• 0 Reacties 0 aandelen 200 Views
  • Hello
    Hello
    0 Reacties 0 aandelen 171 Views
  • 0 Reacties 0 aandelen 209 Views
  • Kulingana na ripoti ya Duetti, Mtandao wa kusikiliza na kuuza muziki wa Apple Music unalipa Wasanii zaidi ya mara mbili (2) ya kiasi kinacholipwa na Spotify kwa kila "streams" 1,000.

    Hii inatokana na ukweli kwamba Apple Music inategemea malipo ya Watumiaji bila kuwa na huduma za bure. Spotify, ambayo ina kiwango kikubwa cha matangazo kwenye huduma yake ya bure na pia inaongoza kwa kuwa na Wasikilizaji wengi, lakini inalipa Wasanii pesa kidogo hata kuliko mtandao wa YouTube, ambao pia hutegemea matangazo.

    Ripoti hiyo pia inaonyesha hali ya wasiwasi ambapo Spotify inaongeza bei kwa Watumiaji wake lakini malipo kwa Wasanii yanaendelea kupungua. Pia Spotify inabagua sana kwa kuangalia eneo, "brand" na Lebo ya Msanii na sio Wasanii wote wanalipwa kiwango sawa.

    Hata hivyo, Spotify imekanusha ripoti hiyo, ikisema wanazingatia kuongeza ushirikiano wa Watumiaji ili malipo ya jumla kwa wasanii yaweze kuongezeka. Kwa mwaka 2024, viwango vya malipo ambavyo Wasanii wamelipwa na mitandao ya kusikiliza na kuuza muziki Duniani (streaming platforms) kwa "streams" 1,000 ni hizi hapa:

    1. Amazon: $8.80 (TZS 22,413)
    2. Apple Music: $6.20 (TZS 15,791)
    3. YouTube: $4.80 (TZS 12,225)
    4. Spotify: $3.00 (TZS 7,641)

    Hivyo wimbo ukisikilizwa mara moja, kwenye Apple Music inalipa Shilingi 15.7; Spotify inalipa Shilingi 7.6, YouTube inalipa Shilingi 12.2 na Amazon inalipa Shilingi 22.4.


    #Chukuahii
    Kulingana na ripoti ya Duetti, Mtandao wa kusikiliza na kuuza muziki wa Apple Music unalipa Wasanii zaidi ya mara mbili (2) ya kiasi kinacholipwa na Spotify kwa kila "streams" 1,000. Hii inatokana na ukweli kwamba Apple Music inategemea malipo ya Watumiaji bila kuwa na huduma za bure. Spotify, ambayo ina kiwango kikubwa cha matangazo kwenye huduma yake ya bure na pia inaongoza kwa kuwa na Wasikilizaji wengi, lakini inalipa Wasanii pesa kidogo hata kuliko mtandao wa YouTube, ambao pia hutegemea matangazo. Ripoti hiyo pia inaonyesha hali ya wasiwasi ambapo Spotify inaongeza bei kwa Watumiaji wake lakini malipo kwa Wasanii yanaendelea kupungua. Pia Spotify inabagua sana kwa kuangalia eneo, "brand" na Lebo ya Msanii na sio Wasanii wote wanalipwa kiwango sawa. Hata hivyo, Spotify imekanusha ripoti hiyo, ikisema wanazingatia kuongeza ushirikiano wa Watumiaji ili malipo ya jumla kwa wasanii yaweze kuongezeka. Kwa mwaka 2024, viwango vya malipo ambavyo Wasanii wamelipwa na mitandao ya kusikiliza na kuuza muziki Duniani (streaming platforms) kwa "streams" 1,000 ni hizi hapa: 1. Amazon: $8.80 (TZS 22,413) 2. Apple Music: $6.20 (TZS 15,791) 3. YouTube: $4.80 (TZS 12,225) 4. Spotify: $3.00 (TZS 7,641) Hivyo wimbo ukisikilizwa mara moja, kwenye Apple Music inalipa Shilingi 15.7; Spotify inalipa Shilingi 7.6, YouTube inalipa Shilingi 12.2 na Amazon inalipa Shilingi 22.4. #Chukuahii
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 669 Views
  • Kwamba
    Kwamba馃槀
    Wow
    1
    1 Reacties 0 aandelen 99 Views
  • Eti nini
    Eti nini馃槀
    Like
    1
    1 Reacties 0 aandelen 98 Views
  • Sema Diamond sijui alikosa nini?
    Sema Diamond sijui alikosa nini?馃槀
    Like
    1
    1 Reacties 0 aandelen 266 Views
  • Wote tuseme tawile
    Wote tuseme tawile馃槀
    Like
    1
    1 Reacties 0 aandelen 109 Views
  • Ndoto hizi
    Ndoto hizi馃槀
    Like
    1
    1 Reacties 0 aandelen 98 Views
  • Nini
    Nini馃槀
    Like
    1
    1 Reacties 0 aandelen 95 Views