• Netanyahu atuma ujumbe wa ngazi ya juu Qatar "kuendeleza" mazungumzo ya kuwarudisha mateka.
    Netanyahu atuma ujumbe wa ngazi ya juu Qatar "kuendeleza" mazungumzo ya kuwarudisha mateka.
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·534 Views
  • China na Ethiopia zaadhimisha miaka 55 ya uhusiano wa kibalozi
    China na Ethiopia zimeadhimisha miaka 55 ya uhusiano wa kibalozi Jumapili mjini Addis Ababa.
    Tukio hilo kubwa lililoandaliwa na Ubalozi wa China na Chama cha Wafanyabiashara Wachina nchini Ethiopia, likiambatana na sherehe za sikukuu ijayo ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina, lilikuwa na shughuli mbalimbali, ikiwemo mnada wa hisani, maonesho ya utamaduni wa China, vyakula vya jadi vya kichina na huduma bure za matibabu.
    Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina itaangukia Januari 29 mwaka huu, ikifungua Mwaka wa Nyoka, kwa mujibu wa kalenda ya kilimo ya China.
    Akiongea katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na umati mkubwa wa Wachina na wenyeji, Balozi wa China nchini Ethiopia Bw. Chen Hai amesema, China itatumia maadhimisho ya miaka 55 ya uhusiano kama mwanzo mpya, kutelekeza matokeo ya mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika Beijing na makubaliano yaliyofikiwa na wakuu wa nchi hizo mbili, na kufanya juhudi pamoja na marafiki wa Ethiopia kuzijenga nchi hizo mbili kuwa za kisasa.
    Akikumbusha kuwa China na Ethiopia zimeinua uhusiano wao hadi kufikia ngazi ya Uhusiano wa Wenzi wa Kimkakati wa Pande Zote tangu mwezi Oktoba mwaka jana, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia Mesganu Arga amesisitiza urafiki mkubwa katika China na Ethiopia, na kusema uhusiano huo wa karibu ni ushahidi wa kile kinachoweza kufikiwa wakati mataifa haya mawili yanaheshimiana na kutafuta maendeleo ya pamoja.
    China na Ethiopia zaadhimisha miaka 55 ya uhusiano wa kibalozi China na Ethiopia zimeadhimisha miaka 55 ya uhusiano wa kibalozi Jumapili mjini Addis Ababa. Tukio hilo kubwa lililoandaliwa na Ubalozi wa China na Chama cha Wafanyabiashara Wachina nchini Ethiopia, likiambatana na sherehe za sikukuu ijayo ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina, lilikuwa na shughuli mbalimbali, ikiwemo mnada wa hisani, maonesho ya utamaduni wa China, vyakula vya jadi vya kichina na huduma bure za matibabu. Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina itaangukia Januari 29 mwaka huu, ikifungua Mwaka wa Nyoka, kwa mujibu wa kalenda ya kilimo ya China. Akiongea katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na umati mkubwa wa Wachina na wenyeji, Balozi wa China nchini Ethiopia Bw. Chen Hai amesema, China itatumia maadhimisho ya miaka 55 ya uhusiano kama mwanzo mpya, kutelekeza matokeo ya mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika Beijing na makubaliano yaliyofikiwa na wakuu wa nchi hizo mbili, na kufanya juhudi pamoja na marafiki wa Ethiopia kuzijenga nchi hizo mbili kuwa za kisasa. Akikumbusha kuwa China na Ethiopia zimeinua uhusiano wao hadi kufikia ngazi ya Uhusiano wa Wenzi wa Kimkakati wa Pande Zote tangu mwezi Oktoba mwaka jana, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia Mesganu Arga amesisitiza urafiki mkubwa katika China na Ethiopia, na kusema uhusiano huo wa karibu ni ushahidi wa kile kinachoweza kufikiwa wakati mataifa haya mawili yanaheshimiana na kutafuta maendeleo ya pamoja.
    Like
    Love
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Watu 20 wauawa katika shambulio dhidi ya ikulu ya Chad
    Watu 20 wameuawa na wengine 11 kujeruhiwa katika shambulio dhidi ya ikulu ya Chad lililotokea jumatano jioni.
    Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka nchini humo imesema, shambulio hilo lilitokea majira ya saa 1:45 jioni kwa saa za huko ambapo kundi la watu 24 waliokuwa na silaha walidai kuharibikiwa na gari na kuwashambulia walinzi katika mlango mkuu wa Ikulu.
    Wakati wa shambulio hilo, washambulizi hao waliwaua askari wawili na kujeruhi vibaya askari wengine watano huku wakijaribu kuingia kwa nguvu ndani ya Ikulu. Hata hivyo vikosi vya usalama vilijibu shambulio hilo haraka na kuwaua washambuliaji 18, huku washambuliaji wengine 6 waliojeruhiwa walikamatwa na kupelekwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
    Watu 20 wauawa katika shambulio dhidi ya ikulu ya Chad Watu 20 wameuawa na wengine 11 kujeruhiwa katika shambulio dhidi ya ikulu ya Chad lililotokea jumatano jioni. Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka nchini humo imesema, shambulio hilo lilitokea majira ya saa 1:45 jioni kwa saa za huko ambapo kundi la watu 24 waliokuwa na silaha walidai kuharibikiwa na gari na kuwashambulia walinzi katika mlango mkuu wa Ikulu. Wakati wa shambulio hilo, washambulizi hao waliwaua askari wawili na kujeruhi vibaya askari wengine watano huku wakijaribu kuingia kwa nguvu ndani ya Ikulu. Hata hivyo vikosi vya usalama vilijibu shambulio hilo haraka na kuwaua washambuliaji 18, huku washambuliaji wengine 6 waliojeruhiwa walikamatwa na kupelekwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·663 Views
  • Mtandao wa Poly market unaongoza kuweka mikake ya kubeti kuhusu masuala au matukio mbalimbali ya ulimwenguni kama vile masuala ya siasa na matukio mazito imeweka Odds juu ya mtandao wa TikTok kuwa utafungiwa kabla ya mwezi Mei.

    Ongezeko hili kubwa la hali ya utata imekuja baada ya miezi kadhaa ya wabunge na wanasiasa kubishana kuhusu faragha ya data ya jukwaa na athari za usalama wa taifa na kuitaka kuifungia mtandao huo.

    #polymarket #tiktok #tiktokban #teknoloji #habari
    Mtandao wa Poly market unaongoza kuweka mikake ya kubeti kuhusu masuala au matukio mbalimbali ya ulimwenguni kama vile masuala ya siasa na matukio mazito imeweka Odds juu ya mtandao wa TikTok kuwa utafungiwa kabla ya mwezi Mei. Ongezeko hili kubwa la hali ya utata imekuja baada ya miezi kadhaa ya wabunge na wanasiasa kubishana kuhusu faragha ya data ya jukwaa na athari za usalama wa taifa na kuitaka kuifungia mtandao huo. #polymarket #tiktok #tiktokban #teknoloji #habari
    Like
    3
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • THEIA SAYARI NDOGO ILIYOGONGANA NA DUNIANI.

    ✍🏾Mapande ya sayari inayoitwa Theia ambayo iligongana na Dunia na kusababisha kuundwa kwa Mwezi yamepatikana na Wataalmu Nchini Marekani.Kwa kufafanua zaidi ni wazi kwamba kuna siri nzito Katika Uumbaji,Kweli Mungu ni fundi waungwana,Kwanza Fahamu ya kwamba Asilimia 70% ya Historia ya uuumbaji Haijulikana kisawa Sawa maana Maisha ya Binadamu hayana Umri mrefu sanaa kuzidi Umri wa Dunia maana Umri wa Dunia ni miaka Billion 4.7 na Dunia inatadhamiwa Kuishi miaka Billion 7 Ijayo kabla Haijafa na kusambalatika kama kama Cheche za Mkaa.Theia ni jina la kigiriki lenye maana ya kwamba Mungu wa kike ambapo kulingana na simulizi na imani za wagiri ni kwamba Theia ni moja wa Mungu wa kike waliokuwa wanaishi uko Mwezini.Theia ni moja wa Watoto 7 mama wa Miungu ya uko mwezini yaani Mather of All Goddes uko mwezini hivyo ambaye alifahamika kama Selene huyo Goddess mkuu wa uko mwezini.

    ✍🏾SaSa Hapo mwanzo kulikuwa na Sayari inayofahamika kama Theia ambayo ilikuwa na ukubwa Sawa sawaa na Mars uko ambako NASA wametuma Perseverance Rovers kwenda Kuangalia kama Kulikuwa na maisha Hapo Kale yaani Miaka Billion 3 Iliyopita.Sasa Kuna nadharia kama 4 zinazoelezeaa kutokea Kwa mwezi,Kuna ambao Wanadai ya kwamba Theia ilikuwa iko nje ya Mfumo wa Jua mpaka inakuja kugongana na Dunia Hata Hivyo nadharia hii BADO haijathibika wanasayansi BADO wanafanya Tafiti Mbali Mbali kuliweka Hili sawaa.

    Hata Maji Yaliyopo hapa Duniani Hususani Maji ya kwenye Bahari yalitokea Baada ya Theia Kuparamia na Kuigonga Duniani Ndio Ikasababisha Uwepo wa Bahari kubwa ambazo tunaziona leo hii.Kuna nadharia ya kwanza ambayo Inadai ya kwamba kulikuwa na Moja ya Sayari kubwa Sana, Ambapo Sayari hiyo kulingana na Sababu ambazo hazijawekwa wazi ni kwamba Sayari hiyo kubwa ilikuja Kupasuka pasuka Kwa Kishindo na Kusababisha mgawanyiko ambapo Katika mgawanyiko huo ndio ukapelekea kuwepo Kwa Mwezi Ambapo Mwezi huo ulikuja Kunaswa na Nguvu ya mvutano wa Jua ndio ukabaki ulipo leo lakini Huwenda lisingekuwa Jua Mwezi ungekuwa Umeenda Mbali Sana kuliko ilivyo leo,Wabongo wanasema ya kwamba Mungu ni Fundi kweli (Tunakubaliana ya kwamba Sayari Zote ni Viumbe kama ilivyo Kwa viumbe wengine).

    ✍🏾 kamaa hiyo haitoshi kuna Nadharia ya pili ambayo inaelezea ya kwamba Mwezi uliundwa Wakati mmoja na Wakati Dunia () inaundwa hii Ina maana ya kwamba Dunia na Mwezi viliundwa wakati mmoja Kipindi ambacho Photo planetary Disk Accreted.Kwa kuthibitisha hilo Wakati wa Apollo Project Taasisi kubwa ya Marekani yaani NATIONAL AERONAUTICS AND SPACE ADMINISTRATION (NASA) walipata baadhi ya Ushahidi wa miamba uko mwezini walipoenda uko Mwaka 1969 mpaka mwaka 1972 walikutana na miamba yenye kufanana na ya hapa Duniani na hivyo kuja na Hoja ya kwamba Huenda Dunia na Mwezi viliundwa Wakati mmoja.Kuna baadhi ya chambuzi zinadai ya kwamba Theia ilikuwa ni Earth Trojan yaani Sayari ndogo ambayo ilikuwa ipo Katika mfumo wa kulizunguka JUA yenye Ukubwa wa Km 6,102 sawaa na Mile 3792.Na kulingana na utafiti na Ushahidi wa mwaka 2019 UNAONYESHA ya kwamba Theia ni Sayari ambayo Hakuwa Katika Mfumo wetu wa Jua ILA ni Sayari ambayo Imetoka nje ya Mfumo wa Jua (Solar system Mfumo huu ambao uliatengenezwa miaka 4.6 iliyopita).

    ✍🏾Takribani miaka bilioni 4.5 iliyopita sayari ndogo inayoitwa Theia iligongana na Dunia tukio lililosababisha sayari hiyo kupasuka na baadhi ya mapande yake kuruka kwenye Space na kuundia Mwezi na mapande mengine yalifukiwa chini Duniani ambapo katika utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na wanasayansi kutoka chuo cha Arizona Nchini Marekani wamefanikiwa kuyapata baadhi ya mawe yaliyosalia wakati sayari hiyo ilipogongana na Dunia.ndii maana naungana na Mtaalamu wangu kutoka Marekani alimaarufu kama Bari Katika masuala ya uchambuzi ya kwamba Sayari Huwa zinajizalisha zenyewe ama kuzaliana Zenyewe maana Kwamba Sayari Moja inaweza ikasababisha KUZALIWA KWA Sayari zingine ndio maana Hata baadhi mawe makubwa yaliyoko Angani yenye ukubwa Sawa na Jimbo la Alaska ama Australia ni matokeo ama masalia ya Sayari zilizokufa ama zilizowahi kuwepo miaka Mabilioni iliyopita.

    Maana tufahamu ya kwamba Sayari Huwa zinazaliwa na pia Baada ya miaka Billion 4 mpaka 7 Sayari Huwa zinakufa ndio maana Mtaalamu Bari anazichukuliaa Sayari kama ni VIUMBE Vinavyoishi kama ilivyo Kwa viumbe viumbe Vinginevyo.hivyo Miamba iliyoko mwezini na hapa Duniani Ina Uhusiano Mkubwa na kuonyesha ya kwamba Mwezi na Dunia Zote zimeumbwa wakati Mmoja ama ni matokeo ya Sayari ndogo ya THEIA yenye kutaka kufanana na MARS Kwa ukubwa ilipogngana na Dunia na Kusababisha Kutokea Kwa Mwezi.
    THEIA SAYARI NDOGO ILIYOGONGANA NA DUNIANI. ✍🏾Mapande ya sayari inayoitwa Theia ambayo iligongana na Dunia na kusababisha kuundwa kwa Mwezi yamepatikana na Wataalmu Nchini Marekani.Kwa kufafanua zaidi ni wazi kwamba kuna siri nzito Katika Uumbaji,Kweli Mungu ni fundi waungwana,Kwanza Fahamu ya kwamba Asilimia 70% ya Historia ya uuumbaji Haijulikana kisawa Sawa maana Maisha ya Binadamu hayana Umri mrefu sanaa kuzidi Umri wa Dunia maana Umri wa Dunia ni miaka Billion 4.7 na Dunia inatadhamiwa Kuishi miaka Billion 7 Ijayo kabla Haijafa na kusambalatika kama kama Cheche za Mkaa🤓🤓.Theia ni jina la kigiriki lenye maana ya kwamba Mungu wa kike ambapo kulingana na simulizi na imani za wagiri ni kwamba Theia ni moja wa Mungu wa kike waliokuwa wanaishi uko Mwezini.Theia ni moja wa Watoto 7 mama wa Miungu ya uko mwezini yaani Mather of All Goddes uko mwezini hivyo ambaye alifahamika kama Selene huyo Goddess mkuu wa uko mwezini. ✍🏾SaSa Hapo mwanzo kulikuwa na Sayari inayofahamika kama Theia ambayo ilikuwa na ukubwa Sawa sawaa na Mars uko ambako NASA wametuma Perseverance Rovers kwenda Kuangalia kama Kulikuwa na maisha Hapo Kale yaani Miaka Billion 3 Iliyopita.Sasa Kuna nadharia kama 4 zinazoelezeaa kutokea Kwa mwezi,Kuna ambao Wanadai ya kwamba Theia ilikuwa iko nje ya Mfumo wa Jua mpaka inakuja kugongana na Dunia Hata Hivyo nadharia hii BADO haijathibika wanasayansi BADO wanafanya Tafiti Mbali Mbali kuliweka Hili sawaa. Hata Maji Yaliyopo hapa Duniani Hususani Maji ya kwenye Bahari yalitokea Baada ya Theia Kuparamia na Kuigonga Duniani Ndio Ikasababisha Uwepo wa Bahari kubwa ambazo tunaziona leo hii.Kuna nadharia ya kwanza ambayo Inadai ya kwamba kulikuwa na Moja ya Sayari kubwa Sana, Ambapo Sayari hiyo kulingana na Sababu ambazo hazijawekwa wazi ni kwamba Sayari hiyo kubwa ilikuja Kupasuka pasuka Kwa Kishindo na Kusababisha mgawanyiko ambapo Katika mgawanyiko huo ndio ukapelekea kuwepo Kwa Mwezi Ambapo Mwezi huo ulikuja Kunaswa na Nguvu ya mvutano wa Jua ndio ukabaki ulipo leo lakini Huwenda lisingekuwa Jua Mwezi ungekuwa Umeenda Mbali Sana kuliko ilivyo leo,Wabongo wanasema ya kwamba Mungu ni Fundi kweli (Tunakubaliana ya kwamba Sayari Zote ni Viumbe kama ilivyo Kwa viumbe wengine). ✍🏾 kamaa hiyo haitoshi kuna Nadharia ya pili ambayo inaelezea ya kwamba Mwezi uliundwa Wakati mmoja na Wakati Dunia (🌎) inaundwa hii Ina maana ya kwamba Dunia na Mwezi viliundwa wakati mmoja Kipindi ambacho Photo planetary Disk Accreted.Kwa kuthibitisha hilo Wakati wa Apollo Project Taasisi kubwa ya Marekani yaani NATIONAL AERONAUTICS AND SPACE 🌌 ADMINISTRATION (NASA) walipata baadhi ya Ushahidi wa miamba uko mwezini walipoenda uko Mwaka 1969 mpaka mwaka 1972 walikutana na miamba yenye kufanana na ya hapa Duniani na hivyo kuja na Hoja ya kwamba Huenda Dunia na Mwezi viliundwa Wakati mmoja.Kuna baadhi ya chambuzi zinadai ya kwamba Theia ilikuwa ni Earth Trojan yaani Sayari ndogo ambayo ilikuwa ipo Katika mfumo wa kulizunguka JUA yenye Ukubwa wa Km 6,102 sawaa na Mile 3792.Na kulingana na utafiti na Ushahidi wa mwaka 2019 UNAONYESHA ya kwamba Theia ni Sayari ambayo Hakuwa Katika Mfumo wetu wa Jua ILA ni Sayari ambayo Imetoka nje ya Mfumo wa Jua (Solar system Mfumo huu ambao uliatengenezwa miaka 4.6 iliyopita). ✍🏾Takribani miaka bilioni 4.5 iliyopita sayari ndogo inayoitwa Theia iligongana na Dunia tukio lililosababisha sayari hiyo kupasuka na baadhi ya mapande yake kuruka kwenye Space na kuundia Mwezi na mapande mengine yalifukiwa chini Duniani ambapo katika utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na wanasayansi kutoka chuo cha Arizona Nchini Marekani wamefanikiwa kuyapata baadhi ya mawe yaliyosalia wakati sayari hiyo ilipogongana na Dunia.ndii maana naungana na Mtaalamu wangu kutoka Marekani alimaarufu kama Bari Katika masuala ya uchambuzi ya kwamba Sayari Huwa zinajizalisha zenyewe ama kuzaliana Zenyewe maana Kwamba Sayari Moja inaweza ikasababisha KUZALIWA KWA Sayari zingine ndio maana Hata baadhi mawe makubwa yaliyoko Angani yenye ukubwa Sawa na Jimbo la Alaska ama Australia ni matokeo ama masalia ya Sayari zilizokufa ama zilizowahi kuwepo miaka Mabilioni iliyopita. Maana tufahamu ya kwamba Sayari Huwa zinazaliwa na pia Baada ya miaka Billion 4 mpaka 7 Sayari Huwa zinakufa ndio maana Mtaalamu Bari anazichukuliaa Sayari kama ni VIUMBE Vinavyoishi kama ilivyo Kwa viumbe viumbe Vinginevyo.hivyo Miamba iliyoko mwezini na hapa Duniani Ina Uhusiano Mkubwa na kuonyesha ya kwamba Mwezi na Dunia Zote zimeumbwa wakati Mmoja ama ni matokeo ya Sayari ndogo ya THEIA yenye kutaka kufanana na MARS Kwa ukubwa ilipogngana na Dunia na Kusababisha Kutokea Kwa Mwezi.
    Like
    3
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views
  • TUNATINGA ROBO FAINALI KIBABE #TotalEnergiesCAFCC

    #paulswai
    TUNATINGA ROBO FAINALI KIBABE 🤩 #TotalEnergiesCAFCC #paulswai
    Like
    4
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·941 Views
  • Kikosi Cha wiki cha CAF
    Kikosi Cha wiki cha CAF
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·138 Views
  • TAKWIMU ZA SAED RAMOVIC
    TAKWIMU ZA SAED RAMOVIC
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·127 Views
  • Oscar Oscar na Maulid Kitenge
    Oscar Oscar na Maulid Kitenge😂
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·122 Views
  • Oscar Oscar
    Oscar Oscar 😂
    Like
    2
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·119 Views