• MBONA SIJAELEWA HAPA!

    .Me:- mambo

    Dem:- poa

    Me:- unaishi wapi?

    Dem :- hapa tu Nairobi

    Me:- uko chuo?

    Dem:- ndio

    Me :- chuo gani

    Dem :- Urumah University
    Me:- Si NAMI paci unionee uruma na unipe fursa ya life yako.

    Dem:- ohooo! I am already to deserve you

    Me:- poa nimeangalia profile picture zako nimekupenda ghafla..."

    Dem:- Ahsante, una gari aina gani?!

    Me:- Nina land cruiser "

    Dem:- wahoo! Upo sahihi kunipenda najisikia raha ku chat na wewe".

    Me:- Ila Gari sio langu nimesaidiwa na rafiki yangu".

    Dem:- Nikuambie kitu!! Mimi nina boyfriend wangu na tunapendana sana

    Me:- land cruiser hiyo nimesadiwa na rafiki yangu kwasababu Gari yangu Harrier new model ilikuwa service"

    Dem:- nakutania tu sina boyfriend, Nilikua naye zamani mwenyewe tuliachana alikua mjinga mjinga sura mbaya walikua wananicheka wenzangu siku hizi nipo Single".

    Me:- wahoo Safi my dear ila Jana bank wamenipigia simu wanakuja kukamata gari yangu nakupigwa mnada kwasababu sijamaliza Deni🥹"

    Dem:- acha ni kuambie ukweli tu, Nina mume na watoto wawili"

    Me:- poa usijali ila niliongea na boss wangu amesema watanilipia ilo Deni na pia wataniamishia China, jijini Bahijing kuna tawi la kampuni yetu, kule nitakuwa General Manager.

    Dem:- jamani my dear, Nikuambie ukweli kutoka moyoni Mume wangu na Watoto wote walifariki miaka minne iliyopita.

    Wanawake mnatupeleka wapi Jameni?!!
    MBONA SIJAELEWA HAPA! .Me🧔:- mambo😊 Dem👰:- poa🤨 Me🧔:- unaishi wapi🙄? Dem 👰:- hapa tu Nairobi 😲 Me🧔:- uko chuo😊? Dem👰:- ndio😟 Me 🧔 :- chuo gani ☺️ Dem 👰:- Urumah University 🥰 Me🧔:- Si NAMI paci unionee uruma na unipe fursa ya life yako. Dem👰:- ohooo!🙆 I am already to deserve you 😍 Me🧔:- poa nimeangalia profile picture zako nimekupenda ghafla...😘" Dem👰:- Ahsante, una gari aina gani😒?! Me🧔:- Nina land cruiser 😊" Dem👰:- wahoo! Upo sahihi kunipenda najisikia raha ku chat na wewe😁". Me🧔:- Ila Gari sio langu nimesaidiwa na rafiki yangu🙄". Dem👰:- Nikuambie kitu!! Mimi nina boyfriend wangu na tunapendana sana💕 Me🧔:- land cruiser hiyo nimesadiwa na rafiki yangu kwasababu Gari yangu Harrier new model ilikuwa service😊" Dem👰:- nakutania tu sina boyfriend, Nilikua naye zamani mwenyewe tuliachana alikua mjinga mjinga sura mbaya walikua wananicheka wenzangu siku hizi nipo Single😁😁". Me🧔:- wahoo Safi my dear ila Jana bank wamenipigia simu wanakuja kukamata gari yangu nakupigwa mnada kwasababu sijamaliza Deni🥹" Dem👰:- acha ni kuambie ukweli tu, Nina mume na watoto wawili✌️" Me🧔:- poa usijali ila niliongea na boss wangu amesema watanilipia ilo Deni na pia wataniamishia China, jijini Bahijing kuna tawi la kampuni yetu, kule nitakuwa General Manager🕴️. Dem👰:- jamani my dear, Nikuambie ukweli kutoka moyoni Mume wangu na Watoto 👪wote walifariki miaka minne iliyopita. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Wanawake mnatupeleka wapi Jameni?!!
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры

  • FADLU DAVIS KOCHA WA SIMBA SC ASEMA UTAKUA MCHEZO MGUMU DHIDI YA KAGERA SUGAR FC.

    #paulswai
    FADLU DAVIS KOCHA WA SIMBA SC ASEMA UTAKUA MCHEZO MGUMU DHIDI YA KAGERA SUGAR FC. #paulswai
    Like
    3
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·357 Просмотры

  • ALLY SALIM "MAANDALIZI YOTE YA MCHEZO YAMEKAMILIKA" NBCPL: KAGERA SUGAR FC VS SIMBA SC.

    #paulswai
    ALLY SALIM "MAANDALIZI YOTE YA MCHEZO YAMEKAMILIKA" NBCPL: KAGERA SUGAR FC VS SIMBA SC. #paulswai
    Like
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·697 Просмотры
  • Kocha Fadlu akizungumzia mchezo wa kesho.

    #paulswai
    Kocha Fadlu akizungumzia mchezo wa kesho. #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·132 Просмотры
  • Ally Salim kwa niaba ya wachezaji wenzake namna wamejiandaa kuwakabili Kagera Sugar.

    #paulswai
    Ally Salim kwa niaba ya wachezaji wenzake namna wamejiandaa kuwakabili Kagera Sugar. #paulswai
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·158 Просмотры
  • Clean sheet 10 kwenye Ligi Kuu kwa mwamba Camara

    Namba zinaongea.

    #paulswai
    Clean sheet 10 kwenye Ligi Kuu kwa mwamba Camara 🧤 Namba zinaongea. #paulswai
    0 Комментарии ·0 Поделились ·159 Просмотры
  • Niambie anahasira sana Alafu akauliza nani anaongoza kwa Magoli

    #paulswai
    Niambie anahasira sana Alafu akauliza nani anaongoza kwa Magoli 🔥 #paulswai
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·138 Просмотры
  • NOUMA 50/50 KUWAVAA KAGERA
    “Tunahitaji kufuatilia ripoti ya daktari kujua atakuwa tayari ama laa…! Alipata majeraha kidogo kwenye mchezo uliopita lakini ndiye mchezaji pekee tuliyesafiri naye ambaye naweza kusema hatuna uhakika naye sana kutumika”

    - Fadlu Davids, Kocha wa Simba SC kuelekea mechi ya Kagera Sugar

    #paulswai
    🚨 NOUMA 50/50 KUWAVAA KAGERA “Tunahitaji kufuatilia ripoti ya daktari kujua atakuwa tayari ama laa…! Alipata majeraha kidogo kwenye mchezo uliopita lakini ndiye mchezaji pekee tuliyesafiri naye ambaye naweza kusema hatuna uhakika naye sana kutumika” - Fadlu Davids, Kocha wa Simba SC kuelekea mechi ya Kagera Sugar #paulswai
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·545 Просмотры
  • JE UNAJUA?

    Picha inaonesha Mwaka 1972, Dar es Salaam Rais Jaffery Nimeiry wa Sudan akikagua wachezaji wa Taifa Stars waliokuwa vifua wazi. Kapten Abrahaman Juma akimtambulisha kwa Omary Zimbwe, Mohamed Chuma, Kitwana Manara na Abdalla KIbadeni. Rais J. K. Nyerere alikuwa Jukwaa Kuu.

    Inasemekana, Jezi za Taifa Stars zilikuwa zimepelekwa kwa Mganga wa Kienyeji ili ishinde siku ya mechi. Meneja wa Taifa Stars alizifuata lakini bahati mbaya hakumkuta Mganga nyumbani kwake,

    Kwakuwa alikwenda na basi la timu, ilibidi wachezaji waende uwanja wa Taifa kwa miguu toka Hosteli ya Jeshi la Wokovu, Kurasini. Meneja wa taifa stars alikuwa ni Chambanga H. Dyamwale mnamo 1972.

    Kutokana na fedheha hiyo kubwa, inasemekana Rais Nyerere alisusa kukanyaga tena mpirani mpka kufa kwake.
    JE UNAJUA? Picha inaonesha Mwaka 1972, Dar es Salaam Rais Jaffery Nimeiry wa Sudan akikagua wachezaji wa Taifa Stars waliokuwa vifua wazi. Kapten Abrahaman Juma akimtambulisha kwa Omary Zimbwe, Mohamed Chuma, Kitwana Manara na Abdalla KIbadeni. Rais J. K. Nyerere alikuwa Jukwaa Kuu. Inasemekana, Jezi za Taifa Stars zilikuwa zimepelekwa kwa Mganga wa Kienyeji ili ishinde siku ya mechi. Meneja wa Taifa Stars alizifuata lakini bahati mbaya hakumkuta Mganga nyumbani kwake, Kwakuwa alikwenda na basi la timu, ilibidi wachezaji waende uwanja wa Taifa kwa miguu toka Hosteli ya Jeshi la Wokovu, Kurasini. Meneja wa taifa stars alikuwa ni Chambanga H. Dyamwale mnamo 1972. Kutokana na fedheha hiyo kubwa, inasemekana Rais Nyerere alisusa kukanyaga tena mpirani mpka kufa kwake.
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·305 Просмотры
  • 0 Комментарии ·0 Поделились ·111 Просмотры