Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-12-29 15:15:25 ·
    Kamdomo ndo kamewaponza
    Kamdomo ndo kamewaponza 😂😂🤫🤫🤫🔰🔰✋✋
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·403 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-29 15:15:38 ·
    MTENJE ALBANO ameiponza timu yake
    MTENJE ALBANO ameiponza timu yake
    Like
    Haha
    Wow
    5
    · 4 Σχόλια ·1 Μοιράστηκε ·635 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Shaban Bakari Ngasinda @shananngasind ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-12-29 15:49:05 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·241 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-29 16:18:51 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·118 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-29 16:19:01 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·117 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-29 16:19:17 ·
    UCHAMBUZI WA GEORGE AMBANGILE.
    .
    .
    .

    ✍🏻Ni ile mechi ambayo kama Traffic barabarani anaita magari ya upande mmoja tu , ni jinsi Yanga walivyoitawala kwa kila kitu kuanzia mwanzo mpaka mwisho

    1: Walikuwa imara zaidi kwenye mipambano yao hasa kuwania mpira

    2: Walikuwa makini na pasi zao

    3. walikuwa wanajua muda gani wa kuharakisha na muda gani wa kutulia kwanza na umiliki wa mpira

    4: Idadi nzuri ya wachezaji wanaoenda kushambulia

    5: Wanapora mipira katika maeneo sahihi na muda muafaka wa kufanya hivyo ( angalia hata goli la kwanza , turn over nzuri )

    6: Ufanisi mbele ya goli ( kama sio umakini wa John Noble basi hata zaidi ya matano leo )

    ✍🏻Positions za Boka na Kibwana zilikuwa zinasaidia sana kufungua space ya nje na ndani kwa Pacome na Mzize ... kivipi ?

    1: Boka : anakuwa kama winga inamruhusu Mzize kuwa ndani katikati ya fullback wa kulia na beki wa kati wa Fountain Gate ( maana yake anakuwa karibu sana goli kabla ya kubadilishiwa nafasi kucheza namba 9 )

    2: Kibwana : Anakuwa anaingia ndani mara kadhaa karibu na Aziz Ki ( hasa kipindi cha kwanza na mara kadhaa kipindi cha pili ) inaruhusu Pacome kuwa na space kubwa upande wa kulia

    ✍🏻Fountain Gate , wanajua kabisa leo acha ipite wafikirie mechi nyingine , mlima ulikuwa mrefu sana kwao , na hawakujisaidia wenyewe na set up yao : Spaces nyingi wanaacha , wakiwa nyuma pia hawa track runners , wanachelewa kufika kwenye actions za mpira , wakiupata mpira mbele wanakuwa wachache kiasi kwamba mpira unapotea na kurudi kwao tena haraka .

    NOTE

    1: Aziz KI playmaking , anachagua positions tofauti za kuwa huru kupokea mpira

    2: Ambundo akiwa na mali anaitunza lakini hana options nzuri mbele yake

    3: Kibwana na Boka good game

    4: John Noble kapunguza idadi ya magoli , saves nzuri kadhaa

    5: Game ya Mzize inazidi kuwa bora , hasa decision making

    6: Pacome , kirahisi angepiga hat trick leo kama sio umahiri wa Noble. Dribbling na ufundi wake

    FT: Yanga SC 5-0 Fountain Gate
    UCHAMBUZI WA GEORGE AMBANGILE. . . . ✍🏻Ni ile mechi ambayo kama Traffic barabarani anaita magari ya upande mmoja tu , ni jinsi Yanga walivyoitawala kwa kila kitu kuanzia mwanzo mpaka mwisho 1: Walikuwa imara zaidi kwenye mipambano yao hasa kuwania mpira 2: Walikuwa makini na pasi zao 3. walikuwa wanajua muda gani wa kuharakisha na muda gani wa kutulia kwanza na umiliki wa mpira 4: Idadi nzuri ya wachezaji wanaoenda kushambulia 5: Wanapora mipira katika maeneo sahihi na muda muafaka wa kufanya hivyo ( angalia hata goli la kwanza , turn over nzuri ) 6: Ufanisi mbele ya goli ( kama sio umakini wa John Noble basi hata zaidi ya matano leo ) ✍🏻Positions za Boka na Kibwana zilikuwa zinasaidia sana kufungua space ya nje na ndani kwa Pacome na Mzize ... kivipi ? 1: Boka : anakuwa kama winga inamruhusu Mzize kuwa ndani katikati ya fullback wa kulia na beki wa kati wa Fountain Gate ( maana yake anakuwa karibu sana goli kabla ya kubadilishiwa nafasi kucheza namba 9 ) 2: Kibwana : Anakuwa anaingia ndani mara kadhaa karibu na Aziz Ki ( hasa kipindi cha kwanza na mara kadhaa kipindi cha pili ) inaruhusu Pacome kuwa na space kubwa upande wa kulia ✍🏻Fountain Gate , wanajua kabisa leo acha ipite wafikirie mechi nyingine , mlima ulikuwa mrefu sana kwao , na hawakujisaidia wenyewe na set up yao : Spaces nyingi wanaacha , wakiwa nyuma pia hawa track runners , wanachelewa kufika kwenye actions za mpira , wakiupata mpira mbele wanakuwa wachache kiasi kwamba mpira unapotea na kurudi kwao tena haraka . NOTE 1: Aziz KI playmaking , anachagua positions tofauti za kuwa huru kupokea mpira 🔥 2: Ambundo akiwa na mali anaitunza lakini hana options nzuri mbele yake 3: Kibwana na Boka good game 🔥 4: John Noble kapunguza idadi ya magoli , saves nzuri kadhaa 5: Game ya Mzize inazidi kuwa bora , hasa decision making 🔥 6: Pacome , kirahisi angepiga hat trick leo kama sio umahiri wa Noble. Dribbling na ufundi wake 🔥 FT: Yanga SC 5-0 Fountain Gate
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·767 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-29 16:19:28 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·118 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-12-29 16:42:58 ·
    Tanzania nchi yangu
    Tanzania nchi yangu 🇹🇿🇹🇿😂😂😂🙌🙌
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·572 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-12-29 16:45:06 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·413 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Abdulfattah Burhani @Mfatila πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-29 17:53:26 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·299 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (20121-20130 από 26029)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2011
  • 2012
  • 2013
  • 2014
  • 2015
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers