Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-25 16:05:49 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·132 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-25 16:06:09 ·
    "Haitochukua muda Wananchi wataanza tena kurejea ule mpira wao na mabao yao, haitochukua muda kabla Clement Mzize aanze kupokea ofa nyingi huko nje, haitochukua muda kuanza kutenganisha maji na mafuta, haichukui muda kugundua Prince Dube kamba zote hajafunga penati, haitochukua muda timu zitaanza kuitwa Matawi.

    Kama hii hali itaendelea haitochukua muda jina la GSM na udhamini kuanza kuwa kiitikio kwenye ule wimbo maarufu, haitochukua muda kusikia Marefa na TFF wote ni Wananchi, haitochukua muda sana" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Haitochukua muda Wananchi wataanza tena kurejea ule mpira wao na mabao yao, haitochukua muda kabla Clement Mzize aanze kupokea ofa nyingi huko nje, haitochukua muda kuanza kutenganisha maji na mafuta, haichukui muda kugundua Prince Dube kamba zote hajafunga penati, haitochukua muda timu zitaanza kuitwa Matawi. Kama hii hali itaendelea haitochukua muda jina la GSM na udhamini kuanza kuwa kiitikio kwenye ule wimbo maarufu, haitochukua muda kusikia Marefa na TFF wote ni Wananchi, haitochukua muda sana😀" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·613 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-25 16:06:42 ·
    Matokeo ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

    FT': DODOMA JIJI FC 0-4 YOUNG AFRICANS SC
    ⚽️ 18” Mzize
    ⚽️ 29” Ki Aziz (p)
    ⚽️ 37” Mzize
    ⚽️ 63” Dube

    Matokeo ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara FT': DODOMA JIJI FC 0-4 YOUNG AFRICANS SC ⚽️ 18” Mzize ⚽️ 29” Ki Aziz (p) ⚽️ 37” Mzize ⚽️ 63” Dube
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·629 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-25 16:08:58 ·
    Hivi Manara TV huwa wanaandika kichwa cha habari mwenyewe au wanapewa
    Hivi Manara TV huwa wanaandika kichwa cha habari mwenyewe au wanapewa 😳
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·144 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • ALFADI Limwatha @Alfad06 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-12-25 17:54:55 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·267 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Duduu Mendez @Duduu_mendez
    2024-12-25 18:00:36 ·
    TODAY'S TIPS. 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 COMMUNITY

    Link za kitapeli au link zisizoaminika
    Usije ukachukulia poah pale unapotumiwa link ambazo huzielew na ukazifungua? Inaweza kuwa hatari

    Wakati unafungua hizo link ambazo hacker kazituma baada ya kutumia njia inayofahamika kama PHISHING ATTACK, unaweza kupoteza data zako za muhimu, taarifa zako za simu anaweza kuzichukua, unaweza kupata viruses and malware kwenye simu yako, kifaa chako kuwa hacked na kuibiwa password na vitu vya muhimu

    Kuna watu wanasema simu yako haina cha faida anachoweza akaiba akafaidika, Hacker siku zote huwa anafikiria sana zaidi ya malengo yako, akiona kifaa chako hakina Vitu vya muhimu bas atatumia kifaa hicho kupata hivyo vitu kwa wengine au kutumia kifaa chako kufanya Uhalifu bila ww kujua.

    NB: _TUWENI MAKINI NA LINK TUNAZOFUNGUA_

    NAMNA YA KUTAMBUA LINK ZA KITAPELI
    Domain ya hizi link huwa haieleweki mfano mtu anaweza kujifanya anatoa zawadi kutoka vodacom link yake itakuw kam hivi (www.voda.reward.xyz) wakati domain halisi ya vodacom inatakiwa iwe (www.vodacom.co.tz) au (www.vodacom.com)

    KAMA UNAONA LINK INATIA MASHAKA COPY HIO KISHA PASTE KWENYE BROWSER KAMA (BRAVE, TOR BROWSER)
    Hizo browser zitapunguza attacking effect

    _EPUKA KUFUNGUA LINK BILA KUWA NA UHAKIKA NAYO_

    MERRY CHRISTMAS FAMS

    #Duduumendez
    #Duduu_mendez

    For more tips follow me telegram Duduu_mendez_backup
    TODAY'S TIPS. 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 COMMUNITY Link za kitapeli au link zisizoaminika Usije ukachukulia poah pale unapotumiwa link ambazo huzielew na ukazifungua? Inaweza kuwa hatari Wakati unafungua hizo link ambazo hacker kazituma baada ya kutumia njia inayofahamika kama PHISHING ATTACK, unaweza kupoteza data zako za muhimu, taarifa zako za simu anaweza kuzichukua, unaweza kupata viruses and malware kwenye simu yako, kifaa chako kuwa hacked na kuibiwa password na vitu vya muhimu Kuna watu wanasema simu yako haina cha faida anachoweza akaiba akafaidika, Hacker siku zote huwa anafikiria sana zaidi ya malengo yako, akiona kifaa chako hakina Vitu vya muhimu bas atatumia kifaa hicho kupata hivyo vitu kwa wengine au kutumia kifaa chako kufanya Uhalifu bila ww kujua. NB: _TUWENI MAKINI NA LINK TUNAZOFUNGUA_ NAMNA YA KUTAMBUA LINK ZA KITAPELI Domain ya hizi link huwa haieleweki mfano mtu anaweza kujifanya anatoa zawadi kutoka vodacom link yake itakuw kam hivi (www.voda.reward.xyz) wakati domain halisi ya vodacom inatakiwa iwe (www.vodacom.co.tz) au (www.vodacom.com) KAMA UNAONA LINK INATIA MASHAKA COPY HIO KISHA PASTE KWENYE BROWSER KAMA (BRAVE, TOR BROWSER) Hizo browser zitapunguza attacking effect _EPUKA KUFUNGUA LINK BILA KUWA NA UHAKIKA NAYO_ MERRY CHRISTMAS FAMS #Duduumendez #Duduu_mendez For more tips follow me telegram Duduu_mendez_backup
    Like
    2
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-25 18:51:07 ·
    Kwenye Press yake ya kwanza aliyofanya baada ya kukabidhiwa timu, Kocha Sead Ramovic akiielezea style na Falsafa zake za uchezaji alisema;

    "I like this kind of heavy rock and roll game to attack and press, not to let the opponent breath"

    1. Kuzuia kwa shinikizo kubwa kwaajili ya kupora umiliki wa mpira pindi ukiwa kwa wapinzani wao (High Pressure defensive style), na kuanza kuzuia kwa haraka na shinikizo kubwa pindi wanapopoteza umiliki wa mpira (Counter Pressing)

    2. Kushambulia kwa mashambulizi ya moja kwa moja na kushambulia kwa kujibu pindi wanapopokonya umiliki wa mpira baada ya kuzuia kwa presha kubwa

    - Hichi ndicho wanachokionesha kwasasa

    Yanga leo msingi wa Ubora wao ulianzia Kwa namna Wanavyozuia kwa "NJAA KALI" wakiwa na miundo miwili ya kimkakati hasa kuzuia Dodoma Kupita katikati kwa viungo wa kati.

    - Kuna nyakati Yanga Walizuia na 4-2-3-1, hizi ni nyakati Dodoma wakijenga shambulizi na Kiungo mmoja, Daudi
    - Kuna nyakati Yanga Walizuia na 4-1-4-1, hizi ni nyakati Dodoma wakijenga shambulizi na Viungo wawili wa kati, Daudi na Hoza

    Hii ina maana Yanga walikuwa wana adapt idadi ya wachezaji wa Dodoma wanaoweza ku-progress build up kutoka nyuma, ambapo;

    - Aziz na Mudathir waliwa-mark Daudi na Hoza kuzuia Central Progressions
    - Mzize na Pacome walisimama katikati ya Full Backs na Center Backs wa Dodoma kuzuia Wide Progressions
    - Yanga walimsimamisha Dube mbele, akawa dhidi ya mabeki wawili na kipa wa Dodoma kutowapa uhuru

    Lengo la pili la Yanga likawa kupora mipira na kujibu mashambulizi kwenye moment ndiyo MECHANISM ya magoli yote yalipochorwa;

    - Wachezaji walijua tendo linalofuata baada ya kupora mpira
    - wakishambulia space behind haraka, wakafaidika na kasi yao iliyozidi RECOVERY RUNS za wachezaji wa Dodoma

    Siyo kwamba Dodoma hawakuwa wafanisi, bali kasi yao ya Ufanisi ilizidiwa na Presha ya Yanga, baada ya Presha;

    - Quick Runs behind
    - Wapo kwa idadi kubwa
    - Energetic
    - Accuracy ya matendo

    PIRA ,GUSA, ACHIA TWENDE KWAO

    👉 Kwenye Press yake ya kwanza aliyofanya baada ya kukabidhiwa timu, Kocha Sead Ramovic akiielezea style na Falsafa zake za uchezaji alisema; 🗣️ "I like this kind of heavy rock and roll game to attack and press, not to let the opponent breath" 1. Kuzuia kwa shinikizo kubwa kwaajili ya kupora umiliki wa mpira pindi ukiwa kwa wapinzani wao (High Pressure defensive style), na kuanza kuzuia kwa haraka na shinikizo kubwa pindi wanapopoteza umiliki wa mpira (Counter Pressing) 2. Kushambulia kwa mashambulizi ya moja kwa moja na kushambulia kwa kujibu pindi wanapopokonya umiliki wa mpira baada ya kuzuia kwa presha kubwa - Hichi ndicho wanachokionesha kwasasa 👉 Yanga leo msingi wa Ubora wao ulianzia Kwa namna Wanavyozuia kwa "NJAA KALI" wakiwa na miundo miwili ya kimkakati hasa kuzuia Dodoma Kupita katikati kwa viungo wa kati. - Kuna nyakati Yanga Walizuia na 4-2-3-1, hizi ni nyakati Dodoma wakijenga shambulizi na Kiungo mmoja, Daudi - Kuna nyakati Yanga Walizuia na 4-1-4-1, hizi ni nyakati Dodoma wakijenga shambulizi na Viungo wawili wa kati, Daudi na Hoza 👉 Hii ina maana Yanga walikuwa wana adapt idadi ya wachezaji wa Dodoma wanaoweza ku-progress build up kutoka nyuma, ambapo; - Aziz na Mudathir waliwa-mark Daudi na Hoza kuzuia Central Progressions - Mzize na Pacome walisimama katikati ya Full Backs na Center Backs wa Dodoma kuzuia Wide Progressions - Yanga walimsimamisha Dube mbele, akawa dhidi ya mabeki wawili na kipa wa Dodoma kutowapa uhuru 👉 Lengo la pili la Yanga likawa kupora mipira na kujibu mashambulizi kwenye moment ndiyo MECHANISM ya magoli yote yalipochorwa; - Wachezaji walijua tendo linalofuata baada ya kupora mpira - wakishambulia space behind haraka, wakafaidika na kasi yao iliyozidi RECOVERY RUNS za wachezaji wa Dodoma 👉 Siyo kwamba Dodoma hawakuwa wafanisi, bali kasi yao ya Ufanisi ilizidiwa na Presha ya Yanga, baada ya Presha; - Quick Runs behind - Wapo kwa idadi kubwa - Energetic - Accuracy ya matendo PIRA ,GUSA, ACHIA TWENDE KWAO 🙌
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·934 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-25 18:51:20 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·131 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Manoza Ramadhan @manoza76 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-12-25 20:06:09 ·
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·317 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Manoza Ramadhan @manoza76 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-25 20:16:53 ·
    4Gplus
    4Gplus
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·318 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (19961-19970 από 28348)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 1995
  • 1996
  • 1997
  • 1998
  • 1999
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers