Risultati di ricerca
Mostra tutti i risultati
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Gruppi
Pagine
Marketplace
Mostra tutto
Gruppi Pagine Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Iscriviti
Registrati Iscriviti
Theme Switcher
Night Mode
Elenco
Utenti
Articoli
Pagine
Gruppi
Events
  • Paul Swai @paulswai ha aggiunto una foto
    2024-12-28 06:20:50 ·
    Good morning WANASIMBA tunaanza na mungu.

    #paulswai
    Good morning WANASIMBA tunaanza na mungu. #paulswai
    Like
    Love
    5
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·334 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Gaudesia Ibrahim @Gaudesia ha aggiunto una foto
    2024-12-28 06:27:34 ·
    Night
    Night
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·305 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Gaudesia Ibrahim @Gaudesia ha aggiunto una foto
    2024-12-28 06:29:09 ·
    Jasper Martin
    Jasper Martin
    Like
    3
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·318 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • David Atto @Mefa ha aggiunto una foto
    2024-12-28 08:18:12 ·
    Love
    Like
    Haha
    7
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·320 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Ally Messi1 @allymessi1 ha aggiunto una foto
    2024-12-28 10:53:01 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·239 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Paul Swai @paulswai ha aggiunto una foto
    2024-12-28 12:09:13 ·
    KIKOSI CHA MNYAMA. NBCPREMIERLEAGUE

    #paulswai
    KIKOSI CHA MNYAMA. NBCPREMIERLEAGUE #paulswai
    Love
    Like
    5
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·1K Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • David Atto @Mefa ha aggiunto una foto
    2024-12-28 13:09:05 ·
    Like
    Love
    6
    · 1 Commenti ·1 condivisioni ·635 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Paul Swai @paulswai
    2024-12-28 14:03:55 ·
    GOOOOOOOOOOOOOAL
    DK42
    Ngoma ⚽️

    SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC

    #paulswai
    GOOOOOOOOOOOOOAL DK42 Ngoma ⚽️ SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·459 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Paul Swai @paulswai
    2024-12-28 14:04:17 ·
    MAPUMZIKO
    NBCPREMIERLEAGUE

    SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC

    #paulswai
    MAPUMZIKO NBCPREMIERLEAGUE SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Commenti ·1 condivisioni ·2K Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2024-12-28 14:14:36 ·
    Tunaishi chini ya jua lenye ushindani mwingi na wa kipuuzi sana kwa kizazi cha sasa.Wale tuliopaswa kurithi ama kujifunza mambo mema kutoka kwao ndo hao wengi wao wanafanya ujinga na kujificha kwenye kivuli cha unavyofikiri sivyo ilivyo.
    Binadamu siku hizi anakufanyia ubaya alaf anakujia Kwa mgongo wa utani.Na bahati mbaya dini na charity siku hizi zinatumika kama kichaka cha kuficha uovu wa watu.Binadamu amekuwa si binadamu tena. Wakati mwingine anae kuchukia na asiyekutakia mema ni ndugu wa damu kabisa,ndo dunia ilipofika.
    Tunaishi kwenye hatari tuliyoamua kuibatiza jina la salama.
    Shari tumeigeuza shwari.
    Maumivu na huzuni ya mtu ni furaha ya mwingine.Huku tukitumia hadhara kutengeneza mazingira ya kuendelea kutekeleza maovu.Kwa kivuli cha nani ameniona?au nani anajua?
    Kile kitu Dunia imeshindwa kutambua majira na nyakati yamebadilika sana.
    Zamani zile kulikuwa hakuna siri ya watu wawili ila zamani hizi hakuna siri ya mtu mmoja.Wakati twasema ni siri kuna mtu mahala fulani anaijua hiyo siri.
    Na hapo ndo tunasema mtu anapigana na kivuli chake mwenyewe Kwa kujiongopea kuwa hakuna maumivi.
    Lakini swali la kujiuliza kati ya kivuli cha mtu na mtu mwenyewe ni nani anaumia? Tutafakari
    Tunaishi chini ya jua lenye ushindani mwingi na wa kipuuzi sana kwa kizazi cha sasa.Wale tuliopaswa kurithi ama kujifunza mambo mema kutoka kwao ndo hao wengi wao wanafanya ujinga na kujificha kwenye kivuli cha unavyofikiri sivyo ilivyo. Binadamu siku hizi anakufanyia ubaya alaf anakujia Kwa mgongo wa utani.Na bahati mbaya dini na charity siku hizi zinatumika kama kichaka cha kuficha uovu wa watu.Binadamu amekuwa si binadamu tena. Wakati mwingine anae kuchukia na asiyekutakia mema ni ndugu wa damu kabisa,ndo dunia ilipofika. Tunaishi kwenye hatari tuliyoamua kuibatiza jina la salama. Shari tumeigeuza shwari. Maumivu na huzuni ya mtu ni furaha ya mwingine.Huku tukitumia hadhara kutengeneza mazingira ya kuendelea kutekeleza maovu.Kwa kivuli cha nani ameniona?au nani anajua? Kile kitu Dunia imeshindwa kutambua majira na nyakati yamebadilika sana. Zamani zile kulikuwa hakuna siri ya watu wawili ila zamani hizi hakuna siri ya mtu mmoja.Wakati twasema ni siri kuna mtu mahala fulani anaijua hiyo siri. Na hapo ndo tunasema mtu anapigana na kivuli chake mwenyewe Kwa kujiongopea kuwa hakuna maumivi. Lakini swali la kujiuliza kati ya kivuli cha mtu na mtu mwenyewe ni nani anaumia? Tutafakari
    Like
    Love
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·1K Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mostrati (20031-20040 di 26007)
  • «
  • Prec.
  • 2002
  • 2003
  • 2004
  • 2005
  • 2006
  • Succ.
  • »
Passa a Pro
Scegli il piano più adatto a te
AGGIORNA
© 2025 Socialpop
Italiano
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termini e Condizioni Privacy Contattaci Elenco Developers