ya tatu na ya mwisho ya mkataba mpya Liverpool unafungua njia kwa Real Madrid kumsajili beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 26 mwaka 2026 kwa uhamisho huru. Chanzo: ESPN0 Commenti ·0 condivisioni ·200 Views -
TUJIKUMBUSHE KIDOGO
Sebastian Coates
Sebastian Coates alisajiliwa na Liverpool kutoka Nacional mwezi Agosti 2011 baada ya kupigiwa kura kama mchezaji bora chipukizi kwenye Copa America ya mwaka huo.
Akiwa na urefu wa futi 6 na inchi 6, raia huyo wa Uruguay aliwasili akiwa na sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu — pia akiwa hatari katika ulinzi na mashambulizi.
Alicheza mechi 12 katika msimu wake wa kwanza ndani ya Liverpool, tukio la kukumbukwa likiwa bao la kuvutia alilofunga kwa bicycle kick dhidi ya Queens Park Rangers.
Katika msimu wa 2012–13, msimu wa kwanza wa Brendan Rodgers kama kocha, Coates alicheza tena mechi 12.
Hata hivyo, matumaini ya kujikita kikosini chini ya kocha wa kipindi hicho, Rodgers yalizimwa na jeraha lililomharibia msimu uliofuata.
Baadaye alitolewa kwa mkopo kwenda Sunderland msimu wa 2014–15, na hatimaye akajiunga nao kwa mkataba wa kudumu mwezi Julai 2015.👀TUJIKUMBUSHE KIDOGO 👀Sebastian Coates 👉Sebastian Coates alisajiliwa na Liverpool kutoka Nacional mwezi Agosti 2011 baada ya kupigiwa kura kama mchezaji bora chipukizi kwenye Copa America ya mwaka huo. 👉Akiwa na urefu wa futi 6 na inchi 6, raia huyo wa Uruguay aliwasili akiwa na sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu — pia akiwa hatari katika ulinzi na mashambulizi. 👉Alicheza mechi 12 katika msimu wake wa kwanza ndani ya Liverpool, tukio la kukumbukwa likiwa bao la kuvutia alilofunga kwa bicycle kick dhidi ya Queens Park Rangers. 👉Katika msimu wa 2012–13, msimu wa kwanza wa Brendan Rodgers kama kocha, Coates alicheza tena mechi 12. 👉Hata hivyo, matumaini ya kujikita kikosini chini ya kocha wa kipindi hicho, Rodgers yalizimwa na jeraha lililomharibia msimu uliofuata. 👉Baadaye alitolewa kwa mkopo kwenda Sunderland msimu wa 2014–15, na hatimaye akajiunga nao kwa mkataba wa kudumu mwezi Julai 2015.0 Commenti ·0 condivisioni ·238 Views -
Divock Origi amekwama AC Milan baada ya kukataa kuvunja mkataba huku masuala ya kodi yakimzuia kuondoka nchini Italia
AC Milan na Origi wameshindwa kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba, na sasa mshambuliaji huyo ataendelea kusalia San Siro licha ya kutokuwa sehemu ya kikosi cha kwanza.
Mshindi wa Ligi ya Mabingwa, Divock Origi, amekataa kuvunjiwa mkataba wake ndani ya Ac Milan licha ya kucheza msimu mzima na timu ya U23 ya Ac Milan.
Uamuzi huu unakuja licha ya Mbelgiji huyo kutocheza mechi yoyote ya ushindani na kikosi cha wakubwa cha Milan tangu mwaka 2023.
Amebakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na atalazimika kukaa nje msimu mwingine ikiwa hatakubaliana na klabu ya Ac Milan kuvunja mkataba huo.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga magoli mawili tu msimu wa 2022–23 kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda Nottingham Forest msimu wa 2023–24, ambako alifunga bao moja pekee katika mechi 22 — na bao hilo lilikuja kwenye FA Cup, si Premier League.
Hajacheza mechi ya kikosi cha kwanza kwa miezi 17.👀Divock Origi amekwama AC Milan baada ya kukataa kuvunja mkataba huku masuala ya kodi yakimzuia kuondoka nchini Italia 👉AC Milan na Origi wameshindwa kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba, na sasa mshambuliaji huyo ataendelea kusalia San Siro licha ya kutokuwa sehemu ya kikosi cha kwanza. 👉Mshindi wa Ligi ya Mabingwa, Divock Origi, amekataa kuvunjiwa mkataba wake ndani ya Ac Milan licha ya kucheza msimu mzima na timu ya U23 ya Ac Milan. 👉Uamuzi huu unakuja licha ya Mbelgiji huyo kutocheza mechi yoyote ya ushindani na kikosi cha wakubwa cha Milan tangu mwaka 2023. 👉Amebakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na atalazimika kukaa nje msimu mwingine ikiwa hatakubaliana na klabu ya Ac Milan kuvunja mkataba huo. 👉Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga magoli mawili tu msimu wa 2022–23 kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda Nottingham Forest msimu wa 2023–24, ambako alifunga bao moja pekee katika mechi 22 — na bao hilo lilikuja kwenye FA Cup, si Premier League. 👉Hajacheza mechi ya kikosi cha kwanza kwa miezi 17.0 Commenti ·0 condivisioni ·197 Views -
... 𝗞𝗬𝗟𝗜𝗔𝗡 𝗠𝗕𝗔𝗣𝗣𝗘
Kwenye mchezo dhidi ya Iceland usiku wa jana, Kylian Mbappé Lottin alifunga bao lake la 52 akiwa na Ufaransa -- na kuwa mfungaji bora wa pili wa muda wote akimpita Thierry Henry .
57 04 132 - Olivier Giroud
52 12 092 - Kylian Mbappé
51 02 123 - Thierry Henry
Anakuwa mchezaji wa pili wa Europa katika karne ya 21 kuifungia timu yake ya taifa ya wakubwa mabao 52 kabla ya kufikisha umri wa miaka 27, baada ya Romelu Lukaku akiwa na Belgium .
Kylian Mbappé akiwa na timu ya taifa ya wakubwa ya Ufaransa .
◉ 92 - Games.
◉ 52 - Goals (second top scorer)
◉ 33 - Assists (best assist provider)
◉ 85 - Goals/assists.
◉ 12 - Penalty.
◉ 03 - Hat trick.
Key .......
_______________
- Games
- Goals
- Penalty
Follow us.
#imansportnews #PlayStation #WorldCupQualifiers2026... 𝗞𝗬𝗟𝗜𝗔𝗡 𝗠𝗕𝗔𝗣𝗣𝗘 🔥 Kwenye mchezo dhidi ya Iceland usiku wa jana, Kylian Mbappé Lottin alifunga bao lake la 52 akiwa na Ufaransa -- na kuwa mfungaji bora wa pili wa muda wote akimpita Thierry Henry . ⚽ 57 🥅 04 🎮 132 - Olivier Giroud ⚽ 52 🥅 12 🎮 092 - Kylian Mbappé ⚽ 51 🥅 02 🎮 123 - Thierry Henry Anakuwa mchezaji wa pili wa Europa katika karne ya 21 kuifungia timu yake ya taifa 🇨🇵 ya wakubwa mabao 52 kabla ya kufikisha umri wa miaka 27, baada ya Romelu Lukaku akiwa na Belgium 🇧🇪 . Kylian Mbappé akiwa na timu ya taifa ya wakubwa ya Ufaransa 🇨🇵 . ◉ 92 - Games. ◉ 52 - Goals (second top scorer) ◉ 33 - Assists (best assist provider) ◉ 85 - Goals/assists. ◉ 12 - Penalty. ◉ 03 - Hat trick. Key ....... 🔑 _______________ 🎮 - Games ⚽ - Goals 🥅 - Penalty Follow us. #imansportnews #PlayStation #WorldCupQualifiers20260 Commenti ·0 condivisioni ·302 Views -
Trusted Education Consultant For Study In Canada | Gagner Planners
Visit: https://gagnerplanners.com
Gagner Planners is recognized as a trusted education consultant for study in Canada, helping students make smart educational decisions. Our expert counselors provide one-on-one guidance to match your career aspirations with the best Canadian programs. We simplify the entire process, ensuring clarity and confidence at every step. By choosing Gagner Planners, you gain access to reliable advice and a proven track record of success. Trust us as your partner in education—start your Canadian journey today with Gagner Planners by your side.
Trusted Education Consultant For Study In Canada | Gagner Planners Visit: https://gagnerplanners.com Gagner Planners is recognized as a trusted education consultant for study in Canada, helping students make smart educational decisions. Our expert counselors provide one-on-one guidance to match your career aspirations with the best Canadian programs. We simplify the entire process, ensuring clarity and confidence at every step. By choosing Gagner Planners, you gain access to reliable advice and a proven track record of success. Trust us as your partner in education—start your Canadian journey today with Gagner Planners by your side.0 Commenti ·0 condivisioni ·319 Views -
Orodha ya Timu za taifa bora 10 kwa sasa Barani Afrika
1️⃣ Morocco [12]
2️⃣ Senegal [19]
3️⃣ Egypt [32]
4️⃣ Algeria [39]
5️⃣ Ivory Coast [44]
6️⃣ Nigeria [45]
7️⃣ Tunisia [47]
8️⃣ Cameroon [52]
9️⃣ South Africa [55]
Mali [56]
Source FIFA💣🚨 Orodha ya Timu za taifa bora 10 kwa sasa Barani Afrika 1️⃣ 🇲🇦 Morocco [12] 2️⃣ 🇸🇳 Senegal [19] 3️⃣ 🇪🇬 Egypt [32] 4️⃣ 🇩🇿 Algeria [39] 5️⃣ 🇮🇪 Ivory Coast [44] 6️⃣ 🇳🇬 Nigeria [45] 7️⃣ 🇹🇳 Tunisia [47] 8️⃣ 🇨🇲 Cameroon [52] 9️⃣ 🇿🇦 South Africa [55] 🔟 🇲🇱 Mali [56] Source FIFA0 Commenti ·0 condivisioni ·162 Views -
-
PrimeBiome Reviews 2025
https://yourhealthrights.com/primebiome-reviews-2025/
#GutHealth #DigestiveHealth #Probiotics #GutSupport #Microbiome #HealthyDigestion #NaturalSupplements #Wellness2025PrimeBiome Reviews 2025 https://yourhealthrights.com/primebiome-reviews-2025/ #GutHealth #DigestiveHealth #Probiotics #GutSupport #Microbiome #HealthyDigestion #NaturalSupplements #Wellness20250 Commenti ·0 condivisioni ·363 Views -
Saree Styles for Every Story: A Blend of Heritage and Trend
The Saree stands at the crossroads of tradition and modern flair. Whether it’s handwoven cotton for everyday comfort or shimmering georgette for a night out, there's a Saree to match every occasion. Explore or list sarees through Sarees.club classifieds—where fabric choices, regional styles, and color palettes come alive. With endless combinations and inspirations, the Saree remains a versatile must-have in every woman’s wardrobe.For more visit here:- https://sarees.club/
Saree Styles for Every Story: A Blend of Heritage and Trend The Saree stands at the crossroads of tradition and modern flair. Whether it’s handwoven cotton for everyday comfort or shimmering georgette for a night out, there's a Saree to match every occasion. Explore or list sarees through Sarees.club classifieds—where fabric choices, regional styles, and color palettes come alive. With endless combinations and inspirations, the Saree remains a versatile must-have in every woman’s wardrobe.For more visit here:- https://sarees.club/0 Commenti ·0 condivisioni ·349 Views -
ISO (Organización Internacional para la Estandarización) es una organización sin fines de lucro que establece estándares de sistemas de gestión de calidad, seguridad y medio ambiente para empresas. La certificación ISO mejora la imagen de los servicios o productos de su empresa.
https://iasiso-europe.com/spanish/certificacion-iso/ISO (Organización Internacional para la Estandarización) es una organización sin fines de lucro que establece estándares de sistemas de gestión de calidad, seguridad y medio ambiente para empresas. La certificación ISO mejora la imagen de los servicios o productos de su empresa. https://iasiso-europe.com/spanish/certificacion-iso/0 Commenti ·0 condivisioni ·140 Views
Pagine in Evidenza