Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-03 19:01:11 ·
    "Asante sana kwa swali lako. Ndio, mtindo wangu wa uchezaji, kama wengi wanavyojua sasa ni mtindo wa kiwango cha juu wa nguvu ambapo hatutaki kuwapa wapinzani nafasi au muda, kama ulivyosema.

    Ni vizuri pia kuona kwamba wachezaji wanajifunza na wanaamini katika mtindo huu wa uchezaji. Wanajitahidi mazoezini, umeshacheza mechi nne za ligi vizuri. Kwa ujumla, tuko kwenye njia sahihi lakini kesho ni mechi mpya tena, yenye changamoto tofauti" Sead Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC akijibu swali la Mwandishi wa habari.

    "Asante sana kwa swali lako. Ndio, mtindo wangu wa uchezaji, kama wengi wanavyojua sasa ni mtindo wa kiwango cha juu wa nguvu ambapo hatutaki kuwapa wapinzani nafasi au muda, kama ulivyosema. Ni vizuri pia kuona kwamba wachezaji wanajifunza na wanaamini katika mtindo huu wa uchezaji. Wanajitahidi mazoezini, umeshacheza mechi nne za ligi vizuri. Kwa ujumla, tuko kwenye njia sahihi lakini kesho ni mechi mpya tena, yenye changamoto tofauti" Sead Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC akijibu swali la Mwandishi wa habari.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·382 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-03 19:01:39 ·
    Orodha ya Wachezaji waliopiga idadi kubwa ya Penati Ligi Kuu Tanzania Bara hadi sasa.

    Orodha ya Wachezaji waliopiga idadi kubwa ya Penati Ligi Kuu Tanzania Bara hadi sasa.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·132 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa
    2025-01-03 19:38:42 ·
    MWAKA 2025 UNAZIDI KUTOLEWA UTABARI

    Ngono kati ya Mwanamke na roboti itakuwa ya kawaida zaidi kuliko Wanaume Mwaka Huu 2025. Ni kwa mujibu wa Utafiti Uliochapishwa Na Jarida la The Sun Mwaka 2016

    Utafiti huo ulifanywa na Dr lan Pearson ambaye ni mtaalam wa masuala ya utabiri na mambo ya baadaye (futurologist) na alieleza kwamba kutokana na ongezeko la wanawake kutumia midoli kujistarehesha, basi mwaka huu 2025 kustarehe na roboti itakuwa sio jambo la kustaajabisha na kufikia mwaka 2050 binadamu watakuwa wakistarehe zaidi na mashine kuliko binadamu wenzao kutokana na kukua kwa teknolojia ya akili mnemba (Artificial Intelligence) na mashine.

    Wanawake watakuwa wanawanyima wanaume wanapotaka kupata hali ya joto na wanaweza kuanza kuzipenda mashine hizo, Kwa Mujibu Wa Ripoti.
    MWAKA 2025 UNAZIDI KUTOLEWA UTABARI Ngono kati ya Mwanamke na roboti itakuwa ya kawaida zaidi kuliko Wanaume Mwaka Huu 2025. Ni kwa mujibu wa Utafiti Uliochapishwa Na Jarida la The Sun Mwaka 2016 Utafiti huo ulifanywa na Dr lan Pearson ambaye ni mtaalam wa masuala ya utabiri na mambo ya baadaye (futurologist) na alieleza kwamba kutokana na ongezeko la wanawake kutumia midoli kujistarehesha, basi mwaka huu 2025 kustarehe na roboti itakuwa sio jambo la kustaajabisha na kufikia mwaka 2050 binadamu watakuwa wakistarehe zaidi na mashine kuliko binadamu wenzao kutokana na kukua kwa teknolojia ya akili mnemba (Artificial Intelligence) na mashine. Wanawake watakuwa wanawanyima wanaume wanapotaka kupata hali ya joto na wanaweza kuanza kuzipenda mashine hizo, Kwa Mujibu Wa Ripoti.
    Sad
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлены фото
    2025-01-03 20:08:26 ·
    Angry
    Like
    Haha
    Sad
    5
    · 3 Комментарии ·0 Поделились ·287 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлены фото
    2025-01-03 20:09:27 ·
    Like
    Love
    7
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·295 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Gabriel Michael @brielsoldier3 обновлено фото обложки
    2025-01-03 20:49:07 ·
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·322 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Gabriel Michael @brielsoldier3 добавлены фото
    2025-01-03 21:07:13 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·324 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai @paulswai добавлена новая статья
    2025-01-03 23:02:57 ·
    "MWANANGU KUA UYAONE" --

    #paulswai
    "MWANANGU KUA UYAONE" -- 😎‼️ #paulswai
    Like
    3
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·479 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai @paulswai добавлены фото
    2025-01-03 23:19:51 ·
    Umemfahamu mchezaji huyu?

    #paulswai
    Umemfahamu mchezaji huyu? #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·365 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai @paulswai added 2 фото
    2025-01-03 23:21:01 ·
    Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu akimkabidhi zawadi ya jezi Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Salum Njalikai.

    #paulswai
    Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu akimkabidhi zawadi ya jezi Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Salum Njalikai. #paulswai
    Like
    Love
    Yay
    Angry
    5
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·397 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (20341-20350 из 26439)
  • «
  • Назад
  • 2033
  • 2034
  • 2035
  • 2036
  • 2037
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики