• Aliyekuwahi kuwa "Bodygard" wa Diamond Platnumz na sasa wa Kiboko ya Wachawi, Mwarabu Fighter
    Aliyekuwahi kuwa "Bodygard" wa Diamond Platnumz na sasa wa Kiboko ya Wachawi, Mwarabu Fighter ✍️
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 732 Views
  • Rayvanny
    Rayvanny✍️✍️✍️
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 689 Views
  • Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 140 Views
  • Like
    Love
    2
    0 Comments 1 Shares 240 Views
  • "Jamani Simba ikifungwa kesho na Yanga dakika 90 na sio penati , ikiwa kwa penati Hapana lakini ikifungwa dakika 90 namuweka rehani Mke Wangu na ninaenda kumchukua Ally Kamwe amuoe , aishi nae , waenjoy " -Mwijaku , Mtangazaji wa Clown FM.
    "Jamani Simba ikifungwa kesho na Yanga dakika 90 na sio penati , ikiwa kwa penati Hapana lakini ikifungwa dakika 90 namuweka rehani Mke Wangu na ninaenda kumchukua Ally Kamwe amuoe , aishi nae , waenjoy " -Mwijaku , Mtangazaji wa Clown FM.
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 168 Views
  • Love
    1
    0 Comments 0 Shares 141 Views
  • Like
    Love
    2
    1 Comments 0 Shares 177 Views
  • "Huwa natengeneza timu kuangalia sisi zaidi na sehemu ndogo ya wapinzani lakini hakuna siri katika mpira tutachozingatia ni kutofanya makosa na wala hakuna faida kubwa sana kujua kuhusu wapinzani zaidi ni kuweka umakini kwenye mambo ya msingi ya mechi"

    “Tupo imara kiakili na kimwili, tumejiandaa vya kutosha hakuna tunachohofia, sijapata wasaa mzuri wa kuwatazama wapinzani kwani mechi zao nyingi hazikuoneshwa, lakini hiyo sio changamoto kubwa kwani naanda timu yangu kwa asilimia 75, asilimia 25 ndio natumia kumchunguza mpinzani”

    “Hakuna siri kwenye mpira kila kitu lazima kiwe hadharani, kesho ni siku muhimu sana kwani ni mechi ya mtoano, hatupaswi kufanya makosa tunapaswa kuwa makini kwenye kila idara ili kupata matokeo mazuri, naamini mashabiki wetu watajitokeza kwa wingi kwa lengo la kutupa hamasa”

    “Naheshimu sana wapinzani wote ninaokutana nao, kesho ni mchezo wa derby hakuna underdog kwenye mchezo huo kwani ni mchezo maalumu sana, najua mpinzani wetu ana timu mpya, wachezaji wapya, wote kwa pamoja watachukua fursa hii kuonesha ubora wao.

    Kimsingi mchezo huu mizani ipo sawa kwa pande zote 50/50, ni muhimu sana kuendea mchezo huu kwa umakini mkubwa”

    "Yaliyopita yamepita, sipendelei kufuatilia sana yaliyopita, huu ni msimu mpya hata wapinzani wetu pia wamebadilika kila kitu kimebadilika, wacha tuone kesho kitatokea nini" - Miguel Gamondi,
    Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC Sports kuelekea mchezo wa kesho wa Ngao ya Jamii dhidi ya klabu ya Simba SC.
    "Huwa natengeneza timu kuangalia sisi zaidi na sehemu ndogo ya wapinzani lakini hakuna siri katika mpira tutachozingatia ni kutofanya makosa na wala hakuna faida kubwa sana kujua kuhusu wapinzani zaidi ni kuweka umakini kwenye mambo ya msingi ya mechi" “Tupo imara kiakili na kimwili, tumejiandaa vya kutosha hakuna tunachohofia, sijapata wasaa mzuri wa kuwatazama wapinzani kwani mechi zao nyingi hazikuoneshwa, lakini hiyo sio changamoto kubwa kwani naanda timu yangu kwa asilimia 75, asilimia 25 ndio natumia kumchunguza mpinzani” “Hakuna siri kwenye mpira kila kitu lazima kiwe hadharani, kesho ni siku muhimu sana kwani ni mechi ya mtoano, hatupaswi kufanya makosa tunapaswa kuwa makini kwenye kila idara ili kupata matokeo mazuri, naamini mashabiki wetu watajitokeza kwa wingi kwa lengo la kutupa hamasa” “Naheshimu sana wapinzani wote ninaokutana nao, kesho ni mchezo wa derby hakuna underdog kwenye mchezo huo kwani ni mchezo maalumu sana, najua mpinzani wetu ana timu mpya, wachezaji wapya, wote kwa pamoja watachukua fursa hii kuonesha ubora wao. Kimsingi mchezo huu mizani ipo sawa kwa pande zote 50/50, ni muhimu sana kuendea mchezo huu kwa umakini mkubwa” "Yaliyopita yamepita, sipendelei kufuatilia sana yaliyopita, huu ni msimu mpya hata wapinzani wetu pia wamebadilika kila kitu kimebadilika, wacha tuone kesho kitatokea nini" - Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC Sports kuelekea mchezo wa kesho wa Ngao ya Jamii dhidi ya klabu ya Simba SC.
    Like
    Love
    2
    1 Comments 0 Shares 423 Views
  • Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 159 Views
  • Kwa mujibu wa JamiiForums, kampuni ya Meta imesema kuwa kuanzia mwezi huu wa Agosti 2024 itakuwa inawalipa Watayarishi wa maudhui (Content Creator) waliopo Nchini Tanzania kupitia mitandao yake ya kijamii ambayo ni Facebook na Instagram.

    Pia mwezi huu kampuni hiyo ya Meta imerudisha mfumo na utaratibu wa kulipa Waandaji wa maudhui Nchini Kenya baada ya kusitisha utaratibu huo mwezi wa tano.

    Hata hivyo, bado Kampuni ya Meta haijatoa taarifa yoyote ile kuhusiana na kuwalipa Watengenezaji wa maudhui Nchini Tanzania lakini habari hii itakuwa ni nzuri kwa Afrika Mashariki kwa sababu itakuza soko la maudhui na kuleta faida kwa Watengenezaji hao.
    Kwa mujibu wa JamiiForums, kampuni ya Meta imesema kuwa kuanzia mwezi huu wa Agosti 2024 itakuwa inawalipa Watayarishi wa maudhui (Content Creator) waliopo Nchini Tanzania kupitia mitandao yake ya kijamii ambayo ni Facebook na Instagram. Pia mwezi huu kampuni hiyo ya Meta imerudisha mfumo na utaratibu wa kulipa Waandaji wa maudhui Nchini Kenya 🇰🇪 baada ya kusitisha utaratibu huo mwezi wa tano. Hata hivyo, bado Kampuni ya Meta haijatoa taarifa yoyote ile kuhusiana na kuwalipa Watengenezaji wa maudhui Nchini Tanzania lakini habari hii itakuwa ni nzuri kwa Afrika Mashariki kwa sababu itakuza soko la maudhui na kuleta faida kwa Watengenezaji hao.
    Like
    Love
    3
    2 Comments 0 Shares 587 Views