Huwezi kuwapa wengine usichokuwa nacho . Ukiwa na maumivu , utaumiza wengine . Ukijichukia , utawachukia wengine . Usipokuwa na amani , huwezi kuleta amani kwa wengine . Jipende ili uwapende wengine , Jisamehe ili usamehe wengine na pia Jielimishe ili uelimishe wengine !!
Huwezi kuwapa wengine usichokuwa nacho . Ukiwa na maumivu , utaumiza wengine . Ukijichukia , utawachukia wengine . Usipokuwa na amani , huwezi kuleta amani kwa wengine . Jipende ili uwapende wengine , Jisamehe ili usamehe wengine na pia Jielimishe ili uelimishe wengine !!

