• ❤️
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·436 Ansichten ·11
  • TUSHA JUA; Wengi hawaelewi kwanini yanga imeshuka ghafla kiwango Cha wachezaji kipo low kabisa, Baada ya uchunguzi wetu mfupi tumegundua kunakitu kinaitwa matabaka kitu hiki yumekiona katika timu ya yanga hii ya mwisho wa mwezi wa GAMONDI na timu hii ya RAMOVIC, Kuna mchezaji kama DJIGUI DIARA hivi sasa hakubariki na Wachezaji wenzake, chunguza Kwa kina Diara akifungwa saivi Hana Ile mudi ya kulalamika kama ilivyo kuwa zamani.
    Ukiangalia mechi ya NAMUNGO Na YANGA alidaka KHOMEINI ABUBAKHAR Na YANGA ikapata ushindi na mchezo wa Yanga ulibadilika Kwa kiasi kikubwa mnoo!! Kwanini Jana Alivyo daka DIARA yanga ikafungwa tena magoli yakizembe WHY!!?
    Dondosha comment hapo chini Kisha follow page yetu #sokachampions
    TUSHA JUA🫂; Wengi hawaelewi kwanini yanga imeshuka ghafla kiwango Cha wachezaji kipo low kabisa💪, Baada ya uchunguzi wetu mfupi tumegundua kunakitu kinaitwa matabaka kitu hiki yumekiona katika timu ya yanga hii ya mwisho wa mwezi wa GAMONDI na timu hii ya RAMOVIC, Kuna mchezaji kama DJIGUI DIARA hivi sasa hakubariki na Wachezaji wenzake, chunguza Kwa kina Diara akifungwa saivi Hana Ile mudi ya kulalamika kama ilivyo kuwa zamani. Ukiangalia mechi ya NAMUNGO Na YANGA alidaka KHOMEINI ABUBAKHAR Na YANGA ikapata ushindi na mchezo wa Yanga ulibadilika Kwa kiasi kikubwa mnoo!! Kwanini Jana Alivyo daka DIARA yanga ikafungwa tena magoli yakizembe WHY!!? Dondosha comment hapo chini Kisha follow page yetu #sokachampions
    Like
    Love
    3
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·357 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·287 Ansichten
  • Kila la heri Simba SC katika mchezo wenu wa pili CAFCCL Leo 8 December saa1:00 Usiku
    Kila la heri Simba SC katika mchezo wenu wa pili CAFCCL Leo 8 December saa1:00 Usiku
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·843 Ansichten
  • MANCHESTER UNITED WALALA HO! BAADA YAKIPINGO KITAKATIFU KUTOKA KWA NOTTINGHAM FORREST
    MANCHESTER UNITED WALALA HO! BAADA YAKIPINGO KITAKATIFU KUTOKA KWA NOTTINGHAM FORREST
    0 Kommentare ·0 Anteile ·398 Ansichten
  • Like
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·385 Ansichten
  • KUNA HATUA INAFIKA KAMA KIJANA,UNAJIHISI UMESHAPOTEZA KABISA,HAIWEZI TENA KUWA KAMA ULIVYOPANGA,MATUMAINI YANAPOTEA,KILA KITU KINAKUWA GIZA

    HII SITUATION INAHITAJI SANA UTULIVU,UVUMILIVU,BUSARA NA HEKMA

    USIPOKUWA MAKINI UNAHARIBIKIWA KABISA…!

    #teacherthing
    KUNA HATUA INAFIKA KAMA KIJANA,UNAJIHISI UMESHAPOTEZA KABISA,HAIWEZI TENA KUWA KAMA ULIVYOPANGA,MATUMAINI YANAPOTEA,KILA KITU KINAKUWA GIZA HII SITUATION INAHITAJI SANA UTULIVU,UVUMILIVU,BUSARA NA HEKMA USIPOKUWA MAKINI UNAHARIBIKIWA KABISA…! #teacherthing✍
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·624 Ansichten
  • .MAONI YA MDAU👇🏽

    NABI AILIACHA TIMU NZIMA IKIWA KATIKA KIWANGO BORA, KILA MCHEZAJI ALIKUWA ANA WEZA KUANZA KWENYE MECHI YEYOTE...

    Alipokuja GAMONDI akatengeneza KIKOSI chake Cha wachezaji 11 pekee hao ndio aliwatumia kumpatia matokeo , GAMONDI hakufanya rotation kama Nabi, GAMONDI hakuwa na mpango na wachezaji ambao sio first eleven yake, Dalili mbaya zilianza kuonekana mapema sema kwa kuwa Tayari alikuta wachezaji wapo katika ubora mkubwa hivyo hakupata shida kupata matokeo

    Gamondi aliwatumia wacheza mfululizo bila rotation na bila kuwapumzisha kina Yao, Aziz , Job, Bacca , Mudathir, Maxi matokeo yake hawa wachezaji wamechoka , kumbuka msimu uliopita namna tulivyokuwa na msimu mgumu wenye ratiba ngumu na mechi nyingi ngumu , Hawa wachezaji msimu huu ndio wamepungua energy matokeo yake mnaona hata yeye GAMONDI msimu ulipo anza alishindwa kuwa na Yanga ya msimu uliopita

    Nikisema GAMONDI ndio tatizo kubwa na kaua project nzima ambayo NABI ALIJENGA nasema kwa mlengo huo, GAMONDI anaweza akawa alishinda goli Tano Tano sawa lakini Ile Timu haikuwa ameandaa yeye aliikuta Timu ya Nabi

    Gamondi alishindwa kabisa kuwatumia wachezaji wapya kama Skudu, Okrah , Hafiz Konkoni , Gift Fred na akashindwa pia kuwatumia wachezaji kama Sure Boy, Farid Musa, Kibwana Shomari, as a coach naona GAMONDI alifeli kwenye development ya wachezaji

    KOCHA kama GAMONDI anahitaji already made player , lakini ni ukweli kwamba pamoja na mazuri mengi aliyofanya GAMONDI kwangu Mimi bado hajafika level ambayo NABI aliijenga Yanga Sc ikawa Timu ambayo hata mchezaji mmoja akosekane bado huwezi kuona gap

    Mara nyingine Huwa nawaza kama Nabi msimu uliopita angekuwepo Yanga pengine tungecheza FAINALI ya CAF Champions League

    So nikisema kosa lilikuwa kumpa GAMONDI timu ni kwa maeneo hayo ambayo GAMONDI alishindwa kuyaendeleza, Msimu huu wenyewe GAMONDI hakuwa na option zaidi ya kutumia wachezaji wale wale wa KIKOSI chake , nje na hapo GAMONDI amefeli
    .MAONI YA MDAU👇🏽 NABI AILIACHA TIMU NZIMA IKIWA KATIKA KIWANGO BORA, KILA MCHEZAJI ALIKUWA ANA WEZA KUANZA KWENYE MECHI YEYOTE... Alipokuja GAMONDI akatengeneza KIKOSI chake Cha wachezaji 11 pekee hao ndio aliwatumia kumpatia matokeo , GAMONDI hakufanya rotation kama Nabi, GAMONDI hakuwa na mpango na wachezaji ambao sio first eleven yake, Dalili mbaya zilianza kuonekana mapema sema kwa kuwa Tayari alikuta wachezaji wapo katika ubora mkubwa hivyo hakupata shida kupata matokeo Gamondi aliwatumia wacheza mfululizo bila rotation na bila kuwapumzisha kina Yao, Aziz , Job, Bacca , Mudathir, Maxi matokeo yake hawa wachezaji wamechoka , kumbuka msimu uliopita namna tulivyokuwa na msimu mgumu wenye ratiba ngumu na mechi nyingi ngumu , Hawa wachezaji msimu huu ndio wamepungua energy matokeo yake mnaona hata yeye GAMONDI msimu ulipo anza alishindwa kuwa na Yanga ya msimu uliopita Nikisema GAMONDI ndio tatizo kubwa na kaua project nzima ambayo NABI ALIJENGA nasema kwa mlengo huo, GAMONDI anaweza akawa alishinda goli Tano Tano sawa lakini Ile Timu haikuwa ameandaa yeye aliikuta Timu ya Nabi Gamondi alishindwa kabisa kuwatumia wachezaji wapya kama Skudu, Okrah , Hafiz Konkoni , Gift Fred na akashindwa pia kuwatumia wachezaji kama Sure Boy, Farid Musa, Kibwana Shomari, as a coach naona GAMONDI alifeli kwenye development ya wachezaji KOCHA kama GAMONDI anahitaji already made player , lakini ni ukweli kwamba pamoja na mazuri mengi aliyofanya GAMONDI kwangu Mimi bado hajafika level ambayo NABI aliijenga Yanga Sc ikawa Timu ambayo hata mchezaji mmoja akosekane bado huwezi kuona gap Mara nyingine Huwa nawaza kama Nabi msimu uliopita angekuwepo Yanga pengine tungecheza FAINALI ya CAF Champions League So nikisema kosa lilikuwa kumpa GAMONDI timu ni kwa maeneo hayo ambayo GAMONDI alishindwa kuyaendeleza, Msimu huu wenyewe GAMONDI hakuwa na option zaidi ya kutumia wachezaji wale wale wa KIKOSI chake , nje na hapo GAMONDI amefeli 🙏🙏🙏
    Love
    Like
    5
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Like
    Love
    4
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·240 Ansichten