MBONA SIJAELEWA HAPA!
.Me:- mambo
Dem:- poa
 Me:- unaishi wapi?
Dem :- hapa tu Nairobi 
 Me:- uko chuo?
 Dem:- ndio
Me  :- chuo gani 
Dem :- Urumah University 
Me:- Si NAMI paci unionee uruma na unipe fursa ya life yako.
Dem:- ohooo! I am already to deserve you 
 Me:- poa nimeangalia profile picture zako nimekupenda ghafla..."
 Dem:- Ahsante, una gari aina gani?!
 Me:- Nina land cruiser "
 Dem:- wahoo! Upo sahihi kunipenda najisikia raha ku chat na wewe".
 Me:- Ila Gari sio langu nimesaidiwa na    rafiki yangu".
 Dem:- Nikuambie kitu!! Mimi nina boyfriend wangu na tunapendana sana 
Me:- land cruiser hiyo nimesadiwa  na rafiki yangu kwasababu Gari yangu Harrier new model ilikuwa service"
 Dem:- nakutania tu sina boyfriend, Nilikua naye zamani mwenyewe tuliachana alikua mjinga mjinga sura mbaya walikua wananicheka wenzangu siku hizi nipo Single".
Me:- wahoo Safi my dear ila Jana bank wamenipigia simu wanakuja kukamata gari yangu nakupigwa mnada kwasababu sijamaliza Deni🥹"
Dem:- acha ni kuambie ukweli tu, Nina mume na watoto wawili"
Me:- poa usijali ila niliongea na boss wangu amesema watanilipia ilo Deni na pia wataniamishia China, jijini Bahijing  kuna tawi la kampuni yetu, kule nitakuwa General Manager.
Dem:- jamani my dear, Nikuambie ukweli kutoka moyoni Mume wangu na Watoto wote walifariki miaka minne iliyopita.
 Wanawake mnatupeleka wapi Jameni?!!
		
	MBONA SIJAELEWA HAPA!
.Me🧔:- mambo😊
Dem👰:- poa🤨
 Me🧔:- unaishi wapi🙄?
Dem 👰:- hapa tu Nairobi 😲
 Me🧔:- uko chuo😊?
 Dem👰:- ndio😟
Me 🧔 :- chuo gani ☺️
Dem 👰:- Urumah University 🥰
Me🧔:- Si NAMI paci unionee uruma na unipe fursa ya life yako.
Dem👰:- ohooo!🙆 I am already to deserve you 😍
 Me🧔:- poa nimeangalia profile picture zako nimekupenda ghafla...😘"
 Dem👰:- Ahsante, una gari aina gani😒?!
 Me🧔:- Nina land cruiser 😊"
 Dem👰:- wahoo! Upo sahihi kunipenda najisikia raha ku chat na wewe😁".
 Me🧔:- Ila Gari sio langu nimesaidiwa na    rafiki yangu🙄".
 Dem👰:- Nikuambie kitu!! Mimi nina boyfriend wangu na tunapendana sana💕 
Me🧔:- land cruiser hiyo nimesadiwa  na rafiki yangu kwasababu Gari yangu Harrier new model ilikuwa service😊"
 Dem👰:- nakutania tu sina boyfriend, Nilikua naye zamani mwenyewe tuliachana alikua mjinga mjinga sura mbaya walikua wananicheka wenzangu siku hizi nipo Single😁😁".
Me🧔:- wahoo Safi my dear ila Jana bank wamenipigia simu wanakuja kukamata gari yangu nakupigwa mnada kwasababu sijamaliza Deni🥹"
Dem👰:- acha ni kuambie ukweli tu, Nina mume na watoto wawili✌️"
Me🧔:- poa usijali ila niliongea na boss wangu amesema watanilipia ilo Deni na pia wataniamishia China, jijini Bahijing  kuna tawi la kampuni yetu, kule nitakuwa General Manager🕴️.
Dem👰:- jamani my dear, Nikuambie ukweli kutoka moyoni Mume wangu na Watoto 👪wote walifariki miaka minne iliyopita.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Wanawake mnatupeleka wapi Jameni?!!