• Niambie anahasira sana Alafu akauliza nani anaongoza kwa Magoli

    #paulswai
    Niambie anahasira sana Alafu akauliza nani anaongoza kwa Magoli 🔥 #paulswai
    Like
    1
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·148 Ansichten
  • NOUMA 50/50 KUWAVAA KAGERA
    “Tunahitaji kufuatilia ripoti ya daktari kujua atakuwa tayari ama laa…! Alipata majeraha kidogo kwenye mchezo uliopita lakini ndiye mchezaji pekee tuliyesafiri naye ambaye naweza kusema hatuna uhakika naye sana kutumika”

    - Fadlu Davids, Kocha wa Simba SC kuelekea mechi ya Kagera Sugar

    #paulswai
    🚨 NOUMA 50/50 KUWAVAA KAGERA “Tunahitaji kufuatilia ripoti ya daktari kujua atakuwa tayari ama laa…! Alipata majeraha kidogo kwenye mchezo uliopita lakini ndiye mchezaji pekee tuliyesafiri naye ambaye naweza kusema hatuna uhakika naye sana kutumika” - Fadlu Davids, Kocha wa Simba SC kuelekea mechi ya Kagera Sugar #paulswai
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·626 Ansichten
  • JE UNAJUA?

    Picha inaonesha Mwaka 1972, Dar es Salaam Rais Jaffery Nimeiry wa Sudan akikagua wachezaji wa Taifa Stars waliokuwa vifua wazi. Kapten Abrahaman Juma akimtambulisha kwa Omary Zimbwe, Mohamed Chuma, Kitwana Manara na Abdalla KIbadeni. Rais J. K. Nyerere alikuwa Jukwaa Kuu.

    Inasemekana, Jezi za Taifa Stars zilikuwa zimepelekwa kwa Mganga wa Kienyeji ili ishinde siku ya mechi. Meneja wa Taifa Stars alizifuata lakini bahati mbaya hakumkuta Mganga nyumbani kwake,

    Kwakuwa alikwenda na basi la timu, ilibidi wachezaji waende uwanja wa Taifa kwa miguu toka Hosteli ya Jeshi la Wokovu, Kurasini. Meneja wa taifa stars alikuwa ni Chambanga H. Dyamwale mnamo 1972.

    Kutokana na fedheha hiyo kubwa, inasemekana Rais Nyerere alisusa kukanyaga tena mpirani mpka kufa kwake.
    JE UNAJUA? Picha inaonesha Mwaka 1972, Dar es Salaam Rais Jaffery Nimeiry wa Sudan akikagua wachezaji wa Taifa Stars waliokuwa vifua wazi. Kapten Abrahaman Juma akimtambulisha kwa Omary Zimbwe, Mohamed Chuma, Kitwana Manara na Abdalla KIbadeni. Rais J. K. Nyerere alikuwa Jukwaa Kuu. Inasemekana, Jezi za Taifa Stars zilikuwa zimepelekwa kwa Mganga wa Kienyeji ili ishinde siku ya mechi. Meneja wa Taifa Stars alizifuata lakini bahati mbaya hakumkuta Mganga nyumbani kwake, Kwakuwa alikwenda na basi la timu, ilibidi wachezaji waende uwanja wa Taifa kwa miguu toka Hosteli ya Jeshi la Wokovu, Kurasini. Meneja wa taifa stars alikuwa ni Chambanga H. Dyamwale mnamo 1972. Kutokana na fedheha hiyo kubwa, inasemekana Rais Nyerere alisusa kukanyaga tena mpirani mpka kufa kwake.
    Like
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·311 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·123 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·123 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·128 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·126 Ansichten
  • Maua ya Kibwana Shomari
    Maua ya Kibwana Shomari 🔥
    0 Kommentare ·0 Anteile ·389 Ansichten
  • Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·178 Ansichten
  • KUMBE ILIKUWA INAFAHAMIKA
    KUMBE ILIKUWA INAFAHAMIKA
    Love
    Like
    3
    · 0 Kommentare ·1 Anteile ·746 Ansichten ·71