Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-24 07:48:52 ·
    Klabu ya Juventus imethibitisha kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji wa PSG Randal Kolo Muani kwa mkopo hadi Mwisho wa Msimu.
    Klabu ya Juventus imethibitisha kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji wa PSG Randal Kolo Muani kwa mkopo hadi Mwisho wa Msimu.
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·519 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-24 08:03:56 ·
    Nawakumbusha tu kuanzia wiki ijayo kitaumana
    Nawakumbusha tu kuanzia wiki ijayo kitaumana
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·124 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-24 08:04:42 ·
    Nyingine hii
    Nyingine hii
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·142 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-24 08:05:23 ·
    Nyingine tena
    Nyingine tena
    Love
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·126 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-24 08:05:59 ·
    Ya Mwisho
    Ya Mwisho👐
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·125 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-24 08:08:59 ·
    Mataifa mengi makubwa ambayo yanajiweza kifedha, miundombinu Nk lakini bado waliamini kwenye kuwapatia wachezaji wenye ubora mkubwa uraia
    ‎
    ‎Mataifa kama Ufaransa, England Ubelgiji ni miongoni mwa mataifa ambayo yameweka nguvu juu ya wachezaji wenye ubora kuwashawishi hili waweze kuwa raia wao
    ‎
    ‎Nazani jambo la msingi kwa sasa sio mchezaji aombe uraia wenda tukakosa top players kunahaja sasa ya sisi kama taifa kuwaomba wale top level ambao mataifa yao hayana mpango nao
    ‎
    ‎Huu utakuwa utaratibu mzuri ambao mataifa mengi ambayo yanafaida hufanya hivyo maana ni rahisi kupata wenye ubora kuliko wachache ambao wanaomba
    ‎
    ‎Kama mtu mkongo anachezea Ufaransa sembuse Mgana kuchezea Tanzania.
    ‎
    ‎Note: Ukweli kama taifa kwa sasa kuna level ya wachezaji ambao tunawataka kwenye kikosi chetu cha taifa stars haipatikani kwa wingi yaani kuna idadi ndogo ambayo inaubora ambao unaoweza kusaidia taifa kwenye level kubwa ya kimashindano
    Mataifa mengi makubwa ambayo yanajiweza kifedha, miundombinu Nk lakini bado waliamini kwenye kuwapatia wachezaji wenye ubora mkubwa uraia ‎ ‎Mataifa kama Ufaransa, England Ubelgiji ni miongoni mwa mataifa ambayo yameweka nguvu juu ya wachezaji wenye ubora kuwashawishi hili waweze kuwa raia wao ‎ ‎Nazani jambo la msingi kwa sasa sio mchezaji aombe uraia wenda tukakosa top players kunahaja sasa ya sisi kama taifa kuwaomba wale top level ambao mataifa yao hayana mpango nao ‎ ‎Huu utakuwa utaratibu mzuri ambao mataifa mengi ambayo yanafaida hufanya hivyo maana ni rahisi kupata wenye ubora kuliko wachache ambao wanaomba ‎ ‎Kama mtu mkongo anachezea Ufaransa sembuse Mgana kuchezea Tanzania. ‎ ‎Note: Ukweli kama taifa kwa sasa kuna level ya wachezaji ambao tunawataka kwenye kikosi chetu cha taifa stars haipatikani kwa wingi yaani kuna idadi ndogo ambayo inaubora ambao unaoweza kusaidia taifa kwenye level kubwa ya kimashindano
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·820 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-24 08:13:03 ·
    Nahodha msaidizi namba moja wa klabu ya FC Barcelona raia wa Uruguay Ronald Araujo ameongeza mkataba wa kuendelea kusalia katika klabu hiyo kwa kipindi Cha miaka 6 mpaka June 2031.
    Nahodha msaidizi namba moja wa klabu ya FC Barcelona raia wa Uruguay 🇺🇾 Ronald Araujo ameongeza mkataba wa kuendelea kusalia katika klabu hiyo kwa kipindi Cha miaka 6 mpaka June 2031.
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·351 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-24 08:13:47 ·
    “Sio kwamba tuna wachezaji kumi na moja bora wa kikosi cha Young Africans bali wachezaji wote ishirini na tano ni bora na wako tayari kwa mechi” Kocha wa Young Africans Sead Ramovic
    “Sio kwamba tuna wachezaji kumi na moja bora wa kikosi cha Young Africans bali wachezaji wote ishirini na tano ni bora na wako tayari kwa mechi” Kocha wa Young Africans Sead Ramovic
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·617 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-24 08:14:23 ·
    Maxi Mpia Nzengeli
    Maxi Mpia Nzengeli
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·244 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-24 08:14:55 ·
    Football daah
    Football daah😭
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·380 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (21741-21750 из 25760)
  • «
  • Назад
  • 2173
  • 2174
  • 2175
  • 2176
  • 2177
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики