• *Idadi ya wagonjwa wa afya ya akili imeendelea kupungua katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe iliyoko Dodoma kwa mwaka 2023-24, kufuatia juhudi za kutoa elimu kuhusu msongo wa mawazo na njia za kukabiliana na changamoto hiyo.

    *Idadi ya wagonjwa wa afya ya akili imeendelea kupungua katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe iliyoko Dodoma kwa mwaka 2023-24, kufuatia juhudi za kutoa elimu kuhusu msongo wa mawazo na njia za kukabiliana na changamoto hiyo.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·667 Views
  • Like
    1
    · 3 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·482 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·487 Views
  • niwajibu wetu kimshukulu mungu kila wakat niwatakie ijumaa njema
    niwajibu wetu kimshukulu mungu kila wakat niwatakie ijumaa njema
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·475 Views
  • MBONA SIJAELEWA HAPA!

    .Me:- mambo

    Dem:- poa

    Me:- unaishi wapi?

    Dem :- hapa tu Nairobi

    Me:- uko chuo?

    Dem:- ndio

    Me :- chuo gani

    Dem :- Urumah University
    Me:- Si NAMI paci unionee uruma na unipe fursa ya life yako.

    Dem:- ohooo! I am already to deserve you

    Me:- poa nimeangalia profile picture zako nimekupenda ghafla..."

    Dem:- Ahsante, una gari aina gani?!

    Me:- Nina land cruiser "

    Dem:- wahoo! Upo sahihi kunipenda najisikia raha ku chat na wewe".

    Me:- Ila Gari sio langu nimesaidiwa na rafiki yangu".

    Dem:- Nikuambie kitu!! Mimi nina boyfriend wangu na tunapendana sana

    Me:- land cruiser hiyo nimesadiwa na rafiki yangu kwasababu Gari yangu Harrier new model ilikuwa service"

    Dem:- nakutania tu sina boyfriend, Nilikua naye zamani mwenyewe tuliachana alikua mjinga mjinga sura mbaya walikua wananicheka wenzangu siku hizi nipo Single".

    Me:- wahoo Safi my dear ila Jana bank wamenipigia simu wanakuja kukamata gari yangu nakupigwa mnada kwasababu sijamaliza Deni🥹"

    Dem:- acha ni kuambie ukweli tu, Nina mume na watoto wawili"

    Me:- poa usijali ila niliongea na boss wangu amesema watanilipia ilo Deni na pia wataniamishia China, jijini Bahijing kuna tawi la kampuni yetu, kule nitakuwa General Manager.

    Dem:- jamani my dear, Nikuambie ukweli kutoka moyoni Mume wangu na Watoto wote walifariki miaka minne iliyopita.

    Wanawake mnatupeleka wapi Jameni?!!
    MBONA SIJAELEWA HAPA! .Me🧔:- mambo😊 Dem👰:- poa🤨 Me🧔:- unaishi wapi🙄? Dem 👰:- hapa tu Nairobi 😲 Me🧔:- uko chuo😊? Dem👰:- ndio😟 Me 🧔 :- chuo gani ☺️ Dem 👰:- Urumah University 🥰 Me🧔:- Si NAMI paci unionee uruma na unipe fursa ya life yako. Dem👰:- ohooo!🙆 I am already to deserve you 😍 Me🧔:- poa nimeangalia profile picture zako nimekupenda ghafla...😘" Dem👰:- Ahsante, una gari aina gani😒?! Me🧔:- Nina land cruiser 😊" Dem👰:- wahoo! Upo sahihi kunipenda najisikia raha ku chat na wewe😁". Me🧔:- Ila Gari sio langu nimesaidiwa na rafiki yangu🙄". Dem👰:- Nikuambie kitu!! Mimi nina boyfriend wangu na tunapendana sana💕 Me🧔:- land cruiser hiyo nimesadiwa na rafiki yangu kwasababu Gari yangu Harrier new model ilikuwa service😊" Dem👰:- nakutania tu sina boyfriend, Nilikua naye zamani mwenyewe tuliachana alikua mjinga mjinga sura mbaya walikua wananicheka wenzangu siku hizi nipo Single😁😁". Me🧔:- wahoo Safi my dear ila Jana bank wamenipigia simu wanakuja kukamata gari yangu nakupigwa mnada kwasababu sijamaliza Deni🥹" Dem👰:- acha ni kuambie ukweli tu, Nina mume na watoto wawili✌️" Me🧔:- poa usijali ila niliongea na boss wangu amesema watanilipia ilo Deni na pia wataniamishia China, jijini Bahijing kuna tawi la kampuni yetu, kule nitakuwa General Manager🕴️. Dem👰:- jamani my dear, Nikuambie ukweli kutoka moyoni Mume wangu na Watoto 👪wote walifariki miaka minne iliyopita. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Wanawake mnatupeleka wapi Jameni?!!
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views

  • FADLU DAVIS KOCHA WA SIMBA SC ASEMA UTAKUA MCHEZO MGUMU DHIDI YA KAGERA SUGAR FC.

    #paulswai
    FADLU DAVIS KOCHA WA SIMBA SC ASEMA UTAKUA MCHEZO MGUMU DHIDI YA KAGERA SUGAR FC. #paulswai
    Like
    3
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·369 Views

  • ALLY SALIM "MAANDALIZI YOTE YA MCHEZO YAMEKAMILIKA" NBCPL: KAGERA SUGAR FC VS SIMBA SC.

    #paulswai
    ALLY SALIM "MAANDALIZI YOTE YA MCHEZO YAMEKAMILIKA" NBCPL: KAGERA SUGAR FC VS SIMBA SC. #paulswai
    Like
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·758 Views
  • Kocha Fadlu akizungumzia mchezo wa kesho.

    #paulswai
    Kocha Fadlu akizungumzia mchezo wa kesho. #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·142 Views
  • Ally Salim kwa niaba ya wachezaji wenzake namna wamejiandaa kuwakabili Kagera Sugar.

    #paulswai
    Ally Salim kwa niaba ya wachezaji wenzake namna wamejiandaa kuwakabili Kagera Sugar. #paulswai
    Like
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·166 Views
  • Clean sheet 10 kwenye Ligi Kuu kwa mwamba Camara

    Namba zinaongea.

    #paulswai
    Clean sheet 10 kwenye Ligi Kuu kwa mwamba Camara 🧤 Namba zinaongea. #paulswai
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·166 Views