• Mwishoni kabisa mwa mwaka 2024 Yanga ilipoteza ubora wake, Yanga ilifukuza Kocha wake, Yanga ikaleta Kocha mpya, Yanga ikaanza kujitafuta, Yanga ikaanza kutengeneza timu upya, Sasahivi mpenzi msomaji unaposoma ujumbe huu, mwaka 2024 kabla hata haujapinduka Yanga imejipata..

    Lakini kuna Timu hiyo mwanzoni mwa mwaka ilikua inajenga timu, ikaanza kujenga timu, ikaanza kujitafuta, mpka muda huu mwaka 2024 unaisha mpenzi msomaji unaposoma ujumbe huu ukiwauliza wanakwambia wanajenga TIMU..

    SASA HUU KAMA SIO UCHAWI NI NI NI..
    #neliudcosiah
    Mwishoni kabisa mwa mwaka 2024 Yanga ilipoteza ubora wake, Yanga ilifukuza Kocha wake, Yanga ikaleta Kocha mpya, Yanga ikaanza kujitafuta, Yanga ikaanza kutengeneza timu upya, Sasahivi mpenzi msomaji unaposoma ujumbe huu, mwaka 2024 kabla hata haujapinduka Yanga imejipata..☺️ Lakini kuna Timu hiyo mwanzoni mwa mwaka ilikua inajenga timu, ikaanza kujenga timu, ikaanza kujitafuta, mpka muda huu mwaka 2024 unaisha mpenzi msomaji unaposoma ujumbe huu ukiwauliza wanakwambia wanajenga TIMU..😁 SASA HUU KAMA SIO UCHAWI NI NI NI..😁 #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·232 Views
  • Najua mpaka sasa umeisikia sana ile GUSA ACHIA TWENDE KWAO. Ningependa nikupe uhondo wake kidogo, msingi wake ni upi na ufanisi wake unatokana na nini?

    Ally Kamwe kama muasisi wa Gusa twende kwao alijaribu kuaminisha wanaYanga kuwa falsafa ya Ramovic ni pira matokeo, lenye speed, na ufanisi wa hali ya juu huku likiambatana na burudani isiyoisha hamu.

    Je unajua ili GUSA ACHIA TWENDE KWAO iwe na ufanisi kinahitajika nini?

    Kuna watu lazima wawepo nyuma ya hii falsafa. Mtu wa kwanza wa muhimu zaidi baada ya kocha mkuu Ramovic, ni kocha wa utimamu wa mwili (Fitness coach). Hapa namuongelea mtu ambae atawafanya wachezaji wa Yanga wakimbie kama vishada, wafukie mashimo uwanjani, na kuweza kuzimudu dakika 90 bila kuchoka. Mpaka hapa tumeelewana?

    Yanga haijapoteza mechi yoyote ya ligi kuu mpaka sasa tangu Ramovic atue nchini. Na alisema wazi ili falsafa ya soka lake lianze kutoa matunda anahitaji wachezaji wake wote wawe vizuri kwenye fitness. Yanga ikaingia sokoni, kusaka mtaalamu wa kutengeneza utamu wa Ramovic. Yanga ikamshusha mtaalamu ADNAN BEHLULOVIC - Fitness coach wa Yanga.

    Nyuma ya pazia la Ramovic na matokeo mazuri ya ligi kuu mpka sasa huwezi kuacha kumtaja Bwana Adnan.

    Pressing ambayo anasifiwa Yanga, inayofanya wapinzani wanafanya makosa, nyuma yake yupo ADNAN.

    Speed na ufanisi wa Yanga kwenye kushambulia bila kuchoka, nyuma ya hayo yote yupo ADNAN.

    Zinachezwa dakika 90 huioni Yanga kama imechoka, kila mchezaji unaona kuwa bado ana hamu ya kuendelea kutwanga dakika zingine 90. ADNAN hajamaliza hata mwezi tangu aanze operesheni rudisha ufiti ndani ya Yanga, huyu kocha wa Fitness siku akimaliza mwezi Yanga ikafikia asilimia 100 ya ufiti nina uhakika kuna timu zitapasuliwa vifua.

    Side wa kijerumani ataimbwa sana, kwa sababu silaha moja ya timu yoyote ni kuwa fiti. Speed ya Yanga imeniogopesha, Pressing yao imeniogopesha, ubora wa Adnan umeniogopesha.

    Ni follow
    #neliudcosiah
    Najua mpaka sasa umeisikia sana ile GUSA ACHIA TWENDE KWAO. Ningependa nikupe uhondo wake kidogo, msingi wake ni upi na ufanisi wake unatokana na nini? Ally Kamwe kama muasisi wa Gusa twende kwao alijaribu kuaminisha wanaYanga kuwa falsafa ya Ramovic ni pira matokeo, lenye speed, na ufanisi wa hali ya juu huku likiambatana na burudani isiyoisha hamu. Je unajua ili GUSA ACHIA TWENDE KWAO iwe na ufanisi kinahitajika nini? Kuna watu lazima wawepo nyuma ya hii falsafa. Mtu wa kwanza wa muhimu zaidi baada ya kocha mkuu Ramovic, ni kocha wa utimamu wa mwili (Fitness coach). Hapa namuongelea mtu ambae atawafanya wachezaji wa Yanga wakimbie kama vishada, wafukie mashimo uwanjani, na kuweza kuzimudu dakika 90 bila kuchoka. Mpaka hapa tumeelewana? Yanga haijapoteza mechi yoyote ya ligi kuu mpaka sasa tangu Ramovic atue nchini. Na alisema wazi ili falsafa ya soka lake lianze kutoa matunda anahitaji wachezaji wake wote wawe vizuri kwenye fitness. Yanga ikaingia sokoni, kusaka mtaalamu wa kutengeneza utamu wa Ramovic. Yanga ikamshusha mtaalamu ADNAN BEHLULOVIC - Fitness coach wa Yanga. Nyuma ya pazia la Ramovic na matokeo mazuri ya ligi kuu mpka sasa huwezi kuacha kumtaja Bwana Adnan. Pressing ambayo anasifiwa Yanga, inayofanya wapinzani wanafanya makosa, nyuma yake yupo ADNAN. Speed na ufanisi wa Yanga kwenye kushambulia bila kuchoka, nyuma ya hayo yote yupo ADNAN. Zinachezwa dakika 90 huioni Yanga kama imechoka, kila mchezaji unaona kuwa bado ana hamu ya kuendelea kutwanga dakika zingine 90. ADNAN hajamaliza hata mwezi tangu aanze operesheni rudisha ufiti ndani ya Yanga, huyu kocha wa Fitness siku akimaliza mwezi Yanga ikafikia asilimia 100 ya ufiti nina uhakika kuna timu zitapasuliwa vifua. Side wa kijerumani ataimbwa sana, kwa sababu silaha moja ya timu yoyote ni kuwa fiti. Speed ya Yanga imeniogopesha, Pressing yao imeniogopesha, ubora wa Adnan umeniogopesha. Ni follow 👇 #neliudcosiah
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·987 Views
  • Haha
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·252 Views ·24
  • 0 Comments ·0 Shares ·136 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·140 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·124 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·135 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·142 Views
  • Ni tetesi.

    Kuna uwezekano mkubwa wa klabu ya Azam FC kuipa saini ya Mlinda mlango wa klabu ya Simba SC Aishi Manula. Taarifa hii inadai kuwa Manula ameshamaliza masuala binafsi na klabu ya Azam FC huku klabu ya Simba SC ikionyesha utayari wa kumuachia mwezi huu wa Januari.

    Ni tetesi. Kuna uwezekano mkubwa wa klabu ya Azam FC kuipa saini ya Mlinda mlango wa klabu ya Simba SC Aishi Manula. Taarifa hii inadai kuwa Manula ameshamaliza masuala binafsi na klabu ya Azam FC huku klabu ya Simba SC ikionyesha utayari wa kumuachia mwezi huu wa Januari.
    0 Comments ·0 Shares ·232 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·141 Views