• Like
    Haha
    2
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·278 Vue
  • PART 2
    PART 2
    Like
    Love
    3
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·265 Vue ·52
  • PART 1;
    PART 1;
    Like
    Haha
    2
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·271 Vue ·58
  • PART 3 LOADING.....
    PART 3 LOADING.....
    Love
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·274 Vue
  • Watu watano wameripotiwa kufariki kutokana na hali ya hewa ya baridi ambayo imesababisha theluji na baridi kali katika sehemu kubwa ya Marekani.

    Polisi wanaoshika doria katika barabara kuu ya Jimbo la Missouri wamethibitisha ajali 350 za barabarani, ambapo watu wawili walifariki mjini Kansas kutokana na hali mbaya ya hewa, na mwingine huko Virginia.

    #neliudcosiah
    Watu watano wameripotiwa kufariki kutokana na hali ya hewa ya baridi ambayo imesababisha theluji na baridi kali katika sehemu kubwa ya Marekani. Polisi wanaoshika doria katika barabara kuu ya Jimbo la Missouri wamethibitisha ajali 350 za barabarani, ambapo watu wawili walifariki mjini Kansas kutokana na hali mbaya ya hewa, na mwingine huko Virginia. #neliudcosiah
    0 Commentaires ·0 Parts ·485 Vue
  • Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Doto Maduhu Sita (32) mkazi wa Kishiri, Wilaya ya Nyamagana ambaye ni baba wa kambo wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi kwa tuhuma za kumbaka, kumlawiti na kumshambulia mtoto huyo.

    Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema mtoto huyo alikuwa akifanyiwa ukatili huo mara kwa mara na kupelekea hali yake ya kiafya kuwa dhaifu, hivyo kuwafanya raia wema kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi kupitia Dawati la Jinsia na Watoto.
    #neliudcosiah
    Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Doto Maduhu Sita (32) mkazi wa Kishiri, Wilaya ya Nyamagana ambaye ni baba wa kambo wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi kwa tuhuma za kumbaka, kumlawiti na kumshambulia mtoto huyo. Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema mtoto huyo alikuwa akifanyiwa ukatili huo mara kwa mara na kupelekea hali yake ya kiafya kuwa dhaifu, hivyo kuwafanya raia wema kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi kupitia Dawati la Jinsia na Watoto. #neliudcosiah
    0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • Afisa wa zamani wa gereza la HMP Wandsworth nchini Uingereza, Linda De Sousa Abreu (30) amehukumiwa miezi 15 jela baada ya kuonekana kwenye video iliyosambaa mitandaoni akifanya mapenzi na mfungwa mwezi Juni, 2024.

    Mahakama imeeleza kuwa video hiyo iliyosambaa mtandaoni siyo tukio moja tu, bali ni tabia yake ya kujirudia, huku Polisi wa Metropolitan wakiendelea na uchunguzi kuhusu wafungwa wawili waliotambulika kwenye video hiyo.
    Afisa wa zamani wa gereza la HMP Wandsworth nchini Uingereza, Linda De Sousa Abreu (30) amehukumiwa miezi 15 jela baada ya kuonekana kwenye video iliyosambaa mitandaoni akifanya mapenzi na mfungwa mwezi Juni, 2024. Mahakama imeeleza kuwa video hiyo iliyosambaa mtandaoni siyo tukio moja tu, bali ni tabia yake ya kujirudia, huku Polisi wa Metropolitan wakiendelea na uchunguzi kuhusu wafungwa wawili waliotambulika kwenye video hiyo.
    0 Commentaires ·0 Parts ·164 Vue
  • Wanasiasa
    Wanasiasa 😳
    0 Commentaires ·0 Parts ·133 Vue
  • Tusaidiane tafsiri jamani
    Tusaidiane tafsiri jamani 🤔
    0 Commentaires ·0 Parts ·153 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·133 Vue