• MSIKILIZE KIBWANA
    MSIKILIZE KIBWANA
    Like
    Love
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·414 Ansichten
  • HESHIMA KWAKE KIBWANA. UTADHANI HAKUWA NJE YA GAME KWA MUDA MREFU
    HESHIMA KWAKE KIBWANA. UTADHANI HAKUWA NJE YA GAME KWA MUDA MREFU
    Like
    Love
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·429 Ansichten
  • HAT TRICK YA KWANZA LIGI KUU MSIMU HUU NA TANGU UWANJA WA KMC UANZE
    HAT TRICK YA KWANZA LIGI KUU MSIMU HUU NA TANGU UWANJA WA KMC UANZE
    Like
    Love
    Yay
    4
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·169 Ansichten
  • Haha
    Love
    4
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·171 Ansichten
  • TANGAZO TANGAZO.

    Kwa wale *mnaokuja* kula *christmas vijijini* zingatia yafuatayo:

    1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 2 usiku hivyo mkae kwa kutulia.

    2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako.

    3. Hakuna kuchotewa maji ya kuoga mtoni unaenda mwenyewe.

    4. Mje na midoli ya kuchezea watoto wenu wasije kutunyongea vifaranga.

    5. Hakuna kuchinjiwa kuku hadi siku ya christmas.

    6. Ukimaliza kuoga toka na sabuni kwa sababu hiyo hiyo ndo tunaoshea vyombo.

    7. Ukija na mke au mume wako asianze kusema mboga hii akila anaumwa tumbo sisi tunakujua tangu ulivyokuwa mdogo ulikuwa unakula maembe yenye wadudu na haukuwahi kuumwa tumbo kwa hiyo mtakula chochote kitakachopikwa.

    8. Huku hakuna kumbembeleza mtoto wakati wa kula akikataa kula sisi tunakula na tunamaliza.

    9. Usiku hakuna kumulikiwa tundu la choo unapapasa na mguu tu.

    10. Hakuna Kutupa ugali uliolala huo ni mkate wetu asubuhi.

    11. Hakuna mto wa kulalia huku unalalia mikono tu.

    12. La mwisho wale mliopo kwenye ajira zaidi ya miaka 10 na huku nyumbani hamjajenga mtakuwa mnalala kwa mwenyekiti.

    Ahsanteni na karibuni sana
    🇹🇿TANGAZO TANGAZO.🇹🇿 Kwa wale *mnaokuja* kula *christmas vijijini* zingatia yafuatayo: 1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 2 usiku hivyo mkae kwa kutulia. 2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako. 3. Hakuna kuchotewa maji ya kuoga mtoni unaenda mwenyewe. 4. Mje na midoli ya kuchezea watoto wenu wasije kutunyongea vifaranga. 5. Hakuna kuchinjiwa kuku hadi siku ya christmas. 6. Ukimaliza kuoga toka na sabuni kwa sababu hiyo hiyo ndo tunaoshea vyombo. 7. Ukija na mke au mume wako asianze kusema mboga hii akila anaumwa tumbo sisi tunakujua tangu ulivyokuwa mdogo ulikuwa unakula maembe yenye wadudu na haukuwahi kuumwa tumbo kwa hiyo mtakula chochote kitakachopikwa. 8. Huku hakuna kumbembeleza mtoto wakati wa kula akikataa kula sisi tunakula na tunamaliza. 9. Usiku hakuna kumulikiwa tundu la choo unapapasa na mguu tu. 10. Hakuna Kutupa ugali uliolala huo ni mkate wetu asubuhi. 11. Hakuna mto wa kulalia huku unalalia mikono tu. 12. La mwisho wale mliopo kwenye ajira zaidi ya miaka 10 na huku nyumbani hamjajenga mtakuwa mnalala kwa mwenyekiti. Ahsanteni na karibuni sana 🙏🙏😂
    Haha
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·612 Ansichten
  • Habari za ahsubuh wananchi kutoka kwa mwana wa mfalme Prince Dube
    #timuyawananchi
    #yangasc
    #daimambelenyumamwiko
    Habari za ahsubuh wananchi kutoka kwa mwana wa mfalme Prince Dube 😂😀💪 #timuyawananchi #yangasc #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·733 Ansichten
  • *Idadi ya wagonjwa wa afya ya akili imeendelea kupungua katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe iliyoko Dodoma kwa mwaka 2023-24, kufuatia juhudi za kutoa elimu kuhusu msongo wa mawazo na njia za kukabiliana na changamoto hiyo.

    *Idadi ya wagonjwa wa afya ya akili imeendelea kupungua katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe iliyoko Dodoma kwa mwaka 2023-24, kufuatia juhudi za kutoa elimu kuhusu msongo wa mawazo na njia za kukabiliana na changamoto hiyo.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·542 Ansichten
  • Like
    1
    · 3 Kommentare ·0 Anteile ·333 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·338 Ansichten
  • niwajibu wetu kimshukulu mungu kila wakat niwatakie ijumaa njema
    niwajibu wetu kimshukulu mungu kila wakat niwatakie ijumaa njema
    0 Kommentare ·0 Anteile ·335 Ansichten