Search Results
See All Results
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Groups
Pages
Marketplace
See More
Groups Pages Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Join
Sign In Sign Up
Theme Switcher
Night Mode
Directory
Users
Posts
Pages
Groups
Events
  • SIMPLE MAN @simple_man added a photo
    2025-02-18 08:57:59 ·
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·201 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • SIMPLE MAN @simple_man added a photo
    2025-02-18 08:58:57 ·
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·201 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • SIMPLE MAN @simple_man added a photo
    2025-02-18 09:05:28 ·
    Car on sell
    Car on sell
    0 Comments ·0 Shares ·205 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Jessica Williams @Jessicawilliams updated the profile picture
    2025-02-18 12:18:03 ·
    0 Comments ·0 Shares ·221 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Jessica Williams @Jessicawilliams updated the profile picture
    2025-02-18 12:18:10 ·
    0 Comments ·0 Shares ·217 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Jessica Williams @Jessicawilliams added blog in Health
    2025-02-18 12:41:38 ·
    Male Erectile Dysfunction ICD-9: Diagnosis and Treatment Options
    Erectile dysfunction (ED) is a common condition that affects millions of men worldwide. It is classified under the International Classification of Diseases, Ninth Revision (ICD-9) as ICD-9 code 607.84. This classification is used by healthcare professionals for diagnostic and billing purposes. If you are experiencing ED, understanding its ICD-9 classification, causes, and treatment options can...
    0 Comments ·0 Shares ·568 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Ssoid portal @ssoid updated the cover photo
    2025-02-18 13:12:02 ·
    0 Comments ·0 Shares ·164 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Ssoid portal @ssoid added blog in Networking
    2025-02-18 13:22:03 ·
    What is the full form of SSO ID in Rajasthan?
    Understanding SSO ID: The Basic Definition SSO ID stands for Single Sign-On Identity in Rajasthan's digital governance system. This unified digital identity system allows citizens to access multiple government services through a single login credential. The SSO ID login system has revolutionized how residents of Rajasthan interact with various government departments and services online. The...
    0 Comments ·0 Shares ·702 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 added a photo
    2025-02-18 13:47:27 ·

    KUTOKA SINGIDA BLACK STARS

    HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI

    Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake

    Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu

    Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote

    Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania

    Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi

    Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1

    Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo

    Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    KUTOKA SINGIDA BLACK STARS ✍️ HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1 Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    0 Comments ·0 Shares ·953 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Capcut Apk @capcut updated the profile picture
    2025-02-18 13:56:19 ·
    0 Comments ·0 Shares ·214 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Displaying (23161-23170 of 24402)
  • «
  • Prev
  • 2315
  • 2316
  • 2317
  • 2318
  • 2319
  • Next
  • »
Upgrade to Pro
Choose the Plan That's Right for You
Upgrade
© 2025 Socialpop
English
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Terms Privacy Contact Us Directory Developers