• Like
    1
    0 Comments 0 Shares 102 Views
  • Like
    1
    0 Comments 0 Shares 106 Views
  • Like
    1
    0 Comments 0 Shares 128 Views
  • Like
    1
    0 Comments 0 Shares 132 Views
  • Like
    1
    0 Comments 0 Shares 131 Views
  • Jemedari Said, Mchambuzi (Crown FM)

    AZIZ KI ALISHASAJILIWA YANGA SC KITAMBO, ZINGINE MBWEMBWE TU ILI KULETA MVUTO KWENYE UTAMBULISHO WAKE.

    Tarehe 12 Juni Azizi Ki aliwekewa pesa za Kitanzania Tshs 520M kwenye benki moja hapa nchini na maelezo yake yalikuwa ni pesa ya usajili ambayo haikuanisha ni muda gani aidha mwaka mmoja au miaka miwili.

    Pesa ambayo mhusika pia aliitoa baadae kwa matumizi yake mwenyewe kwenye siku hiyo hiyo.

    Kinachoendelea mtandaoni ni jambo JEMA SANA kwenye Dunia ya mitandao ili kuleta mvuto na kutengeneza wasiwasi kwa wanayanga na baadae viongozi kuibuka “Mashujaa” kwa kushinda vita ya usajili. Lazima kutengeneza kufatiliwa kwenye social media platforms za klabu kwenye Dunia ya leo.

    Mchezaji ambaye hajasajiliwa amekuja kufanya nini kiasi apewe na muda kwenye App ya klabu? Welcome Back King Ki, the world is all yours. Hongera viongozi kwa kumbakisha Top Scorer.

    Jemedari Said, Mchambuzi (Crown FM) AZIZ KI ALISHASAJILIWA YANGA SC KITAMBO, ZINGINE MBWEMBWE TU ILI KULETA MVUTO KWENYE UTAMBULISHO WAKE. Tarehe 12 Juni Azizi Ki aliwekewa pesa za Kitanzania Tshs 520M kwenye benki moja hapa nchini na maelezo yake yalikuwa ni pesa ya usajili ambayo haikuanisha ni muda gani aidha mwaka mmoja au miaka miwili. Pesa ambayo mhusika pia aliitoa baadae kwa matumizi yake mwenyewe kwenye siku hiyo hiyo. Kinachoendelea mtandaoni ni jambo JEMA SANA kwenye Dunia ya mitandao ili kuleta mvuto na kutengeneza wasiwasi kwa wanayanga na baadae viongozi kuibuka “Mashujaa” kwa kushinda vita ya usajili. Lazima kutengeneza kufatiliwa kwenye social media platforms za klabu kwenye Dunia ya leo. Mchezaji ambaye hajasajiliwa amekuja kufanya nini kiasi apewe na muda kwenye App ya klabu? Welcome Back King Ki, the world is all yours. Hongera viongozi kwa kumbakisha Top Scorer.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 583 Views
  • Wachezaji (18) walioondoka Simba SC 2024/25

    1. Aishi Manula (Azam FC)
    2. Feruz (Loan)
    3. David Kameta 'Duchu' (Loan)
    4. Hussein Kazi (Loan)
    5. Clatous Chama (Yanga SC)
    6. Abdallah Hamiss.
    7. Aubin Kramo.
    8. Babakar Sar.
    9. Sadio Kanoute
    10. Moses Phiri.

    11. Luis Miquissone.
    12. Pa Omary Jobe.
    13. Willy Esomba Onana.
    14. Hennock Inonga.
    15. Saido Ntibazonkiza.
    16. John Bocco.
    17. Jimmyson Mwanuke.
    18. Shaban Chilunda.
    19. Kennedy Juma.

    Wachezaji (13) waliosajiliwa Simba SC 2024/25

    1. Lameck Lawi ()
    2. Joshua Mutale.
    3. Steven Mukwala.
    4. Jean Charles Ahoua.
    5. Abdulrazack Hamza.
    6. Debora Mavambo.

    7. Augustine Okejepha.
    8. Omary Abdallah Omary.
    9. Valentine Nouma.
    10. Valentino Mashaka.
    11. Chamou Karaboue.
    12. Yusuph Kagoma.
    13. Kelvin Kijili.

    Wachezaji wa kigeni wa Simba SC 24/25

    1. Ayoub Lakred
    2. Chamou Karaboue 🇨🇮
    3. Che Fondoh Malone.
    4. Valentine Nouma
    5. Fabrice Ngoma
    6. Debora Mavambo

    7. Augustine Okejepha
    8. Freddy Michael 🇨🇮
    9. Joshua Mutale
    10. Steven Mukwala
    11. Jean Charles Ahoua 🇨🇮
    Wachezaji (18) walioondoka Simba SC 2024/25 1. Aishi Manula (Azam FC) 2. Feruz (Loan) 3. David Kameta 'Duchu' (Loan) 4. Hussein Kazi (Loan) 5. Clatous Chama (Yanga SC) 6. Abdallah Hamiss. 7. Aubin Kramo. 8. Babakar Sar. 9. Sadio Kanoute 10. Moses Phiri. 11. Luis Miquissone. 12. Pa Omary Jobe. 13. Willy Esomba Onana. 14. Hennock Inonga. 15. Saido Ntibazonkiza. 16. John Bocco. 17. Jimmyson Mwanuke. 18. Shaban Chilunda. 19. Kennedy Juma. Wachezaji (13) waliosajiliwa Simba SC 2024/25 1. Lameck Lawi (⚠️) 2. Joshua Mutale. 3. Steven Mukwala. 4. Jean Charles Ahoua. 5. Abdulrazack Hamza. 6. Debora Mavambo. 7. Augustine Okejepha. 8. Omary Abdallah Omary. 9. Valentine Nouma. 10. Valentino Mashaka. 11. Chamou Karaboue. 12. Yusuph Kagoma. 13. Kelvin Kijili. Wachezaji wa kigeni wa Simba SC 24/25 1. Ayoub Lakred 🇲🇦 2. Chamou Karaboue 🇨🇮 3. Che Fondoh Malone. 4. Valentine Nouma 🇧🇫 5. Fabrice Ngoma 🇨🇩 6. Debora Mavambo 🇨🇬 7. Augustine Okejepha 🇳🇬 8. Freddy Michael 🇨🇮 9. Joshua Mutale 🇿🇲 10. Steven Mukwala 🇺🇬 11. Jean Charles Ahoua 🇨🇮
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 628 Views
  • #cktvtanzania
    #cktvtanzania
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 134 Views 21
  • 𝐁𝐔𝐒𝐀𝐑𝐀 𝐙𝐀 𝐌𝐙𝐄𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐀𝐌𝐁𝐈𝐀 #Glossaryyasoka

    Sasa hivi YANGA AFRICA kuanzia top Management Mpaka mtu anaefagia wanajua sana namna vitu vinavyofanya Kazi huku kwenye Social media

    Alichofanya Eng Hersi Said ametanua tu Mazungumzo ya Stephanie Aziz KI kwenye vyombo vya habari Kwa Maoni Yangu.

    Kuliweka Jambo la Aziz KI Kubaki au Kuondoka kwenye 60% na 40% maana yake ni Kuwaambia Mamelodi Sundown Bado Wana nafasi Kubwa ya Kumpata kama wakitaka

    Kaizer Chiefs, Orlando Pirates, Wydad Casablanca bado mna nafasi ya Kupata Saini ya Top Scorer wa NBC Premier League.Hii ndo maana ya Kauli ya Eng Hersi Said.

    Yanga Africa wapo tayari Kushindana Kwa Msuli wa Pesa na hao Giants kama kweli wanamtaka Aziz KI? Ni Uongo wa Mchana

    Eng Hersi Said amezungumza alichozungumza huku akijua Stephanie Aziz KI ni mchezaji wa Mabingwa wa Kihistoria Kwa Msimu ujao 2024/2025

    Hivyo sioni sababu ya Wananchi kuwa na wasi wasi na hili Jambo.

    Kinachofanyika hapa kwa mara nyingine ni Kutengeneza excitement ya kumtangaza Stephanie Aziz KI.

    Juzi hapa nilikuwa naongelea namna tetesi za usajili Mpaka utambulisho wa Mchezaji ni hela.

    Team zetu nyingi zimelala hapa , Lakini huu ndo wakati mzuri wa kufanya brand zenu zindelee kuongelewa na Kuvutia Biashara Kubwa Zaidi.

    Hii ni Ligi nyingine ambayo Yanga Africa wanaongoza tena Kwa Mbali kidogo.

    Wenu Katika Ujenzi wa Mpira wa nchi

    𝐁𝐔𝐒𝐀𝐑𝐀 𝐙𝐀 𝐌𝐙𝐄𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐀𝐌𝐁𝐈𝐀 #Glossaryyasoka ✍️ Sasa hivi YANGA AFRICA kuanzia top Management Mpaka mtu anaefagia wanajua sana namna vitu vinavyofanya Kazi huku kwenye Social media Alichofanya Eng Hersi Said ametanua tu Mazungumzo ya Stephanie Aziz KI kwenye vyombo vya habari Kwa Maoni Yangu. Kuliweka Jambo la Aziz KI Kubaki au Kuondoka kwenye 60% na 40% maana yake ni Kuwaambia Mamelodi Sundown Bado Wana nafasi Kubwa ya Kumpata kama wakitaka Kaizer Chiefs, Orlando Pirates, Wydad Casablanca bado mna nafasi ya Kupata Saini ya Top Scorer wa NBC Premier League.Hii ndo maana ya Kauli ya Eng Hersi Said. Yanga Africa wapo tayari Kushindana Kwa Msuli wa Pesa na hao Giants kama kweli wanamtaka Aziz KI? Ni Uongo wa Mchana Eng Hersi Said amezungumza alichozungumza huku akijua Stephanie Aziz KI ni mchezaji wa Mabingwa wa Kihistoria Kwa Msimu ujao 2024/2025 Hivyo sioni sababu ya Wananchi kuwa na wasi wasi na hili Jambo. Kinachofanyika hapa kwa mara nyingine ni Kutengeneza excitement ya kumtangaza Stephanie Aziz KI. Juzi hapa nilikuwa naongelea namna tetesi za usajili Mpaka utambulisho wa Mchezaji ni hela. Team zetu nyingi zimelala hapa , Lakini huu ndo wakati mzuri wa kufanya brand zenu zindelee kuongelewa na Kuvutia Biashara Kubwa Zaidi. Hii ni Ligi nyingine ambayo Yanga Africa wanaongoza tena Kwa Mbali kidogo. Wenu Katika Ujenzi wa Mpira wa nchi
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 843 Views
  • #cktvtanzania
    #cktvtanzania
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 147 Views 18