
-
-
-
Kwa chelsea tunawekaje wazeee wa mikeka tuue ama anawinKwa chelsea tunawekaje wazeee wa mikeka tuue ama anawin 🧐🧐🧐🧐
-
Welcome to our stock@bwirebookstorecompWelcome to our stock@bwirebookstorecomp
KISWAHILI KIDATO CHA KWANZA
Tsh15000
Hiki ni kitabu ambacho kitamsaidia mwanafunzi wa kidato cha kwanza kujifunza kiswahili kwa ufasaha zaidi, pia hata kufaulu katika mitihani yake kwa kiwango cha juu.In stock ·NuevoMZUMBE -
AdultMeneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga SC, Ally Kamwe akitoa semina kwa Viongozi wa Klabu ya TP Mazembe jinsi mfumo wa Idara yetu ya Habari na Mawasiliano unavyofanya kazi.
Leo ni siku ya pili ya ziara ya Uongozi wa TP Mazembe kwenye Makao Makuu ya Klabu ya Yanga, wakiwa na lengo la kujifunza mambo mbalimbali kwenye mfumo wetu wa Mabadiliko ya Uendeshaji.Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga SC, Ally Kamwe akitoa semina kwa Viongozi wa Klabu ya TP Mazembe jinsi mfumo wa Idara yetu ya Habari na Mawasiliano unavyofanya kazi. Leo ni siku ya pili ya ziara ya Uongozi wa TP Mazembe kwenye Makao Makuu ya Klabu ya Yanga, wakiwa na lengo la kujifunza mambo mbalimbali kwenye mfumo wetu wa Mabadiliko ya Uendeshaji. -
Twende tukasapot app ya manzania mwenzetu ipo kama Facebook pia inaweza kukuingizia kipato kama mitandao mingine follow hiyo page tuanze kujifunza hukoTwende tukasapot app ya manzania mwenzetu ipo kama Facebook pia inaweza kukuingizia kipato kama mitandao mingine follow hiyo page tuanze kujifunza huko
-
-