Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Godwin Masawe @Masawe обновить изображение профиля
    2025-02-06 20:20:52 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·314 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • King Kapeta @Ema добавлены фото
    2025-02-06 20:22:54 ·
    ila chasambi au bx tu
    😔😔😔ila chasambi au bx tu
    0 Комментарии ·0 Поделились ·210 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Buildneweden Ministry @sikilizaS обновить изображение профиля
    2025-02-06 20:35:25 ·
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·277 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Amoc Godfrey @Amoc10 обновить изображение профиля
    2025-02-06 21:10:19 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·373 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paschal Martin @paschal74zy0859 обновить изображение профиля
    2025-02-06 22:09:21 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·282 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Saidi Njiwa @Saidin
    2025-02-06 22:18:48 ·
    Hi
    Hi
    0 Комментарии ·0 Поделились ·333 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Saidi Njiwa @Saidin обновить изображение профиля
    2025-02-06 22:24:57 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·328 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020
    2025-02-07 05:35:55 ·
    Hawa M23 Hawataki Utani..

    Waasi wa M23 wametangaza serikali mpya katika Jimbo la Kivu Kaskazini, DRC, baada ya kuuteka mji wa Goma wiki moja iliyopita.

    Kanali Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana, huku Willy Manzi na Shadary Bahati wakiwa Manaibu Gavana.
    Hawa M23 Hawataki Utani.. Waasi wa M23 wametangaza serikali mpya katika Jimbo la Kivu Kaskazini, DRC, baada ya kuuteka mji wa Goma wiki moja iliyopita. Kanali Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana, huku Willy Manzi na Shadary Bahati wakiwa Manaibu Gavana.
    Sad
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·513 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020
    2025-02-07 05:37:09 ·
    Hawa M23 Hawataki Utani..

    Waasi wa M23 wametangaza serikali mpya katika Jimbo la Kivu Kaskazini, DRC, baada ya kuuteka mji wa Goma wiki moja iliyopita.

    Kanali Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana, huku Willy Manzi na Shadary Bahati wakiwa Manaibu Gavana.
    Hawa M23 Hawataki Utani.. Waasi wa M23 wametangaza serikali mpya katika Jimbo la Kivu Kaskazini, DRC, baada ya kuuteka mji wa Goma wiki moja iliyopita. Kanali Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana, huku Willy Manzi na Shadary Bahati wakiwa Manaibu Gavana.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·540 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 добавлены фото
    2025-02-07 05:43:28 ·

    Katika uteuzi huo, pia wamemteua Meya wa Jiji la Goma pamoja na Wakuu wa Wilaya mbalimbali.

    Hatua hii inakuja wakati maeneo kama Walikale, Lubero, na Beni bado yako chini ya udhibiti wa serikali ya DRC inayoongozwa na Félix Tshisekedi.

    M23, kundi la waasi lenye silaha nzito na za kisasa, linadai kuwa linapigania haki za jamii ya Watutsi wa Congo.

    Jamii ya Watutsi waishio Congo mara nyingi hutengwa, huku serikali ya DRC ikiwatambua kama Wanyarwanda wanaoishi nchini humo.

    Taasisi mbalimbali za kitaifa na kimataifa, zikiwemo Umoja wa Mataifa na serikali ya DRC, zinadai kuwa kundi hili linaungwa mkono na Rwanda kwa maslahi ya kiuchumi na kisiasa.

    Hata hivyo, M23 wamekanusha vikali tuhuma hizo, wakisisitiza kuwa hawapokei msaada wa kijeshi kutoka Rwanda na kwamba wanapigana kwa maslahi yao wenyewe..

    Katika uteuzi huo, pia wamemteua Meya wa Jiji la Goma pamoja na Wakuu wa Wilaya mbalimbali. Hatua hii inakuja wakati maeneo kama Walikale, Lubero, na Beni bado yako chini ya udhibiti wa serikali ya DRC inayoongozwa na Félix Tshisekedi. M23, kundi la waasi lenye silaha nzito na za kisasa, linadai kuwa linapigania haki za jamii ya Watutsi wa Congo. Jamii ya Watutsi waishio Congo mara nyingi hutengwa, huku serikali ya DRC ikiwatambua kama Wanyarwanda wanaoishi nchini humo. Taasisi mbalimbali za kitaifa na kimataifa, zikiwemo Umoja wa Mataifa na serikali ya DRC, zinadai kuwa kundi hili linaungwa mkono na Rwanda kwa maslahi ya kiuchumi na kisiasa. Hata hivyo, M23 wamekanusha vikali tuhuma hizo, wakisisitiza kuwa hawapokei msaada wa kijeshi kutoka Rwanda na kwamba wanapigana kwa maslahi yao wenyewe..
    0 Комментарии ·0 Поделились ·434 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (22661-22670 из 32330)
  • «
  • Назад
  • 2265
  • 2266
  • 2267
  • 2268
  • 2269
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики