• #paulswai
    😂😂🙌 #paulswai
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 156 Views 32
  • #paulswai
    😂😂🤣🤣🙌 #paulswai
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 151 Views 27
  • #paulswai
    🤣🤣🙌 #paulswai
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 161 Views 27
  • Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amezindua Teknolojia ya Usaidizi wa Mwamuzi kupitia Video (VAR) leo kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar.
    Vifaa hivyo ni vilivyotolewa na CAF pamoja na Azam Media Limited.
    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amezindua Teknolojia ya Usaidizi wa Mwamuzi kupitia Video (VAR) leo kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar. Vifaa hivyo ni vilivyotolewa na CAF pamoja na Azam Media Limited.
    Like
    Love
    2
    0 Reacties 0 aandelen 498 Views
  • Multfanction bed
    Multfanction bed
    Like
    Love
    20
    7 Reacties 6 aandelen 1K Views
  • Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa vifaa vya kuzalisha na kurusha maudhui ya michezo pamoja na Teknolojia ya Usaidizi wa Mwamuzi kupitia Video (VAR) leo kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar.

    #paulswai
    Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa vifaa vya kuzalisha na kurusha maudhui ya michezo pamoja na Teknolojia ya Usaidizi wa Mwamuzi kupitia Video (VAR) leo kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar. #paulswai
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 701 Views
  • "Tumeamua kusisitiza kubaki na wachezaji wengi wakigeni licha ya watu wengi kutaka wachezaji wakigeni wapunguzwe,mafanikio ambayo tumeyapata ni kwasababu ya uwepo wa wachezaji wakigeni ambao kabla ya wao kuja timu zetu zilikuwa hazifanyi vyema katika michuano ya kimataifa. "Kwa takwimu tulizonazo wachezaji wakigeni hawajafika hawajafika 70 kati ya wachezaji 600 ambao huwa wanashiriki katika ligi kuu,hivyo wachezaji wetu wanatakiwa na wao watoke nje ili wakapate changamoto na sio sisi kupunguza idadi ya wachezaji wakigeni." Maneno ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, Wallace Karia.
    "Tumeamua kusisitiza kubaki na wachezaji wengi wakigeni licha ya watu wengi kutaka wachezaji wakigeni wapunguzwe,mafanikio ambayo tumeyapata ni kwasababu ya uwepo wa wachezaji wakigeni ambao kabla ya wao kuja timu zetu zilikuwa hazifanyi vyema katika michuano ya kimataifa. "Kwa takwimu tulizonazo wachezaji wakigeni hawajafika hawajafika 70 kati ya wachezaji 600 ambao huwa wanashiriki katika ligi kuu,hivyo wachezaji wetu wanatakiwa na wao watoke nje ili wakapate changamoto na sio sisi kupunguza idadi ya wachezaji wakigeni." Maneno ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, Wallace Karia.
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 254 Views
  • 🤣🤣
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 158 Views
  • Taarifa kwa umma.

    #paulswai
    Taarifa kwa umma. #paulswai
    Like
    2
    2 Reacties 0 aandelen 218 Views
  • Like
    Love
    4
    0 Reacties 0 aandelen 149 Views