Risultati di ricerca
Mostra tutti i risultati
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Gruppi
Pagine
Marketplace
Mostra tutto
Gruppi Pagine Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Iscriviti
Registrati Iscriviti
Theme Switcher
Night Mode
Elenco
Utenti
Articoli
Pagine
Gruppi
Events
  • Godwin Masawe @Masawe updated the profile picture
    2025-02-06 20:20:52 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·314 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • King Kapeta @Ema ha aggiunto una foto
    2025-02-06 20:22:54 ·
    ila chasambi au bx tu
    😔😔😔ila chasambi au bx tu
    0 Commenti ·0 condivisioni ·210 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Buildneweden Ministry @sikilizaS updated the profile picture
    2025-02-06 20:35:25 ·
    Love
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·277 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Amoc Godfrey @Amoc10 updated the profile picture
    2025-02-06 21:10:19 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·373 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Paschal Martin @paschal74zy0859 updated the profile picture
    2025-02-06 22:09:21 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·282 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Saidi Njiwa @Saidin
    2025-02-06 22:18:48 ·
    Hi
    Hi
    0 Commenti ·0 condivisioni ·333 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Saidi Njiwa @Saidin updated the profile picture
    2025-02-06 22:24:57 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·328 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020
    2025-02-07 05:35:55 ·
    Hawa M23 Hawataki Utani..

    Waasi wa M23 wametangaza serikali mpya katika Jimbo la Kivu Kaskazini, DRC, baada ya kuuteka mji wa Goma wiki moja iliyopita.

    Kanali Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana, huku Willy Manzi na Shadary Bahati wakiwa Manaibu Gavana.
    Hawa M23 Hawataki Utani.. Waasi wa M23 wametangaza serikali mpya katika Jimbo la Kivu Kaskazini, DRC, baada ya kuuteka mji wa Goma wiki moja iliyopita. Kanali Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana, huku Willy Manzi na Shadary Bahati wakiwa Manaibu Gavana.
    Sad
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·513 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020
    2025-02-07 05:37:09 ·
    Hawa M23 Hawataki Utani..

    Waasi wa M23 wametangaza serikali mpya katika Jimbo la Kivu Kaskazini, DRC, baada ya kuuteka mji wa Goma wiki moja iliyopita.

    Kanali Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana, huku Willy Manzi na Shadary Bahati wakiwa Manaibu Gavana.
    Hawa M23 Hawataki Utani.. Waasi wa M23 wametangaza serikali mpya katika Jimbo la Kivu Kaskazini, DRC, baada ya kuuteka mji wa Goma wiki moja iliyopita. Kanali Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana, huku Willy Manzi na Shadary Bahati wakiwa Manaibu Gavana.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·540 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 ha aggiunto una foto
    2025-02-07 05:43:28 ·

    Katika uteuzi huo, pia wamemteua Meya wa Jiji la Goma pamoja na Wakuu wa Wilaya mbalimbali.

    Hatua hii inakuja wakati maeneo kama Walikale, Lubero, na Beni bado yako chini ya udhibiti wa serikali ya DRC inayoongozwa na Félix Tshisekedi.

    M23, kundi la waasi lenye silaha nzito na za kisasa, linadai kuwa linapigania haki za jamii ya Watutsi wa Congo.

    Jamii ya Watutsi waishio Congo mara nyingi hutengwa, huku serikali ya DRC ikiwatambua kama Wanyarwanda wanaoishi nchini humo.

    Taasisi mbalimbali za kitaifa na kimataifa, zikiwemo Umoja wa Mataifa na serikali ya DRC, zinadai kuwa kundi hili linaungwa mkono na Rwanda kwa maslahi ya kiuchumi na kisiasa.

    Hata hivyo, M23 wamekanusha vikali tuhuma hizo, wakisisitiza kuwa hawapokei msaada wa kijeshi kutoka Rwanda na kwamba wanapigana kwa maslahi yao wenyewe..

    Katika uteuzi huo, pia wamemteua Meya wa Jiji la Goma pamoja na Wakuu wa Wilaya mbalimbali. Hatua hii inakuja wakati maeneo kama Walikale, Lubero, na Beni bado yako chini ya udhibiti wa serikali ya DRC inayoongozwa na Félix Tshisekedi. M23, kundi la waasi lenye silaha nzito na za kisasa, linadai kuwa linapigania haki za jamii ya Watutsi wa Congo. Jamii ya Watutsi waishio Congo mara nyingi hutengwa, huku serikali ya DRC ikiwatambua kama Wanyarwanda wanaoishi nchini humo. Taasisi mbalimbali za kitaifa na kimataifa, zikiwemo Umoja wa Mataifa na serikali ya DRC, zinadai kuwa kundi hili linaungwa mkono na Rwanda kwa maslahi ya kiuchumi na kisiasa. Hata hivyo, M23 wamekanusha vikali tuhuma hizo, wakisisitiza kuwa hawapokei msaada wa kijeshi kutoka Rwanda na kwamba wanapigana kwa maslahi yao wenyewe..
    0 Commenti ·0 condivisioni ·434 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mostrati (22661-22670 di 32330)
  • «
  • Prec.
  • 2265
  • 2266
  • 2267
  • 2268
  • 2269
  • Succ.
  • »
Passa a Pro
Scegli il piano più adatto a te
AGGIORNA
© 2025 Socialpop
Italiano
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termini e Condizioni Privacy Contattaci Elenco Developers