Risultati di ricerca
Mostra tutti i risultati
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Gruppi
Pagine
Marketplace
Mostra tutto
Gruppi Pagine Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Iscriviti
Registrati Iscriviti
Theme Switcher
Night Mode
Elenco
Utenti
Articoli
Pagine
Gruppi
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-02-12 05:58:16 ·
    Huu wimbo "Siku hazigandi" unaukumbuka au ndio nimekuchanganya kwa sababu ya umri wako
    Huu wimbo "Siku hazigandi" unaukumbuka au ndio nimekuchanganya kwa sababu ya umri wako 👇
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·117 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-02-12 05:58:40 ·
    "Kuanzia Msimu ujao tunakuja na kanuni ya Golikipa Mmoja tu wakigeni kwenye kila timu haiwezekani kwenye timu moja kuwe na magolikipa wawili wa kigeni haiwezekani hii”

    “Nilikua namtania Rais mwenzangu wa shirikisho aliniambia Mbona kwenye ligi yako kuna wachezaji wa kigeni wengi sana nikamjibu kua siwadekezi watu wavivu, ukiangalia pale Yanga kuna mabeki wengi wakizawa ndio wanacheza hata Siimba pia hivyo hivyo” - W. Karia, Rais wa Shirikisho la Mpira Nchini Tanzania (TFF) kupitia Wasafi FM.

    "Kuanzia Msimu ujao tunakuja na kanuni ya Golikipa Mmoja tu wakigeni kwenye kila timu haiwezekani kwenye timu moja kuwe na magolikipa wawili wa kigeni haiwezekani hii” “Nilikua namtania Rais mwenzangu wa shirikisho aliniambia Mbona kwenye ligi yako kuna wachezaji wa kigeni wengi sana nikamjibu kua siwadekezi watu wavivu, ukiangalia pale Yanga kuna mabeki wengi wakizawa ndio wanacheza hata Siimba pia hivyo hivyo” - W. Karia, Rais wa Shirikisho la Mpira Nchini Tanzania (TFF) kupitia Wasafi FM.
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·633 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-02-12 06:00:07 ·
    Habari iliyobamba kwa sasa kwenye vyombo vya habari ni ndoa ya Stephane Aziz Ki na Hamisa Mobetto, ingawa wapo waliofika mbali na kudai ni kiki tu kwa ajili ya matangazo ya bidhaa fulani na wanatumika tu.

    Baada ya vuta nkuvute ya stori hii hatimaye mama yake Hamisa, Shufaa Rutanga amefunga na anathibitisha kuwepo kwa ndoa hiyo na kuhusu posa ya Aziz Ki, amesema hakuna posa yoyote iliyofika kwake kutoka kwa nyota huyo wa kimataifa wa Burkina Faso ingawa amepokea nyingi kutoka kwa wanaume tofauti wanaotaka kumuoa mwanaye.

    “Sasa ngoja nikuambie ukweli, maana nilikuwa nashindwa kutoa majibu sahihi kutokana na baadhi ya ya vitu kuhusu ndoa hii vilikuwa havijakamilika, sasa vimekamilika na ndoa ipo. Kiukweli namshukuru Mungu maombi yangu kwa mwanagu yameitika, nilikuwa kila kukicha naomba apate mtu sahihi watakayependana ili aolewe, kuwa kwenye ndoa ni heshima kubwa sana" - Mama Mobetto

    Mama Hamisa anasema hekaheka za ndoa hiyo zitaanza Jumamosi Februari 15 na ndiyo siku mahari itatolewa na sherehe itafanyika Februari 19, The Superdome, Masaki, jijini Dar es Salaam.

    “Kutoka moyoni nimewapa baraka zote mkwe wangu AziZ Ki na mwanagu Hamisa na upendo mwingi sana kwake Aziz Ki kwa kupenda watoto wa Hamisa. Hiki ndiyo sababu kuu iliyonifanya nimpende zaidi Aziz Ki, maana kwa hali ya sasa hivi upate mwanamume atakayekubali kuoa mwanamke mwenye watoto ni wachache sana ila Aziz Ki ameonyesha upendo wa dhati kwa mwanangu Hamisa, kapenda boga na maua yake.” - Mama Mobetto

    Wakati huohuo mmoja wa viongozi wa Yanga, amethibitisha ni kweli wawili hao watafunga ndoa Ijumaa na kwasasa Aziz yupo kwenye maandalizi ya Ndoa ingawa atakuwepo kwenye mchezo wa Ijumaa.
    (Mwananchi)

    Habari iliyobamba kwa sasa kwenye vyombo vya habari ni ndoa ya Stephane Aziz Ki na Hamisa Mobetto, ingawa wapo waliofika mbali na kudai ni kiki tu kwa ajili ya matangazo ya bidhaa fulani na wanatumika tu. Baada ya vuta nkuvute ya stori hii hatimaye mama yake Hamisa, Shufaa Rutanga amefunga na anathibitisha kuwepo kwa ndoa hiyo na kuhusu posa ya Aziz Ki, amesema hakuna posa yoyote iliyofika kwake kutoka kwa nyota huyo wa kimataifa wa Burkina Faso ingawa amepokea nyingi kutoka kwa wanaume tofauti wanaotaka kumuoa mwanaye. “Sasa ngoja nikuambie ukweli, maana nilikuwa nashindwa kutoa majibu sahihi kutokana na baadhi ya ya vitu kuhusu ndoa hii vilikuwa havijakamilika, sasa vimekamilika na ndoa ipo. Kiukweli namshukuru Mungu maombi yangu kwa mwanagu yameitika, nilikuwa kila kukicha naomba apate mtu sahihi watakayependana ili aolewe, kuwa kwenye ndoa ni heshima kubwa sana" - Mama Mobetto Mama Hamisa anasema hekaheka za ndoa hiyo zitaanza Jumamosi Februari 15 na ndiyo siku mahari itatolewa na sherehe itafanyika Februari 19, The Superdome, Masaki, jijini Dar es Salaam. “Kutoka moyoni nimewapa baraka zote mkwe wangu AziZ Ki na mwanagu Hamisa na upendo mwingi sana kwake Aziz Ki kwa kupenda watoto wa Hamisa. Hiki ndiyo sababu kuu iliyonifanya nimpende zaidi Aziz Ki, maana kwa hali ya sasa hivi upate mwanamume atakayekubali kuoa mwanamke mwenye watoto ni wachache sana ila Aziz Ki ameonyesha upendo wa dhati kwa mwanangu Hamisa, kapenda boga na maua yake.” - Mama Mobetto Wakati huohuo mmoja wa viongozi wa Yanga, amethibitisha ni kweli wawili hao watafunga ndoa Ijumaa na kwasasa Aziz yupo kwenye maandalizi ya Ndoa ingawa atakuwepo kwenye mchezo wa Ijumaa. (Mwananchi)
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·946 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Fix My Speaker @FixMySpeaker updated the profile picture
    2025-02-12 06:33:05 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·269 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Fix My Speaker @FixMySpeaker ha aggiunto una foto in Music
    2025-02-12 06:36:04 ·
    How do I Open the Device Manager?
    Using the Windows Start Menu When you need to fix my speaker or troubleshoot any device issues, the quickest way to access Device Manager is through the Start menu. Simply right-click the Start button or press Windows key + X to open the Quick Link menu. From there, select "Device Manager" from the list of options. This method works consistently across Windows 10 and 11, making it ideal when...
    0 Commenti ·0 condivisioni ·698 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Fix My Speaker @FixMySpeaker updated the cover photo
    2025-02-12 06:36:29 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·263 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Derick Mkocha @Lil_derick updated the profile picture
    2025-02-12 06:41:27 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·181 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Baraka Sagenge @Bee24
    2025-02-12 06:52:22 ·
    LOVE EACH OTHER
    this is our priority
    LOVE EACH OTHER this is our priority
    Yay
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·432 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • CKTV Tanzania @Kamanyi ha aggiunto una foto
    2025-02-12 07:08:07 ·
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·209 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • CKTV Tanzania @Kamanyi ha aggiunto una foto
    2025-02-12 07:08:20 ·
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·208 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mostrati (22931-22940 di 24425)
  • «
  • Prec.
  • 2292
  • 2293
  • 2294
  • 2295
  • 2296
  • Succ.
  • »
Passa a Pro
Scegli il piano più adatto a te
AGGIORNA
© 2025 Socialpop
Italiano
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termini e Condizioni Privacy Contattaci Elenco Developers