Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Paul Swai @paulswai добавлены фото
    2024-12-28 06:20:50 ·
    Good morning WANASIMBA tunaanza na mungu.

    #paulswai
    Good morning WANASIMBA tunaanza na mungu. #paulswai
    Like
    Love
    5
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·334 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Gaudesia Ibrahim @Gaudesia добавлены фото
    2024-12-28 06:27:34 ·
    Night
    Night
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·305 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Gaudesia Ibrahim @Gaudesia добавлены фото
    2024-12-28 06:29:09 ·
    Jasper Martin
    Jasper Martin
    Like
    3
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·318 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлены фото
    2024-12-28 08:18:12 ·
    Love
    Like
    Haha
    7
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·320 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Ally Messi1 @allymessi1 добавлены фото
    2024-12-28 10:53:01 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·239 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai @paulswai добавлены фото
    2024-12-28 12:09:13 ·
    KIKOSI CHA MNYAMA. NBCPREMIERLEAGUE

    #paulswai
    KIKOSI CHA MNYAMA. NBCPREMIERLEAGUE #paulswai
    Love
    Like
    5
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлены фото
    2024-12-28 13:09:05 ·
    Like
    Love
    6
    · 1 Комментарии ·1 Поделились ·635 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai @paulswai
    2024-12-28 14:03:55 ·
    GOOOOOOOOOOOOOAL
    DK42
    Ngoma ⚽️

    SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC

    #paulswai
    GOOOOOOOOOOOOOAL DK42 Ngoma ⚽️ SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·459 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai @paulswai
    2024-12-28 14:04:17 ·
    MAPUMZIKO
    NBCPREMIERLEAGUE

    SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC

    #paulswai
    MAPUMZIKO NBCPREMIERLEAGUE SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Комментарии ·1 Поделились ·2Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2024-12-28 14:14:36 ·
    Tunaishi chini ya jua lenye ushindani mwingi na wa kipuuzi sana kwa kizazi cha sasa.Wale tuliopaswa kurithi ama kujifunza mambo mema kutoka kwao ndo hao wengi wao wanafanya ujinga na kujificha kwenye kivuli cha unavyofikiri sivyo ilivyo.
    Binadamu siku hizi anakufanyia ubaya alaf anakujia Kwa mgongo wa utani.Na bahati mbaya dini na charity siku hizi zinatumika kama kichaka cha kuficha uovu wa watu.Binadamu amekuwa si binadamu tena. Wakati mwingine anae kuchukia na asiyekutakia mema ni ndugu wa damu kabisa,ndo dunia ilipofika.
    Tunaishi kwenye hatari tuliyoamua kuibatiza jina la salama.
    Shari tumeigeuza shwari.
    Maumivu na huzuni ya mtu ni furaha ya mwingine.Huku tukitumia hadhara kutengeneza mazingira ya kuendelea kutekeleza maovu.Kwa kivuli cha nani ameniona?au nani anajua?
    Kile kitu Dunia imeshindwa kutambua majira na nyakati yamebadilika sana.
    Zamani zile kulikuwa hakuna siri ya watu wawili ila zamani hizi hakuna siri ya mtu mmoja.Wakati twasema ni siri kuna mtu mahala fulani anaijua hiyo siri.
    Na hapo ndo tunasema mtu anapigana na kivuli chake mwenyewe Kwa kujiongopea kuwa hakuna maumivi.
    Lakini swali la kujiuliza kati ya kivuli cha mtu na mtu mwenyewe ni nani anaumia? Tutafakari
    Tunaishi chini ya jua lenye ushindani mwingi na wa kipuuzi sana kwa kizazi cha sasa.Wale tuliopaswa kurithi ama kujifunza mambo mema kutoka kwao ndo hao wengi wao wanafanya ujinga na kujificha kwenye kivuli cha unavyofikiri sivyo ilivyo. Binadamu siku hizi anakufanyia ubaya alaf anakujia Kwa mgongo wa utani.Na bahati mbaya dini na charity siku hizi zinatumika kama kichaka cha kuficha uovu wa watu.Binadamu amekuwa si binadamu tena. Wakati mwingine anae kuchukia na asiyekutakia mema ni ndugu wa damu kabisa,ndo dunia ilipofika. Tunaishi kwenye hatari tuliyoamua kuibatiza jina la salama. Shari tumeigeuza shwari. Maumivu na huzuni ya mtu ni furaha ya mwingine.Huku tukitumia hadhara kutengeneza mazingira ya kuendelea kutekeleza maovu.Kwa kivuli cha nani ameniona?au nani anajua? Kile kitu Dunia imeshindwa kutambua majira na nyakati yamebadilika sana. Zamani zile kulikuwa hakuna siri ya watu wawili ila zamani hizi hakuna siri ya mtu mmoja.Wakati twasema ni siri kuna mtu mahala fulani anaijua hiyo siri. Na hapo ndo tunasema mtu anapigana na kivuli chake mwenyewe Kwa kujiongopea kuwa hakuna maumivi. Lakini swali la kujiuliza kati ya kivuli cha mtu na mtu mwenyewe ni nani anaumia? Tutafakari
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (20031-20040 из 26007)
  • «
  • Назад
  • 2002
  • 2003
  • 2004
  • 2005
  • 2006
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики