Junior Eddy
Junior Eddy

@Jrbigman

6 Posts
2 Photos
0 Videos
Lives in Mbeya
From Mbeya
Male
01/12/1990
Recent Updates
  • Wale tuliokuwa tukiwaona wasumbufu, wameacha kutujulia hali.
    Tuliokuwa tunadhani wanajipendekeza, wapo bize na maisha yao.
    Tuliowaona wajinga kila walipotusamehe,
    wamechagua watu wapya wa kuvumilia madhaifu yao.
    Never take love for granted. Hata hisia imara huisha, zikipuuzwa. #motivation
    Wale tuliokuwa tukiwaona wasumbufu, wameacha kutujulia hali. Tuliokuwa tunadhani wanajipendekeza, wapo bize na maisha yao. Tuliowaona wajinga kila walipotusamehe, wamechagua watu wapya wa kuvumilia madhaifu yao. Never take love for granted. Hata hisia imara huisha, zikipuuzwa. #motivation
    Love
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·509 Views
  • Haijalishi maisha yana changamoto kiasi gani kuna watu hawapaswi kujua Kama leo umekosa au jana ulilala na njaa ili kuepuka dharau ndogo ndogo. #motivation
    Haijalishi maisha yana changamoto kiasi gani kuna watu hawapaswi kujua Kama leo umekosa au jana ulilala na njaa ili kuepuka dharau ndogo ndogo. #motivation
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·430 Views
  • Fanya kazi kwa bidii , Fanya kazi kwa ukimya . Hakuna haja ya kutangaza mafanikio au hatua uliyofikia . Acha mafanikio yako yapige kelele na kuongea . Kumbuka , hata unapowasha moto hautoi sauti mpaka pale mwanga utakapo onekana .
    #motivation
    Fanya kazi kwa bidii , Fanya kazi kwa ukimya . Hakuna haja ya kutangaza mafanikio au hatua uliyofikia . Acha mafanikio yako yapige kelele na kuongea . Kumbuka , hata unapowasha moto hautoi sauti mpaka pale mwanga utakapo onekana . #motivation
    Like
    Love
    5
    · 1 Comments ·0 Shares ·443 Views
  • Huwezi kuwapa wengine usichokuwa nacho . Ukiwa na maumivu , utaumiza wengine . Ukijichukia , utawachukia wengine . Usipokuwa na amani , huwezi kuleta amani kwa wengine . Jipende ili uwapende wengine , Jisamehe ili usamehe wengine na pia Jielimishe ili uelimishe wengine !!

    Huwezi kuwapa wengine usichokuwa nacho . Ukiwa na maumivu , utaumiza wengine . Ukijichukia , utawachukia wengine . Usipokuwa na amani , huwezi kuleta amani kwa wengine . Jipende ili uwapende wengine , Jisamehe ili usamehe wengine na pia Jielimishe ili uelimishe wengine !!
    Like
    Love
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·280 Views
More Stories