• JUST IN

    Kocha wa Brazil Carlo Ancelotti amekanusha kuwa alimwambia mshambuliaji wa Real Madrid mwenye umri wa miaka 19, Endrick, ambaye anakaribia kujiunga na Lyon kwa mkopo, kwamba alilazimika kuihama klabu hiyo ya Uhispania ili kupata nafasi ya kukipiga katika kikosi chake kwa ajili ya Kombe la Dunia la 2026.

    Via: AS - In Spanish
    🚨JUST IN🇧🇷 Kocha wa Brazil Carlo Ancelotti amekanusha kuwa alimwambia mshambuliaji wa Real Madrid mwenye umri wa miaka 19, Endrick, ambaye anakaribia kujiunga na Lyon kwa mkopo, kwamba alilazimika kuihama klabu hiyo ya Uhispania ili kupata nafasi ya kukipiga katika kikosi chake kwa ajili ya Kombe la Dunia la 2026. Via: AS - In Spanish
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 628 Views
  • FC Barcelona wamepanga kujenga sanamu la Mchezaji wao Bora wa Muda Wote Mwamba Lionel Messi mbele ya Dimba lao jipya la Spotify Camp Neu.

    Rasi wa Barcelona Juan Laporta amethibitisha Hilo na kusema wanatambua mchango mkubwa wa Lionel Messi na hivyo sanamu Hilo litakuwa ni Heshima Kubwa kwao kwa Mwamba huyo
    🚨 FC Barcelona wamepanga kujenga sanamu la Mchezaji wao Bora wa Muda Wote Mwamba Lionel Messi mbele ya Dimba lao jipya la Spotify Camp Neu. Rasi wa Barcelona Juan Laporta amethibitisha Hilo na kusema wanatambua mchango mkubwa wa Lionel Messi na hivyo sanamu Hilo litakuwa ni Heshima Kubwa kwao kwa Mwamba huyo
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 874 Views
  • Congo DRC wamezima ndoto za Bryan Mbuemo kukiwasha Kombe la Dunia 2026, baada ya kuwatupilia nje ya playoffs timu ya Taifa ya Cameroon kwa ushindi wa goli 1-0.

    🚨 Congo DRC 🇨🇩 wamezima ndoto za Bryan Mbuemo kukiwasha Kombe la Dunia 2026, baada ya kuwatupilia nje ya playoffs timu ya Taifa ya Cameroon kwa ushindi wa goli 1-0. 😅😅😅😅😅
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 725 Views
  • Website Development in Jaipur
    Looking for expert Website Development in Jaipur? MSM Coretech offers creative, user-friendly, and responsive websites that help your business grow online. Our skilled team focuses on delivering customized web solutions that suit your brand and goals. From design to development, we ensure high performance and smooth user experience. Choose MSM Coretech for reliable and affordable website...
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 571 Views
  • VIVA
    VIVA
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 184 Views
  • Beach Chair Features Boosting User Convenience
    For modern outdoor enthusiasts, the beach chair represents more than just a seat; it is a key component of relaxation and convenience. Current market trends show that users seek chairs with ergonomic support, lightweight frames, and durable, weather-resistant fabrics. These improvements allow individuals to spend extended periods outdoors without discomfort or inconvenience. Advanced...
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 586 Views
  • Top Tourist Places to Visit in Jaisalmer: A Travel Guide
    Located in the heart of the Thar Desert, Jaisalmer is a city that seems frozen in time. This guide explores the most iconic and enchanting top tourist places to visit in Jaisalmer                                                             ...
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 478 Views
  • RASMI:
    Klabu ya Napoli imethibitisha kuwa kiungo wa Cameroon Franck Zambo Anguissa amepata jeraha kubwa la misuli.

    Kwa mujibu wa taarifa za kitabibu, Anguissa atakuwa nje kwa miezi kadhaa, hali inayoweza kumfanya aukose AFCON 2025 nchini Morocco.
    Pigo kubwa kwa Cameroon.

    Anguissa ni mhimili mkubwa wa kiungo cha Cameroon, hivyo kutokuwepo kwake kunaathiri uimara wa timu katika presha kubwa ya mechi za AFCON.

    Unadhani Cameroon wataimudu AFCON bila Anguissa?
    Je, nafasi yake inapaswa kuzibwa na nani?

    🔵 RASMI: Klabu ya Napoli imethibitisha kuwa kiungo wa Cameroon 🇨🇲 Franck Zambo Anguissa amepata jeraha kubwa la misuli. Kwa mujibu wa taarifa za kitabibu, Anguissa atakuwa nje kwa miezi kadhaa, hali inayoweza kumfanya aukose AFCON 2025 nchini Morocco. Pigo kubwa kwa Cameroon. 💔 Anguissa ni mhimili mkubwa wa kiungo cha Cameroon, hivyo kutokuwepo kwake kunaathiri uimara wa timu katika presha kubwa ya mechi za AFCON. Unadhani Cameroon wataimudu AFCON bila Anguissa? Je, nafasi yake inapaswa kuzibwa na nani?
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 712 Views
  • Top Tourist Places to Visit in Jodhpur: A Travel Guide
    Located on the edge of the Thar Desert, Jodhpur was founded in 1459 by Rao Jodha, the chief of the Rathore clan. Here’s a detailed guide to the top tourist places to visit in Jodhpur, each offering a unique glimpse into the city’s soul. It served as the capital of the Marwar kingdom and today stands as one of Rajasthan’s most iconic destinations. Known for its blue-painted...
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 555 Views
  • 🆕️ Baada ya uchunguzi wa kina wa jopo la madaktari imeonekana jeraha la Moussa Pin Pin Camara ni kubwa kuliko kawaida na huwenda akawa nje ya uwanja kwa muda mrefu zaidi, inaelezwa viongozi wa Simba wanamshawishi Camara wavunje naye mkataba ili waweze kusajili golikipa mwengine wa kigeni kwa ajili ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika.

    MANAGEMENT YA CAMARA WAMEOMBA KULIPWA FEDHA ZOTE BILA ZENGWE ILI ZOEZI LA KUVUNJWA MKATABA LIFANIKIWE!
    🆕️ Baada ya uchunguzi wa kina wa jopo la madaktari imeonekana jeraha la Moussa Pin Pin Camara ni kubwa kuliko kawaida na huwenda akawa nje ya uwanja kwa muda mrefu zaidi, inaelezwa viongozi wa Simba wanamshawishi Camara wavunje naye mkataba ili waweze kusajili golikipa mwengine wa kigeni kwa ajili ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika. MANAGEMENT YA CAMARA WAMEOMBA KULIPWA FEDHA ZOTE BILA ZENGWE ILI ZOEZI LA KUVUNJWA MKATABA LIFANIKIWE!
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 1K Views