


@Mefa
Self employed in agro-business
1251 Posts
812 Photos
274 Videos
Male
It's complicated
-
-
-
-
.DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA!
Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF!
---
WALIOSAJILIWA (RASMI):
1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi.
2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki!
3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu.
4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa.
---
WALIOUZWA (CONFIRMED):
Aziz Ki
Djigui Diarra
Clement Mzize
Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa.
---
HAWAMO KWENYE MPANGO:
Kennedy Musonda
Aboubakar Khomeiny
Yao Kouassi
Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao.
---
WANAOWINDWA:
Aishi Manula
Pascal Msindo
Kelvin Nashon
Henock Inonga Baka
Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi.
---
WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit):
Jonas Mkude
Aziz Andambwile
Sureboy
Farid Musa
Jonathan Ikangalombo
Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho.
---
MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!.DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA! Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF! --- ✅ WALIOSAJILIWA (RASMI): 1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi. ✍️ 2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki! ⚔️ 3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu. 🔥 4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa. 🧤 --- 🔁 WALIOUZWA (CONFIRMED): Aziz Ki Djigui Diarra Clement Mzize Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa. --- ⛔ HAWAMO KWENYE MPANGO: Kennedy Musonda Aboubakar Khomeiny Yao Kouassi Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao. --- 🎯 WANAOWINDWA: Aishi Manula Pascal Msindo Kelvin Nashon Henock Inonga Baka Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi. --- 🕵️♂️ WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit): Jonas Mkude Aziz Andambwile Sureboy Farid Musa Jonathan Ikangalombo Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho. --- MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA! -
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
NUSU FAINALI KLABU BINGWA
Mamelody Vs Al Ahly
Orlando Vs Pyramids
NB; South Africa Vs MisriNUSU FAINALI KLABU BINGWA Mamelody Vs Al Ahly Orlando Vs Pyramids NB; South Africa Vs Misri -
-
More Stories