• Je ni kweli Nelson Mandela alifia gerezani mwaka 1985?

    🗣Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na machapisho mengi ya watu wa afrika ya kusini yanayodai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tuliye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka 1985. Kwa mujibu wa maelezo nikwamba huyu tuliye mzika sisi hivi karibuni ama tuliye mfahamu hakuwa Nelson mwenyewe. Makaburu waliamua kutafuta mtu anayeendana naye kidogo na alilazimishwa kutoa talaka kwa Winnie Mandela maana wangekaa pamoja mwanamama huyu angejua kuwa huyu jamaa hakuwa Mumewe Original.

    Inasemekana mwanamuziki Johnny Clegg alishawahi pia kuimba kitu hiki katika wimbo wake wa "Asimbonanga" yaani hatujamwona yeye. Kwenye wimbo huo kuna maneno Asimbonang' uMandela thina akimaanisha hatujamwona Mandela Laph'ekhona - mahali alipo Laph'ehleli - mahali alipo zikwa. Wimbo huu ulitoka mwaka 1987. Ikumbukwe South Africa ilitoka amri kuwa ni marufuku kukutwa unasikiliza ama una miliki album zenye nyimbo za Jonh Clegg, tangu kipindi cha makaburu mpaka kipindi cha mandera huyu aliyetoka gerezani. Maana ngoma za jamaa huyo zilikuwa zinahamasisha harakati za kupinga ubaguzi.

    Nani aliyetolewa gerezani 1990?

    Inasemekana ni mtu ajulikanaye kwa jina la Gibson Makanda, ambaye alipelekwa katika gereza la Pollsmor mwezi May mwaka 1985. Akiwa huko alifanyiwa plastic surgery iliyofanywa na timu ya madaktari wachache toka London Uingereza. Mara baada ya zoezi hilo kufanikiwa alipatiwa mazoezi ya kuongea na kutembea kama Nelson Mandela mpaka alipo fuzu ndipo mpango wa kumtoa ukatekelezwa. ndomaana hata baada yakutoka alilegeza sana masharti kwa watu weupe. na aliamua kuunda tume ya msamaha. Ambayo iliwapa nafasi makaburu kutubu waliyowafanyia wazulu kwenye hadhara.

    Kwa hivyo kundi hili la watu wanaoamini katika njama hii wanaona uwezekano mkubwa sana kwamba Nelson Mandela lazima aliuawa wakati wa maandamano, na kwamba serikali ya Makaburu Afrika Kusini ilijibu kwa kuwapa mfano ili kuzuia maandamano mengine kwa kuwa walijua aliyekufa alikuwa kiongozi mpendwa na mtu mwenye ushawishi mkubwa.

    Inasemekana jamaa baada ya kumpa taraka mama Mandera alitokea kumpenda mke wa raisi wa msumbiji, Samora Machel. Ndio maana baada ya raisi huyo kufariki mchizi akaamua kumuoa mama Machel. Mama akashika rekodi ya kuwa mke wa raisi katika nchi mbili tofauti. Pia usisahau kuwa msumbiji kwa Samora Machel ndipo kulikuwa na kambi ya kikundi cha wapiganaji wa South Afrika waliokuwa wanapinga serikali ya Makaburu, Maarufu kama Umkhonto we Sizwe(Mkuki wa taifa).

    Nilipitia pia vyanzo mbalimbali mtandaoni nikakutana na zaidi ya waandishi 50 tofauti wakizungumzia juu ya Gibson Makanda kuigiza kama Nelson Mandela. mwaka wa 2018 wakati programu maarufu ya Android inayoitwa Face App ilitolewa. Programu hii inaweza kuonyesha nyuso za watumiaji jinsi watakavyokuwa katika siku za usoni (athari za uzee). Mtumiaji wa Twitter @Jether_Calypso alitumia picha ya ujana inayopatikana ya Nelson Mandela na ​​kuifanyia kazi, akitumia athari ya uzee na matokeo yalionekana kuwa tofauti na sura ya Nelson Mandela katika miaka yake ya hivi majuzi kabla ya kifo.
    #dorka🗣
    Je, nikweli Nelson Mandela alifariki mwaka 1985?
    Je ni kweli Nelson Mandela alifia gerezani mwaka 1985?🤔 🗣Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na machapisho mengi ya watu wa afrika ya kusini yanayodai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tuliye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka 1985. Kwa mujibu wa maelezo nikwamba huyu tuliye mzika sisi hivi karibuni ama tuliye mfahamu hakuwa Nelson mwenyewe. Makaburu waliamua kutafuta mtu anayeendana naye kidogo na alilazimishwa kutoa talaka kwa Winnie Mandela maana wangekaa pamoja mwanamama huyu angejua kuwa huyu jamaa hakuwa Mumewe Original. Inasemekana mwanamuziki Johnny Clegg alishawahi pia kuimba kitu hiki katika wimbo wake wa "Asimbonanga" yaani hatujamwona yeye. Kwenye wimbo huo kuna maneno Asimbonang' uMandela thina akimaanisha hatujamwona Mandela Laph'ekhona - mahali alipo Laph'ehleli - mahali alipo zikwa. Wimbo huu ulitoka mwaka 1987. Ikumbukwe South Africa ilitoka amri kuwa ni marufuku kukutwa unasikiliza ama una miliki album zenye nyimbo za Jonh Clegg, tangu kipindi cha makaburu mpaka kipindi cha mandera huyu aliyetoka gerezani. Maana ngoma za jamaa huyo zilikuwa zinahamasisha harakati za kupinga ubaguzi. Nani aliyetolewa gerezani 1990? Inasemekana ni mtu ajulikanaye kwa jina la Gibson Makanda, ambaye alipelekwa katika gereza la Pollsmor mwezi May mwaka 1985. Akiwa huko alifanyiwa plastic surgery iliyofanywa na timu ya madaktari wachache toka London Uingereza. Mara baada ya zoezi hilo kufanikiwa alipatiwa mazoezi ya kuongea na kutembea kama Nelson Mandela mpaka alipo fuzu ndipo mpango wa kumtoa ukatekelezwa. ndomaana hata baada yakutoka alilegeza sana masharti kwa watu weupe. na aliamua kuunda tume ya msamaha. Ambayo iliwapa nafasi makaburu kutubu waliyowafanyia wazulu kwenye hadhara. Kwa hivyo kundi hili la watu wanaoamini katika njama hii wanaona uwezekano mkubwa sana kwamba Nelson Mandela lazima aliuawa wakati wa maandamano, na kwamba serikali ya Makaburu Afrika Kusini ilijibu kwa kuwapa mfano ili kuzuia maandamano mengine kwa kuwa walijua aliyekufa alikuwa kiongozi mpendwa na mtu mwenye ushawishi mkubwa. Inasemekana jamaa baada ya kumpa taraka mama Mandera alitokea kumpenda mke wa raisi wa msumbiji, Samora Machel. Ndio maana baada ya raisi huyo kufariki mchizi akaamua kumuoa mama Machel. Mama akashika rekodi ya kuwa mke wa raisi katika nchi mbili tofauti. Pia usisahau kuwa msumbiji kwa Samora Machel ndipo kulikuwa na kambi ya kikundi cha wapiganaji wa South Afrika waliokuwa wanapinga serikali ya Makaburu, Maarufu kama Umkhonto we Sizwe(Mkuki wa taifa). Nilipitia pia vyanzo mbalimbali mtandaoni nikakutana na zaidi ya waandishi 50 tofauti wakizungumzia juu ya Gibson Makanda kuigiza kama Nelson Mandela. mwaka wa 2018 wakati programu maarufu ya Android inayoitwa Face App ilitolewa. Programu hii inaweza kuonyesha nyuso za watumiaji jinsi watakavyokuwa katika siku za usoni (athari za uzee). Mtumiaji wa Twitter @Jether_Calypso alitumia picha ya ujana inayopatikana ya Nelson Mandela na ​​kuifanyia kazi, akitumia athari ya uzee na matokeo yalionekana kuwa tofauti na sura ya Nelson Mandela katika miaka yake ya hivi majuzi kabla ya kifo. #dorka🗣 Je, nikweli Nelson Mandela alifariki mwaka 1985?🤔
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Katika nchi ya Italy, Ottorino Barassi anafika ofisini kwake na moja kwa moja anaenda katika 'vaux', yaani chumba au kabati maalumu kunamohifadhiwa vitu nyeti au vyenye thamani. Vaux ni mahali salama ambapo si rahisi kwa mtu yeyote kuingia na kuiba.

    Kwa umakini na usiri mkubwa, Ottorino Barassi anafika katika 'vaux' na kulichukua. Kisha anaenda nalo nyumbani kwake na kulificha. Yote hiyo ni kwa sababu hakutaka kuona wanajeshi wa nazi wanakuja kulichukua.

    Ilikuwa ni katika vita ya pili ya dunia, ambapo majeshi ya Nazi, yakiongozwa na Adolf Hitler walikuwa wakilitafuta kwa udi na uvumba ili wapate kulitia mkononi.

    Walifika hadi nyumbani kufanya upekuzi lakini hawakuweza kulipata. Kumbe Barassi alikuwa amelificha uvunguni mwa kitanda anacholala.

    Unajua ni kitu gani nazungumzia hapo?.

    Ni Kombe la dunia. Hitler alitaka kulinyakua kinguvu mnamo 1939, mwaka mmoja baada ya taifa la Italia kushinda michuano ya mpira wa mguu.

    Kombe hilo lilikuwa likiitwa Jules Rimet, likipewa jina la aliyekuwa rais wa kwanza wa FIFA. Ottonio Barrasi alikuwa ni rais wa chama cha soka nchini Italy
    Katika nchi ya Italy, Ottorino Barassi anafika ofisini kwake na moja kwa moja anaenda katika 'vaux', yaani chumba au kabati maalumu kunamohifadhiwa vitu nyeti au vyenye thamani. Vaux ni mahali salama ambapo si rahisi kwa mtu yeyote kuingia na kuiba. Kwa umakini na usiri mkubwa, Ottorino Barassi anafika katika 'vaux' na kulichukua. Kisha anaenda nalo nyumbani kwake na kulificha. Yote hiyo ni kwa sababu hakutaka kuona wanajeshi wa nazi wanakuja kulichukua. Ilikuwa ni katika vita ya pili ya dunia, ambapo majeshi ya Nazi, yakiongozwa na Adolf Hitler walikuwa wakilitafuta kwa udi na uvumba ili wapate kulitia mkononi. Walifika hadi nyumbani kufanya upekuzi lakini hawakuweza kulipata. Kumbe Barassi alikuwa amelificha uvunguni mwa kitanda anacholala. Unajua ni kitu gani nazungumzia hapo?. Ni Kombe la dunia. Hitler alitaka kulinyakua kinguvu mnamo 1939, mwaka mmoja baada ya taifa la Italia kushinda michuano ya mpira wa mguu. Kombe hilo lilikuwa likiitwa Jules Rimet, likipewa jina la aliyekuwa rais wa kwanza wa FIFA. Ottonio Barrasi alikuwa ni rais wa chama cha soka nchini Italy
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·641 Views
  • Important Shortcut Keys System

    CTRL+A. . . . . . . . . . . . . . . . . Select All
    CTRL+C. . . . . . . . . . . . . . . . . Copy
    CTRL+X. . . . . . . . . . . . . . . . . Cut
    CTRL+V. . . . . . . . . . . . . . . . . Paste
    CTRL+Z. . . . . . . . . . . . . . . . . Undo
    CTRL+B. . . . . . . . . . . . . . . . . Bold
    CTRL+U. . . . . . . . . . . . . . . . . Underline
    CTRL+I . . . . . . . . . . . . . . . . . Italic
    F1 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Help
    F2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Rename selected object
    F3 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Find all files
    F4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Opens file list drop-down in dialogs
    F5 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Refresh current window
    F6 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Shifts focus in Windows Explorer
    F10 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Activates menu bar options
    ALT+TAB . . . . . . . . . . . . . . . . Cycles between open applications
    ALT+F4 . . . . . . . . . . . . . . . . . Quit program, close current window
    ALT+F6 . . . . . . . . . . . . . . . . . Switch between current program windows
    ALT+ENTER. . . . . . . . . . . . . . Opens properties dialog
    ALT+SPACE . . . . . . . . . . . . . . System menu for current window
    ALT+¢ . . . . . . . . . . . . . . . . . . opens drop-down lists in dialog boxes
    BACKSPACE . . . . . . . . . . . . . Switch to parent folder
    CTRL+ESC . . . . . . . . . . . . . . Opens Start menu
    CTRL+ALT+DEL . . . . . . . . . . Opens task manager, reboots the computer
    CTRL+TAB . . . . . . . . . . . . . . Move through property tabs
    CTRL+SHIFT+DRAG . . . . . . . Create shortcut (also right-click, drag)
    CTRL+DRAG . . . . . . . . . . . . . Copy File
    ESC . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Cancel last function
    SHIFT . . . . . . . . . . . . . . . . . . Press/hold SHIFT, insert CD-ROM to bypass auto-play
    SHIFT+DRAG . . . . . . . . . . . . Move file
    SHIFT+F10. . . . . . . . . . . . . . . Opens context menu (same as right-click)
    SHIFT+DELETE . . . . . . . . . . . Full wipe delete (bypasses Recycle Bin)
    ALT+underlined letter . . . . Opens the corresponding menu
    PC Keyboard Shortcuts
    Document Cursor Controls
    HOME . . . . . . . . . . . . . . to beginning of line or far left of field or screen
    END . . . . . . . . . . . . . . . . to end of line, or far right of field or screen
    CTRL+HOME . . . . . . . . to the top
    CTRL+END . . . . . . . . . . to the bottom
    PAGE UP . . . . . . . . . . . . moves document or dialog box up one page
    PAGE DOWN . . . . . . . . moves document or dialog down one page
    ARROW KEYS . . . . . . . move focus in documents, dialogs, etc.
    CTRL+ > . . . . . . . . . . . . next word
    CTRL+SHIFT+ > . . . . . . selects word
    Windows Explorer Tree Control
    Numeric Keypad * . . . Expand all under current selection
    Numeric Keypad + . . . Expands current selection
    Numeric Keypad – . . . Collapses current selection
    ¦ . . . . . . . . . . . . . . . . . . Expand current selection or go to first child
    ‰ . . . . . . . . . . . . . . . . . . Collapse current selection or go to parent
    Special Characters
    ‘ Opening single quote . . . alt 0145
    ’ Closing single quote . . . . alt 0146
    “ Opening double quote . . . alt 0147
    “ Closing double quote. . . . alt 0148
    – En dash. . . . . . . . . . . . . . . alt 0150
    — Em dash . . . . . . . . . . . . . . alt 0151
    … Ellipsis. . . . . . . . . . . . . . . . alt 0133
    • Bullet . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0149
    ® Registration Mark . . . . . . . alt 0174
    © Copyright . . . . . . . . . . . . . alt 0169
    ™ Trademark . . . . . . . . . . . . alt 0153
    ° Degree symbol. . . . . . . . . alt 0176
    ¢ Cent sign . . . . . . . . . . . . . alt 0162
    1⁄4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0188
    1⁄2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0189
    3⁄4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0190
    PC Keyboard Shortcuts
    Creating unique images in a uniform world! Creating unique images in a uniform world!
    é . . . . . . . . . . . . . . . alt 0233
    É . . . . . . . . . . . . . . . alt 0201
    ñ . . . . . . . . . . . . . . . alt 0241
    ÷ . . . . . . . . . . . . . . . alt 0247
    File menu options in current program
    Alt + E Edit options in current program
    F1 Universal help (for all programs)
    Ctrl + A Select all text
    Ctrl + X Cut selected item
    Shift + Del Cut selected item
    Ctrl + C Copy selected item
    Ctrl + Ins Copy selected item
    Ctrl + V Paste
    Shift + Ins Paste
    Home Go to beginning of current line
    Ctrl + Home Go to beginning of document
    End Go to end of current line
    Ctrl + End Go to end of document
    Shift + Home Highlight from current position to beginning of line
    Shift + End Highlight from current position to end of line
    Ctrl + f Move one word to the left at a time
    Ctrl + g Move one word to the right at a time
    MICROSOFT® WINDOWS® SHORTCUT KEYS
    Alt + Tab Switch between open applications
    Alt +
    Shift + Tab
    Switch backwards between open
    applications
    Alt + Print
    Screen
    Create screen shot for current program
    Ctrl + Alt + Del Reboot/Windows® task manager
    Ctrl + Esc Bring up start menu
    Alt + Esc Switch between applications on taskbar
    F2 Rename selected icon
    F3 Start find from desktop
    F4 Open the drive selection when browsing
    F5 Refresh contents
    Alt + F4 Close current open program
    Ctrl + F4 Close window in program
    Ctrl + Plus
    Key
    Automatically adjust widths of all columns
    in Windows Explorer
    Alt + Enter Open properties window of selected icon
    or program
    Shift + F10 Simulate right-click on selected item
    Shift + Del Delete programs/files permanently
    Holding Shift
    During Bootup
    Boot safe mode or bypass system files
    Holding Shift
    During Bootup
    When putting in an audio CD, will prevent
    CD Player from playing
    WINKEY SHORTCUTS
    WINKEY + D Bring desktop to the top of other windows
    WINKEY + M Minimize all windows
    WINKEY +
    SHIFT + M
    Undo the minimize done by WINKEY + M
    and WINKEY + D
    WINKEY + E Open Microsoft Explorer
    WINKEY + Tab Cycle through open programs on taskbar
    WINKEY + F Display the Windows® Search/Find feature
    WINKEY +
    CTRL + F
    Display the search for computers window
    WINKEY + F1 Display the Microsoft® Windows® help
    WINKEY + R Open the run window
    WINKEY +
    Pause /Break
    Open the system properties window
    WINKEY + U Open utility manager
    WINKEY + L Lock the computer (Windows XP® & later)
    OUTLOOK® SHORTCUT KEYS
    Alt + S Send the email
    Ctrl + C Copy selected text
    Ctrl + X Cut selected text
    Ctrl + P Open print dialog box
    Ctrl + K Complete name/email typed in address bar
    Ctrl + B Bold highlighted selection
    Ctrl + I Italicize highlighted selection
    Ctrl + U Underline highlighted selection
    Ctrl + R Reply to an email
    Ctrl + F Forward an email
    Ctrl + N Create a new email
    Ctrl + Shift + A Create a new appointment to your calendar
    Ctrl + Shift + O Open the outbox
    Ctrl + Shift + I Open the inbox
    Ctrl + Shift + K Add a new task
    Ctrl + Shift + C Create a new contact
    Ctrl + Shift+ J Create a new journal entry
    WORD® SHORTCUT KEYS
    Ctrl + A Select all contents of the page
    Ctrl + B Bold highlighted selection
    Ctrl + C Copy selected text
    Ctrl + X Cut selected text
    Ctrl + N Open new/blank document
    Ctrl + O Open options
    Ctrl + P Open the print window
    Ctrl + F Open find box
    Ctrl + I Italicize highlighted selection
    Ctrl + K Insert link
    Ctrl + U Underline highlighted selection
    Ctrl + V Paste
    Ctrl + Y Redo the last action performed
    Ctrl + Z Undo last action
    Ctrl + G Find and replace options
    Ctrl + H Find and replace options
    Ctrl + J Justify paragraph alignment
    Ctrl + L Align selected text or line to the left
    Ctrl + Q Align selected paragraph to the left
    Ctrl + E Align selected
    Important Shortcut Keys System CTRL+A. . . . . . . . . . . . . . . . . Select All CTRL+C. . . . . . . . . . . . . . . . . Copy CTRL+X. . . . . . . . . . . . . . . . . Cut CTRL+V. . . . . . . . . . . . . . . . . Paste CTRL+Z. . . . . . . . . . . . . . . . . Undo CTRL+B. . . . . . . . . . . . . . . . . Bold CTRL+U. . . . . . . . . . . . . . . . . Underline CTRL+I . . . . . . . . . . . . . . . . . Italic F1 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Help F2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Rename selected object F3 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Find all files F4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Opens file list drop-down in dialogs F5 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Refresh current window F6 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Shifts focus in Windows Explorer F10 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Activates menu bar options ALT+TAB . . . . . . . . . . . . . . . . Cycles between open applications ALT+F4 . . . . . . . . . . . . . . . . . Quit program, close current window ALT+F6 . . . . . . . . . . . . . . . . . Switch between current program windows ALT+ENTER. . . . . . . . . . . . . . Opens properties dialog ALT+SPACE . . . . . . . . . . . . . . System menu for current window ALT+¢ . . . . . . . . . . . . . . . . . . opens drop-down lists in dialog boxes BACKSPACE . . . . . . . . . . . . . Switch to parent folder CTRL+ESC . . . . . . . . . . . . . . Opens Start menu CTRL+ALT+DEL . . . . . . . . . . Opens task manager, reboots the computer CTRL+TAB . . . . . . . . . . . . . . Move through property tabs CTRL+SHIFT+DRAG . . . . . . . Create shortcut (also right-click, drag) CTRL+DRAG . . . . . . . . . . . . . Copy File ESC . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Cancel last function SHIFT . . . . . . . . . . . . . . . . . . Press/hold SHIFT, insert CD-ROM to bypass auto-play SHIFT+DRAG . . . . . . . . . . . . Move file SHIFT+F10. . . . . . . . . . . . . . . Opens context menu (same as right-click) SHIFT+DELETE . . . . . . . . . . . Full wipe delete (bypasses Recycle Bin) ALT+underlined letter . . . . Opens the corresponding menu PC Keyboard Shortcuts Document Cursor Controls HOME . . . . . . . . . . . . . . to beginning of line or far left of field or screen END . . . . . . . . . . . . . . . . to end of line, or far right of field or screen CTRL+HOME . . . . . . . . to the top CTRL+END . . . . . . . . . . to the bottom PAGE UP . . . . . . . . . . . . moves document or dialog box up one page PAGE DOWN . . . . . . . . moves document or dialog down one page ARROW KEYS . . . . . . . move focus in documents, dialogs, etc. CTRL+ > . . . . . . . . . . . . next word CTRL+SHIFT+ > . . . . . . selects word Windows Explorer Tree Control Numeric Keypad * . . . Expand all under current selection Numeric Keypad + . . . Expands current selection Numeric Keypad – . . . Collapses current selection ¦ . . . . . . . . . . . . . . . . . . Expand current selection or go to first child ‰ . . . . . . . . . . . . . . . . . . Collapse current selection or go to parent Special Characters ‘ Opening single quote . . . alt 0145 ’ Closing single quote . . . . alt 0146 “ Opening double quote . . . alt 0147 “ Closing double quote. . . . alt 0148 – En dash. . . . . . . . . . . . . . . alt 0150 — Em dash . . . . . . . . . . . . . . alt 0151 … Ellipsis. . . . . . . . . . . . . . . . alt 0133 • Bullet . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0149 ® Registration Mark . . . . . . . alt 0174 © Copyright . . . . . . . . . . . . . alt 0169 ™ Trademark . . . . . . . . . . . . alt 0153 ° Degree symbol. . . . . . . . . alt 0176 ¢ Cent sign . . . . . . . . . . . . . alt 0162 1⁄4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0188 1⁄2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0189 3⁄4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0190 PC Keyboard Shortcuts Creating unique images in a uniform world! Creating unique images in a uniform world! é . . . . . . . . . . . . . . . alt 0233 É . . . . . . . . . . . . . . . alt 0201 ñ . . . . . . . . . . . . . . . alt 0241 ÷ . . . . . . . . . . . . . . . alt 0247 File menu options in current program Alt + E Edit options in current program F1 Universal help (for all programs) Ctrl + A Select all text Ctrl + X Cut selected item Shift + Del Cut selected item Ctrl + C Copy selected item Ctrl + Ins Copy selected item Ctrl + V Paste Shift + Ins Paste Home Go to beginning of current line Ctrl + Home Go to beginning of document End Go to end of current line Ctrl + End Go to end of document Shift + Home Highlight from current position to beginning of line Shift + End Highlight from current position to end of line Ctrl + f Move one word to the left at a time Ctrl + g Move one word to the right at a time MICROSOFT® WINDOWS® SHORTCUT KEYS Alt + Tab Switch between open applications Alt + Shift + Tab Switch backwards between open applications Alt + Print Screen Create screen shot for current program Ctrl + Alt + Del Reboot/Windows® task manager Ctrl + Esc Bring up start menu Alt + Esc Switch between applications on taskbar F2 Rename selected icon F3 Start find from desktop F4 Open the drive selection when browsing F5 Refresh contents Alt + F4 Close current open program Ctrl + F4 Close window in program Ctrl + Plus Key Automatically adjust widths of all columns in Windows Explorer Alt + Enter Open properties window of selected icon or program Shift + F10 Simulate right-click on selected item Shift + Del Delete programs/files permanently Holding Shift During Bootup Boot safe mode or bypass system files Holding Shift During Bootup When putting in an audio CD, will prevent CD Player from playing WINKEY SHORTCUTS WINKEY + D Bring desktop to the top of other windows WINKEY + M Minimize all windows WINKEY + SHIFT + M Undo the minimize done by WINKEY + M and WINKEY + D WINKEY + E Open Microsoft Explorer WINKEY + Tab Cycle through open programs on taskbar WINKEY + F Display the Windows® Search/Find feature WINKEY + CTRL + F Display the search for computers window WINKEY + F1 Display the Microsoft® Windows® help WINKEY + R Open the run window WINKEY + Pause /Break Open the system properties window WINKEY + U Open utility manager WINKEY + L Lock the computer (Windows XP® & later) OUTLOOK® SHORTCUT KEYS Alt + S Send the email Ctrl + C Copy selected text Ctrl + X Cut selected text Ctrl + P Open print dialog box Ctrl + K Complete name/email typed in address bar Ctrl + B Bold highlighted selection Ctrl + I Italicize highlighted selection Ctrl + U Underline highlighted selection Ctrl + R Reply to an email Ctrl + F Forward an email Ctrl + N Create a new email Ctrl + Shift + A Create a new appointment to your calendar Ctrl + Shift + O Open the outbox Ctrl + Shift + I Open the inbox Ctrl + Shift + K Add a new task Ctrl + Shift + C Create a new contact Ctrl + Shift+ J Create a new journal entry WORD® SHORTCUT KEYS Ctrl + A Select all contents of the page Ctrl + B Bold highlighted selection Ctrl + C Copy selected text Ctrl + X Cut selected text Ctrl + N Open new/blank document Ctrl + O Open options Ctrl + P Open the print window Ctrl + F Open find box Ctrl + I Italicize highlighted selection Ctrl + K Insert link Ctrl + U Underline highlighted selection Ctrl + V Paste Ctrl + Y Redo the last action performed Ctrl + Z Undo last action Ctrl + G Find and replace options Ctrl + H Find and replace options Ctrl + J Justify paragraph alignment Ctrl + L Align selected text or line to the left Ctrl + Q Align selected paragraph to the left Ctrl + E Align selected
    Love
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views
  • CUCKOO BIRD Ni ndege pekee na mjanja anayetaga yai kwenye kiota Cha ndege mwingine ili kinda wake atunzwe na ndege huyo Hadi anapokuwa mkubwa.Cuckoo anataga kwenye kiota Cha ndege mwingine ambaye ametaga,yai lake linakuwa la kwanza kutotolewa,kinda wa cuckoo anayasukuma mayai au makinda ya yule ndege mwingine nje ya kiota na kuyaangusha Kisha anabaki mwenyewe kwenye kiota,na ndege huyo anaendelea kumlisha kinda wa cuckoo akijua Ni kinda wake kumbe Ni kinda la ndege Aina ya cuckoo ambaye alitaga kijanja kwenye kiota chake na kumuachia amtunze Kama wake.Kinda wa cuckoo anakuwa mkubwa kiumbo kuwazidi wazazi wanaomlea huku wakiwa wanamlisha bila kushtuka sio kinda lao.Cuckoo anauwezo wa kufanya ujanja huu kwa Aina 120 ya ndege kwa kutaga kwenye viota vyao.Cuckoo jike anataga yai moja kwa kila kiota kwa msimu moja anataga mayai 12 kwenye viota tofauti.Cuckoo Ni ndege anaepatikana Afrika,Ulaya,Asia lakini mwezi wa 9 wanakuja Afrika kutoka Ulaya na Asia kukwepa baridi Kali na uhaba wa chakula,wanakaa Afrika kwa miezi 9.
    CUCKOO BIRD Ni ndege pekee na mjanja anayetaga yai kwenye kiota Cha ndege mwingine ili kinda wake atunzwe na ndege huyo Hadi anapokuwa mkubwa.Cuckoo anataga kwenye kiota Cha ndege mwingine ambaye ametaga,yai lake linakuwa la kwanza kutotolewa,kinda wa cuckoo anayasukuma mayai au makinda ya yule ndege mwingine nje ya kiota na kuyaangusha Kisha anabaki mwenyewe kwenye kiota,na ndege huyo anaendelea kumlisha kinda wa cuckoo akijua Ni kinda wake kumbe Ni kinda la ndege Aina ya cuckoo ambaye alitaga kijanja kwenye kiota chake na kumuachia amtunze Kama wake.Kinda wa cuckoo anakuwa mkubwa kiumbo kuwazidi wazazi wanaomlea huku wakiwa wanamlisha bila kushtuka sio kinda lao.Cuckoo anauwezo wa kufanya ujanja huu kwa Aina 120 ya ndege kwa kutaga kwenye viota vyao.Cuckoo jike anataga yai moja kwa kila kiota kwa msimu moja anataga mayai 12 kwenye viota tofauti.Cuckoo Ni ndege anaepatikana Afrika,Ulaya,Asia lakini mwezi wa 9 wanakuja Afrika kutoka Ulaya na Asia kukwepa baridi Kali na uhaba wa chakula,wanakaa Afrika kwa miezi 9.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·475 Views
  • MBUNI(OSTRICH) Ni ndege pekee mkubwa na mzito kuliko ndege wote duniani,ana urefu wa futi 6 kwenda juu na uzito wa kilo 145.Mbuni anaishi maeneo ya mbuga(plain) na mbuga yenye vichaka vidogo(Savannah).MBUNI dume manyoya yake yana rangi nyeusi na nyeupe MBUNI jike manyoya yake yana rangi ya kahawia na kijivu,MBUNI anataga mayai makubwa kuliko ndege wote duniani,yai lake Lina urefu wa sentimita 15 na uzito wa kilo 1 na yai moja la MBUNI Ni sawa na mayai 24 ya kuku.Mbuni jike analalia mayai mchana na MBUNI dume analalia usiku.Kifaranga Cha MBUNI kinalingana na kuku mkubwa.Mbuni ndiye ndege pekee ambaye ana vidole viwili kila mguu,na anakimbia kilomita 70 kwa saa.Miguu yake yenye nguvu anaitumia Kama silaha kwa kupiga teke la mbele.Mbuni hana meno Ila anameza mawe madogo madogo ili yasaidie kumegenya chakula alichokula.MBUNI anakojoa mkojo Kama vile mnyama mkojo wake haujichanganyi na kinyesi.Mbuni ana jicho kubwa kuliko wanyama wote wanaoishi nchi kavu hii inamsaidia kuona adui akiwa mbali.Mbuni ndiye ndege anaekimbia Sana kuliko ndege wote wenye miguu miwili anakimbia kilomita 70 kwa saa na akiwa kwenda mwendo wa Kasi hatua yake moja Ni mita 5.Mbuni ana matumbo matatu
    MBUNI(OSTRICH) Ni ndege pekee mkubwa na mzito kuliko ndege wote duniani,ana urefu wa futi 6 kwenda juu na uzito wa kilo 145.Mbuni anaishi maeneo ya mbuga(plain) na mbuga yenye vichaka vidogo(Savannah).MBUNI dume manyoya yake yana rangi nyeusi na nyeupe MBUNI jike manyoya yake yana rangi ya kahawia na kijivu,MBUNI anataga mayai makubwa kuliko ndege wote duniani,yai lake Lina urefu wa sentimita 15 na uzito wa kilo 1 na yai moja la MBUNI Ni sawa na mayai 24 ya kuku.Mbuni jike analalia mayai mchana na MBUNI dume analalia usiku.Kifaranga Cha MBUNI kinalingana na kuku mkubwa.Mbuni ndiye ndege pekee ambaye ana vidole viwili kila mguu,na anakimbia kilomita 70 kwa saa.Miguu yake yenye nguvu anaitumia Kama silaha kwa kupiga teke la mbele.Mbuni hana meno Ila anameza mawe madogo madogo ili yasaidie kumegenya chakula alichokula.MBUNI anakojoa mkojo Kama vile mnyama mkojo wake haujichanganyi na kinyesi.Mbuni ana jicho kubwa kuliko wanyama wote wanaoishi nchi kavu hii inamsaidia kuona adui akiwa mbali.Mbuni ndiye ndege anaekimbia Sana kuliko ndege wote wenye miguu miwili anakimbia kilomita 70 kwa saa na akiwa kwenda mwendo wa Kasi hatua yake moja Ni mita 5.Mbuni ana matumbo matatu
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·232 Views
  • Baada ya kutengana kutoka kwenye biashara waliyokuwa wanafanya pamoja ya viatu, Rudolf Dassler (Kaka) alienda kuanzisha kampuni yake ya Puma mwaka 1948 na Adolf Dassler (Mdogo) alienda kuanzisha Adidas mwaka 1949.

    Ugomvi wao ulisababisha mpaka upinzani mkubwa ndani ya mji wa Herzogenaurach', Watu walikua hawafanyi mawasiliano yoyote hata kuoana kati ya mtu anaependa bidhaa za Puma au Adidas lilikua ni kosa la jinai miaka ya 1950's na mpaka sasa upinzani mkubwa kwenye mji huo upo.
    #jewajua
    Baada ya kutengana kutoka kwenye biashara waliyokuwa wanafanya pamoja ya viatu, Rudolf Dassler (Kaka) alienda kuanzisha kampuni yake ya Puma mwaka 1948 na Adolf Dassler (Mdogo) alienda kuanzisha Adidas mwaka 1949. Ugomvi wao ulisababisha mpaka upinzani mkubwa ndani ya mji wa Herzogenaurach', Watu walikua hawafanyi mawasiliano yoyote hata kuoana kati ya mtu anaependa bidhaa za Puma au Adidas lilikua ni kosa la jinai miaka ya 1950's na mpaka sasa upinzani mkubwa kwenye mji huo upo. #jewajua
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·841 Views
  • Nyumbu ( wildebeest) uzito 140 hadi 220 kulingana na afya yake, hupendelea kula nyasi ndogo ndogo zinazochipua, kama hatopata suluba huishi hadi miaka 17 na kidogo.uzee ukimzidi akishindwa kufanya safari kutafta malisho na wenzake basi hufa kwa njaa, eidha ufanywa kitoweo cha jioni na mtawala wa eneo hilo (simba)

    Kundi LA nyumbu huwa kati ya 10,000 hadi 90,000. Endapo majani yapo yakutosha nyumbu huongezeka idadi hadi kufikia 100,000 na zaidi.vipindi vya mvua nyingi ndipo nymbu huzaliana kwa kasi zaidi,

    Nyumbu wa Serengeti hula na kuzaliana nyakati za masika tu.endapo kiangazi kitaingia nyumbuwote hufunga safari na kuelekea hifadhi jilani ya Kenya (masaimar). Nyakati hizo huko kenya huwa kunamalisho yakutosha, nyumbu hukaa miezi isiyopungua 6 ndipo hufanya safari zao.

    Nyumbu ni mnyama wa tofauti kidogo na wanyama wengine kimaumbile, yaani nyumbu amebeba muonekano wa wanyama wasiopungua 7, ngoja nikujuze,

    Nywele za shingoni; SIMBA
    Mkia: FARASI
    Ndevu:MBUZI
    Mapaja ya nyuma; PUNDA MILIA
    Mgongo :ng'ombe
    Miguu ya mbele milefu yanyuma mifupi ; FISI

    Watu husema nyumbu ni mwoga na mzembe

    Nyumbu wakiwa katika kundi huwa ni waoga saaaana, yaani at a mtoto wa duma mwenye mwezi mmoja anaweza kutishia kundi LA nyumbu 20000 na wakakimbia, na asiwepo nyumbu wa kudinda ata kugeuka nyuma.

    Ila nyumbu akiwa mwenyew huwa haogopi .ni mala chache mno nyumbu aliye pekeake kumkimbia adui yake, nyumbu akiwa mwenyewe huwa anajiona kama tembo au kifaru, huwa ni hatari zaidi ata duma hutegea wawe kwenye kundi ndio wavamie.

    Nyumbu wakiwa safarini hawajawai kupisha kitu chochote kilichopo mbeleyao. Wakiwa katika mwendo wa mchaka mchaka wakiluka mabonde na mapolomoko, wakivuka mito mikubwa mithiri ya wanajeshi wakiwa mafunzoni.

    Katika safari yao nyumbu hawajawahi kumsubiri nyumbu mwezao aliyepata ajali, aliejisahau eidha alikuw anakul majan, aliyezaa wala aliyekamatwa na mnyama mlanyama, msafala wao huwa hausubiri kitu wala hauna fea.

    Pia nyumbu hawana mda wa kumtetea mwenzao aliyedhibitiwa na mnyama mla mnyama.
    Nyumbu ( wildebeest) uzito 140 hadi 220 kulingana na afya yake, hupendelea kula nyasi ndogo ndogo zinazochipua, kama hatopata suluba huishi hadi miaka 17 na kidogo.uzee ukimzidi akishindwa kufanya safari kutafta malisho na wenzake basi hufa kwa njaa, eidha ufanywa kitoweo cha jioni na mtawala wa eneo hilo (simba) Kundi LA nyumbu huwa kati ya 10,000 hadi 90,000. Endapo majani yapo yakutosha nyumbu huongezeka idadi hadi kufikia 100,000 na zaidi.vipindi vya mvua nyingi ndipo nymbu huzaliana kwa kasi zaidi, Nyumbu wa Serengeti hula na kuzaliana nyakati za masika tu.endapo kiangazi kitaingia nyumbuwote hufunga safari na kuelekea hifadhi jilani ya Kenya (masaimar). Nyakati hizo huko kenya huwa kunamalisho yakutosha, nyumbu hukaa miezi isiyopungua 6 ndipo hufanya safari zao. Nyumbu ni mnyama wa tofauti kidogo na wanyama wengine kimaumbile, yaani nyumbu amebeba muonekano wa wanyama wasiopungua 7, ngoja nikujuze, Nywele za shingoni; SIMBA Mkia: FARASI Ndevu:MBUZI Mapaja ya nyuma; PUNDA MILIA Mgongo :ng'ombe Miguu ya mbele milefu yanyuma mifupi ; FISI Watu husema nyumbu ni mwoga na mzembe Nyumbu wakiwa katika kundi huwa ni waoga saaaana, yaani at a mtoto wa duma mwenye mwezi mmoja anaweza kutishia kundi LA nyumbu 20000 na wakakimbia, na asiwepo nyumbu wa kudinda ata kugeuka nyuma. Ila nyumbu akiwa mwenyew huwa haogopi .ni mala chache mno nyumbu aliye pekeake kumkimbia adui yake, nyumbu akiwa mwenyewe huwa anajiona kama tembo au kifaru, huwa ni hatari zaidi ata duma hutegea wawe kwenye kundi ndio wavamie. Nyumbu wakiwa safarini hawajawai kupisha kitu chochote kilichopo mbeleyao. Wakiwa katika mwendo wa mchaka mchaka wakiluka mabonde na mapolomoko, wakivuka mito mikubwa mithiri ya wanajeshi wakiwa mafunzoni. Katika safari yao nyumbu hawajawahi kumsubiri nyumbu mwezao aliyepata ajali, aliejisahau eidha alikuw anakul majan, aliyezaa wala aliyekamatwa na mnyama mlanyama, msafala wao huwa hausubiri kitu wala hauna fea. Pia nyumbu hawana mda wa kumtetea mwenzao aliyedhibitiwa na mnyama mla mnyama.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • NINI ASILI YA WAYAHUDI WA LEO NCHINI ISRAEL? ,UKWELI WA MUONEKANO WAO NA HATIMA YA UTAWALA WAO.

    TUKUMBUKE Rais wa Misri wa pili wa zamani wa Umoja wa Jamhuri ya waarabu Gamal Abdel Nasser mwaka 1952 alishawahi kusema mbele ya Televisheni kwamba, watu wa ulaya wanajidai kuwa wao ni wayahudi akasema kwamba; siwezi kuwaheshimu wayahudi nyie wayahudi hamtaweza kuishi kwa amani kwasababu mliondoka hapa mkiwa weusi mkarudi mkiwa weupe.

    Msafiri wa kiitalia Ludovico di Varthema mwaka 1470 hadi mwaka 1517 alijulikana kama mtu wa kwanza Ulaya asiye muislam kuingia Makka kuhiji, karibu kila kitu kinachomuhusu maisha yake kimeandikwa katika kitabu cha "Itinerario de Ludovicode Varthema Bolognese" kilichapishwa Roma mwaka 1510. Moja ya kurasa zake unasomeka ;"mwisho wa siku 8 tukakuta mlima unaoonekana kuwa maili 10 au 12 hivi kwa mzunguko katika mlima huo paliishi wayahudi elfu nne au tano hivi waliokuwa wanatembea bila nguo na viganja vyao vipana, wenye sauti zinazofanana na zile za kike, walikuwa weusi zaidi kuliko rangi nyingine, waliishi wakitegemea kula nyama ya kondoo ,walifanyiwa tohara na kukiri kuwa wao ni wayahudi walipoulizwa ,na iwapo walimkamata mwarabu(moor) walimchuna ngozi akiwa hai ,walikuwa maadui wakubwa na waarabu weusi, hapo chini ya mlima palikuwa na tenki la maji ,maji ambayo yalitokana na mvua, tukawanywesha ngamia wetu 16,000 kwa maji hayo, hao wayahudi wakachukia wakaanza kuuzunguka mlima wao kama mbuzi pori vichaa"

    Kipindi yesu anazaliwa alikuta Israel inatawaliwa na Waroma ambapo kama alivyotabiri baada ya Yesu kukataliwa na wayahudi na baadae kupaa kwenda mbinguni, kulitokea vita kwenye utawala wa Warumi vita hiyo ilipelekea kuharibiwa lile hekalu la Suleiman na wana wa Israel kuchukuliwa mateka utumwani na wengine kukimbilia hasa kusini mwa Israel "kush" au Afrika sababu huko hapakuwa na hiyo vita na ilikuwa rahisi wao kujificha kwa watu wa Kushi sababu walikuwa wanafanana nao ndio maana hii dhana ya hawa wayahudi wa ulaya imekuwa ni moja ya hoja kubwa sana ulimwenguni kivipi wayahudi walikimbilia Ulaya wakati vita ya Roman Empire ndio ilikuwa imetokea huko inashuka Israel ,wayahudi wengi walikimbilia Afrika sio ulaya, sio hawa wanaojiita Ashkenazi au Sephardim wala Mizrahim hawa asili yao ni uturuki, hawa ni wa-- "Khazarians" sio wayahudi wa asili, sio wayahudi waliotokea kwa Yakobo.

    Hata yesu alikuwa mwafrika ,kukua kwa vyombo vya habari pamoja na kumilikiwa na mataifa makubwa imepelekea duniani kote kuamini yesu ,malaika ,na manabii wote ni wazungu ,tukiangalia (Ufunuo 1:13--16) tunaona ,"....na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano wa mwanadamu amevaa vazi lililofika miguuni na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini ,kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji na macho yake kama mwali wa moto ,na miguu yake kama shaba iliyosuguliwa sana, kama kwamba imesafishwa katika tanuru, na sauti yake kama sauti ya maji mengi " hapo Ufunuo unamuongelea Yesu( Nabii Issa)

    Tunaamini wayahudi waliopo sasa hivi sio kizazi kile cha Yakobo ,kutokana na sababu lukuki tutakazozielezea hivi punde, maandishi ya mwanzo yanaelezea wayahudi watachukuliwa utumwani na kutawanywa kila sehemu ya dunia na pia Yerusalem itatekwa na mataifa mpaka muda wa mataifa uliotimilizwa ,(Luka 21:5--24) tukiingalia tunaona hili taifa la leo la Israel lipo tofauti kabisa na hayo maandiko hapo juu ndio watu walioshikilia uchumi na utajiri mkubwa duniani ,karibia 60% ya matajiri wa dunia hii ni Waisrael, watu kama familia ya kina Rothschilds, wakati ndio watu wanaoongoza kwa kuanzisha Illuminati na Freemason na ibada nyingi sana duniani.

    Andiko la Torati 28:1--13 ,halipo kabisa kwa wayahudi wa sasa wa Israel ,ili mtu apate baraka za mungu anatakiwa afuate masharti ya Mungu ,hawa wamemuasi Mungu lakini ndio wanasemwa wamebarikiwa, kilichopo kwa hili taifa la Israel ni kinyume, wana wa Israel halisi bado wapo utumwani bado wanaishi maisha ya shida ,ufukara na umaskini zile laana za kumbukumbu la Torati 28 bado ziko juu yao sio hawa Walioko Israel kwa sasa wanaishi maisha ya anasa na utajiri mkubwa.

    Dhumuni la makala haya ni kuangalia muonekano wa wayahudi wa mwanzo walionekanaje, ndio hawa waliopo sasa hivi au kuna wengine? Tukiangalia historia ya biblia na Koran tunaona wayahudi walipokuwa wakiasi lazima laana ije juu yao ,ama hata kutokea kwa magonjwa kama tauni, ukoma ,nk au kupigwa vitani na taifa lao kuchukuliwa mateka na wakiwa huko wakimrudia mungu wao ,Mungu huwainulia nabii mmoja na huenda kuwarudisha kwenye nchi ya baba yao, nchi ya ahadi ,manabii kama Musa,Joshua,Samsoni,Eliya ,Elisha,nk walitumiwa na mungu kuwarudisha toka mateka au utumwani.

    Mei 14 mwaka 1948 wayahudi walirudishwa nchini mwao, haifahamiki kilitumiwa kigezo gani kutambua kuwa huyu ni myahudi na yule sio ,baada ya miaka 2000 hivi ya kupoteana , ni Mungu pekee tu anayeweza kuwatambua na ni pekee tu ndiye anayeweza kuwatambua na ni pekee atawarudisha pale sio hawa wazungu waliojirudisha wenyewe na kujitangaza wana wa Israel ,Luka 21---24 inasema Yerusalem itachukuliwa na kukaliwa na mataifa mpaka muda wa mataifa utakapotimilizwa na pia kitabu cha yeremia 23:5--6 kinasema wayahudi halisi hawatarudi katika nchi yao mpaka masihi yesu atakapokuja.

    Kitabu cha Ufunuo 2:9 kinasema"Naijua dhiki yako na umaskini wako ( Lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni wayahudi , na sio ,bali ni sinagogi la shetani " mstari huu unatuaminisha kwamba kuna wayahudi halisi na sio halisi ambao ni pandikizi la shetani ,mstari unaweka wazi, wayahudi halisi wapo kwenye dhiki, wapo kwenye umaskini ingawa ni matajiri( utajiri wa kiroho na kimwili) kwa sababu hawakulitii andiko la Torati 28.

    Hata hawa wa sasa wanaojiita Waisrael tunaona hawajawahi kupelekwa utumwani ,ni wayahudi weusi tu ndio wanajua adha ya utumwa ,ndio wao waliouzwa kwenye minada kama bidhaa, na kudhalilishwa na kuteswa na ndio watu waliotapakaa dunia nzima, wakitumika kama watumwa sehemu mbalimbali duniani, kwa sababu Luka 21:19;;24 inazungumzia wayahudi watapigwa na Wengi wataanguka kwa makali ya upanga na watachukuliwa utumwani katika mataifa yote , na Yerusalem itakaliwa na mataifa hata majira ya mataifa yatakapotimia ,mataifa hayo ndio yanayoikalia Israel sasa hivi.

    Sio kwamba watu weusi wote ni wayahudi ,au sio wayahudi ,wayahudi wana wa yakobo walikuwa weusi na kipindi kile watu weusi walikuwa wengi sana kuliko sasa hivi, baada ya ile gharika kuisha katika mstari wa 24 imeandikwa Yerusalem itakaliwa na watu wasio wayahudi mpaka muda utimie ,yaani yesu ( nabii Issa) atakaposhuka.

    Yeremia 23:5--8 Mungu atawatoa Waisrael toka pande zote duniani kuja kuishi Salama katika taifa lao na hawa wazungu wa ulaya kina Netanyau hawa sio Waisrael ndio maana kipigo chao kinaandaliwa ,ndio ile vita ya Armagedoni ya kwenye kitabu cha Ufunuo 16:13 upanga uliotajwa mule ndio maalum kwa Waisrael wa sasa hivi.

    Tunavigusa sana vitabu ili kukazia hoja na kuweka uhalisia juu ya makala haya, katika kitabu cha Ufunuo 7:17 kinaeleza watatumwa malaika wawawekee alama wale wayahudi halisi 144,000 watakaokuwepo duniani kipindi hicho ili wasipate kile kipigo kisichowahusu ,ndio maana kipigo chao kinaandaliwa miaka hii kwasababu tupo nyakati za mwisho , tuliona Urusi kapeleka majeshi Syria ,Marekani na mataifa mengine walipeleka tunaweza kudhani anayepigwa ni Syria ,kibao kitageuka na wale wanaojiita waisrael ndio watakaopata kipigo hicho.

    Tunaamini Waisrael wa sasa sio, kwa kukazia hoja kupitia Vitabu kadhaa ,katika kitabu cha mwanzo Yakobo alioa wake wawili ,Leah na Rachel ,akazaa na vijakazi wawili kwa kila wake zake ,wa Leah ,aliitwa Zilpha aliyemzaa Gadi na Asheri na wa Rachel aliitwa Bilhah aliyemzaa Dani na Naftari kipindi kile wajakazi walitoka Afrika ( kushi) kama alivyokuwa mke wa Musa ,Zupporah, Hesabu 12:1 katika kabila 12 za Israel walikuwa ni watu wa rangi mbalimbali walikuwa ni watu mchanganyiko sio wazungu ( Albinos).

    Tukimwangalia Ayubu 30:30 anaielezea rangi yake ilivyo "anasema" Ngozi yangu ni nyeusi ,nayo yanitoka ,Na mifupa yangu ineteketea kwa hari, " Hata kwenye wimbo ulio bora 1:5 mfalme Suleiman anajielezea rangi yake ilivyo anasema " Mimi ni mweusi -mweusi ,lakini ninao uzuri ,enyi binti wa Yerusalem ,mfano wa hewa za Kedari ,kama mapazia yake Suleiman " Tukumbuke mtu mweusi akipata shida ama ya hali ya hewa, au mateso ule weusi wake huongezeka maradufu na akiwa na raha weusi wake hung'aa.

    Katika wimbo ulio bora 1:6 tunasoma, " msinichunguze kwa kuwa ni mweusi ,kwa sababu jua limeniunguza. ,wana wa mama yangu walinikasirikia wameniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu ,bali shamba langu mwenyewe sikulilinda, Hata tukiangalia kitabu cha 2 Maombolezo 4:8 "Nyuso zao ni nyeusi kwasababu ya hali ya hewa kuliko makaa ,hawajulikani katika njia kuu, ngozi yao yagandamana na mifupa yao imekauka ,imekuwa kama mti " Pia 3 maombolezo 5:10 inaelezea " Ngozi yetu ni nyeusi kama tanuru kwa sababu ya hali ya njaa ituteketezayo" Humu kwenye Vitabu vitakatifu hakuna kifungu chenye historia ya ngozi nyeupe kwasababu mtu mweusi ndiye aliyeijaza dunia.

    Wakati mzee Yakobo alipowatuma watoto wake kwenda Misri kununua mikate walipomkuta Yusufu ndugu yao, walishindwa kumtambua kwa kuwa anafanana na wamisri na wamisri walikuwa weusi sio wazungu. Walishindwa kumtambua ndugu yao. Hata Yusufu na maria waliposikia Kwamba Herode anataka kumuua mtoto yesu walikimbilia kumficha huko Misri mpaka Herode alipofariki kwasababu wayahudi walikuwa wanafananana rangi na wamisri na vibao vilivyovumbuliwa miaka ya karibu vilionyesha walikuwa watu wanaotembeleana , itakuwa kichekesho miaka hii mtanzania akimbilie China kwa nia ya kujificha wakati hafanani na wachina , ndio maana wayahudi wengi sana walikuwa wanakimbilia kusini mwa Israel ,Misri na Kush kujificha sababu walikuwa wanafanana na watu wa huko kuanzia rangi ya ngozi zao mpaka maumbo yao.

    Ukweli filamu za Nuhu, Yesu, Samsoni, Musa nk zinazoonyesha wayahudi ni wazungu ndio kitu kinachofanya wengi tumaini,tunaweza kujiuliza kama studio zote za Hollywood zlizorekodi filamu hizo kwa nini wasijipendelee muonekano na maumbile yao ?(English figure) watoto wa Abraham wasingeweza kutoa mateso kwa wapalestina wa sasa ambao kila siku watoto wao na wanawake wa kipalestina wanapoteza maisha na wengine kujeruhiwa ,utafiti wa mwaka 1980 uligundua kwamba wengi wa wayahudi waliopo Israel asili yao ni uturuki, karibu asilimia 98 ya wayahudi hao hawakuwa wayahudi halisia.

    Katika vitabu pia kwa kutaja vichache ili kupunguza urefu wa makala , kuna watu kama Henry Ford, ambaye sio myahudi Lakini alifanya utafiti kuhusu wayahudi akagundua hawa wanaojiita wayahudi sio wayahudi halisi akaandika kitabu chake cha "International Jews". Haitoshi nae John Beaty kaandika kitabu kinaitwa " The Iron Curtain over America" kuzungumzia uhalisia wa wayahudi ,Aidha naye Col. Curtis B. Dall kaandika kitabu chake ," Israel Five Trililion Dollar Secret " tukija kwa mwanazuoni mwingine ,Arthur Koestler kaandika kitabu, "Thirteen Tribes Book" huyu hapa anamaanisha wao ni kabila la 13 badala ya yale 12 ya wayahudi wa Israel, vinginevyo ni pamoja na kile cha;Freedman , na Shlomo Sands.

    Ushahidi mwingine ili kukazia hoja hii ni kwenye kitabu cha Walawi katika Agano la kale hii ni katika kuthibitisha kwamba Agano la kale wahusika walikuwa waafrika na sio filamu za Hollywood, ambapo tunaona Walawi sura ya 13, 1--10 ,Mungu anawapiga ukoma Waisrael walipoamua kumuasi, walipopigwa ukoma ngozi yao nyeusi ilibadilika kuwa nyeupe ,vinyweleo vyao vinabadilika toka weusi na kuwa vyeupe. Mtu mweupe akipata ukoma huwezi kumtambua sababu ngozi yake ya ndani na nje Zipo sawasawa, ( hakuna melanin) lakini mtu mweusi tu ana rangi tofauti ya nje na ya ndani ,ndio maana anaitwa " coloured people " yaani wengi ni watu wa rangi mbalimbali, Aidha mtu mweusi anaweza akabadili rangi yake nyeusi kuwa nyeupe hata kwa (mkorogo) lakini mweupe hawezi kujibadili rangi yake kuwa nyeusi.

    Ndio maana mweusi akiungua moto ngozi yake inakuwa nyeupe kama kapigwa ukoma ,Kwenye walawi 13:4 tunasoma " kama vinyweleo ( malaika) havigeuki rangi kutoka vyeusi kuwa nyeupe basi huo sio ukoma " hizi ni dalili mungu alikuwa anawaambia makuhani wa Israel jinsi ya kuutambua ukoma katika jamii zao, na jinsi ya kuutibu. Kwa Waisrael wa sasa hili andiko haliwahusu , Waisrael wa sasa wanavinyweleo na ngozi tofauti kabisa ndio maana wa sasa akijitokeza mtu na kuhoji au Kuchambua walipotokea wana kusema kuwa unaanza kuleta Ubaguzi.

    Samson kwenye kitabu cha Waamuzi 16:13 kinasema ,Mungu alimuibua Nabii aliyeitwa Samson baada ya kuwaweka wana wa Israel mikononi mwa wafilisti kwa miaka 40 , alimleta baada ya Waisrael kutubu dhambi zao, tukiangalia nywele za Samson zilikuwa ndefu na zenye vishungi ( Dreadlocks) kwa sasa tunaweza kumwita alikuwa ni Rastafari wa kipindi hicho, na ndio chimbuko la marastafari walianzia hapa, kwamba mtu mweusi akiacha nywele zake bila kuzikata zinatengeneza vishungi ,za mzungu haziwezi wala hazishikamani kama walivyo weusi, kuna utofauti kati ya Rastafari mweusi na yule wa kizungu katika nywele zao
    NINI ASILI YA WAYAHUDI WA LEO NCHINI ISRAEL? ,UKWELI WA MUONEKANO WAO NA HATIMA YA UTAWALA WAO. TUKUMBUKE Rais wa Misri wa pili wa zamani wa Umoja wa Jamhuri ya waarabu Gamal Abdel Nasser mwaka 1952 alishawahi kusema mbele ya Televisheni kwamba, watu wa ulaya wanajidai kuwa wao ni wayahudi akasema kwamba; siwezi kuwaheshimu wayahudi nyie wayahudi hamtaweza kuishi kwa amani kwasababu mliondoka hapa mkiwa weusi mkarudi mkiwa weupe. Msafiri wa kiitalia Ludovico di Varthema mwaka 1470 hadi mwaka 1517 alijulikana kama mtu wa kwanza Ulaya asiye muislam kuingia Makka kuhiji, karibu kila kitu kinachomuhusu maisha yake kimeandikwa katika kitabu cha "Itinerario de Ludovicode Varthema Bolognese" kilichapishwa Roma mwaka 1510. Moja ya kurasa zake unasomeka ;"mwisho wa siku 8 tukakuta mlima unaoonekana kuwa maili 10 au 12 hivi kwa mzunguko katika mlima huo paliishi wayahudi elfu nne au tano hivi waliokuwa wanatembea bila nguo na viganja vyao vipana, wenye sauti zinazofanana na zile za kike, walikuwa weusi zaidi kuliko rangi nyingine, waliishi wakitegemea kula nyama ya kondoo ,walifanyiwa tohara na kukiri kuwa wao ni wayahudi walipoulizwa ,na iwapo walimkamata mwarabu(moor) walimchuna ngozi akiwa hai ,walikuwa maadui wakubwa na waarabu weusi, hapo chini ya mlima palikuwa na tenki la maji ,maji ambayo yalitokana na mvua, tukawanywesha ngamia wetu 16,000 kwa maji hayo, hao wayahudi wakachukia wakaanza kuuzunguka mlima wao kama mbuzi pori vichaa" Kipindi yesu anazaliwa alikuta Israel inatawaliwa na Waroma ambapo kama alivyotabiri baada ya Yesu kukataliwa na wayahudi na baadae kupaa kwenda mbinguni, kulitokea vita kwenye utawala wa Warumi vita hiyo ilipelekea kuharibiwa lile hekalu la Suleiman na wana wa Israel kuchukuliwa mateka utumwani na wengine kukimbilia hasa kusini mwa Israel "kush" au Afrika sababu huko hapakuwa na hiyo vita na ilikuwa rahisi wao kujificha kwa watu wa Kushi sababu walikuwa wanafanana nao ndio maana hii dhana ya hawa wayahudi wa ulaya imekuwa ni moja ya hoja kubwa sana ulimwenguni kivipi wayahudi walikimbilia Ulaya wakati vita ya Roman Empire ndio ilikuwa imetokea huko inashuka Israel ,wayahudi wengi walikimbilia Afrika sio ulaya, sio hawa wanaojiita Ashkenazi au Sephardim wala Mizrahim hawa asili yao ni uturuki, hawa ni wa-- "Khazarians" sio wayahudi wa asili, sio wayahudi waliotokea kwa Yakobo. Hata yesu alikuwa mwafrika ,kukua kwa vyombo vya habari pamoja na kumilikiwa na mataifa makubwa imepelekea duniani kote kuamini yesu ,malaika ,na manabii wote ni wazungu ,tukiangalia (Ufunuo 1:13--16) tunaona ,"....na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano wa mwanadamu amevaa vazi lililofika miguuni na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini ,kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji na macho yake kama mwali wa moto ,na miguu yake kama shaba iliyosuguliwa sana, kama kwamba imesafishwa katika tanuru, na sauti yake kama sauti ya maji mengi " hapo Ufunuo unamuongelea Yesu( Nabii Issa) Tunaamini wayahudi waliopo sasa hivi sio kizazi kile cha Yakobo ,kutokana na sababu lukuki tutakazozielezea hivi punde, maandishi ya mwanzo yanaelezea wayahudi watachukuliwa utumwani na kutawanywa kila sehemu ya dunia na pia Yerusalem itatekwa na mataifa mpaka muda wa mataifa uliotimilizwa ,(Luka 21:5--24) tukiingalia tunaona hili taifa la leo la Israel lipo tofauti kabisa na hayo maandiko hapo juu ndio watu walioshikilia uchumi na utajiri mkubwa duniani ,karibia 60% ya matajiri wa dunia hii ni Waisrael, watu kama familia ya kina Rothschilds, wakati ndio watu wanaoongoza kwa kuanzisha Illuminati na Freemason na ibada nyingi sana duniani. Andiko la Torati 28:1--13 ,halipo kabisa kwa wayahudi wa sasa wa Israel ,ili mtu apate baraka za mungu anatakiwa afuate masharti ya Mungu ,hawa wamemuasi Mungu lakini ndio wanasemwa wamebarikiwa, kilichopo kwa hili taifa la Israel ni kinyume, wana wa Israel halisi bado wapo utumwani bado wanaishi maisha ya shida ,ufukara na umaskini zile laana za kumbukumbu la Torati 28 bado ziko juu yao sio hawa Walioko Israel kwa sasa wanaishi maisha ya anasa na utajiri mkubwa. Dhumuni la makala haya ni kuangalia muonekano wa wayahudi wa mwanzo walionekanaje, ndio hawa waliopo sasa hivi au kuna wengine? Tukiangalia historia ya biblia na Koran tunaona wayahudi walipokuwa wakiasi lazima laana ije juu yao ,ama hata kutokea kwa magonjwa kama tauni, ukoma ,nk au kupigwa vitani na taifa lao kuchukuliwa mateka na wakiwa huko wakimrudia mungu wao ,Mungu huwainulia nabii mmoja na huenda kuwarudisha kwenye nchi ya baba yao, nchi ya ahadi ,manabii kama Musa,Joshua,Samsoni,Eliya ,Elisha,nk walitumiwa na mungu kuwarudisha toka mateka au utumwani. Mei 14 mwaka 1948 wayahudi walirudishwa nchini mwao, haifahamiki kilitumiwa kigezo gani kutambua kuwa huyu ni myahudi na yule sio ,baada ya miaka 2000 hivi ya kupoteana , ni Mungu pekee tu anayeweza kuwatambua na ni pekee tu ndiye anayeweza kuwatambua na ni pekee atawarudisha pale sio hawa wazungu waliojirudisha wenyewe na kujitangaza wana wa Israel ,Luka 21---24 inasema Yerusalem itachukuliwa na kukaliwa na mataifa mpaka muda wa mataifa utakapotimilizwa na pia kitabu cha yeremia 23:5--6 kinasema wayahudi halisi hawatarudi katika nchi yao mpaka masihi yesu atakapokuja. Kitabu cha Ufunuo 2:9 kinasema"Naijua dhiki yako na umaskini wako ( Lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni wayahudi , na sio ,bali ni sinagogi la shetani " mstari huu unatuaminisha kwamba kuna wayahudi halisi na sio halisi ambao ni pandikizi la shetani ,mstari unaweka wazi, wayahudi halisi wapo kwenye dhiki, wapo kwenye umaskini ingawa ni matajiri( utajiri wa kiroho na kimwili) kwa sababu hawakulitii andiko la Torati 28. Hata hawa wa sasa wanaojiita Waisrael tunaona hawajawahi kupelekwa utumwani ,ni wayahudi weusi tu ndio wanajua adha ya utumwa ,ndio wao waliouzwa kwenye minada kama bidhaa, na kudhalilishwa na kuteswa na ndio watu waliotapakaa dunia nzima, wakitumika kama watumwa sehemu mbalimbali duniani, kwa sababu Luka 21:19;;24 inazungumzia wayahudi watapigwa na Wengi wataanguka kwa makali ya upanga na watachukuliwa utumwani katika mataifa yote , na Yerusalem itakaliwa na mataifa hata majira ya mataifa yatakapotimia ,mataifa hayo ndio yanayoikalia Israel sasa hivi. Sio kwamba watu weusi wote ni wayahudi ,au sio wayahudi ,wayahudi wana wa yakobo walikuwa weusi na kipindi kile watu weusi walikuwa wengi sana kuliko sasa hivi, baada ya ile gharika kuisha katika mstari wa 24 imeandikwa Yerusalem itakaliwa na watu wasio wayahudi mpaka muda utimie ,yaani yesu ( nabii Issa) atakaposhuka. Yeremia 23:5--8 Mungu atawatoa Waisrael toka pande zote duniani kuja kuishi Salama katika taifa lao na hawa wazungu wa ulaya kina Netanyau hawa sio Waisrael ndio maana kipigo chao kinaandaliwa ,ndio ile vita ya Armagedoni ya kwenye kitabu cha Ufunuo 16:13 upanga uliotajwa mule ndio maalum kwa Waisrael wa sasa hivi. Tunavigusa sana vitabu ili kukazia hoja na kuweka uhalisia juu ya makala haya, katika kitabu cha Ufunuo 7:17 kinaeleza watatumwa malaika wawawekee alama wale wayahudi halisi 144,000 watakaokuwepo duniani kipindi hicho ili wasipate kile kipigo kisichowahusu ,ndio maana kipigo chao kinaandaliwa miaka hii kwasababu tupo nyakati za mwisho , tuliona Urusi kapeleka majeshi Syria ,Marekani na mataifa mengine walipeleka tunaweza kudhani anayepigwa ni Syria ,kibao kitageuka na wale wanaojiita waisrael ndio watakaopata kipigo hicho. Tunaamini Waisrael wa sasa sio, kwa kukazia hoja kupitia Vitabu kadhaa ,katika kitabu cha mwanzo Yakobo alioa wake wawili ,Leah na Rachel ,akazaa na vijakazi wawili kwa kila wake zake ,wa Leah ,aliitwa Zilpha aliyemzaa Gadi na Asheri na wa Rachel aliitwa Bilhah aliyemzaa Dani na Naftari kipindi kile wajakazi walitoka Afrika ( kushi) kama alivyokuwa mke wa Musa ,Zupporah, Hesabu 12:1 katika kabila 12 za Israel walikuwa ni watu wa rangi mbalimbali walikuwa ni watu mchanganyiko sio wazungu ( Albinos). Tukimwangalia Ayubu 30:30 anaielezea rangi yake ilivyo "anasema" Ngozi yangu ni nyeusi ,nayo yanitoka ,Na mifupa yangu ineteketea kwa hari, " Hata kwenye wimbo ulio bora 1:5 mfalme Suleiman anajielezea rangi yake ilivyo anasema " Mimi ni mweusi -mweusi ,lakini ninao uzuri ,enyi binti wa Yerusalem ,mfano wa hewa za Kedari ,kama mapazia yake Suleiman " Tukumbuke mtu mweusi akipata shida ama ya hali ya hewa, au mateso ule weusi wake huongezeka maradufu na akiwa na raha weusi wake hung'aa. Katika wimbo ulio bora 1:6 tunasoma, " msinichunguze kwa kuwa ni mweusi ,kwa sababu jua limeniunguza. ,wana wa mama yangu walinikasirikia wameniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu ,bali shamba langu mwenyewe sikulilinda, Hata tukiangalia kitabu cha 2 Maombolezo 4:8 "Nyuso zao ni nyeusi kwasababu ya hali ya hewa kuliko makaa ,hawajulikani katika njia kuu, ngozi yao yagandamana na mifupa yao imekauka ,imekuwa kama mti " Pia 3 maombolezo 5:10 inaelezea " Ngozi yetu ni nyeusi kama tanuru kwa sababu ya hali ya njaa ituteketezayo" Humu kwenye Vitabu vitakatifu hakuna kifungu chenye historia ya ngozi nyeupe kwasababu mtu mweusi ndiye aliyeijaza dunia. Wakati mzee Yakobo alipowatuma watoto wake kwenda Misri kununua mikate walipomkuta Yusufu ndugu yao, walishindwa kumtambua kwa kuwa anafanana na wamisri na wamisri walikuwa weusi sio wazungu. Walishindwa kumtambua ndugu yao. Hata Yusufu na maria waliposikia Kwamba Herode anataka kumuua mtoto yesu walikimbilia kumficha huko Misri mpaka Herode alipofariki kwasababu wayahudi walikuwa wanafananana rangi na wamisri na vibao vilivyovumbuliwa miaka ya karibu vilionyesha walikuwa watu wanaotembeleana , itakuwa kichekesho miaka hii mtanzania akimbilie China kwa nia ya kujificha wakati hafanani na wachina , ndio maana wayahudi wengi sana walikuwa wanakimbilia kusini mwa Israel ,Misri na Kush kujificha sababu walikuwa wanafanana na watu wa huko kuanzia rangi ya ngozi zao mpaka maumbo yao. Ukweli filamu za Nuhu, Yesu, Samsoni, Musa nk zinazoonyesha wayahudi ni wazungu ndio kitu kinachofanya wengi tumaini,tunaweza kujiuliza kama studio zote za Hollywood zlizorekodi filamu hizo kwa nini wasijipendelee muonekano na maumbile yao ?(English figure) watoto wa Abraham wasingeweza kutoa mateso kwa wapalestina wa sasa ambao kila siku watoto wao na wanawake wa kipalestina wanapoteza maisha na wengine kujeruhiwa ,utafiti wa mwaka 1980 uligundua kwamba wengi wa wayahudi waliopo Israel asili yao ni uturuki, karibu asilimia 98 ya wayahudi hao hawakuwa wayahudi halisia. Katika vitabu pia kwa kutaja vichache ili kupunguza urefu wa makala , kuna watu kama Henry Ford, ambaye sio myahudi Lakini alifanya utafiti kuhusu wayahudi akagundua hawa wanaojiita wayahudi sio wayahudi halisi akaandika kitabu chake cha "International Jews". Haitoshi nae John Beaty kaandika kitabu kinaitwa " The Iron Curtain over America" kuzungumzia uhalisia wa wayahudi ,Aidha naye Col. Curtis B. Dall kaandika kitabu chake ," Israel Five Trililion Dollar Secret " tukija kwa mwanazuoni mwingine ,Arthur Koestler kaandika kitabu, "Thirteen Tribes Book" huyu hapa anamaanisha wao ni kabila la 13 badala ya yale 12 ya wayahudi wa Israel, vinginevyo ni pamoja na kile cha;Freedman , na Shlomo Sands. Ushahidi mwingine ili kukazia hoja hii ni kwenye kitabu cha Walawi katika Agano la kale hii ni katika kuthibitisha kwamba Agano la kale wahusika walikuwa waafrika na sio filamu za Hollywood, ambapo tunaona Walawi sura ya 13, 1--10 ,Mungu anawapiga ukoma Waisrael walipoamua kumuasi, walipopigwa ukoma ngozi yao nyeusi ilibadilika kuwa nyeupe ,vinyweleo vyao vinabadilika toka weusi na kuwa vyeupe. Mtu mweupe akipata ukoma huwezi kumtambua sababu ngozi yake ya ndani na nje Zipo sawasawa, ( hakuna melanin) lakini mtu mweusi tu ana rangi tofauti ya nje na ya ndani ,ndio maana anaitwa " coloured people " yaani wengi ni watu wa rangi mbalimbali, Aidha mtu mweusi anaweza akabadili rangi yake nyeusi kuwa nyeupe hata kwa (mkorogo) lakini mweupe hawezi kujibadili rangi yake kuwa nyeusi. Ndio maana mweusi akiungua moto ngozi yake inakuwa nyeupe kama kapigwa ukoma ,Kwenye walawi 13:4 tunasoma " kama vinyweleo ( malaika) havigeuki rangi kutoka vyeusi kuwa nyeupe basi huo sio ukoma " hizi ni dalili mungu alikuwa anawaambia makuhani wa Israel jinsi ya kuutambua ukoma katika jamii zao, na jinsi ya kuutibu. Kwa Waisrael wa sasa hili andiko haliwahusu , Waisrael wa sasa wanavinyweleo na ngozi tofauti kabisa ndio maana wa sasa akijitokeza mtu na kuhoji au Kuchambua walipotokea wana kusema kuwa unaanza kuleta Ubaguzi. Samson kwenye kitabu cha Waamuzi 16:13 kinasema ,Mungu alimuibua Nabii aliyeitwa Samson baada ya kuwaweka wana wa Israel mikononi mwa wafilisti kwa miaka 40 , alimleta baada ya Waisrael kutubu dhambi zao, tukiangalia nywele za Samson zilikuwa ndefu na zenye vishungi ( Dreadlocks) kwa sasa tunaweza kumwita alikuwa ni Rastafari wa kipindi hicho, na ndio chimbuko la marastafari walianzia hapa, kwamba mtu mweusi akiacha nywele zake bila kuzikata zinatengeneza vishungi ,za mzungu haziwezi wala hazishikamani kama walivyo weusi, kuna utofauti kati ya Rastafari mweusi na yule wa kizungu katika nywele zao
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views
  • INRI: Iesus Nazarenus Rex Iudaeorum. Hayo ni maneno ya kilatini yenye maana 'Jesus of Nazareth, King of Jews' yaani Yesu wa Nazareti mfalme wa wahayudi. Maneno hayo yaliandikwa katika kibao kilichopigiliwa kwenye msalaba aliosulubiwa Kristo mnamo milenia mbili zilizopita.
    INRI: Iesus Nazarenus Rex Iudaeorum. Hayo ni maneno ya kilatini yenye maana 'Jesus of Nazareth, King of Jews' yaani Yesu wa Nazareti mfalme wa wahayudi. Maneno hayo yaliandikwa katika kibao kilichopigiliwa kwenye msalaba aliosulubiwa Kristo mnamo milenia mbili zilizopita.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·373 Views
  • HONEY GUIDE ni ndege ambaye anakuelekeza asali ilipo.Masai wanaotafuta asali porini hupiga mluzi kumuita Honey guide.nae hutoa ishara ya sauti na kuruka mti Hadi mti kukuonyesha nyuki walipo ili utoe asali.Honey guide hana uwezo wa kutoa asali bali anakuonyesha ili ukitoa umewekee Sega nae ale kwasababu anapenda Sana mayai ya nyuki na watoto wa nyuki.Honey guide ni ndege pekee ambaye tumbo lake linameng'enya nta(digest wax).Akikuelekeza asali ilipo alafu usimpe hata kidogo anakasirika,siku nyingine anakupeleka kwenye mnyama mkali Kama Simba,dume la tembo,au chui.
    HONEY GUIDE ni ndege ambaye anakuelekeza asali ilipo.Masai wanaotafuta asali porini hupiga mluzi kumuita Honey guide.nae hutoa ishara ya sauti na kuruka mti Hadi mti kukuonyesha nyuki walipo ili utoe asali.Honey guide hana uwezo wa kutoa asali bali anakuonyesha ili ukitoa umewekee Sega nae ale kwasababu anapenda Sana mayai ya nyuki na watoto wa nyuki.Honey guide ni ndege pekee ambaye tumbo lake linameng'enya nta(digest wax).Akikuelekeza asali ilipo alafu usimpe hata kidogo anakasirika,siku nyingine anakupeleka kwenye mnyama mkali Kama Simba,dume la tembo,au chui.
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·427 Views