• Sikia hii kutoka Kwa Rude boy: Kwa sababu ya pesa nlimpoteza mwanamke ambaye hata mama alijua nitamuoa - Rude boy

    Wimbo Reason with me ulisimulia kile kilichonitokea kweli, nlikuwa na msichana ambaye hata mama alijua nitakuja kumuoa, lakini wakaja wale big boys wakafanya Yao kila kitu , kila kitu nlichofanya kikawa kero kwake , hata salamu zangu, lakini hata hivyo nashukuru alinifanya niipambanie maisha yangu kwa ukubwa , unajua pesa inaweza kumfanya mwanamke akuache na kukutaftia sababu zisizo na maana - Rude boy

    Funzo: hakika pesa ni nzuri Mungu abariki kila juhudi halali unayoweka kwa ajili ya mafanikio yako...

    #jewajua
    Sikia hii kutoka Kwa Rude boy: Kwa sababu ya pesa nlimpoteza mwanamke ambaye hata mama alijua nitamuoa - Rude boy Wimbo Reason with me ulisimulia kile kilichonitokea kweli, nlikuwa na msichana ambaye hata mama alijua nitakuja kumuoa, lakini wakaja wale big boys wakafanya Yao kila kitu , kila kitu nlichofanya kikawa kero kwake , hata salamu zangu, lakini hata hivyo nashukuru alinifanya niipambanie maisha yangu kwa ukubwa , unajua pesa inaweza kumfanya mwanamke akuache na kukutaftia sababu zisizo na maana - Rude boy Funzo: hakika pesa ni nzuri Mungu abariki kila juhudi halali unayoweka kwa ajili ya mafanikio yako... #jewajua
    0 Kommentare ·0 Anteile ·900 Ansichten
  • PICHA NI MKE NA MAMA WATOTO WA MCHEZAJI POGBA

    Picha ni mwadada Mrembo Ambaye ni mke wa Kiungo Fundi Mwenye Asili ya Guinea Paul Labile Pogba ambaye kwa sasa amesimama kujihusisha na Soka kutokana na kutumia madawa yasiyofaa kwenye Michezo.

    Mrembo huyo kwa Majina anaitwa Maria Zulay Salaues amezaliwa kwenye Mji wa Robore, Nchini Bolivia.

    Pogba ni miongoni Mwa wachezaji ambao wanamiliki mwanamke Sahihi na mrembo.

    Zulay amezaliwa mwaka 1994 Pia Amezaa watoto Wawili na Pogba

    Licha ya Yote anayopitia mume wake lakini mwanadada huyo amekua Akiendelea kua Sahihi kwa Pogba.

    Kuna Kauli za Mitaani zinatukiwa Sana na Vijana ambao hawajajipata wakisema kwamba Tafuta Pesa Wanawake Wazuri wapo.

    NIWAAMBIE tu unaweza kua na Pesa na Mwanamke mzuri ulimmliki kwa Sababu Kumiliki Pisi sio kitu Cha Kawaida tangu enzi za manabi na manabi

    Kuna Watu hawana Ela lakini wanamiliki Wanawake Wazuri na waotokea maisha Mazuri kabisa ✍🏽

    Kwahiyo ni kuomba MUNGU akujalie kwenye Kila kitu

    SOMA KITABU CHA MHUBIRI12:1

    Mkumbuke Muumba (MUNGU )wako Siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku Zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka Utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
    PICHA NI MKE NA MAMA WATOTO WA MCHEZAJI POGBA Picha ni mwadada Mrembo Ambaye ni mke wa Kiungo Fundi Mwenye Asili ya Guinea Paul Labile Pogba ambaye kwa sasa amesimama kujihusisha na Soka kutokana na kutumia madawa yasiyofaa kwenye Michezo. Mrembo huyo kwa Majina anaitwa Maria Zulay Salaues amezaliwa kwenye Mji wa Robore, Nchini 🇧🇴Bolivia. Pogba ni miongoni Mwa wachezaji ambao wanamiliki mwanamke Sahihi na mrembo. Zulay amezaliwa mwaka 1994 Pia Amezaa watoto Wawili na Pogba Licha ya Yote anayopitia mume wake lakini mwanadada huyo amekua Akiendelea kua Sahihi kwa Pogba. Kuna Kauli za Mitaani zinatukiwa Sana na Vijana ambao hawajajipata wakisema kwamba Tafuta Pesa Wanawake Wazuri wapo. NIWAAMBIE tu unaweza kua na Pesa na Mwanamke mzuri ulimmliki kwa Sababu Kumiliki Pisi sio kitu Cha Kawaida tangu enzi za manabi na manabi Kuna Watu hawana Ela lakini wanamiliki Wanawake Wazuri na waotokea maisha Mazuri kabisa ✍🏽 Kwahiyo ni kuomba MUNGU akujalie kwenye Kila kitu SOMA KITABU CHA 📖MHUBIRI12:1 Mkumbuke Muumba (MUNGU )wako Siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku Zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka Utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·488 Ansichten
  • JE UNAFAHAMU: Wachezaji wanakumbana na mambo mengi sana uwanjani hivyo ukiona ghafla kiwango kinashuka usimtukane muombee.

    Iko hivi kuna siku Real Madrid walikuwa wanaenda kukutana na Atletico Madrid, kumbuka ni dabi hii hivyo lazima mtifuano uwe mkubwa.

    Wachezaji huwa wanapeana mbinu mbalimbali ili kushinda sasa beki Filipe Luis aliamua kutafuta udhaifu wa Di Maria ili aweze kumtawala, akapewa mbinu Sergio Aguero ambaye alikuwa anacheza Taifa Moja na Di Maria ambayo hadi leo anajutia.

    Filipe Luis anasema: "Majuto yangu makubwa katika kazi yangu? Ilikuwa na Di Maria.

    "Ikiwa kuna kitu najuta kukifanya, labda ndicho kitu pekee ninachojutia, ilikuwa dhidi ya Di Maria na ningependa kurejesha nyuma ili nisurudie...

    "Tulikuwa tunaenda kucheza dhidi ya Real Madrid na Agüero aliniambia: 'Filipe, zungumza naye kuhusu mke wake (vitu vibaya), atapoteza, ataacha mchezo.

    “Wakati wa mchezo, NILIMTUKANA, nilizungumza kuhusu MKE wake, Alinitazama, alikuwa AMEPOTEA, nilishinda mchezo mzima dhidi yake.

    “Nilirudi nyumbani na KUJUTA sana. Samahani kwa kufanya hivyo na Maria. Di Maria, samahani, samahani nilifanya hivyo, samahani."
    JE UNAFAHAMU: Wachezaji wanakumbana na mambo mengi sana uwanjani hivyo ukiona ghafla kiwango kinashuka usimtukane muombee. Iko hivi kuna siku Real Madrid walikuwa wanaenda kukutana na Atletico Madrid, kumbuka ni dabi hii hivyo lazima mtifuano uwe mkubwa. Wachezaji huwa wanapeana mbinu mbalimbali ili kushinda sasa beki Filipe Luis aliamua kutafuta udhaifu wa Di Maria ili aweze kumtawala, akapewa mbinu Sergio Aguero ambaye alikuwa anacheza Taifa Moja na Di Maria ambayo hadi leo anajutia. Filipe Luis anasema: "Majuto yangu makubwa katika kazi yangu? Ilikuwa na Di Maria. "Ikiwa kuna kitu najuta kukifanya, labda ndicho kitu pekee ninachojutia, ilikuwa dhidi ya Di Maria na ningependa kurejesha nyuma ili nisurudie... "Tulikuwa tunaenda kucheza dhidi ya Real Madrid na Agüero aliniambia: 'Filipe, zungumza naye kuhusu mke wake (vitu vibaya), atapoteza, ataacha mchezo. “Wakati wa mchezo, NILIMTUKANA, nilizungumza kuhusu MKE wake, Alinitazama, alikuwa AMEPOTEA, nilishinda mchezo mzima dhidi yake. “Nilirudi nyumbani na KUJUTA sana. Samahani kwa kufanya hivyo na Maria. Di Maria, samahani, samahani nilifanya hivyo, samahani."
    0 Kommentare ·0 Anteile ·560 Ansichten
  • Wajue maraisi watano wa Africa waliouwawa baada ya kupinduliwa.

    Kama yalivyo maeneo mengine ya dunia, bara la Afrika halijasalimika na mapinduzi ya kirai na kijeshi. Lakini wakati mwingine mapinduzi haya, hupelekea mauaji ya wanaopinduliwa.

    Miongoni hao marais wapo ambao walipinduliwa lakini roho zao zikasalimika, wapo ambao waliponea katika tundu la sindano, na wengine bahati hazikuwa za kwao, wakaishi kuuawa.

    Makala hii inaangazia orodha ya marais watano waliouawa barani Afrika, baada ya serikali zao kuzindiwa nguvu na kuondolewa madarakani, tangu mataifa ya Afrika yapate uhuru:

    Sylvanus Épiphanio Olympio, alizaliwa tarehe 6 Septemba 1902. Familia ya Olympio ilikuwa moja wapo ya familia tajiri nchini Togo mwanzoni mwa miaka ya 1900.

    Alisoma na kuhitimu London School of Economics. Baada ya Vita vya Pili vya Dunia, Olympio alipata umaarufu mkubwa katika juhudi za kupigania uhuru wa Togo na chama chake kilishinda uchaguzi wa 1958, na kumfanya kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo.

    Nguvu yake iliimarika zaidi pale Togo ilipopata uhuru na akashinda uchaguzi wa 1961, na kumfanya kuwa rais wa kwanza wa Togo.

    Tarehe 13 Januari 1963, Olympio na mke wake waliamshwa na wanajeshi waliokuwa wakivunja nyumba yao. Aliuawa 1963, miaka mitatu tu baada ya kuchukua madaraka.

    Mwili wa Olympio ulipatikana na Balozi wa Marekani Leon B. Poullada futi tatu kutoka mlango wa Ubalozi wa Marekani. Akawa Rais wa kwanza kuuawa baada ya mapinduzi barani Afrika.

    William Richard Tolbert alizaliwa 13 Mei 1913, alikuwa mwanasiasa wa Liberia na rais wa 20 wa Liberia kuanzia 1971 hadi mwaka 1980.

    Tolbert aliingia katika Baraza la Wawakilishi mwaka 1943 kupitia chama cha True Whig, kikiwa chama pekee kilichoanzishwa nchini Liberia wakati huo. Tolbert alichaguliwa kuwa makamu wa rais wa 23 wa Liberia chini ya rais William Tubman mwaka 1952 na alihudumu katika nafasi hiyo hadi alipokuwa rais kufuatia kifo cha Tubman mwaka 1971.

    Mapema tarehe 12 Aprili 1980, maofisa 17 wa Jeshi la Liberia wakiongozwa na Sajenti Samuel Doe walianzisha mapinduzi. Kundi hilo liliingia katika Ikulu ya Rais na kumuua Tolbert, na mwili wake ulitupwa kwenye kaburi la pamoja na wahanga wengine 27 wa mapinduzi hayo. Mwili wa Tolbert baadaye ulitolewa na kupelekwa Monrovia kwa mazishi rasmi.
    Wajue maraisi watano wa Africa waliouwawa baada ya kupinduliwa. Kama yalivyo maeneo mengine ya dunia, bara la Afrika halijasalimika na mapinduzi ya kirai na kijeshi. Lakini wakati mwingine mapinduzi haya, hupelekea mauaji ya wanaopinduliwa. Miongoni hao marais wapo ambao walipinduliwa lakini roho zao zikasalimika, wapo ambao waliponea katika tundu la sindano, na wengine bahati hazikuwa za kwao, wakaishi kuuawa. Makala hii inaangazia orodha ya marais watano waliouawa barani Afrika, baada ya serikali zao kuzindiwa nguvu na kuondolewa madarakani, tangu mataifa ya Afrika yapate uhuru: Sylvanus Épiphanio Olympio, alizaliwa tarehe 6 Septemba 1902. Familia ya Olympio ilikuwa moja wapo ya familia tajiri nchini Togo mwanzoni mwa miaka ya 1900. Alisoma na kuhitimu London School of Economics. Baada ya Vita vya Pili vya Dunia, Olympio alipata umaarufu mkubwa katika juhudi za kupigania uhuru wa Togo na chama chake kilishinda uchaguzi wa 1958, na kumfanya kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo. Nguvu yake iliimarika zaidi pale Togo ilipopata uhuru na akashinda uchaguzi wa 1961, na kumfanya kuwa rais wa kwanza wa Togo. Tarehe 13 Januari 1963, Olympio na mke wake waliamshwa na wanajeshi waliokuwa wakivunja nyumba yao. Aliuawa 1963, miaka mitatu tu baada ya kuchukua madaraka. Mwili wa Olympio ulipatikana na Balozi wa Marekani Leon B. Poullada futi tatu kutoka mlango wa Ubalozi wa Marekani. Akawa Rais wa kwanza kuuawa baada ya mapinduzi barani Afrika. William Richard Tolbert alizaliwa 13 Mei 1913, alikuwa mwanasiasa wa Liberia na rais wa 20 wa Liberia kuanzia 1971 hadi mwaka 1980. Tolbert aliingia katika Baraza la Wawakilishi mwaka 1943 kupitia chama cha True Whig, kikiwa chama pekee kilichoanzishwa nchini Liberia wakati huo. Tolbert alichaguliwa kuwa makamu wa rais wa 23 wa Liberia chini ya rais William Tubman mwaka 1952 na alihudumu katika nafasi hiyo hadi alipokuwa rais kufuatia kifo cha Tubman mwaka 1971. Mapema tarehe 12 Aprili 1980, maofisa 17 wa Jeshi la Liberia wakiongozwa na Sajenti Samuel Doe walianzisha mapinduzi. Kundi hilo liliingia katika Ikulu ya Rais na kumuua Tolbert, na mwili wake ulitupwa kwenye kaburi la pamoja na wahanga wengine 27 wa mapinduzi hayo. Mwili wa Tolbert baadaye ulitolewa na kupelekwa Monrovia kwa mazishi rasmi.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·536 Ansichten
  • SOMA HII.. Tajiri namba Moja Elon musk haja na smartphone kiboko haiitaji umeme unatumia internet wakati wote.

    Kampuni ya Tesla inayomilikiwa na bilionea Elon Musk, imetoa taarifa kwamba simu yake ya Tesla Pi inatarajiwa kuanza kupatikana kote duniani mwishoni mwa mwaka huu, 2024.

    Simu hiyo inatajwa kuja kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya mawasiliano kwa simu za mkononi, ikiwa na sifa kibao ambazo hazipo kwenye simu nyingine, kubwa ikiwa inatumia nishati ya jua kujichaji.

    Inaelezwa kuwa huenda simu hiyo ikaja kuleta upinzani mkubwa kwa simu za iPhone ambazo zinasifika duniani kote kutokana na ubora wake.

    Sifa za kipekee za simu hizo, ya kwanza ni kwamba kama ilivyoelezwa, hakuna haja ya kuchaji betri kwa sababu inajichaji yenyewe kwa kutumia nishati ya jua.

    Huna haja ya kuchomeka ‘charger’ kwenye umeme, unachotakiwa ni kuwa tu sehemu yenye jua au yenye mwanga kisha simu inaendelea kujichaji yenyewe ‘automatically’.

    Sifa yake ya pili ni kwamba hakuna haja ya kujiunga na intaneti ya kawaida kwani simu hizo zinaunganishwa moja kwa moja na mtandao wa Starlink uliosambaa duniani kote unaotumia satelite ili kupata intaneti.

    Sifa nyingine kubwa ni kwamba simu hiyo ina uwezo wa kuunganisha dunia, mwezi na sayari ya Mars, kwamba kama upo duniani na mtu mwingine yupo mwezini, basi unampata vizuri kabisa hewani ukimpigia simu.

    Inaelezwa kuwa simu za Tesla zinakuja kuleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa teknolojia na kubadilisha kabisa jinsi watu wanavyotumia simu za kisasa.
    SOMA HII.. Tajiri namba Moja Elon musk haja na smartphone kiboko haiitaji umeme unatumia internet wakati wote. Kampuni ya Tesla inayomilikiwa na bilionea Elon Musk, imetoa taarifa kwamba simu yake ya Tesla Pi inatarajiwa kuanza kupatikana kote duniani mwishoni mwa mwaka huu, 2024. Simu hiyo inatajwa kuja kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya mawasiliano kwa simu za mkononi, ikiwa na sifa kibao ambazo hazipo kwenye simu nyingine, kubwa ikiwa inatumia nishati ya jua kujichaji. Inaelezwa kuwa huenda simu hiyo ikaja kuleta upinzani mkubwa kwa simu za iPhone ambazo zinasifika duniani kote kutokana na ubora wake. Sifa za kipekee za simu hizo, ya kwanza ni kwamba kama ilivyoelezwa, hakuna haja ya kuchaji betri kwa sababu inajichaji yenyewe kwa kutumia nishati ya jua. Huna haja ya kuchomeka ‘charger’ kwenye umeme, unachotakiwa ni kuwa tu sehemu yenye jua au yenye mwanga kisha simu inaendelea kujichaji yenyewe ‘automatically’. Sifa yake ya pili ni kwamba hakuna haja ya kujiunga na intaneti ya kawaida kwani simu hizo zinaunganishwa moja kwa moja na mtandao wa Starlink uliosambaa duniani kote unaotumia satelite ili kupata intaneti. Sifa nyingine kubwa ni kwamba simu hiyo ina uwezo wa kuunganisha dunia, mwezi na sayari ya Mars, kwamba kama upo duniani na mtu mwingine yupo mwezini, basi unampata vizuri kabisa hewani ukimpigia simu. Inaelezwa kuwa simu za Tesla zinakuja kuleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa teknolojia na kubadilisha kabisa jinsi watu wanavyotumia simu za kisasa.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • 🗣 "Nimeangalia AFCON zaidi ya mpira wa miguu wa Ulaya. Wanatufundisha tu kuwa waaminifu. Katika AFCON VAR hutumiwa haswa njia ambayo inapaswa kutumika. Hawatumii kusaidia timu kubwa zenye pesa au timu maarufu. Hii ndio sababu umeona bora zaidi kutoka kwa kila timu. Kwa sababu wanajua VAR haijaajiriwa nyuma ya pazia lakini ni kwa kila mtu. Wanasikiliza hata wachezaji wao ikiwa Ref amekosa kitu na kwenda kuangalia. Huku Ulaya mimi kama kocha au mchezaji kuomba na ref kwenda kuangalia kitu, ni kadi nyekundu kwa kufanya hivyo. Makao makuu ya VAR yanapaswa kuwa katika CAF"
    🗣 "Nimeangalia AFCON zaidi ya mpira wa miguu wa Ulaya. Wanatufundisha tu kuwa waaminifu. Katika AFCON VAR hutumiwa haswa njia ambayo inapaswa kutumika. Hawatumii kusaidia timu kubwa zenye pesa au timu maarufu. Hii ndio sababu umeona bora zaidi kutoka kwa kila timu. Kwa sababu wanajua VAR haijaajiriwa nyuma ya pazia lakini ni kwa kila mtu. Wanasikiliza hata wachezaji wao ikiwa Ref amekosa kitu na kwenda kuangalia. Huku Ulaya mimi kama kocha au mchezaji kuomba na ref kwenda kuangalia kitu, ni kadi nyekundu kwa kufanya hivyo. Makao makuu ya VAR yanapaswa kuwa katika CAF"
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·224 Ansichten
  • Mwamuzi maarufu wa Italia Colina alipoulizwa kuhusu wakati mkubwa wa kazi yake:

    "Ilikuwa dakika mbili za mwisho, niliona wachezaji wa Bayern wakiwa kwenye benchi wakijiandaa kusherehekea ubingwa, mashabiki walifurahi uwanjani huku timu yao ikitawazwa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya.

    Ghafla, Manchester ilifunga mabao mawili katika dakika mbili na kubadilisha matokeo. Sitasahau jinsi timu ya Uingereza ilivyokuwa ikipasuka kwa kelele kubwa kana kwamba walikuwa simba wakinguruma, wakati kulikuwa na ukimya wa mazishi katika uwanja wa Bayern,

    Wachezaji wa Man United walikuwa wakisherehekea bao lao la pili kwa hysterically wakati niliona mchezaji wa Bayern akianguka chini bila matumaini na alikuwa anajisikia kukata tamaa sana. Nilimkaribia na sikupata chochote cha kumwambia isipokuwa, "Amka na upigane bado una sekunde ishirini!.

    Wakati huo, niliona sura ya kweli ya mpira wa miguu, kifo na maisha katika uwanja mmoja, watu wakisherehekea wazimu na watu wanaotamani kifo !! ”
    Mwamuzi maarufu wa Italia Colina alipoulizwa kuhusu wakati mkubwa wa kazi yake: "Ilikuwa dakika mbili za mwisho, niliona wachezaji wa Bayern wakiwa kwenye benchi wakijiandaa kusherehekea ubingwa, mashabiki walifurahi uwanjani huku timu yao ikitawazwa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya. Ghafla, Manchester ilifunga mabao mawili katika dakika mbili na kubadilisha matokeo. Sitasahau jinsi timu ya Uingereza ilivyokuwa ikipasuka kwa kelele kubwa kana kwamba walikuwa simba wakinguruma, wakati kulikuwa na ukimya wa mazishi katika uwanja wa Bayern, Wachezaji wa Man United walikuwa wakisherehekea bao lao la pili kwa hysterically wakati niliona mchezaji wa Bayern akianguka chini bila matumaini na alikuwa anajisikia kukata tamaa sana. Nilimkaribia na sikupata chochote cha kumwambia isipokuwa, "Amka na upigane bado una sekunde ishirini!. Wakati huo, niliona sura ya kweli ya mpira wa miguu, kifo na maisha katika uwanja mmoja, watu wakisherehekea wazimu na watu wanaotamani kifo !! ”
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·628 Ansichten
  • Legend Xavi Hernandez anazungumzia kuhusu Dembele 🎙🎙🎙 :

    🎙 Mimi ni mtu ambaye nilimuunga mkono Dembele zaidi pale Barcelona na nilielewa uamuzi wake alipoondoka, lakini jambo la bahati mbaya ni pale tulipocheza dhidi ya Paris na mwamuzi akanitoa na nikamuona Dembele akimpongeza

    🎙 Siku zote najua kwamba soka si haki, unapoona kwamba Barcelona ilitunza matibabu yake kwa miaka mingi na kumrekebisha na kulipa mshahara wake alipokuwa hospitalini na kisha alifanya hivyo, ilikuwa moja ya matukio ya bahati mbaya zaidi

    ● "Sidhani kama shabiki yeyote wa Barça angependa kumsamehe Dembele. Wengine wanamwita Yuda wakati wengine wanasema kuondoka kwake ilikuwa baraka kwa kikosi chao kuwa Bora kwa Sasa.
    Legend Xavi Hernandez anazungumzia kuhusu Dembele 🚨🚨🚨🎙🎙🎙 : 🎙 Mimi ni mtu ambaye nilimuunga mkono Dembele zaidi pale Barcelona na nilielewa uamuzi wake alipoondoka, lakini jambo la bahati mbaya ni pale tulipocheza dhidi ya Paris na mwamuzi akanitoa na nikamuona Dembele akimpongeza 🤯❤️ 🔥 🎙 Siku zote najua kwamba soka si haki, unapoona kwamba Barcelona ilitunza matibabu yake kwa miaka mingi na kumrekebisha na kulipa mshahara wake alipokuwa hospitalini na kisha alifanya hivyo, ilikuwa moja ya matukio 🤯❤️ 🔥 ya bahati mbaya zaidi ● "Sidhani kama shabiki yeyote wa Barça angependa kumsamehe Dembele. Wengine wanamwita Yuda wakati wengine wanasema kuondoka kwake ilikuwa baraka kwa kikosi chao kuwa Bora kwa Sasa.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·403 Ansichten
  • JE UNAFAHAMU: Katika dakika ya 80 ya fainali ya Wembley, Barcelona ilikuwa inaongoza Manchester United 3-1. Msaidizi wa Ferguson alisema:

    "Tufanye mabadiliko, Messi, Iniesta, na Xavi wamechoka sana katika ulinzi wetu."

    Ferguson alijibu: "Kaa chini na ufurahie mpira wa miguu wanaocheza. Yote ni juu ya. Wangeweza kumiliki mpira kwa siku tatu mfululizo."

    Messi alipata alama ya juu zaidi katika fainali ya Ligi ya Mabingwa katika mechi hiyo, 10/10 kamili, na hakuna mchezaji aliyerudia mafanikio haya hadi sasa.
    JE UNAFAHAMU: Katika dakika ya 80 ya fainali ya Wembley, Barcelona ilikuwa inaongoza Manchester United 3-1. Msaidizi wa Ferguson alisema: "Tufanye mabadiliko, Messi, Iniesta, na Xavi wamechoka sana katika ulinzi wetu." Ferguson alijibu: "Kaa chini na ufurahie mpira wa miguu wanaocheza. Yote ni juu ya. Wangeweza kumiliki mpira kwa siku tatu mfululizo." Messi alipata alama ya juu zaidi katika fainali ya Ligi ya Mabingwa katika mechi hiyo, 10/10 kamili, na hakuna mchezaji aliyerudia mafanikio haya hadi sasa.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·630 Ansichten
  • JE UNAFAHAMU: Timu ya kwanza ya Uingereza kushinda Ligi ya Mabingwa / Kombe la Ulaya ilikuwa Manchester United mnamo 1968 ikiifunga Benfica ya Ureno 4-2 katika muda wa ziada. Wameshinda jumla ya mara tatu. Mara ya pili ilikuwa msimu wa 1998/99 ambapo walimaliza safari ya kihistoria kwa kushinda Ligi Kuu na Kombe la FA katika msimu huo huo. Waliwafunga Bayern Munich 2-1 huku mabao yote mawili yakifungwa katika muda wa majeruhi. Mara ya tatu ilikuwa mwaka 2008. Waliwafunga Chelsea kwa mikwaju ya penalti.

    Mashabiki wengi wa United wanahisi kwamba kama isingekuwa kwa sheria ya kuzuia wageni 3 kwamba klabu hiyo ingeweza kushinda chache zaidi katika miaka ya 90 pia.

    Kulikuwa na timu ya Uingereza ambayo ilishinda kabla ya United. Hii ilikuwa Celtic. Walishinda mwaka 1967.
    JE UNAFAHAMU: Timu ya kwanza ya Uingereza kushinda Ligi ya Mabingwa / Kombe la Ulaya ilikuwa Manchester United mnamo 1968 ikiifunga Benfica ya Ureno 4-2 katika muda wa ziada. Wameshinda jumla ya mara tatu. Mara ya pili ilikuwa msimu wa 1998/99 ambapo walimaliza safari ya kihistoria kwa kushinda Ligi Kuu na Kombe la FA katika msimu huo huo. Waliwafunga Bayern Munich 2-1 huku mabao yote mawili yakifungwa katika muda wa majeruhi. Mara ya tatu ilikuwa mwaka 2008. Waliwafunga Chelsea kwa mikwaju ya penalti. Mashabiki wengi wa United wanahisi kwamba kama isingekuwa kwa sheria ya kuzuia wageni 3 kwamba klabu hiyo ingeweza kushinda chache zaidi katika miaka ya 90 pia. Kulikuwa na timu ya Uingereza ambayo ilishinda kabla ya United. Hii ilikuwa Celtic. Walishinda mwaka 1967.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·596 Ansichten