Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Kelvin John @Jumae a adăugat o fotografie
    2025-01-24 08:03:56 ·
    Nawakumbusha tu kuanzia wiki ijayo kitaumana
    Nawakumbusha tu kuanzia wiki ijayo kitaumana
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·173 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Kelvin John @Jumae a adăugat o fotografie
    2025-01-24 08:04:42 ·
    Nyingine hii
    Nyingine hii
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·179 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Kelvin John @Jumae a adăugat o fotografie
    2025-01-24 08:05:23 ·
    Nyingine tena
    Nyingine tena
    Love
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·174 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Kelvin John @Jumae a adăugat o fotografie
    2025-01-24 08:05:59 ·
    Ya Mwisho
    Ya Mwisho👐
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·180 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Kelvin John @Jumae a adăugat o fotografie
    2025-01-24 08:08:59 ·
    Mataifa mengi makubwa ambayo yanajiweza kifedha, miundombinu Nk lakini bado waliamini kwenye kuwapatia wachezaji wenye ubora mkubwa uraia
    ‎
    ‎Mataifa kama Ufaransa, England Ubelgiji ni miongoni mwa mataifa ambayo yameweka nguvu juu ya wachezaji wenye ubora kuwashawishi hili waweze kuwa raia wao
    ‎
    ‎Nazani jambo la msingi kwa sasa sio mchezaji aombe uraia wenda tukakosa top players kunahaja sasa ya sisi kama taifa kuwaomba wale top level ambao mataifa yao hayana mpango nao
    ‎
    ‎Huu utakuwa utaratibu mzuri ambao mataifa mengi ambayo yanafaida hufanya hivyo maana ni rahisi kupata wenye ubora kuliko wachache ambao wanaomba
    ‎
    ‎Kama mtu mkongo anachezea Ufaransa sembuse Mgana kuchezea Tanzania.
    ‎
    ‎Note: Ukweli kama taifa kwa sasa kuna level ya wachezaji ambao tunawataka kwenye kikosi chetu cha taifa stars haipatikani kwa wingi yaani kuna idadi ndogo ambayo inaubora ambao unaoweza kusaidia taifa kwenye level kubwa ya kimashindano
    Mataifa mengi makubwa ambayo yanajiweza kifedha, miundombinu Nk lakini bado waliamini kwenye kuwapatia wachezaji wenye ubora mkubwa uraia ‎ ‎Mataifa kama Ufaransa, England Ubelgiji ni miongoni mwa mataifa ambayo yameweka nguvu juu ya wachezaji wenye ubora kuwashawishi hili waweze kuwa raia wao ‎ ‎Nazani jambo la msingi kwa sasa sio mchezaji aombe uraia wenda tukakosa top players kunahaja sasa ya sisi kama taifa kuwaomba wale top level ambao mataifa yao hayana mpango nao ‎ ‎Huu utakuwa utaratibu mzuri ambao mataifa mengi ambayo yanafaida hufanya hivyo maana ni rahisi kupata wenye ubora kuliko wachache ambao wanaomba ‎ ‎Kama mtu mkongo anachezea Ufaransa sembuse Mgana kuchezea Tanzania. ‎ ‎Note: Ukweli kama taifa kwa sasa kuna level ya wachezaji ambao tunawataka kwenye kikosi chetu cha taifa stars haipatikani kwa wingi yaani kuna idadi ndogo ambayo inaubora ambao unaoweza kusaidia taifa kwenye level kubwa ya kimashindano
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·893 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Kelvin John @Jumae a adăugat o fotografie
    2025-01-24 08:13:03 ·
    Nahodha msaidizi namba moja wa klabu ya FC Barcelona raia wa Uruguay Ronald Araujo ameongeza mkataba wa kuendelea kusalia katika klabu hiyo kwa kipindi Cha miaka 6 mpaka June 2031.
    Nahodha msaidizi namba moja wa klabu ya FC Barcelona raia wa Uruguay 🇺🇾 Ronald Araujo ameongeza mkataba wa kuendelea kusalia katika klabu hiyo kwa kipindi Cha miaka 6 mpaka June 2031.
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·377 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Kelvin John @Jumae a adăugat o fotografie
    2025-01-24 08:13:47 ·
    “Sio kwamba tuna wachezaji kumi na moja bora wa kikosi cha Young Africans bali wachezaji wote ishirini na tano ni bora na wako tayari kwa mechi” Kocha wa Young Africans Sead Ramovic
    “Sio kwamba tuna wachezaji kumi na moja bora wa kikosi cha Young Africans bali wachezaji wote ishirini na tano ni bora na wako tayari kwa mechi” Kocha wa Young Africans Sead Ramovic
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·695 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Kelvin John @Jumae a adăugat o fotografie
    2025-01-24 08:14:23 ·
    Maxi Mpia Nzengeli
    Maxi Mpia Nzengeli
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·323 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Kelvin John @Jumae a adăugat o fotografie
    2025-01-24 08:14:55 ·
    Football daah
    Football daah😭
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·398 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Ramadhani Daffa @Daffaland29 updated the profile picture
    2025-01-24 08:20:30 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·272 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (21741-21750 de 27853)
  • «
  • Anterior
  • 2173
  • 2174
  • 2175
  • 2176
  • 2177
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers