• "Asante sana kwa swali lako. Ndio, mtindo wangu wa uchezaji, kama wengi wanavyojua sasa ni mtindo wa kiwango cha juu wa nguvu ambapo hatutaki kuwapa wapinzani nafasi au muda, kama ulivyosema.

    Ni vizuri pia kuona kwamba wachezaji wanajifunza na wanaamini katika mtindo huu wa uchezaji. Wanajitahidi mazoezini, umeshacheza mechi nne za ligi vizuri. Kwa ujumla, tuko kwenye njia sahihi lakini kesho ni mechi mpya tena, yenye changamoto tofauti" Sead Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC akijibu swali la Mwandishi wa habari.

    "Asante sana kwa swali lako. Ndio, mtindo wangu wa uchezaji, kama wengi wanavyojua sasa ni mtindo wa kiwango cha juu wa nguvu ambapo hatutaki kuwapa wapinzani nafasi au muda, kama ulivyosema. Ni vizuri pia kuona kwamba wachezaji wanajifunza na wanaamini katika mtindo huu wa uchezaji. Wanajitahidi mazoezini, umeshacheza mechi nne za ligi vizuri. Kwa ujumla, tuko kwenye njia sahihi lakini kesho ni mechi mpya tena, yenye changamoto tofauti" Sead Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC akijibu swali la Mwandishi wa habari.
    0 Comments 0 Shares 380 Views
  • Orodha ya Wachezaji waliopiga idadi kubwa ya Penati Ligi Kuu Tanzania Bara hadi sasa.

    Orodha ya Wachezaji waliopiga idadi kubwa ya Penati Ligi Kuu Tanzania Bara hadi sasa.
    0 Comments 0 Shares 130 Views
  • MWAKA 2025 UNAZIDI KUTOLEWA UTABARI

    Ngono kati ya Mwanamke na roboti itakuwa ya kawaida zaidi kuliko Wanaume Mwaka Huu 2025. Ni kwa mujibu wa Utafiti Uliochapishwa Na Jarida la The Sun Mwaka 2016

    Utafiti huo ulifanywa na Dr lan Pearson ambaye ni mtaalam wa masuala ya utabiri na mambo ya baadaye (futurologist) na alieleza kwamba kutokana na ongezeko la wanawake kutumia midoli kujistarehesha, basi mwaka huu 2025 kustarehe na roboti itakuwa sio jambo la kustaajabisha na kufikia mwaka 2050 binadamu watakuwa wakistarehe zaidi na mashine kuliko binadamu wenzao kutokana na kukua kwa teknolojia ya akili mnemba (Artificial Intelligence) na mashine.

    Wanawake watakuwa wanawanyima wanaume wanapotaka kupata hali ya joto na wanaweza kuanza kuzipenda mashine hizo, Kwa Mujibu Wa Ripoti.
    MWAKA 2025 UNAZIDI KUTOLEWA UTABARI Ngono kati ya Mwanamke na roboti itakuwa ya kawaida zaidi kuliko Wanaume Mwaka Huu 2025. Ni kwa mujibu wa Utafiti Uliochapishwa Na Jarida la The Sun Mwaka 2016 Utafiti huo ulifanywa na Dr lan Pearson ambaye ni mtaalam wa masuala ya utabiri na mambo ya baadaye (futurologist) na alieleza kwamba kutokana na ongezeko la wanawake kutumia midoli kujistarehesha, basi mwaka huu 2025 kustarehe na roboti itakuwa sio jambo la kustaajabisha na kufikia mwaka 2050 binadamu watakuwa wakistarehe zaidi na mashine kuliko binadamu wenzao kutokana na kukua kwa teknolojia ya akili mnemba (Artificial Intelligence) na mashine. Wanawake watakuwa wanawanyima wanaume wanapotaka kupata hali ya joto na wanaweza kuanza kuzipenda mashine hizo, Kwa Mujibu Wa Ripoti.
    Sad
    2
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Angry
    Like
    Haha
    Sad
    5
    3 Comments 0 Shares 285 Views
  • Like
    Love
    7
    0 Comments 0 Shares 293 Views
  • Like
    1
    0 Comments 0 Shares 320 Views
  • 0 Comments 0 Shares 322 Views
  • "MWANANGU KUA UYAONE" --

    #paulswai
    "MWANANGU KUA UYAONE" -- 馃槑鈥硷笍 #paulswai
    Like
    3
    0 Comments 0 Shares 477 Views
  • Umemfahamu mchezaji huyu?

    #paulswai
    Umemfahamu mchezaji huyu? #paulswai
    Like
    Love
    4
    0 Comments 0 Shares 363 Views
  • Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu akimkabidhi zawadi ya jezi Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Salum Njalikai.

    #paulswai
    Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu akimkabidhi zawadi ya jezi Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Salum Njalikai. #paulswai
    Like
    Love
    Yay
    Angry
    5
    0 Comments 0 Shares 395 Views