• Kama uliangalia vizuri zile picha za "Best Man na Woman) kwenye harusi ya Jux, huenda ukaelewa hii "Posti" ya Diamond Platnumz. Sijui kwa nini Baba Lebo hajatoboa siri hii wakati tunajua kuwa Friji lake haligandishi .

    Mimi naishi na huyo mstari wa pili (2).

    Kama uliangalia vizuri zile picha za "Best Man na Woman) kwenye harusi ya Jux, huenda ukaelewa hii "Posti" ya Diamond Platnumz. Sijui kwa nini Baba Lebo hajatoboa siri hii wakati tunajua kuwa Friji lake haligandishi 😆. Mimi naishi na huyo mstari wa pili (2).
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·476 Views
  • 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·134 Views
  • Na umoja wa klabu zinazodhaminiwa na Azam TV (Media) hatujafurahi hata kidogo .

    NB : Klabu zinazodhaminiwa na Azam TV ni klabu zote za Ligi Kuu Tanzania Bara.

    Na umoja wa klabu zinazodhaminiwa na Azam TV (Media) hatujafurahi hata kidogo 😆. NB : Klabu zinazodhaminiwa na Azam TV ni klabu zote za Ligi Kuu Tanzania Bara.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·419 Views
  • Harmonize akitoa ufafanuzi kuhusu madai kwamba wimbo wake mpya uitwao "X" kudaiwa kumuimbia Kajala.
    Harmonize akitoa ufafanuzi kuhusu madai kwamba wimbo wake mpya uitwao "X" kudaiwa kumuimbia Kajala.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·414 Views
  • Mzize Walid

    Nawasalimia Watu wote ambao huwa hawachagui kazi ya kufanya ili kujipatia kipato.
    Mzize Walid 🙌 Nawasalimia Watu wote ambao huwa hawachagui kazi ya kufanya ili kujipatia kipato.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·200 Views
  • Kwa mujibu wa Tovuti ya The Guardian, Wananajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) wameripotiwa kuuawa katika operesheni za siri Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo . Kuuawa kwa Wanajeshi hao katika operesheni hiyo kunapingana na msimamo wa Serikali ya Rwanda inayodai Askari wake hawahusiki wala kushiriki katika mzozo unaoendelea kati ya kundi la M23 na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .

    Taarifa hiyo iliyochapishwa na tovuti ya The Guardian imedai kuwa vyanzo mbalimbali vya kijasusi, kijeshi na kidiplomasia vinasema idadi ya Wanajeshi wa RDF waliouawa ni kubwa, huku wakidai walikuwa wakisaidia mashambulizi yanayofanywa na Waasi wa M23 ndani ya DR Congo.

    Picha za Setilaiti zilizopigwa katika makaburi ya kijeshi yaliyoko Jijini Kigali, Nchini Rwanda, zimethibitisha kuonekana kwa makaburi mapya yasiyopungua 600 yaliyopatikana tangu Waasi wa M23, wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, walipoanza operesheni zao ndani ya DR Congo miaka mitatu iliyopita.

    Kwa mujibu wa Tovuti ya The Guardian, Wananajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda 🇷🇼 (RDF) wameripotiwa kuuawa katika operesheni za siri Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Kuuawa kwa Wanajeshi hao katika operesheni hiyo kunapingana na msimamo wa Serikali ya Rwanda inayodai Askari wake hawahusiki wala kushiriki katika mzozo unaoendelea kati ya kundi la M23 na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Taarifa hiyo iliyochapishwa na tovuti ya The Guardian imedai kuwa vyanzo mbalimbali vya kijasusi, kijeshi na kidiplomasia vinasema idadi ya Wanajeshi wa RDF waliouawa ni kubwa, huku wakidai walikuwa wakisaidia mashambulizi yanayofanywa na Waasi wa M23 ndani ya DR Congo. Picha za Setilaiti zilizopigwa katika makaburi ya kijeshi yaliyoko Jijini Kigali, Nchini Rwanda, zimethibitisha kuonekana kwa makaburi mapya yasiyopungua 600 yaliyopatikana tangu Waasi wa M23, wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, walipoanza operesheni zao ndani ya DR Congo miaka mitatu iliyopita.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·457 Views
  • #Blame your self
    #Blame your self🐝
    Sad
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·440 Views
  • LEVEL NILIO IFIKIA,WANACHAKUJIFUNZA
    LEVEL NILIO IFIKIA,WANACHAKUJIFUNZA
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·285 Views
  • Haloooooo!!!
    Haloooooo!!!
    Yay
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·248 Views ·1
  • Kwa nini rais wa Congo, Félix Tshisekedi, hakudhuria huu mkutano huu muhimu wa kujadili mambo ya kiusalama ndani ya nchi yake ya Congo?

    Hakuna excuse inayoweza kuelezea dharau na kukosa heshima ambayo amezionyesha taasisi hizi mbili—EAC & SADC.

    Shuka nayo
    Kwa nini rais wa Congo, Félix Tshisekedi, hakudhuria huu mkutano huu muhimu wa kujadili mambo ya kiusalama ndani ya nchi yake ya Congo? Hakuna excuse inayoweza kuelezea dharau na kukosa heshima ambayo amezionyesha taasisi hizi mbili—EAC & SADC. Shuka nayo ⤵️
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·303 Views