• Like
    Love
    2
    1 Commenti 0 condivisioni 231 Views
  • NJIA ZA KUJIONGEZEA POINTS KWA WINGI KATIKA MTANDAO HUU WA SOCIAL POP;

    1. Hakikisha kila siku unaingia kwenye huu Mtandao na kusoma post mbalimbali zilizomo.
    2. Ongeza (add) idadi ya marafiki kadri uwezavyo.
    3. Walau kila siku uwe unapost kitu.
    4. Jitahidi ku-like, comment katika post za wengine.
    5. Jjtahidi kushare link ya Social Pop kwa watu wengine nje ya Mtandao huu, kama vile Whatsapp, facebook, insta, n.k
    NJIA ZA KUJIONGEZEA POINTS KWA WINGI KATIKA MTANDAO HUU WA SOCIAL POP; 1. Hakikisha kila siku unaingia kwenye huu Mtandao na kusoma post mbalimbali zilizomo. 2. Ongeza (add) idadi ya marafiki kadri uwezavyo. 3. Walau kila siku uwe unapost kitu. 4. Jitahidi ku-like, comment katika post za wengine. 5. Jjtahidi kushare link ya Social Pop kwa watu wengine nje ya Mtandao huu, kama vile Whatsapp, facebook, insta, n.k
    Like
    Love
    3
    0 Commenti 0 condivisioni 599 Views
  • Mtoto wangu nisamehe sana #bmtrust #Socialpop
    Mtoto wangu nisamehe sana #bmtrust #Socialpop
    Like
    3
    0 Commenti 0 condivisioni 692 Views 9
  • Magician
    Magician
    Like
    Love
    2
    1 Commenti 0 condivisioni 669 Views 7
  • Like
    Love
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 373 Views
  • KUTOKA KWA RAISI WA TP MAZEMBE ..

    "Hatutakubali Yanga itufunge mara mbili kwani mara ya mwisho walitufunga hapa.Japo ni mpira wa miguu, lakini ushindi wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika lazima uwe dhidi ya Yanga."

    Moise Katumbi, Rais wa klabu ya TP Mazembe
    #socialpop
    David Atto
    馃毃 KUTOKA KWA RAISI WA TP MAZEMBE 馃嚚馃嚛.. "Hatutakubali Yanga itufunge mara mbili kwani mara ya mwisho walitufunga hapa.Japo ni mpira wa miguu, lakini ushindi wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika lazima uwe dhidi ya Yanga." 馃帣锔廙oise Katumbi, Rais wa klabu ya TP Mazembe #socialpop [Mefa]
    Like
    1
    1 Commenti 0 condivisioni 632 Views
  • Katika Kombe la Dunia la 1970, Mexico Anamfunga Ubelgiji na Kusonga Mbele Makundi. Akiwa Amelewa kwa Furaha Mlinzi wa Gereza la Chilpancing Mexico Akiwa na Bastola Akajikuta Anafungua Mageti na Kuwaachilia Wafungwa 142 Bila Kutarajia. Alisamehewa Kwakua Alikuwa Anashangilia Nchi Yake.

    Visit David Atto
    #socialpop
    Katika Kombe la Dunia la 1970, Mexico Anamfunga Ubelgiji na Kusonga Mbele Makundi. Akiwa Amelewa kwa Furaha Mlinzi wa Gereza la Chilpancing Mexico Akiwa na Bastola Akajikuta Anafungua Mageti na Kuwaachilia Wafungwa 142 Bila Kutarajia. Alisamehewa Kwakua Alikuwa Anashangilia Nchi Yake. Visit [Mefa] #socialpop
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 627 Views
  • 饾棤饾棓饾棫饾棬饾棡饾棞饾棦 饾棤饾棓饾棫饾棓饾棥饾棦 (5) 饾棳饾棓 饾棡饾棬饾棪饾棝饾棓饾棥饾棜饾棓饾棴饾棓 饾棡饾棬饾棤饾棬饾棝饾棬饾棪饾棬 饾棪饾棬饾棧饾棙饾棩 饾棤饾棓饾棩饾棞饾棦 饾棔饾棓饾棢饾棦饾棫饾棙饾棢饾棢饾棞

    haya ni matukio matano yaliyowafanya watu wamwone Mario ni kichaa

    Kwanza, akiwa na umri wa miaka 15 alienda kufanya majaribi katika klabunya Barcelona na alifuzu majaribio, shida ilikuja kwenye malipo, Super Balotelli alikuwa akihitaji malipo makubwa yaliyowashanganza Barcelona wakamwacha aende na akarudi kwao Italia.

    Pili, Balotelli alishawahi kuchoma nyumba anayoishi kisha akaenda kumwomba rafiki ya Richard waishi wote kwake, lakini Richard aligoma. Hata ungekuwa wewe ungekubali?

    Tatu, Wakati fulani Jose Morinho alikuwa kuwa akimsubiri Balotelli ili azungumze naye alipompigia simu Balotelli akamjibu nipo kuangalia mashindano ya FORMULA ONE ambayo hufanyika mara moja kwa mwaka lakini wewe kila siku naiona sura yako.

    Nne, wakati akiwa anacheza Inter Milan wakiwa mazoezi alipewa jezi ya Ac Milan alivaa na akaingia mazoezi, wakati mazoezi yanaendelea alimfanyia rafu mchezaji mwenzake, kocha akamwambia aondoke lakini akagoma na mwisho mazoezi yenyewe yakaahirishwa.

    tano, Ni story za Manchini na Balotelli, kama kuna kitu watengeneza filamu wanafeli basi ni kutengeneza filamu ya Balotelli na mzee wake Manchini. Manchini alipofika Manchester City alimkataa kabisa Balotelli kwasababu ya tabia za ujuaji pia alikuwa hachukulii serious mechi za kirafiki.
    饾棤饾棓饾棫饾棬饾棡饾棞饾棦 饾棤饾棓饾棫饾棓饾棥饾棦 (5) 饾棳饾棓 饾棡饾棬饾棪饾棝饾棓饾棥饾棜饾棓饾棴饾棓 饾棡饾棬饾棤饾棬饾棝饾棬饾棪饾棬 饾棪饾棬饾棧饾棙饾棩 饾棤饾棓饾棩饾棞饾棦 饾棔饾棓饾棢饾棦饾棫饾棙饾棢饾棢饾棞 haya ni matukio matano yaliyowafanya watu wamwone Mario ni kichaa Kwanza, akiwa na umri wa miaka 15 alienda kufanya majaribi katika klabunya Barcelona na alifuzu majaribio, shida ilikuja kwenye malipo, Super Balotelli alikuwa akihitaji malipo makubwa yaliyowashanganza Barcelona wakamwacha aende na akarudi kwao Italia. Pili, Balotelli alishawahi kuchoma nyumba anayoishi kisha akaenda kumwomba rafiki ya Richard waishi wote kwake, lakini Richard aligoma. Hata ungekuwa wewe ungekubali? Tatu, Wakati fulani Jose Morinho alikuwa kuwa akimsubiri Balotelli ili azungumze naye alipompigia simu Balotelli akamjibu nipo kuangalia mashindano ya FORMULA ONE ambayo hufanyika mara moja kwa mwaka lakini wewe kila siku naiona sura yako. Nne, wakati akiwa anacheza Inter Milan wakiwa mazoezi alipewa jezi ya Ac Milan alivaa na akaingia mazoezi, wakati mazoezi yanaendelea alimfanyia rafu mchezaji mwenzake, kocha akamwambia aondoke lakini akagoma na mwisho mazoezi yenyewe yakaahirishwa. tano, Ni story za Manchini na Balotelli, kama kuna kitu watengeneza filamu wanafeli basi ni kutengeneza filamu ya Balotelli na mzee wake Manchini. Manchini alipofika Manchester City alimkataa kabisa Balotelli kwasababu ya tabia za ujuaji pia alikuwa hachukulii serious mechi za kirafiki.
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 1K Views
  • Unaweza kumdanganya mwanamke akajua na bado akakusamehe, sio ujinga ni upendo.

    Mwanaume anaweza kutatua shida yako ilihali ana hali mbaya, sio msaada ni mapenzi.

    Kuna atakayejua huna la kumsaidia na bado hatokutenga, sio unafiki ni ubinadamu.

    Kuna atakayekupa nusu ya alichobakiwa nacho, sio utajiri ni moyo.

    Kuna atakayekufariji ilihali hata yeye anapitia maumivu, sio faraja ni utu.

    Kuna utakayemkosea na atakuomba yeye msamaha, sio ujinga ni ukomavu.

    Kuna atakayekesha kwaajili ya wengine walale, sio utumwa ni uthubutu.

    Upendo umefanya watu wengi sana wenye majeraha ya moyo, watabasamu mbele yetu ili kutibu huzuni zetu.

    Ni maisha.
    Unaweza kumdanganya mwanamke akajua na bado akakusamehe, sio ujinga ni upendo. Mwanaume anaweza kutatua shida yako ilihali ana hali mbaya, sio msaada ni mapenzi. Kuna atakayejua huna la kumsaidia na bado hatokutenga, sio unafiki ni ubinadamu. Kuna atakayekupa nusu ya alichobakiwa nacho, sio utajiri ni moyo. Kuna atakayekufariji ilihali hata yeye anapitia maumivu, sio faraja ni utu. Kuna utakayemkosea na atakuomba yeye msamaha, sio ujinga ni ukomavu. Kuna atakayekesha kwaajili ya wengine walale, sio utumwa ni uthubutu. Upendo umefanya watu wengi sana wenye majeraha ya moyo, watabasamu mbele yetu ili kutibu huzuni zetu. Ni maisha.
    Like
    Love
    3
    1 Commenti 0 condivisioni 651 Views
  • Klabu ya Real Madrid C.F. imepanga kuingilia kati dili la kumsajili wao mchezaji wa klabu ya Sunderland Jobe Bellingham.

    Lakini ugumu unakuja kuwa klabu ya Borussia Dortmund ilishamaliza mazungumzo kamili na wazazi wa kijana huyo na Jobe mwenyewe ameonesha kuvutiwa na Borussia Dortmund kuliko Real Madrid.

    FOLLOW ME @david davoo
    馃毃 Klabu ya Real Madrid C.F. imepanga kuingilia kati dili la kumsajili wao mchezaji wa klabu ya Sunderland Jobe Bellingham. Lakini ugumu unakuja kuwa klabu ya Borussia Dortmund ilishamaliza mazungumzo kamili na wazazi wa kijana huyo na Jobe mwenyewe ameonesha kuvutiwa na Borussia Dortmund kuliko Real Madrid. FOLLOW ME @david davoo
    Like
    1
    1 Commenti 0 condivisioni 624 Views