• Sababu ya Simba SC kuwaombea Wachezaji wake tisa (9) wa kigeni Uraia wa Tanzania.

    " - Wachezaji hao wa Simba SC wa kigeni wanapenda kuwa sehemu ya Jamii ya Watanzania.Wanaipenda nchi ya Tanzania

    - Idadi ya wachezaji wa kigeni wanaoomba kucheza Ligi ya Tanzania ni kubwa sana kwa sababu ya mvuto wa Ligi ya Tanzania.Hivyo Wachezaji 9 wa kigeni wakipewa uraia wa Tanzania,Simba itakuwa na nafasi ya kuongeza wachezaji wengine wa kigeni" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC via Clouds FM.

    Sababu ya Simba SC kuwaombea Wachezaji wake tisa (9) wa kigeni Uraia wa Tanzania. " - Wachezaji hao wa Simba SC wa kigeni wanapenda kuwa sehemu ya Jamii ya Watanzania.Wanaipenda nchi ya Tanzania - Idadi ya wachezaji wa kigeni wanaoomba kucheza Ligi ya Tanzania ni kubwa sana kwa sababu ya mvuto wa Ligi ya Tanzania.Hivyo Wachezaji 9 wa kigeni wakipewa uraia wa Tanzania,Simba itakuwa na nafasi ya kuongeza wachezaji wengine wa kigeni" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC via Clouds FM.
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·250 Views
  • Like
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·115 Views
  • Ahmed Ally

    MAZUNGUMZO YA URAIA

    Mpanzu : Mimi nitakua Mpogoro

    Ahoua : Mimi mdigo

    Mpanzu : Au niwe Mgogo

    Ahoua : Basi mie nitakua mzigua

    Kibu : Wewe mbona makabila yako ya Tanga tuu

    Ahoua : Napenda kuwa karibu na bahari

    Mpanzu : Kibu nishauri mimi niwe kabila gani

    Kibu : Kuwa Muha

    Mpanzu : Muha hapana nikienda Kigoma napata hisia za Congo

    Kibu : Basi Mnyakyusa

    Mpanzu : Aaah niwe Mwaisa saafi sana ushauri mzuri huo nitakua naitwa Elia Mwampanzu

    Ahoua : Jamani Mimi bado sijapata kabila

    Kibu: Chukua Mrangi

    Ahoua : Kabila gani wanasema Ubaya Ubwela

    Kibu : Wazaramo

    Ahoua : Hilo ndio kabila langu sasa, na jina langu John Chale Kambi

    Ahmed Ally ✍️ MAZUNGUMZO YA URAIA Mpanzu : Mimi nitakua Mpogoro Ahoua : Mimi mdigo Mpanzu : Au niwe Mgogo Ahoua : Basi mie nitakua mzigua Kibu : Wewe mbona makabila yako ya Tanga tuu Ahoua : Napenda kuwa karibu na bahari Mpanzu : Kibu nishauri mimi niwe kabila gani Kibu : Kuwa Muha Mpanzu : Muha hapana nikienda Kigoma napata hisia za Congo Kibu : Basi Mnyakyusa Mpanzu : Aaah niwe Mwaisa saafi sana ushauri mzuri huo nitakua naitwa Elia Mwampanzu Ahoua : Jamani Mimi bado sijapata kabila Kibu: Chukua Mrangi Ahoua : Kabila gani wanasema Ubaya Ubwela Kibu : Wazaramo Ahoua : Hilo ndio kabila langu sasa, na jina langu John Chale Kambi
    Like
    Love
    3
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·375 Views
  • Humu nasikia ukiwa manner unalipwa nauliza unalipwa namnagani?
    Humu nasikia ukiwa manner unalipwa nauliza unalipwa namnagani?
    0 Commentarios ·0 Acciones ·320 Views
  • 🤣🤣🤣
    Like
    1
    · 1 Commentarios ·0 Acciones ·103 Views
  • Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·208 Views
  • Mazoezi ya mwisho mwisho Kuwakabili Copco FC jumamosi
    Mazoezi ya mwisho mwisho Kuwakabili Copco FC jumamosi
    Like
    1
    · 1 Commentarios ·0 Acciones ·99 Views
  • Ila Simba
    Ila Simba🤣
    Like
    1
    · 1 Commentarios ·0 Acciones ·107 Views
  • We ukiwaona wasalimie tu kwa kiswahili Ni Watanzania wenzio
    We ukiwaona wasalimie tu kwa kiswahili 😂 Ni Watanzania wenzio😂
    Like
    1
    · 1 Commentarios ·0 Acciones ·354 Views
  • Duuh
    Duuh
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·203 Views ·9