• They are so funny
    They are so funny 🤣🤣
    Love
    Haha
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·626 Views
  • ABDUL SOPU 9: TAYARI MKATABA KUVUNJWA
    HUU MWAKA HUU MWAKA!! KASAINI MIAKA MITATU ( 3 ).
    #sokachampions
    #bongotrending
    #AzamSports1HD
    #clamvevo
    #milardayoupdates
    #sokaonlineupdates
    ABDUL SOPU 9: TAYARI MKATABA KUVUNJWA🤣 HUU MWAKA HUU MWAKA!! KASAINI MIAKA MITATU ( 3 ).💚💛 #sokachampions #bongotrending #AzamSports1HD #clamvevo #milardayoupdates #sokaonlineupdates
    Like
    Love
    2
    · 3 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·2K Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·254 Views
  • Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·258 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·245 Views
  • Sad
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·365 Views
  • Newcastle win
    Liverpool win or draw
    Borussia Dotmund win or draw
    Odds 2.9
    Newcastle win Liverpool win or draw Borussia Dotmund win or draw Odds 2.9
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·415 Views
  • Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·155 Views
  • Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·151 Views
  • Mkutano wa Kilele wa Marais wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika hivi karibuni umemtaka Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, kukaa meza moja na Waasi wa M23 kwa ajili ya mazungumzo ya pamoja ili kutafuta suluhu ya amani katika taifa hilo.

    Taarifa iliyotolewa na Mjumbe wa Mkutano huo, ambaye pia ni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (Twitter), ilieleza kuwa Viongozi hao walikutana Januari 29, chini ya Uenyekiti wa Rais wa Kenya, William Ruto, kujadili hali ya usalama Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .

    Miongoni mwa makubaliano ya mkutano huo ni pendekezo la Rais Tshisekedi kushiriki mazungumzo na kundi la M23. Kadhalika, Viongozi hao walikubaliana kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inapaswa kuitisha mkutano wa dharura na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ili kutafuta suluhisho la kudumu kwa mgogoro huo.

    Museveni aliambatanisha taarifa hiyo na orodha ya Viongozi waliohudhuria mkutano huo, wakiwemo Rais wa Kenya William Ruto, Rais wa Somalia Hassan Mohamud, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, Rais wa Rwanda Paul Kagame, na mwenyeji wao, Rais wa Uganda Yoweri Museveni.

    Mkutano wa Kilele wa Marais wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika hivi karibuni umemtaka Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, kukaa meza moja na Waasi wa M23 kwa ajili ya mazungumzo ya pamoja ili kutafuta suluhu ya amani katika taifa hilo. Taarifa iliyotolewa na Mjumbe wa Mkutano huo, ambaye pia ni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (Twitter), ilieleza kuwa Viongozi hao walikutana Januari 29, chini ya Uenyekiti wa Rais wa Kenya, William Ruto, kujadili hali ya usalama Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Miongoni mwa makubaliano ya mkutano huo ni pendekezo la Rais Tshisekedi kushiriki mazungumzo na kundi la M23. Kadhalika, Viongozi hao walikubaliana kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inapaswa kuitisha mkutano wa dharura na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ili kutafuta suluhisho la kudumu kwa mgogoro huo. Museveni aliambatanisha taarifa hiyo na orodha ya Viongozi waliohudhuria mkutano huo, wakiwemo Rais wa Kenya William Ruto, Rais wa Somalia Hassan Mohamud, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, Rais wa Rwanda Paul Kagame, na mwenyeji wao, Rais wa Uganda Yoweri Museveni.
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·694 Views