نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-24 07:48:52 ·
    Klabu ya Juventus imethibitisha kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji wa PSG Randal Kolo Muani kwa mkopo hadi Mwisho wa Msimu.
    Klabu ya Juventus imethibitisha kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji wa PSG Randal Kolo Muani kwa mkopo hadi Mwisho wa Msimu.
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·518 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-24 08:03:56 ·
    Nawakumbusha tu kuanzia wiki ijayo kitaumana
    Nawakumbusha tu kuanzia wiki ijayo kitaumana
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·123 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-24 08:04:42 ·
    Nyingine hii
    Nyingine hii
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·141 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-24 08:05:23 ·
    Nyingine tena
    Nyingine tena
    Love
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·125 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-24 08:05:59 ·
    Ya Mwisho
    Ya Mwisho👐
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·124 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-24 08:08:59 ·
    Mataifa mengi makubwa ambayo yanajiweza kifedha, miundombinu Nk lakini bado waliamini kwenye kuwapatia wachezaji wenye ubora mkubwa uraia
    ‎
    ‎Mataifa kama Ufaransa, England Ubelgiji ni miongoni mwa mataifa ambayo yameweka nguvu juu ya wachezaji wenye ubora kuwashawishi hili waweze kuwa raia wao
    ‎
    ‎Nazani jambo la msingi kwa sasa sio mchezaji aombe uraia wenda tukakosa top players kunahaja sasa ya sisi kama taifa kuwaomba wale top level ambao mataifa yao hayana mpango nao
    ‎
    ‎Huu utakuwa utaratibu mzuri ambao mataifa mengi ambayo yanafaida hufanya hivyo maana ni rahisi kupata wenye ubora kuliko wachache ambao wanaomba
    ‎
    ‎Kama mtu mkongo anachezea Ufaransa sembuse Mgana kuchezea Tanzania.
    ‎
    ‎Note: Ukweli kama taifa kwa sasa kuna level ya wachezaji ambao tunawataka kwenye kikosi chetu cha taifa stars haipatikani kwa wingi yaani kuna idadi ndogo ambayo inaubora ambao unaoweza kusaidia taifa kwenye level kubwa ya kimashindano
    Mataifa mengi makubwa ambayo yanajiweza kifedha, miundombinu Nk lakini bado waliamini kwenye kuwapatia wachezaji wenye ubora mkubwa uraia ‎ ‎Mataifa kama Ufaransa, England Ubelgiji ni miongoni mwa mataifa ambayo yameweka nguvu juu ya wachezaji wenye ubora kuwashawishi hili waweze kuwa raia wao ‎ ‎Nazani jambo la msingi kwa sasa sio mchezaji aombe uraia wenda tukakosa top players kunahaja sasa ya sisi kama taifa kuwaomba wale top level ambao mataifa yao hayana mpango nao ‎ ‎Huu utakuwa utaratibu mzuri ambao mataifa mengi ambayo yanafaida hufanya hivyo maana ni rahisi kupata wenye ubora kuliko wachache ambao wanaomba ‎ ‎Kama mtu mkongo anachezea Ufaransa sembuse Mgana kuchezea Tanzania. ‎ ‎Note: Ukweli kama taifa kwa sasa kuna level ya wachezaji ambao tunawataka kwenye kikosi chetu cha taifa stars haipatikani kwa wingi yaani kuna idadi ndogo ambayo inaubora ambao unaoweza kusaidia taifa kwenye level kubwa ya kimashindano
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·819 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-24 08:13:03 ·
    Nahodha msaidizi namba moja wa klabu ya FC Barcelona raia wa Uruguay Ronald Araujo ameongeza mkataba wa kuendelea kusalia katika klabu hiyo kwa kipindi Cha miaka 6 mpaka June 2031.
    Nahodha msaidizi namba moja wa klabu ya FC Barcelona raia wa Uruguay 🇺🇾 Ronald Araujo ameongeza mkataba wa kuendelea kusalia katika klabu hiyo kwa kipindi Cha miaka 6 mpaka June 2031.
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·350 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-24 08:13:47 ·
    “Sio kwamba tuna wachezaji kumi na moja bora wa kikosi cha Young Africans bali wachezaji wote ishirini na tano ni bora na wako tayari kwa mechi” Kocha wa Young Africans Sead Ramovic
    “Sio kwamba tuna wachezaji kumi na moja bora wa kikosi cha Young Africans bali wachezaji wote ishirini na tano ni bora na wako tayari kwa mechi” Kocha wa Young Africans Sead Ramovic
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·615 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-24 08:14:23 ·
    Maxi Mpia Nzengeli
    Maxi Mpia Nzengeli
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·243 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-24 08:14:55 ·
    Football daah
    Football daah😭
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·379 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (21741-21750 من 25760)
  • «
  • السابق
  • 2173
  • 2174
  • 2175
  • 2176
  • 2177
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين