Search Results
See All Results
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Groups
Pages
Marketplace
See More
Groups Pages Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Join
Sign In Sign Up
Theme Switcher
Night Mode
Directory
Users
Posts
Pages
Groups
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 added a photo
    2025-01-30 06:30:11 路
    Wasiwasi kati ya Rwanda na Afrika Kusini umeongezeka sana. Hii ni baada ya Rais wa Rwanda Paul Kagame kutoa onyo kali kwa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, akisema kwamba Rwanda imejiandaa kwa makabiliano iwapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.

    Taarifa ya Bw Kagame ilikuwa inajibu maoni ya Bw Ramaphosa juu ya jukumu la Kikosi cha Ulinzi cha Rwanda na Kikundi cha Waasi cha M23 katika mapigano yanayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

    Jibu la Rais Paul Kagame kwa Cyril Ramaphosa liliashiria mzozo mbaya wa kidiplomasia kati ya Afrika Kusini na Rwanda.

    Katika taarifa iliyo na maneno makali akimjibu moja kwa moja Cyril Ramaphosa kwenye mtandao wa kijamii wa X, Bwana Kagame alimshtumu Rais wa Afrika Kusini kwa kupotosha mazungumzo ya faragha juu ya hali tete mashariki mwa DRC.

    Kiongozi huyo wa Rwanda pia alisema Bwana Ramaphosa alikuwa hajaonya Rwanda juu ya shughuli zake za kijeshi DRC lakini badala yake alikuwa ameomba msaada wa vifaa, pamoja na umeme, chakula, na maji kwa wanajeshi wa Afrika Kusini.

    Wakati akikaribisha juhudi za Afrika Kusini za amani, Bwana Kagame alisisitiza kwamba nchi hiyo haikuwa katika nafasi ya kuwa mtafutaji amani wala mpatanishi na alionya zaidi kwamba ikiwa Afrika Kusini inataka makabiliano, Rwanda ingejibu ipasavyo.
    (Zungu)

    Wasiwasi kati ya Rwanda na Afrika Kusini umeongezeka sana. Hii ni baada ya Rais wa Rwanda Paul Kagame kutoa onyo kali kwa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, akisema kwamba Rwanda imejiandaa kwa makabiliano iwapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo. Taarifa ya Bw Kagame ilikuwa inajibu maoni ya Bw Ramaphosa juu ya jukumu la Kikosi cha Ulinzi cha Rwanda na Kikundi cha Waasi cha M23 katika mapigano yanayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Jibu la Rais Paul Kagame kwa Cyril Ramaphosa liliashiria mzozo mbaya wa kidiplomasia kati ya Afrika Kusini na Rwanda. Katika taarifa iliyo na maneno makali akimjibu moja kwa moja Cyril Ramaphosa kwenye mtandao wa kijamii wa X, Bwana Kagame alimshtumu Rais wa Afrika Kusini kwa kupotosha mazungumzo ya faragha juu ya hali tete mashariki mwa DRC. Kiongozi huyo wa Rwanda pia alisema Bwana Ramaphosa alikuwa hajaonya Rwanda juu ya shughuli zake za kijeshi DRC lakini badala yake alikuwa ameomba msaada wa vifaa, pamoja na umeme, chakula, na maji kwa wanajeshi wa Afrika Kusini. Wakati akikaribisha juhudi za Afrika Kusini za amani, Bwana Kagame alisisitiza kwamba nchi hiyo haikuwa katika nafasi ya kuwa mtafutaji amani wala mpatanishi na alionya zaidi kwamba ikiwa Afrika Kusini inataka makabiliano, Rwanda ingejibu ipasavyo. (Zungu)
    Like
    1
    路 0 Comments 路0 Shares 路916 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 added a photo
    2025-01-30 06:30:36 路
    Mmmh
    Mmmh 馃槼
    0 Comments 路0 Shares 路221 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Kelvin Nyamwesa @Anta_tz added a photo
    2025-01-30 06:40:05 路
    Screen wallpaper hd
    Screen wallpaper hd
    Like
    Love
    2
    路 1 Comments 路0 Shares 路991 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Kelvin Nyamwesa @Anta_tz added a photo
    2025-01-30 06:41:10 路
    Screen wallpaper hd
    Screen wallpaper hd
    Like
    Love
    2
    路 0 Comments 路0 Shares 路1K Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Kelvin Nyamwesa @Anta_tz added a photo
    2025-01-30 06:41:55 路
    Wallpaper
    Wallpaper
    Love
    1
    路 0 Comments 路0 Shares 路991 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Elena Williams @elenawilliams updated the profile picture
    2025-01-30 07:00:05 路
    0 Comments 路0 Shares 路457 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Elena Williams @elenawilliams added blog in Health
    2025-01-30 07:04:37 路
    Overcoming ED Together: Strategies for Couples to Maintain Their Closeness and Self-Belief
    Many men suffer from erectile dysfunction (ED), but the effects of the disorder extend beyond the person. Relationship dynamics may also be impacted, leading to tension, ambiguity, and emotional detachment. Couples that face this obstacle together, however, might deepen their relationship and discover fresh approaches of remaining close and self-assured. Couples can control ED and have a happy...
    0 Comments 路0 Shares 路1K Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Mofokeng Elvis @Kas11 added a photo
    2025-01-30 08:12:35 路
    mauaji haya
    mauaji haya馃槂
    Like
    1
    路 0 Comments 路0 Shares 路584 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • David Atto @Mefa added reel
    2025-01-30 14:33:55 路
    Like
    Love
    Haha
    3
    路 0 Comments 路0 Shares 路399 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Paul Swai @paulswai added video in General
    2025-01-30 15:58:50 路
    Unampa maksi ngapi uyu jamaa kati ya 1-10

    #paulswai
    Unampa maksi ngapi uyu jamaa kati ya 1-10 #paulswai
    Love
    Haha
    2
    路 1 Comments 路0 Shares 路531 Views 路5
    Please log in to like, share and comment!
  • Displaying (22331-22340 of 32739)
  • «
  • Prev
  • 2232
  • 2233
  • 2234
  • 2235
  • 2236
  • Next
  • »
Upgrade to Pro
Choose the Plan That's Right for You
Upgrade
© 2025 Socialpop
English
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Terms Privacy Contact Us Directory Developers